MILANGO YA KUINGILIA MAPEPO MAJINI MSHETANI EV PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 248

  • @MorineKamwera
    @MorineKamwera 11 місяців тому +5

    Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RubazaReuben
    @RubazaReuben 23 дні тому +1

    Amen Kubwa mkono wa Mungu ue juu yako Kila mahali

  • @benithomligo9074
    @benithomligo9074 2 роки тому +37

    Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,

    • @furahajastin8649
      @furahajastin8649 2 роки тому +2

      Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa

    • @elizathomas7442
      @elizathomas7442 Рік тому +1

      Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa

    • @FrankwasafiJustin-fn6pm
      @FrankwasafiJustin-fn6pm Рік тому +3

      Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 4 місяці тому

      Ameeeeeeeeeeeen mie uwa nafurahii sana Shetan anahaibika

  • @AnneCherotich-gj9eg
    @AnneCherotich-gj9eg Рік тому +4

    Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏

  • @jemaluvanda9443
    @jemaluvanda9443 2 роки тому +2

    Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana

  • @rosemerycharles
    @rosemerycharles 4 місяці тому +1

    Utunzwe na BWANA mtumishi kwa kazi yako ya kusema injili ya kweli ya MUNGU

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 6 місяців тому +1

    Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏

  • @veronicajonas-j1k
    @veronicajonas-j1k 18 днів тому

    Sema mtumishi tupone 🤲🤲

  • @honeyshemweta1166
    @honeyshemweta1166 2 роки тому +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 2 роки тому +5

    Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee

  • @thomasmtindya6477
    @thomasmtindya6477 2 роки тому +1

    Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao

  • @macrinycostantine4821
    @macrinycostantine4821 Рік тому

    Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv

  • @musafiribahati8295
    @musafiribahati8295 Рік тому +1

    Mungu akuongeze nguvu

  • @annerdograsipetro4941
    @annerdograsipetro4941 2 роки тому +3

    Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa

  • @simonlaizer6261
    @simonlaizer6261 Рік тому +1

    Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya

  • @LucyMmboga
    @LucyMmboga 4 місяці тому

    Be blessed man of God

  • @ElishaMwashiuya-rz4dn
    @ElishaMwashiuya-rz4dn Рік тому

    Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 Рік тому

    Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.

  • @HellenBotondo-gd9wx
    @HellenBotondo-gd9wx Рік тому

    Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 2 роки тому +8

    Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @advelalumanyika5754
    @advelalumanyika5754 2 роки тому +5

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno

  • @christopherkaroli9365
    @christopherkaroli9365 2 роки тому +4

    Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.

  • @AishaEduardMbwambo-ux2dp
    @AishaEduardMbwambo-ux2dp Рік тому

    Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 2 роки тому +2

    Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 Рік тому +4

    Amen Amen powerful preaching 🙏

  • @JoyceMlelwa-u7g
    @JoyceMlelwa-u7g Місяць тому

    Mtumishi nabarikiwa Sana na huduma unayoifanya, mungu akutie nguvu uzd kusema kwel ktk nyakat
    Hz za hatari tulzonazo

  • @EliyaSimoni-w2m
    @EliyaSimoni-w2m 4 місяці тому

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu

  • @pastorisraelhaki3426
    @pastorisraelhaki3426 Рік тому +1

    Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.

  • @EmelensianMalugu
    @EmelensianMalugu 4 місяці тому

    Mungu akubariki Santa mtumishi was kirsto yesu

  • @neemamvile
    @neemamvile Місяць тому

    Mungu akusaidie mtumishi Tena ubarikiwe

  • @irenejoram8687
    @irenejoram8687 6 місяців тому

    Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @wafiiwaii-v1d
    @wafiiwaii-v1d Місяць тому

    Amen 🙌🙌

  • @janeyhaule809
    @janeyhaule809 Рік тому +1

    Amina Mungu yupo tuwe makini sana

  • @bahatikinyamagoha3703
    @bahatikinyamagoha3703 2 роки тому +1

    Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen

  • @RamazaniSulemani-x5h
    @RamazaniSulemani-x5h Рік тому

    Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta

  • @EmmanuelMwangesile-gb8iq
    @EmmanuelMwangesile-gb8iq Рік тому

    Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar

  • @ASHERIYOSIAANDREA
    @ASHERIYOSIAANDREA 5 місяців тому

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @francischipangapole7671
    @francischipangapole7671 2 роки тому +2

    amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Рік тому

    ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu

  • @mauwasafi3430
    @mauwasafi3430 6 місяців тому

    Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 2 роки тому +2

    Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Рік тому +1

    mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @fredykisamu9156
    @fredykisamu9156 2 роки тому +1

    Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania

  • @AnithaNgobya-vi2nc
    @AnithaNgobya-vi2nc Рік тому

    Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko

  • @owenomwanawayesu6961
    @owenomwanawayesu6961 2 роки тому +2

    Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !

  • @AndreaMsemwa
    @AndreaMsemwa 8 місяців тому

    Fanya kazi yako alie kutuma mungu

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 2 роки тому +1

    Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏

  • @shukranimwanawanyali5168
    @shukranimwanawanyali5168 Рік тому

    Hongera mtumishi kwakusema ukweli

  • @kaburajeanmarie1030
    @kaburajeanmarie1030 2 роки тому

    Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki

  • @kassebo
    @kassebo 2 роки тому +4

    Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️

    • @apostlej.rministiryprophet2219
      @apostlej.rministiryprophet2219 2 роки тому

      Ukweli upi ?
      Kwamba dawa za nywele ni mimba changa?
      Hereni ni milango ya kuzimu?
      Mikufu ni milango ya kuzimu?
      Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 4 місяці тому

      ​@@apostlej.rministiryprophet2219iyo ni Injili siyo Wlimu Hapo Yanii Anaaibishwa Shetani Nanikweri ni Malango KabiSA

  • @VictorPenti-kx3of
    @VictorPenti-kx3of Рік тому

    Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian

  • @msuvasimon557
    @msuvasimon557 Рік тому

    Mungu muumba wa vitu vyote atulinde

  • @servantmichael73
    @servantmichael73 Рік тому

    Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa

  • @ayubujoseph
    @ayubujoseph 2 роки тому +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.

  • @christinamkongwa3407
    @christinamkongwa3407 2 роки тому +2

    Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni

  • @aimeebusime5849
    @aimeebusime5849 Рік тому

    Amen MUNGU akufiche

  • @AlexEduinBitogwa
    @AlexEduinBitogwa 24 дні тому

    Hakika mungu yupo nawewe unahubii injii ngumu kabisa yenye ukweri kabisa mungu akusimamie kabisa

  • @MaselaOmari-z6n
    @MaselaOmari-z6n 11 місяців тому

    Ubarikiwe una Sema kweli

  • @JeremiahMwanjila
    @JeremiahMwanjila Місяць тому

    Kwa Sasa tunaupungufu wa watumishi wenye injili ya kweli kama hii . Uyu mtu napenda huduma yake Yuko vizuri mno

  • @irenekiwale5352
    @irenekiwale5352 2 роки тому +2

    Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.

  • @braysondamson5969
    @braysondamson5969 2 роки тому +5

    Barikiwaaaa

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 2 роки тому +1

    Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.

  • @shantaleasanimatu6682
    @shantaleasanimatu6682 Рік тому

    Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 2 роки тому +3

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu

  • @veronikampate9848
    @veronikampate9848 2 роки тому +1

    Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏

  • @mamichiza9172
    @mamichiza9172 2 роки тому +2

    Amen mtumishi

  • @johnmuhagama6291
    @johnmuhagama6291 2 роки тому +1

    Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat

  • @tukumbukegebhusega6716
    @tukumbukegebhusega6716 2 роки тому

    Barikiwa mtumishi

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 2 роки тому +4

    Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Рік тому

    wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 2 роки тому +1

    Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho

  • @marianapeter861
    @marianapeter861 2 роки тому +2

    AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 2 роки тому

    Mungu atusamehe sana jaman

  • @farajafleva
    @farajafleva 2 роки тому

    Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%

  • @MariaJuma-q2k
    @MariaJuma-q2k Рік тому

    Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie

  • @marytom3886
    @marytom3886 Рік тому

    Twahitaji ukweli Kenya

  • @lilianwanjala8728
    @lilianwanjala8728 2 роки тому +1

    Ameen ameen and ameen

  • @joelleligate8586
    @joelleligate8586 Рік тому

    Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa

  • @kayokasabas7579
    @kayokasabas7579 2 роки тому

    Yah kwel mtumishi

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Рік тому

    In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 2 роки тому +1

    Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie

  • @pavlovbienfait6940
    @pavlovbienfait6940 Рік тому

    Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌

  • @MsafiliPascal
    @MsafiliPascal 11 місяців тому

    Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 2 роки тому +2

    Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.

  • @PauloMelamaGetharo
    @PauloMelamaGetharo 3 місяці тому

    Yaani ni kweli wasabato wamepotoka sana

  • @jumakapesa2940
    @jumakapesa2940 2 роки тому

    Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu

  • @LilianNasike-hx1yw
    @LilianNasike-hx1yw 6 місяців тому

    Amen

  • @joshuwazaningo2101
    @joshuwazaningo2101 2 роки тому +1

    Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝

  • @aliaalia
    @aliaalia Рік тому

    Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni

  • @elizabethphilemon83
    @elizabethphilemon83 2 роки тому

    Mungu awe ngao yako

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 2 роки тому

    Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe

  • @PauloMelamaGetharo
    @PauloMelamaGetharo 3 місяці тому

    Mtumishi kemea sana wasabato wamepoka sana vibaya muno

  • @joselynendamage8712
    @joselynendamage8712 2 роки тому +5

    Amen amen 🙏

  • @robartmaiko7759
    @robartmaiko7759 2 роки тому +2

    mungu akibaliki

  • @LukasiMganga
    @LukasiMganga 9 місяців тому

    Mubalikiwa

  • @rehemadeus
    @rehemadeus 2 роки тому +1

    Ameni🙏🙏🙏🙏💪

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 2 роки тому

    Mungu atuwezeshe sote wana wake

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 2 роки тому +1

    Amen amen glory to Jesus

  • @kassimumganga3962
    @kassimumganga3962 Рік тому

    Kazi nu njema endelea

  • @ZachariaGidion
    @ZachariaGidion 4 місяці тому +1

    Nimependa huo msimao mtumish wa kuzalauliwa hata kutengwa na ndg ni mafundisho Mazur ambayo mwongozo ktk Safar yetu ngum ya kwenda mbingun