MILANGO YA KUINGILIA MAPEPO MAJINI MSHETANI EV PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2022
  • #paschalcassian #call0688199370 #watsp_status #

КОМЕНТАРІ • 226

  • @benithomligo9074
    @benithomligo9074 Рік тому +30

    Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,

    • @furahajastin8649
      @furahajastin8649 Рік тому

      Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa

    • @elizathomas7442
      @elizathomas7442 Рік тому +1

      Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa

    • @FrankwasafiJustin-fn6pm
      @FrankwasafiJustin-fn6pm Рік тому +2

      Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 12 днів тому

    Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 Рік тому +8

    Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @MorineKamwera
    @MorineKamwera 5 місяців тому +1

    Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @christopherkaroli9365
    @christopherkaroli9365 Рік тому +4

    Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.

  • @honeyshemweta1166
    @honeyshemweta1166 Рік тому +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze

  • @irenejoram8687
    @irenejoram8687 21 день тому

    Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @jemaluvanda9443
    @jemaluvanda9443 Рік тому +2

    Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 Рік тому +4

    Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Рік тому +2

    Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote

  • @christinamkongwa3407
    @christinamkongwa3407 Рік тому +2

    Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni

  • @ayubujoseph
    @ayubujoseph Рік тому +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.

  • @advelalumanyika5754
    @advelalumanyika5754 Рік тому +5

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno

  • @AnneCherotich-gj9eg
    @AnneCherotich-gj9eg Рік тому

    Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 Рік тому +2

    Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Рік тому +4

    Amen Amen powerful preaching 🙏

  • @pastorisraelhaki3426
    @pastorisraelhaki3426 Рік тому +1

    Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.

  • @bahatikinyamagoha3703
    @bahatikinyamagoha3703 Рік тому +1

    Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen

  • @simonlaizer6261
    @simonlaizer6261 Рік тому +1

    Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya

  • @annerdograsipetro4941
    @annerdograsipetro4941 Рік тому +2

    Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa

  • @mauwasafi3430
    @mauwasafi3430 11 днів тому

    Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana

  • @kaburajeanmarie1030
    @kaburajeanmarie1030 Рік тому +1

    Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki

  • @kassebo
    @kassebo Рік тому +4

    Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️

    • @apostlej.rministiryprophet2219
      @apostlej.rministiryprophet2219 Рік тому

      Ukweli upi ?
      Kwamba dawa za nywele ni mimba changa?
      Hereni ni milango ya kuzimu?
      Mikufu ni milango ya kuzimu?
      Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao

  • @thomasmtindya6477
    @thomasmtindya6477 Рік тому +1

    Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao

  • @irenekiwale5352
    @irenekiwale5352 Рік тому +2

    Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 Рік тому +1

    Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏

  • @francischipangapole7671
    @francischipangapole7671 Рік тому +2

    amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 Рік тому +2

    Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn
    @ElishaMwashiuya-rz4dn Рік тому

    Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina

  • @marianapeter861
    @marianapeter861 Рік тому +2

    AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 Рік тому

    Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.

  • @macrinycostantine4821
    @macrinycostantine4821 Рік тому

    Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv

  • @veronikampate9848
    @veronikampate9848 Рік тому +1

    Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 Рік тому +2

    Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Рік тому +1

    mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @EmmanuelMwangesile-gb8iq
    @EmmanuelMwangesile-gb8iq 9 місяців тому

    Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar

  • @braysondamson5969
    @braysondamson5969 Рік тому +5

    Barikiwaaaa

  • @Joelhaongaofficial
    @Joelhaongaofficial Рік тому +5

    Ameen ameeen ameen

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 Рік тому +4

    Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe

  • @janeyhaule809
    @janeyhaule809 Рік тому +1

    Amina Mungu yupo tuwe makini sana

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Рік тому

    In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Рік тому +1

    Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho

  • @fredykisamu9156
    @fredykisamu9156 Рік тому +1

    Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania

  • @musafiribahati8295
    @musafiribahati8295 Рік тому +1

    Mungu akuongeze nguvu

  • @MsafiliPascal
    @MsafiliPascal 5 місяців тому

    Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea

  • @HellenBotondo-gd9wx
    @HellenBotondo-gd9wx Рік тому

    Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro

  • @johnmuhagama6291
    @johnmuhagama6291 Рік тому +1

    Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Рік тому +3

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Рік тому +1

    Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.

  • @AishaEduardMbwambo-ux2dp
    @AishaEduardMbwambo-ux2dp Рік тому

    Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Рік тому

    ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu

  • @AnithaNgobya-vi2nc
    @AnithaNgobya-vi2nc Рік тому

    Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 Рік тому

    Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c Рік тому

    Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta

  • @upendoupendo4622
    @upendoupendo4622 Рік тому +3

    Duuuh!!, Yesu utusaidie kwakweli maana Kwa akili zetu za kibinadam ni ngum

  • @VictorPenti-kx3of
    @VictorPenti-kx3of Рік тому

    Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian

  • @farajafleva
    @farajafleva Рік тому

    Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%

  • @ntabyoetienne2508
    @ntabyoetienne2508 Рік тому +2

    Kaongeya tu mambo hayaeleweki hata kidogo utamaliziya kesho kwa nini mafuta ya nyele n'a mimba binakutana wapi omba Roho wa Mungu akupe maneno ya kuhubiri ndugu

  • @mamichiza9172
    @mamichiza9172 Рік тому +2

    Amen mtumishi

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Рік тому

    wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 Рік тому +1

    Amen amen glory to Jesus

  • @joselynendamage8712
    @joselynendamage8712 Рік тому +5

    Amen amen 🙏

  • @guediamulimbi2204
    @guediamulimbi2204 Рік тому +3

    Hujambo mchungaji, nakufata toka Congo(DRC) Yale unasema ni ukweli kabisa Bwana Yesu atusaidiye saana. Endeleeni kusema ukweli ili nafsi za watu ziokolewe, hasa wanawake.

  • @joelleligate8586
    @joelleligate8586 Рік тому

    Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Рік тому +1

    Yaani we MTU wa MUNGU ubalikiwe mnooo na MUNGU ALINDE FAMILIA YAKO AAA HAYA NDO MANENO YA MUNGU WETU ALIE HAI shetani Hana ADABU anatutesa mno na madhambi haya KUVAA miwigi milangi na nikope na nguo za ajabu WW MTU WA MUNGU ULINDWE SANA

  • @AndreaMsemwa
    @AndreaMsemwa 2 місяці тому

    Fanya kazi yako alie kutuma mungu

  • @shukranimwanawanyali5168
    @shukranimwanawanyali5168 Рік тому

    Hongera mtumishi kwakusema ukweli

  • @joshuwazaningo2101
    @joshuwazaningo2101 Рік тому +1

    Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝

  • @servantmichael73
    @servantmichael73 Рік тому

    Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 24 дні тому

    Usiongope kaka au dada maana hawoo wanafiki kunamusho Mungu anajuwa mudaa hii kwaiyo anajichia tu ili sisi tupatee changamoto

  • @lilianwanjala8728
    @lilianwanjala8728 Рік тому +1

    Ameen ameen and ameen

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Рік тому +4

    Amen 🙏

  • @shantaleasanimatu6682
    @shantaleasanimatu6682 Рік тому

    Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi

  • @edwinmbwilo6128
    @edwinmbwilo6128 Рік тому +4

    Liko kanisa linalokwenda mbinguni na lipo kanisa litakalo baki duniani.

  • @msuvasimon557
    @msuvasimon557 Рік тому

    Mungu muumba wa vitu vyote atulinde

  • @robartmaiko7759
    @robartmaiko7759 Рік тому +2

    mungu akibaliki

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Рік тому +1

    Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie

  • @leontinamujinga8937
    @leontinamujinga8937 Рік тому +4

    Amen amen and amen 🙏

  • @BetinaMwaijengo
    @BetinaMwaijengo 2 місяці тому

    Mungu akushindinye baba

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 Рік тому

    Amen MUNGU akufiche

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 Рік тому

    Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu

  • @aliaalia
    @aliaalia Рік тому

    Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m Рік тому

    Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Рік тому

    Mungu atusamehe sana jaman

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 Рік тому

    Mungu atuwezeshe sote wana wake

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Рік тому

    Be blessed bro

  • @user-di6gq1qi6w
    @user-di6gq1qi6w 4 місяці тому

    Ubarikiwe una Sema kweli

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Рік тому

    Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌

  • @tukumbukegebhusega6716
    @tukumbukegebhusega6716 Рік тому

    Barikiwa mtumishi

  • @jeanbosco7866
    @jeanbosco7866 Рік тому

    Barikiwa baba

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Рік тому

    BARIKIWA mtumishi, unatufundisha mambo magumu HAYA YOTE tusiyofundishwa hata MAKANISANI kwetu SABABU hata wachungaji wanawake WENGI wanajipanda kunzia kichwani hadi miguuni na mavazi kama ya mfalme Zumaridi. Yy naye haelewi haya, MBONA na wengine wanakula manyasi. Oooh jamani tuombeane!

  • @rehemadeus
    @rehemadeus Рік тому +1

    Ameni🙏🙏🙏🙏💪

  • @LukasiMganga
    @LukasiMganga 2 місяці тому

    Mubalikiwa

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 9 місяців тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 shamba la babu la katani Mungu tusamhee

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i 4 місяці тому

    Sema tupone Ameena

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Рік тому +1

    Neno katika ufunuo 13;.. linasema tokeni kwake,ili msishiriki naye kutenda dhambi

  • @esterwilson5813
    @esterwilson5813 Рік тому

    Amina mtumishi

  • @neemanabwangu1469
    @neemanabwangu1469 Рік тому +4

    Amen amen Mtumishi 🙏🏿🙏🏿

  • @isacksimonmahungilo
    @isacksimonmahungilo Рік тому

    La ë mungu tusaidie

  • @PatientMusaada
    @PatientMusaada 10 днів тому

    MUNGU akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo uendeleye kusema kweli .