Bhudagala __ Ng'wanampela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 296

  • @yulithasimon3084
    @yulithasimon3084 6 років тому +19

    mkataa kwao mtumwa, wasukuma oyeee

  • @khaifaabdy4983
    @khaifaabdy4983 2 роки тому +42

    Cjui kisukuma ila tokea day one hii ngoma imepenya kwa sikio langu cjawai isahau 🤗🤗🤗🔥🔥ninacho kijua hapo ni hiyo libava shika kaboke mshoke vinaga shiragaa. (Kwamba wanawake wenye waume wakali warudi nyumbani haraka ngoma imeisha) nakumbuka niliambiwaga ivoh cjui ka niko sahihi ✊✊ ✊

  • @PaulCharles-ox9pg
    @PaulCharles-ox9pg 5 місяців тому +7

    Ludini nyumbani muziki umeisha wasukuma mikono juu nakubali sana nyimbo za kisukuma nyumbani kanda yaziwa

    • @Shabani-x3z
      @Shabani-x3z Місяць тому +1

      Shokagi kayak ludini nyumbani jamani Ngoma imeisha kisukuma laha

  • @FrankjumaNdakama
    @FrankjumaNdakama 11 місяців тому +1

    Ujawahi ferii shemeji yanguu 💐🥀🔥💯💯💯

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 10 місяців тому +11

    Mie Sio msukuma ila napenda sana kusikiliza nyimbo za kisukuma japo sizielewi love much from Singida 💯❤️❤️

  • @Chemagombe
    @Chemagombe 5 місяців тому +6

    Hii nyimbo naipenda sana kwa siku lazima niisikilize maratatu na mm ni mtu wa tanga nacho elewa apo ni mwanamke akipata mwanaume mkali arudi nyumbani au nimekosea jaman

  • @sporahsende4187
    @sporahsende4187 3 роки тому +6

    Yaan navoupenda huu wimbo daaah! Kila nikiuckia nahc nimefka usukuma

  • @vincentyusiliki6409
    @vincentyusiliki6409 3 роки тому +5

    Membo masonga gasangije ni lange🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EliasMatias-w7o
    @EliasMatias-w7o 6 місяців тому +2

    Nakumbuka mbli sana nikiwa na mam angu mungu alikupenda zaid I miss mam

  • @simonmartinekombe7031
    @simonmartinekombe7031 3 роки тому +9

    Anaimba hv, wamama wote warud mapema waendapo kwenye ngoma jua linapozama, lasivyo watakuta waume zao wamenuna, pia wamebaki na kaptla kama mzinz anapta drshan so wawah maana wataachka

  • @angelobundala3468
    @angelobundala3468 Рік тому +8

    Huyuu ndo mwanzilishi wa revolution ya nyimbo za asili kwa lugha ya kisukuma

    • @AlphonceMayala
      @AlphonceMayala 6 місяців тому

      Siyo huyu walikuwepo

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 Місяць тому

      kina malingita Na wengne kama yule aliimbaga mashikolo mageni
      Nagaja mjini mwaka tusini😂​@@AlphonceMayala

  • @dottopetro9899
    @dottopetro9899 2 роки тому +4

    Saf sana nakubali kaka

  • @cammycamilius6856
    @cammycamilius6856 2 роки тому +5

    Mimi ni mpogoro wa morogoro but bhudaghala is my favorite

  • @ellysallys7033
    @ellysallys7033 7 років тому +6

    asante sana kwa nyimbo zako kaka ushauli wangu tembelea nahuku morogoro wasukuma wapo wengi mno

  • @samwellucas8375
    @samwellucas8375 4 роки тому +4

    Eee wasukuma tupo juu sana

  • @adammbogolotz9871
    @adammbogolotz9871 2 роки тому +7

    Kwel huu ni kati za nyimbo zinazonikumbushaga Sana ktk maisha yangu ya yuma niliyoyapitia 2013 na 2014 nikiwa Mc kwenye mashelehe mbalimbali nikijulikana Kama Dj AP from kahama Daah!!

    • @alphoncemayala4214
      @alphoncemayala4214 2 роки тому +2

      Au sio bc sawa mipia khm ndio home ila dsm nimepo kutafta so desembar tunaenda kuhesabiwa au sio🤣 karbu shunu mwamba

    • @adammbogolotz9871
      @adammbogolotz9871 Рік тому

      Asahte ndg

  • @DavidyRodda
    @DavidyRodda Рік тому +28

    Wasukuma tuko wapi like tafadhali jaman au mpak wenzetu nyimbo zao

  • @JohariRamadhan-m1g
    @JohariRamadhan-m1g 9 місяців тому +1

    Mkataa kwao ni masikini wa vyote❤❤❤

  • @rashidngotwike
    @rashidngotwike 7 місяців тому

    Hongera sana kaka yang tunakupenda sana pamoja na nyimb zak unanyimb nzr San hamna nyimb ambao inawakwaza watu. By

  • @Dober766
    @Dober766 2 місяці тому +5

    Leo tarehe 23/11/2024 kutoka dar es salaam, nyanda nsuguma gete nalilitula hilinili liwimbo lya Ng'wanampelwa atar sana ,mm msukuma kabsa natamba na budagala , wasukuma houeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺💃💃💃💃

  • @KasobiHatari
    @KasobiHatari 8 місяців тому +1

    Nakumbuka Babu yangu Mzee kasobi alivo kuwa ananipeleka kwenye matambiko nilipo kuwa mdogo daa kitambo sana jaman,kiiji Cha mulumba kata ya bwina chato

  • @gilbertwillium8683
    @gilbertwillium8683 2 роки тому +8

    PROUD TO BE SUKUMA TRIBE...!! NO MATTER WAT

  • @sisterzumba1158
    @sisterzumba1158 3 роки тому +1

    Pande za kamsamba umetishaaa bhudagara

  • @martineluhumbika6571
    @martineluhumbika6571 2 роки тому +1

    kwa kweli bilaa kupepesaa macho na ulimi hii ngomaa ni nzuri na imejaaa ujumbee sanaa

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 роки тому +16

    Katika nyimbo za asili zooote hii ni nzuri sana, kijana kajitahidi sana katika video kuitendea haki na audio kaitendea haki sana japokuwa mimi muha wa KIGOMA sielewi anacho zungumzia kwa kisukuma. Nimeelewa sehem ndogo za kiswahili

    • @BertherNgamba
      @BertherNgamba 3 місяці тому +1

      Pekeyangua: zawad siwez kuwapa sababu mko wengi sana ila nitawaimbia nyimbo nzuri zenye mchanganyiko wa mafundisho mtanikumbuka hata kama sipo

    • @Dober766
      @Dober766 2 місяці тому

      Safi gete ngoshaa​@@BertherNgamba

  • @minzajoji9231
    @minzajoji9231 8 років тому +11

    naijoi Sana kaka budagala nyimbo zako mung akuinuwe zaidi

    • @brunoemmanuel8142
      @brunoemmanuel8142 5 років тому

      uko vizuri naipenda sana hii nyimbo yako mzee baba kuliko nyimbo zako zote mazingira pia na mlivo vaa umunikumbush home kabisaa

    • @chugachuga7519
      @chugachuga7519 5 років тому

      kisukuma

  • @ernestmosesi215
    @ernestmosesi215 7 років тому +2

    Bhudagala piga Kazi yan kwako hakuna nyimbo mbaya ila zote Kali tu

  • @cosmasmakelelo6279
    @cosmasmakelelo6279 6 років тому +1

    Jamaa anatalent ya ajabu sana mungu ampe miaka mia nane

  • @muyakulwa6703
    @muyakulwa6703 8 років тому +3

    nakuelewa Sana KAKA bhudagala
    Mungu akutangulie Katika kazi yako ya kipaji chako

  • @MaseleAloyce
    @MaseleAloyce 9 місяців тому +2

    Wasukuma tuzisapoti nyimbo zetu tupo wengi sana

  • @pmbalele
    @pmbalele 6 років тому +14

    We are seeing feathers in backs of dancers. These used to be Ostrich feathers won by band leaders to show how rich they were. It is amazing Bhudagala could afford purchasing feathers for his dancers. I do not remember feathers to be won by women in the 40s and 50s. Usually it was males. Well, during that time women did not have same rights as males although husbands used to obey their wives.

  • @MayomboMatata-g9b
    @MayomboMatata-g9b Місяць тому

    hapo kijana ulifanya kazi nzuli sana

  • @florajoseph4406
    @florajoseph4406 3 роки тому

    Asili haipotei hongera kaka wane wawiza

  • @MaryamuJuma-y8i
    @MaryamuJuma-y8i 2 місяці тому

    Wasukuma tupo❤❤

  • @jamespaulo5837
    @jamespaulo5837 8 місяців тому

    Wimbo mzur uko vzr sana msukuma wakwetu

  • @nyanda427
    @nyanda427 8 років тому +7

    Nkhoi gete otungilija, idadilage mpaga bhatumane🤗

  • @GumadaBahati
    @GumadaBahati 9 місяців тому +1

    Hii nymb inanikumbushaga mbali sana kipnd bad nasoma na kuchung

  • @PascalJems
    @PascalJems Рік тому +1

    Nyimbo yangu pendwa yakilamda kilanikiisikia najihixi kamavilenipo nyumbani usukumani🥰🥰🥰🥰

  • @kayukayu4638
    @kayukayu4638 9 років тому +4

    bhudagala ulingosha sana,, ulitutambulisha chizadu abasukuma

  • @neditheboy7476
    @neditheboy7476 6 років тому +2

    Sana kaka nakupenda sana

  • @RehemaBundala-p6b
    @RehemaBundala-p6b 5 місяців тому

    Nakukubali msukuma mwenzang💕💞💓💓

  • @JaphethKazungu-f3g
    @JaphethKazungu-f3g 2 місяці тому +1

    Proud to be sukuma ❤

  • @mgogobeleko1411
    @mgogobeleko1411 2 місяці тому

    Mi sjui kisukuma ila hili homa nimependa biti lake wazeeeee

  • @isaacklazaro3780
    @isaacklazaro3780 8 років тому +2

    Imekaa vzr sana bonge la ujumbe!

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 6 років тому +6

    Nhana tukukwizuka nulu utiho nyanda ng'wana mbelwa..💗

  • @MERICKMHILYUNGU
    @MERICKMHILYUNGU 8 місяців тому

    Nafurahishwa na nyimbo zako bwana mdogo

  • @thobiackiloga2454
    @thobiackiloga2454 6 років тому +1

    Safi san bhudagara msuma wa sumve

    • @fridaally6739
      @fridaally6739 4 роки тому

      Shiza.no nkoi maronja bhawelage gete tolehigolya no

  • @nkwabimazemle7996
    @nkwabimazemle7996 3 роки тому +2

    Vizuri Sana ni Ajira na burudani
    Vizuri

  • @nshomazbaby2049
    @nshomazbaby2049 7 років тому +5

    nice song budaghala big up sana kaka anguu

  • @masomesayi5446
    @masomesayi5446 Рік тому

    Budagala noma wewe pamoja na kisima muliholola amimbo bagosha ye!

  • @Isackkayanda
    @Isackkayanda 3 місяці тому

    Jmn hyu mzeee yuko wap

  • @bunzaliyunge5117
    @bunzaliyunge5117 8 років тому +1

    Mungu akubariki uendelee kuelimisha jamii

  • @annalucas2430
    @annalucas2430 4 роки тому

    Waooh umetisha Sana kakaa

  • @mabinamsoja4849
    @mabinamsoja4849 Рік тому

    Nakubaliiii Sana blood

  • @AlexShija-j4e
    @AlexShija-j4e 17 днів тому +2

    Tunao angalia 2025 tujuane

  • @sabatopeter8514
    @sabatopeter8514 3 роки тому +1

    Kitambo sana ila song bado tamu tu 💪💪💪

  • @henelickoaizaki251
    @henelickoaizaki251 2 роки тому

    Kaka pg kazi nymbo nzr xana

  • @jamesmihayo4847
    @jamesmihayo4847 8 років тому +11

    kisukuma kipo juu kaka buda

  • @MarcoSeneda
    @MarcoSeneda 8 місяців тому

    Nyimbo nzur xana2

  • @lydiabuyungu5117
    @lydiabuyungu5117 3 роки тому +8

    Proud to be SUKUMA woman

  • @daudijohn8416
    @daudijohn8416 2 роки тому +2

    Hii ndiyo nyimbo naikubali kuzidi zote

  • @ngoshahalaja4677
    @ngoshahalaja4677 3 роки тому

    Bhudagala uko juu huna mpinzani

  • @hamisssebo4169
    @hamisssebo4169 2 роки тому

    Hataliiii sanaaaaaaasaa

  • @pendoabeli1801
    @pendoabeli1801 2 роки тому

    Nice song ubalikiwe sana kaka yangu mwanamalonja

  • @maryamChumas
    @maryamChumas 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤nsukuma nene nabine

  • @sophialimo5112
    @sophialimo5112 7 років тому +1

    Yuuuuuhh aganaya a ma mihayo ganyatale

  • @kusekwamaisha1119
    @kusekwamaisha1119 3 роки тому +1

    Kuna wimbo niliusikikiza kitambo kidogo unaitwa Mama God (shratoni) aliimba nani anayejua tafadhali anijulishe

  • @warumiclassicsingers
    @warumiclassicsingers 4 роки тому

    Kiuhalisia uko juu kjna

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 6 років тому

    Vijana hawa wa kisukuma wananipoza moyo sana kwa wimbo wao huu mzuri pamoja na uchezaji wao na setup yote. Kibaya ni kule kujipaka chokaa tu! Sijui wamerekodi Badugu au Mahembe, au Mahaha hivi.

  • @barakasilas9891
    @barakasilas9891 5 років тому +3

    Usibishane na hao wadogo zako ndo kwanza wame jua siku zao hawaelewi we piga kazi yako sisi tuko nyuma yako tuna kutegemea

  • @sporttv5033
    @sporttv5033 8 років тому +3

    We noma sana budagala nakuelewa bro pamja xana bonge la intertment

    • @michaelpeter8948
      @michaelpeter8948 2 роки тому

      Oya bhudagala hii nyimbo huwa sichoki kuisikiliza

  • @MussaMagumba
    @MussaMagumba Рік тому

    Ndio Sana Sana ❤🐓

  • @RobertEliasiMnyara
    @RobertEliasiMnyara Рік тому

    It was long journey until now bro together God bless you

  • @barakasilas9891
    @barakasilas9891 5 років тому +1

    Jamaa hua sjui kisukuma ila nyimbo zako zinanipelekaga mbio sjui ni kwanini

  • @barakasilas9891
    @barakasilas9891 5 років тому

    Jamaa hua shui kisukuma ila nyimbo zako zinanipelekaga mbio nazipendaga sjui kwann

  • @YusuphuDaniel-c5b
    @YusuphuDaniel-c5b Рік тому

    Kweli kabs mkataakwao nimtumwa

  • @henelickoaizaki251
    @henelickoaizaki251 2 роки тому

    Xana kaka pg kazi

  • @mathiasraymond-r9r
    @mathiasraymond-r9r 6 місяців тому

    waoooh jamn

  • @josephmaunde3695
    @josephmaunde3695 7 років тому +1

    tulaga bhabha eng'homa geteee neyo yeeeeeee

  • @ericnitunga4346
    @ericnitunga4346 6 років тому +9

    who can write same words in swahili to what they day i like it.

    • @masalujoseph5955
      @masalujoseph5955 4 роки тому +1

      Anawatarifu kuwa maonyesha yametamatika wawahi wanawake wawahi nyumbani

  • @victormalando3095
    @victormalando3095 6 років тому +1

    Bhawelage abhasheke, milemo duhu

  • @monicajohn2463
    @monicajohn2463 6 років тому

    Wabeja gete amimbo gako kalinikumbuja kaya mulungu akulinde nakutogilwe gete

  • @frankjohn6963
    @frankjohn6963 4 роки тому +2

    🔥🔥🔥🔥🔥♥️💯 bhdagala

  • @meshackrobert853
    @meshackrobert853 8 років тому +4

    mwana malonjaaaaaa. nanionge ulutebebe

  • @lucasmodrich7414
    @lucasmodrich7414 6 років тому

    Jamaa wanikumbusha Mbali sana

  • @EliasAdrino
    @EliasAdrino 3 місяці тому

    Nakubali sana

  • @guyogalana2865
    @guyogalana2865 8 місяців тому

    Beautiful 🎉

  • @emmanuelbujiku8141
    @emmanuelbujiku8141 3 роки тому

    Hongera sana budagala

  • @mgendimarwa7129
    @mgendimarwa7129 5 років тому +1

    Umejitahd kuimba

  • @geraldmganga2213
    @geraldmganga2213 6 років тому +2

    bhashiginage ong'wise!!!!

  • @yahayaalex6605
    @yahayaalex6605 6 років тому

    dar nikumbukumbu yangu ya hii nyimbo i love song

  • @ZeibyImmanuel-wg2qy
    @ZeibyImmanuel-wg2qy 2 місяці тому +1

    🙌🙌💯❤❤

  • @yusuphpeter6716
    @yusuphpeter6716 6 років тому +1

    nice song bro budagara

  • @barakasilas9891
    @barakasilas9891 5 років тому +1

    Japo mimi sio msukuma ila mazingira na hali nime kubari sana

  • @michaelelias382
    @michaelelias382 5 місяців тому +1

    Alopiga biti Apewe maua yake

  • @lauriansimon2566
    @lauriansimon2566 5 років тому

    Nakukubali huyo Shinje achana Naye ukimya ni dawa

  • @BertherNgamba
    @BertherNgamba 3 місяці тому

    Uu winbo unamana kubwa sana

  • @yohanafumbuka1979
    @yohanafumbuka1979 2 місяці тому

    Wasukuma hoyeeeee

  • @mariamnyerere7499
    @mariamnyerere7499 7 років тому

    ubarikiwe kwa kaz yako kaka

  • @frenkgituwi196
    @frenkgituwi196 7 років тому

    safi sana bhudagala!!.

    • @longstar7390
      @longstar7390 6 років тому

      wabeja sana bhudagala

    • @longstar7390
      @longstar7390 6 років тому

      nimependa sana nyimbo ya kwetu Esta Ashely Dar ad ijanija