Cjui kisukuma ila tokea day one hii ngoma imepenya kwa sikio langu cjawai isahau 🤗🤗🤗🔥🔥ninacho kijua hapo ni hiyo libava shika kaboke mshoke vinaga shiragaa. (Kwamba wanawake wenye waume wakali warudi nyumbani haraka ngoma imeisha) nakumbuka niliambiwaga ivoh cjui ka niko sahihi ✊✊ ✊
Hii nyimbo naipenda sana kwa siku lazima niisikilize maratatu na mm ni mtu wa tanga nacho elewa apo ni mwanamke akipata mwanaume mkali arudi nyumbani au nimekosea jaman
Anaimba hv, wamama wote warud mapema waendapo kwenye ngoma jua linapozama, lasivyo watakuta waume zao wamenuna, pia wamebaki na kaptla kama mzinz anapta drshan so wawah maana wataachka
Kwel huu ni kati za nyimbo zinazonikumbushaga Sana ktk maisha yangu ya yuma niliyoyapitia 2013 na 2014 nikiwa Mc kwenye mashelehe mbalimbali nikijulikana Kama Dj AP from kahama Daah!!
Leo tarehe 23/11/2024 kutoka dar es salaam, nyanda nsuguma gete nalilitula hilinili liwimbo lya Ng'wanampelwa atar sana ,mm msukuma kabsa natamba na budagala , wasukuma houeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃
Nakumbuka Babu yangu Mzee kasobi alivo kuwa ananipeleka kwenye matambiko nilipo kuwa mdogo daa kitambo sana jaman,kiiji Cha mulumba kata ya bwina chato
Katika nyimbo za asili zooote hii ni nzuri sana, kijana kajitahidi sana katika video kuitendea haki na audio kaitendea haki sana japokuwa mimi muha wa KIGOMA sielewi anacho zungumzia kwa kisukuma. Nimeelewa sehem ndogo za kiswahili
We are seeing feathers in backs of dancers. These used to be Ostrich feathers won by band leaders to show how rich they were. It is amazing Bhudagala could afford purchasing feathers for his dancers. I do not remember feathers to be won by women in the 40s and 50s. Usually it was males. Well, during that time women did not have same rights as males although husbands used to obey their wives.
Vijana hawa wa kisukuma wananipoza moyo sana kwa wimbo wao huu mzuri pamoja na uchezaji wao na setup yote. Kibaya ni kule kujipaka chokaa tu! Sijui wamerekodi Badugu au Mahembe, au Mahaha hivi.
mkataa kwao mtumwa, wasukuma oyeee
Oyeeeeeee!! Gung'wise bhusukuman
Cjui kisukuma ila tokea day one hii ngoma imepenya kwa sikio langu cjawai isahau 🤗🤗🤗🔥🔥ninacho kijua hapo ni hiyo libava shika kaboke mshoke vinaga shiragaa. (Kwamba wanawake wenye waume wakali warudi nyumbani haraka ngoma imeisha) nakumbuka niliambiwaga ivoh cjui ka niko sahihi ✊✊ ✊
Uko sahihi
Hiyo ndo sukuma we kula mziki wa mafundisho hapo usjal 😊😢😅
Yeah
Sahihi
😂😂😂kula chuma hicho
Ludini nyumbani muziki umeisha wasukuma mikono juu nakubali sana nyimbo za kisukuma nyumbani kanda yaziwa
Shokagi kayak ludini nyumbani jamani Ngoma imeisha kisukuma laha
Ujawahi ferii shemeji yanguu 💐🥀🔥💯💯💯
Mie Sio msukuma ila napenda sana kusikiliza nyimbo za kisukuma japo sizielewi love much from Singida 💯❤️❤️
Hii nyimbo naipenda sana kwa siku lazima niisikilize maratatu na mm ni mtu wa tanga nacho elewa apo ni mwanamke akipata mwanaume mkali arudi nyumbani au nimekosea jaman
😂😂 tufanye ndyo hvo hvo hujaenda mbali sanaa...
🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan navoupenda huu wimbo daaah! Kila nikiuckia nahc nimefka usukuma
Membo masonga gasangije ni lange🔥🔥🔥🔥🔥
Nakumbuka mbli sana nikiwa na mam angu mungu alikupenda zaid I miss mam
Anaimba hv, wamama wote warud mapema waendapo kwenye ngoma jua linapozama, lasivyo watakuta waume zao wamenuna, pia wamebaki na kaptla kama mzinz anapta drshan so wawah maana wataachka
Shukran
@@shijacharles5394uko vizuri Natafilli mana Wennngine hatuuelew
Umejitahidi kiasi mkariman
Huyuu ndo mwanzilishi wa revolution ya nyimbo za asili kwa lugha ya kisukuma
Siyo huyu walikuwepo
kina malingita Na wengne kama yule aliimbaga mashikolo mageni
Nagaja mjini mwaka tusini😂@@AlphonceMayala
Saf sana nakubali kaka
Mimi ni mpogoro wa morogoro but bhudaghala is my favorite
asante sana kwa nyimbo zako kaka ushauli wangu tembelea nahuku morogoro wasukuma wapo wengi mno
Eee wasukuma tupo juu sana
Pamoja xan anko bhudagala
Kwel huu ni kati za nyimbo zinazonikumbushaga Sana ktk maisha yangu ya yuma niliyoyapitia 2013 na 2014 nikiwa Mc kwenye mashelehe mbalimbali nikijulikana Kama Dj AP from kahama Daah!!
Au sio bc sawa mipia khm ndio home ila dsm nimepo kutafta so desembar tunaenda kuhesabiwa au sio🤣 karbu shunu mwamba
Asahte ndg
Wasukuma tuko wapi like tafadhali jaman au mpak wenzetu nyimbo zao
Mkataa kwao ni masikini wa vyote❤❤❤
Hongera sana kaka yang tunakupenda sana pamoja na nyimb zak unanyimb nzr San hamna nyimb ambao inawakwaza watu. By
Leo tarehe 23/11/2024 kutoka dar es salaam, nyanda nsuguma gete nalilitula hilinili liwimbo lya Ng'wanampelwa atar sana ,mm msukuma kabsa natamba na budagala , wasukuma houeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃
Nakumbuka Babu yangu Mzee kasobi alivo kuwa ananipeleka kwenye matambiko nilipo kuwa mdogo daa kitambo sana jaman,kiiji Cha mulumba kata ya bwina chato
PROUD TO BE SUKUMA TRIBE...!! NO MATTER WAT
Pande za kamsamba umetishaaa bhudagara
kwa kweli bilaa kupepesaa macho na ulimi hii ngomaa ni nzuri na imejaaa ujumbee sanaa
Katika nyimbo za asili zooote hii ni nzuri sana, kijana kajitahidi sana katika video kuitendea haki na audio kaitendea haki sana japokuwa mimi muha wa KIGOMA sielewi anacho zungumzia kwa kisukuma. Nimeelewa sehem ndogo za kiswahili
Pekeyangua: zawad siwez kuwapa sababu mko wengi sana ila nitawaimbia nyimbo nzuri zenye mchanganyiko wa mafundisho mtanikumbuka hata kama sipo
Safi gete ngoshaa@@BertherNgamba
naijoi Sana kaka budagala nyimbo zako mung akuinuwe zaidi
uko vizuri naipenda sana hii nyimbo yako mzee baba kuliko nyimbo zako zote mazingira pia na mlivo vaa umunikumbush home kabisaa
kisukuma
Bhudagala piga Kazi yan kwako hakuna nyimbo mbaya ila zote Kali tu
Jamaa anatalent ya ajabu sana mungu ampe miaka mia nane
nakuelewa Sana KAKA bhudagala
Mungu akutangulie Katika kazi yako ya kipaji chako
Wasukuma tuzisapoti nyimbo zetu tupo wengi sana
We are seeing feathers in backs of dancers. These used to be Ostrich feathers won by band leaders to show how rich they were. It is amazing Bhudagala could afford purchasing feathers for his dancers. I do not remember feathers to be won by women in the 40s and 50s. Usually it was males. Well, during that time women did not have same rights as males although husbands used to obey their wives.
hapo kijana ulifanya kazi nzuli sana
Asili haipotei hongera kaka wane wawiza
Wasukuma tupo❤❤
Wimbo mzur uko vzr sana msukuma wakwetu
Nkhoi gete otungilija, idadilage mpaga bhatumane🤗
Hii nymb inanikumbushaga mbali sana kipnd bad nasoma na kuchung
Nyimbo yangu pendwa yakilamda kilanikiisikia najihixi kamavilenipo nyumbani usukumani🥰🥰🥰🥰
bhudagala ulingosha sana,, ulitutambulisha chizadu abasukuma
Sana kaka nakupenda sana
Nakukubali msukuma mwenzang💕💞💓💓
Proud to be sukuma ❤
Mi sjui kisukuma ila hili homa nimependa biti lake wazeeeee
Imekaa vzr sana bonge la ujumbe!
Nhana tukukwizuka nulu utiho nyanda ng'wana mbelwa..💗
Nafurahishwa na nyimbo zako bwana mdogo
Safi san bhudagara msuma wa sumve
Shiza.no nkoi maronja bhawelage gete tolehigolya no
Vizuri Sana ni Ajira na burudani
Vizuri
nice song budaghala big up sana kaka anguu
upo WP dd ang cku iz
Love
Budagala noma wewe pamoja na kisima muliholola amimbo bagosha ye!
Jmn hyu mzeee yuko wap
So mzee jaman
Mbona kijana kabisa
Mungu akubariki uendelee kuelimisha jamii
Waooh umetisha Sana kakaa
Nakubaliiii Sana blood
Tunao angalia 2025 tujuane
Kitambo sana ila song bado tamu tu 💪💪💪
Kaka pg kazi nymbo nzr xana
kisukuma kipo juu kaka buda
5
Nyimbo nzur xana2
Proud to be SUKUMA woman
Hii ndiyo nyimbo naikubali kuzidi zote
Bhudagala uko juu huna mpinzani
Sana
Hataliiii sanaaaaaaasaa
Nice song ubalikiwe sana kaka yangu mwanamalonja
❤❤❤❤❤❤❤nsukuma nene nabine
Yuuuuuhh aganaya a ma mihayo ganyatale
Kuna wimbo niliusikikiza kitambo kidogo unaitwa Mama God (shratoni) aliimba nani anayejua tafadhali anijulishe
Sawa geeeete
Kiuhalisia uko juu kjna
Vijana hawa wa kisukuma wananipoza moyo sana kwa wimbo wao huu mzuri pamoja na uchezaji wao na setup yote. Kibaya ni kule kujipaka chokaa tu! Sijui wamerekodi Badugu au Mahembe, au Mahaha hivi.
Usibishane na hao wadogo zako ndo kwanza wame jua siku zao hawaelewi we piga kazi yako sisi tuko nyuma yako tuna kutegemea
We noma sana budagala nakuelewa bro pamja xana bonge la intertment
Oya bhudagala hii nyimbo huwa sichoki kuisikiliza
Ndio Sana Sana ❤🐓
It was long journey until now bro together God bless you
Jamaa hua sjui kisukuma ila nyimbo zako zinanipelekaga mbio sjui ni kwanini
Jamaa hua shui kisukuma ila nyimbo zako zinanipelekaga mbio nazipendaga sjui kwann
Kweli kabs mkataakwao nimtumwa
Xana kaka pg kazi
waoooh jamn
tulaga bhabha eng'homa geteee neyo yeeeeeee
who can write same words in swahili to what they day i like it.
Anawatarifu kuwa maonyesha yametamatika wawahi wanawake wawahi nyumbani
Bhawelage abhasheke, milemo duhu
Wabeja gete amimbo gako kalinikumbuja kaya mulungu akulinde nakutogilwe gete
🔥🔥🔥🔥🔥♥️💯 bhdagala
mwana malonjaaaaaa. nanionge ulutebebe
Bhubagala rugembe
Machoki
Jamaa wanikumbusha Mbali sana
Nakubali sana
Beautiful 🎉
Hongera sana budagala
Umejitahd kuimba
bhashiginage ong'wise!!!!
dar nikumbukumbu yangu ya hii nyimbo i love song
🙌🙌💯❤❤
nice song bro budagara
Japo mimi sio msukuma ila mazingira na hali nime kubari sana
Alopiga biti Apewe maua yake
Nakukubali huyo Shinje achana Naye ukimya ni dawa
Uu winbo unamana kubwa sana
Wasukuma hoyeeeee
ubarikiwe kwa kaz yako kaka
safi sana bhudagala!!.
wabeja sana bhudagala
nimependa sana nyimbo ya kwetu Esta Ashely Dar ad ijanija