Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏
Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze
Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni
Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.
Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏
Ukweli upi ? Kwamba dawa za nywele ni mimba changa? Hereni ni milango ya kuzimu? Mikufu ni milango ya kuzimu? Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao
Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina
Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.
In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!
Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko
Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe
Kaongeya tu mambo hayaeleweki hata kidogo utamaliziya kesho kwa nini mafuta ya nyele n'a mimba binakutana wapi omba Roho wa Mungu akupe maneno ya kuhubiri ndugu
wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
Hujambo mchungaji, nakufata toka Congo(DRC) Yale unasema ni ukweli kabisa Bwana Yesu atusaidiye saana. Endeleeni kusema ukweli ili nafsi za watu ziokolewe, hasa wanawake.
Yaani we MTU wa MUNGU ubalikiwe mnooo na MUNGU ALINDE FAMILIA YAKO AAA HAYA NDO MANENO YA MUNGU WETU ALIE HAI shetani Hana ADABU anatutesa mno na madhambi haya KUVAA miwigi milangi na nikope na nguo za ajabu WW MTU WA MUNGU ULINDWE SANA
BARIKIWA mtumishi, unatufundisha mambo magumu HAYA YOTE tusiyofundishwa hata MAKANISANI kwetu SABABU hata wachungaji wanawake WENGI wanajipanda kunzia kichwani hadi miguuni na mavazi kama ya mfalme Zumaridi. Yy naye haelewi haya, MBONA na wengine wanakula manyasi. Oooh jamani tuombeane!
Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,
Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa
Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa
Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo
Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏
Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze
Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai
Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana
Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee
Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote
Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni
Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno
Amen
Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏
Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli
Amen Amen powerful preaching 🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.
Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen
Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya
Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa
Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana
Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki
Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️
Ukweli upi ?
Kwamba dawa za nywele ni mimba changa?
Hereni ni milango ya kuzimu?
Mikufu ni milango ya kuzimu?
Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao
Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao
Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.
Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏
amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana
Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !
Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina
AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.
Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.
Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv
Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏
Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar
Barikiwaaaa
Kwakweli mungu atusaidie
Ameen ameeen ameen
Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe
Amina Mungu yupo tuwe makini sana
In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!
Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho
Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania
Mungu akuongeze nguvu
Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea
Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro
Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu
Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.
Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone
ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu
Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko
Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe
Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta
Duuuh!!, Yesu utusaidie kwakweli maana Kwa akili zetu za kibinadam ni ngum
Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian
Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%
Kaongeya tu mambo hayaeleweki hata kidogo utamaliziya kesho kwa nini mafuta ya nyele n'a mimba binakutana wapi omba Roho wa Mungu akupe maneno ya kuhubiri ndugu
Utamuelewa tu kwa hayohayo mahubir
Amen mtumishi
wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
Amen amen glory to Jesus
Amen amen 🙏
Hujambo mchungaji, nakufata toka Congo(DRC) Yale unasema ni ukweli kabisa Bwana Yesu atusaidiye saana. Endeleeni kusema ukweli ili nafsi za watu ziokolewe, hasa wanawake.
Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa
Yaani we MTU wa MUNGU ubalikiwe mnooo na MUNGU ALINDE FAMILIA YAKO AAA HAYA NDO MANENO YA MUNGU WETU ALIE HAI shetani Hana ADABU anatutesa mno na madhambi haya KUVAA miwigi milangi na nikope na nguo za ajabu WW MTU WA MUNGU ULINDWE SANA
Fanya kazi yako alie kutuma mungu
Hongera mtumishi kwakusema ukweli
Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝
Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa
Usiongope kaka au dada maana hawoo wanafiki kunamusho Mungu anajuwa mudaa hii kwaiyo anajichia tu ili sisi tupatee changamoto
Ameen ameen and ameen
Amen 🙏
Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi
Liko kanisa linalokwenda mbinguni na lipo kanisa litakalo baki duniani.
Mungu muumba wa vitu vyote atulinde
mungu akibaliki
Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie
Amen amen and amen 🙏
Amen amen and amen
Mungu akushindinye baba
Amen MUNGU akufiche
Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu
Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni
Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie
Mungu atusamehe sana jaman
Mungu atuwezeshe sote wana wake
Be blessed bro
Ubarikiwe una Sema kweli
Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌
Barikiwa mtumishi
Barikiwa baba
BARIKIWA mtumishi, unatufundisha mambo magumu HAYA YOTE tusiyofundishwa hata MAKANISANI kwetu SABABU hata wachungaji wanawake WENGI wanajipanda kunzia kichwani hadi miguuni na mavazi kama ya mfalme Zumaridi. Yy naye haelewi haya, MBONA na wengine wanakula manyasi. Oooh jamani tuombeane!
Ameni🙏🙏🙏🙏💪
Mubalikiwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shamba la babu la katani Mungu tusamhee
Sema tupone Ameena
Neno katika ufunuo 13;.. linasema tokeni kwake,ili msishiriki naye kutenda dhambi
Amina mtumishi
Amen amen Mtumishi 🙏🏿🙏🏿
La ë mungu tusaidie
MUNGU akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo uendeleye kusema kweli .