Bhudagala_ Mhaguluabhili_Official Video 4K

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #BMS#Director_Migera#0762277374

КОМЕНТАРІ • 120

  • @MichaelNghogela
    @MichaelNghogela Рік тому +5

    Mm wa kwanza Mk kutoka masumbwe town

  • @ngussamasesa
    @ngussamasesa Рік тому +7

    Aiseee migera unatisha kwakaz zako ni zuri san unasitair ogera

  • @SamsonSally-l9x
    @SamsonSally-l9x Рік тому +1

    Kisuma raha sanaaaaaah lkn kam hujui kisuma huwez kupata rah y ngom z kisum sikiliz hi ngoma inaitw mhaguluawilli

  • @lalagidenya4761
    @lalagidenya4761 Рік тому +5

    J STUDIOZ Manyoni tayar mzigo tumeupata

  • @gambishisalum7285
    @gambishisalum7285 11 місяців тому +1

    Huyu mwamba mwacheni aendetu msimzuiee aiseeh kunakitu anakiisema live 💪💪💪💪💪

  • @UFAHAMUTV-jn2vv
    @UFAHAMUTV-jn2vv Рік тому

    Hii nyimbo Nimeichunguza
    Inamaana Kubwa sana

  • @MichaelMosesmg
    @MichaelMosesmg 7 місяців тому +1

    Bhudagala naomba like bas umetisha sana
    We ni mtunzi mzuri sana

  • @mrishobulabo8014
    @mrishobulabo8014 Рік тому +1

    Love from teacher Mrisho shabiki mkubwa wa nyimbo za asili kanuni ni ileile mkataa asili yake ni mtumwa Sukuma is my tribe na bhudagala ndo number one artist kweny hii sector
    Na @migera ndo revolutionarist kweny production

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 Рік тому +8

    Kazi nzuri sana director migera

  • @Nyasu829
    @Nyasu829 Рік тому +1

    ibra magic afunguka nakusema kwamba bhudagala nimfano wa kuigwa hapa tz ☠️

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 Рік тому +4

    Ndiyo ndiyo nakubaliiiii BMS

  • @mahonakijah5339
    @mahonakijah5339 Рік тому +3

    👍👍👍👍kazi zur wewe do nakuamini kwenye hizi nyimbo

  • @babasodatv2096
    @babasodatv2096 Рік тому +2

    Mwamba kutoka itobo nzega niite baba soda Maseason nifika kuchukua kazi ya mkuu wa majeshi Mr b

  • @djmusakasekesetz8126
    @djmusakasekesetz8126 Рік тому +5

    TAYARI DJ MUSA KASEKESE MPANDA KAFIKA KUCHOTA NYIMBO MPYA I 2023

  • @hamismayala3492
    @hamismayala3492 Рік тому +1

    Kaka umetisha kinoma sana Mungu azidi kukubariki much love

  • @hillimamagwanji5764
    @hillimamagwanji5764 Рік тому +3

    Pamoja sana brother hongeraaa kwa kazi nzuri

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 Рік тому +1

    Obheja sana Bhahebhu!❤️

  • @lucaspangarasi9368
    @lucaspangarasi9368 Рік тому +4

    Kaz nzur yenye ujumbe mzur, much love from iringa tz. Itilima zagayu ndo kwetu

  • @kishoshamakoye9015
    @kishoshamakoye9015 Рік тому +1

    Obheja gete ng'wana obhahunda

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic Рік тому +4

    Wakaza leo

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic Рік тому +4

    THE NTUZU MUSIC KASEKESE ONE MPANDA KAFIKA KUCHUKUA MZIGO HUU

  • @rogetichuo4687
    @rogetichuo4687 Рік тому +2

    Kiongozi wetu tumulikie mbele kazi kazi iko vizur sana

  • @mohamedawadhi9707
    @mohamedawadhi9707 Рік тому +1

    Bonge la pini washamba hawataelewa❤❤❤❤❤

  • @FrankjumaNdakama-g1c
    @FrankjumaNdakama-g1c Рік тому +1

    Hongera Sana shemeji yangu Mungu azidi kukulinda kwa chochote kinacho tokea mbele yako ♥️❣️♥️ magholo abhele umetisha

  • @bigtimetz
    @bigtimetz Рік тому +4

    Kazi nzuri kaka

  • @kautharkayu6326
    @kautharkayu6326 Рік тому +3

    Hongela sana Kaka angu kwa kazi nzuli mwenyezi mungu azidi kukuongoza Kaka angu kwakweli unaweza ❤🎉 ❤🎉

  • @KitindiMedia
    @KitindiMedia Рік тому +2

    Bhudagala Sasa umekuja vizuri
    Respect Kwako Director MIGERA Uko kwenye Ubora wako

  • @nongajlumala-t5j
    @nongajlumala-t5j 2 місяці тому

    asante kaka nipen sapoti namimi kwenye nyimbo zangu❤❤❤❤❤❤

  • @kabadipaschalshibocja
    @kabadipaschalshibocja 8 місяців тому +1

    Hii ndo maana halis ya kipawa mwamba hateteleki 🎉

  • @musasamwel5544
    @musasamwel5544 Рік тому +4

    Tayari kumekucha Sasa Kila kitu kimefunguka kwa sababu king wa game kaanza kuachia vitu , migera director juuu kwa juu hongera sana kaka

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 8 місяців тому

    Daah safi sana.... nasikiliza mpaka machozi yanitoka

  • @nellyjakano6247
    @nellyjakano6247 Рік тому +3

    Mfalme wa asili

  • @armyboy7965
    @armyboy7965 Рік тому +2

    Nakubali sana mziki wako kakaa ivo naomba kolabo tutoe nyimbo ata moja ingawa mi msanii wa bongo fleva 🙏🙏

    • @armyboy7965
      @armyboy7965 Рік тому

      Naomba kufanya kolabo na wewe kakaa bhudaga🙏🙏

  • @enockngereja
    @enockngereja 11 місяців тому

    wewe namba moja bhudagala nakupa hongera sana🚓🚕🚗🚙

  • @raphaelsimba3402
    @raphaelsimba3402 Рік тому

    Sema izi ngoma za kiasili unazijuliaga sana beat zake na mavazi yake na kuchezaa safiiiii, 😀😀😄😄

  • @makambamussa5209
    @makambamussa5209 Рік тому +2

    Ng'wana sekwa milemo misumba nhamhala

  • @mabalaVideostudio
    @mabalaVideostudio Рік тому +2

    Kazi kazi

  • @massanja21
    @massanja21 Рік тому +5

    Hizi ndo nyimbo na video sasa humuimbi msanii mwenzio lakini inakuwa kali big king 👑👑 of traditions music 🎵🎵🎶🎶

  • @EnjoEnjo-kf1tp
    @EnjoEnjo-kf1tp Рік тому +2

    Kazkaz

  • @EddahJoseph
    @EddahJoseph Рік тому

    Hongera sana kaka yangu pambana mungu yuko nawe endelea kutoa elimu kwa watu

  • @jersonlukinda9410
    @jersonlukinda9410 Рік тому

    Mwamba mwenyewe kasimama peke yake kileleni, Nakukubali sana brother.

  • @raphaelsimba3402
    @raphaelsimba3402 Рік тому

    Migera sio poa mtu na nusuuu aisee anapangilia mapigooo

  • @LulyalyaKinya-lr9ch
    @LulyalyaKinya-lr9ch Рік тому

    Kali sana binadamu wenzetu ndo màadui wetu

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 8 місяців тому

    Wako vizuri sana nimewapenda

  • @ngasasospeter6899
    @ngasasospeter6899 Рік тому +4

    Kimewakaaaaaaaaa! Nilikuwa naangalia kionjo Kila siku hatimaye umeingia kamanda wetu, kazi Moja makini

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому +2

    Budagala wewe nimbegugani huzeeki

  • @Josephlucas-ze9gx
    @Josephlucas-ze9gx Рік тому

    Ahsante mjomba nashukuru sana Kwa wimbo wako mzuri ila nitakutafta inbox Uncle

  • @EmmanuelMgeja
    @EmmanuelMgeja Рік тому

    kazi nzuri sana brother.......

  • @josestudio4534
    @josestudio4534 Рік тому +3

    Msanii legendary na Director konki My teacher migera sniper the great kazi nzuri sana na mategemeo yangu nilitabili kazi za bhudagala azishuti migera na imekuwa hivi ili sanaa iendelee lazima director awe mtaaaalamu Salute sana na barikiwa sana kaka mwl migera na kaka Legendary Bhudala kwa jumbe nzuri katika jamii

  • @andreamakoyeofficial9756
    @andreamakoyeofficial9756 Рік тому

    Lyakokaya baba nitembee kote siwezi sahau lugha ya nyumban okohuma mnapiti akalya ng'olo yane aleyo

  • @MeshackLukanda
    @MeshackLukanda Рік тому

    uhakika ,,mesha from sengerema mwanza Tz

  • @helvetasswiss4638
    @helvetasswiss4638 Рік тому

    Nakumbuka nyumbani sasa bhudagala kweli ni bora ukutane na simba porini kuliko binadamu walioharibika

  • @ibrahimbaraka5262
    @ibrahimbaraka5262 Рік тому +4

    Ibra macomputa lyabukande kashafika kupakua kazi

  • @marydastan4058
    @marydastan4058 Рік тому

    Utaendelea kuwa kiongozi wao kwenye nyimbo za asili

  • @W_Konk_Tm
    @W_Konk_Tm Рік тому +4

    Duuh kazi nzuri mwalimu wetu wangoma a.k.a teacher budagala malonja❤100%100🎉😂hii yote nifurahatu msanii wetu mkubwa by w Konk TM dj MWAMASHIMBA ndani

  • @frenk498
    @frenk498 Рік тому +2

    Una mbingu Yako kaka 🙏

  • @PetroThomas-q8l
    @PetroThomas-q8l Рік тому

    Nakukubali sana mwamba

  • @masalakulangwa21kulangwa67
    @masalakulangwa21kulangwa67 Рік тому

    Hahahaha kiboko hiiiii, nimeielewa sana

  • @japhetsahani7121
    @japhetsahani7121 Рік тому +6

    To those listening this song in 2098 bhudagala was a pure talent from God,,love from Kenya🇰🇪 🏑🏑🏑

    • @AdventinaLeonard
      @AdventinaLeonard Рік тому

      We fala kwer Tom sifa alichemka hapa kakola kwa huyu mwamba

    • @japhetsahani7121
      @japhetsahani7121 Рік тому

      @@AdventinaLeonard ttzo huelew language Kuma ww

  • @neemabisura-vz5cq
    @neemabisura-vz5cq Рік тому

    Kudos to you BHUDAGARA and director at large.....kazi nsumba sana

  • @enockngereja
    @enockngereja 11 місяців тому

    hapo good my fatha🚓🚕🚗🚙🚚

  • @TeddyLugenzi
    @TeddyLugenzi 10 місяців тому

    Kazi nzuli sana

  • @hassainshija6622
    @hassainshija6622 Рік тому +3

    Big up my brother, good job, God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @EmealMeal
    @EmealMeal Рік тому

    Mashallah mwimbo zur❤❤❤❤

  • @basubasu7521
    @basubasu7521 Рік тому

    Ndimukeshi nyandone

  • @thomasmaliganya3540
    @thomasmaliganya3540 Рік тому +1

    Big king💪🏼🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @charlesmadata3410
    @charlesmadata3410 Рік тому +2

    Safi

  • @JohnBalele-sk8ng
    @JohnBalele-sk8ng Рік тому

    Oy bhudagala iyosiopowa tuombanyingi

  • @marcopaulo6627
    @marcopaulo6627 Рік тому

    Kweli wewe nimkubwa wao

  • @VedastusMoris
    @VedastusMoris Рік тому

    Wabholagaga ngosha onyankomogo ya serengeti mugumu

  • @princenzumbi110
    @princenzumbi110 Рік тому

    Toka KAKOLA mwamba bhudagala

  • @dogorama8888
    @dogorama8888 Рік тому

    Hongera Kaka kwa kazi nzuri

  • @saimonmchelemchelesaimon8239
    @saimonmchelemchelesaimon8239 Рік тому +5

    Nimekuwa wakwanza comment zangu zinanihusu

  • @jamesamos4597
    @jamesamos4597 Рік тому +1

    Noma Sana mwaka huuuu umeamuaaa naona videos nzuriiii wimbo umetulia vizur shukran

  • @godfreydaniel5276
    @godfreydaniel5276 Рік тому +2

    Kuna kitu au mi ni mimi tu ndo nakiona mbona kama bhudagala hazeeki hivi toka kile kipindi cha bhabha shokaga mpaka leo naona yuko vile vile.

    • @isackantony7827
      @isackantony7827 8 місяців тому

      Ata wewe upate pesa uone kama utazeeka mapema

  • @Kanhboy
    @Kanhboy Рік тому

    Bhudagala unatisha miaka mingii naomba collabo bac mzee wng😊

  • @c.e.omasasi5131
    @c.e.omasasi5131 Рік тому

    Kaka kwa hii video jitahidi kuipeleka kwenye studio 🎙️ kama wasafi wakaipush ni mgoma.kali sana ambayo naamini itafika juu zaidi

  • @DanielJoseph-r3l
    @DanielJoseph-r3l Рік тому

    Hujawahi kufeli endelea kutuwakilisha wasukuma

  • @chunkurikachondo5820
    @chunkurikachondo5820 8 місяців тому

    Big up.

  • @Create_studio_Tz
    @Create_studio_Tz Рік тому +7

    Naombe Mashabiki zangu nipe Comments yako

    • @andrewisaac171
      @andrewisaac171 Рік тому

      Hongera sana Kitu kinag'aaa full hd tafadhari endelea kuwasaidia wasanii wetu wa Nyimbo za Asili watoe Video nzuri kama zilivyo nyimbo zao.!
      Mimi Mashimba Dsm

  • @andreamakoyeofficial9756
    @andreamakoyeofficial9756 Рік тому

    Lyakokaya

  • @mwelimazozo9691
    @mwelimazozo9691 Рік тому

    Wew bhudagala wetu ❤

  • @Francis-m4x
    @Francis-m4x 2 місяці тому

    Iwe mtana na oanzio usiuye nyuma waipingatho usikale mwoga na machinevizho be zhomu no salamu zangu asenani asena bate ni Kala ni haha watamu vinafwaha Zaire hoyeee

  • @RashidiHaji-wk9td
    @RashidiHaji-wk9td 7 місяців тому

    hatari❤

  • @johanessmwitamwita1723
    @johanessmwitamwita1723 Рік тому

    Mimi Huwa sielewi anaimba nini ila nampenda jamaa anafanya vizri sana Kuna siku alifanya show yake pale laini itilima ilikuwa nzuri sana

  • @ChatGpt-f6o
    @ChatGpt-f6o Рік тому

    God bless you, my brother from another mother.

  • @machungwastudio
    @machungwastudio Рік тому

    Yani wewe mkari wao hakika tunakuamini kazi Yako ikovyema kalibu majimoto katavi

  • @johnmbitiyaza1254
    @johnmbitiyaza1254 4 місяці тому

    Perfect

  • @elishafaida600
    @elishafaida600 Рік тому

    eleginyaa ng'omaa bhudala olefundii😂😂

  • @sidashindaitv9844
    @sidashindaitv9844 Рік тому +3

    Bonge ya video yenye utulivu wa Hali ya juu biggap sana migera

  • @MaliganyaMadilisha-qi2rq
    @MaliganyaMadilisha-qi2rq Рік тому

    Good

  • @SHAGUKAYA
    @SHAGUKAYA Рік тому

    like hapa kama unaikubali asili yetu

  • @SaimonKapunda
    @SaimonKapunda 3 місяці тому

    Sawa

  • @edwardloya3056
    @edwardloya3056 Рік тому

    Mwenye namba za simu za huyu mwamba anisaidie nakubal sana nyimbo zake nasklza nikiwa dar na stakagi npitwe nyimbo yake kabsa

  • @vedastusmedia9227
    @vedastusmedia9227 Рік тому +2

    🤳🤳🤳❤️❤️❤️💬💬

  • @ZakariaWambura-cn4gf
    @ZakariaWambura-cn4gf Рік тому

    Hii imetok lin jaman mbon n hatar hvyo

  • @robertmchembe2649
    @robertmchembe2649 Рік тому

  • @RobartMaduhu
    @RobartMaduhu 11 місяців тому

    Bhudagala

  • @ManyanyaTz
    @ManyanyaTz Рік тому +2

    Kazi Tamu Sana Kaka Hongera
    ua-cam.com/video/kTenJJQfHZs/v-deo.html

  • @djmusakasekesetz8126
    @djmusakasekesetz8126 Рік тому +4

    TAYARI DJ MUSA KASEKESE MPANDA KAFIKA KUCHOTA NYIMBO MPYA I 2023