Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏
Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze
Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina
Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.
Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko
Ukweli upi ? Kwamba dawa za nywele ni mimba changa? Hereni ni milango ya kuzimu? Mikufu ni milango ya kuzimu? Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao
Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.
Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni
wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!
Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe
Natamani sana Tanzania ingekuwa hata na wasema kweli ya Mungu ata watano walio kama wewe tusinge kuwa hapa tulipo.... maana mda mwingine mpaka nafikiria kuwa hivi Mungu alisha tuacha kwenye nchi hii ...kwa sababu ya uwepo wa Roho zote chafu zitokazo kuzimu... nawaomba sana watanzania wenzangu tushikamane pamoja katika kuiombea nchi yetu ya Tanzania ili istawaliwe na manabii wa uongo na Mungu atawabaliki sana ..Amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Kubwa mkono wa Mungu ue juu yako Kila mahali
Ninani awezaye kunena injili ngumu kama hii kwa kizazi hiki, Mtumishi Mungu akutie nguvu ,
Hakika mtumishi 🌲 wenye matunda ndiyo hupingwao mawe.tufundishe maana tunaangamia kwa kukosa maarifa
Wapo ndo huyo moja wapo mpdwa
Mungu pia akurinde kwa sababu mimi niliona kama hivyo unavyo sema hii injili imenibadirisha maoni na muelekeo
Ameeeeeeeeeeeen mie uwa nafurahii sana Shetan anahaibika
Mchungaji usiwaogope waabudu mapepo au shetani wasikiapo mahubiri mazito, yenye nguvu na ukweli bayana kama huu utakapowafikia .Simama imara na itetee injili ya kweli ya Mwenyezi Mungu kwa kuwa unabii ulioandikwa na kutabiri nyakati umetimia na nyakati hizi ni hatari na za mwisho.Ole mimi nitakaye ghairi injili kama hii kwa maana ipo siku,injili hii haitakuwepo tena.Thank you Lord for using your servant in a very special way amen. 🙏
Ubarikiwe mtumishii namm nlkuwa uko lakin tang naskiliza mahubiri nmebadrika Mung akubarikii sana
Utunzwe na BWANA mtumishi kwa kazi yako ya kusema injili ya kweli ya MUNGU
Barikiwa mtumishi. Sio wengi wanakwenda vivijini kuhubiri kwa kuwa hakuna sadaka. Lkn wewe unahubiri neno la uzima na wala sio maokoto. Hakika barikiwa na Bwana wetu YESU KRISTO MNAZARET ALIYE HAI. AMEN.🙏
Sema mtumishi tupone 🤲🤲
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU sema kweli yote wengi watakushambulia lkn kaza buti BWANA YESU yupo pamoja nawe, achana nao wanaotaka mafundisho yakubembeleza pasuaaah Mimi nakukubali sana. MUNGU akutunze
Yes pascal wewe ni Mhubiri wa kweli! Mola akutangulie, akutetee
Mungu akulinde kila wanao kuwazia mabaya Mungu akawageuzie kibao
Hakika namshukuru Mungu kwakwel urembo umenipita kushoto nilitobolewa ckio kbl cjajitambua nikatoboa pua ila cjui kuvaa heren wala kipini Mungu atutie nguv
Mungu akuongeze nguvu
Mtumishi nakuelewa sana Mungu azidi kukuinua unatufundisha vitu ambavyo atujawai kufundishwa
Asanteeeeeh 🙏 bwana yesu Kwa kuwafunuli watumishi wako mambo haya
Be blessed man of God
Mungu akubalik sana maana kizaz hik hakuna awezae kuhubli injli iliyo kwel , nakwambia ukweli kwamba atatokea mutu wa kuhubli kweli tena Hadi kizaz chako Cha nne4 hatakama utajua haupo utaona huko uliko, mungu akubalik milele amina
Kweli kuna tamaa kusikia injili. Waone vile watoto, wazazi mpaka watoto wachanga wamesimama kusikiliza ujumbe. Ah Yesu mwokozi tusamee dhambi kwa hisani yako. Naomba msamaa.
Mungu atusaidie jaman shetanmbunifu lakin tumuombe mungu atuponye nahaya Hellen butondo mikese moro
Ameeen, Ameen mwinjilist, nakupata vyema sana, mungu azidi kukaa ndani mwako na kukufumulia zaidi, acha tumushukuru kwa makuu yake, alikua na kusudi kukutoa pale na kukurudisha kwake ili uponye roho zilizo kaa kwa giza, Amen barikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU unanibariki mnoo kwa neno
Amen
Mtumishi wa Mungu anayehubiri kweli ya neno la Mungu anajulikana tu, Mungu akutie nguvu mtumishi uendelee kuinena kweli yote.
Yesu akulinde nakukufiche kwenye mbavu zake shetani asikuone
Mungu akutie nguvu mtumish wa Mungu, najua unapitia wakati mgumu katika kazi hii Mungu akutie nguvu sana na akuwezeshe kuongea ukweli wote
Amen Amen powerful preaching 🙏
Mtumishi nabarikiwa Sana na huduma unayoifanya, mungu akutie nguvu uzd kusema kwel ktk nyakat
Hz za hatari tulzonazo
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
Barikiwa mtumishi wa Mungu, hio ndio kazi tunayo ifanya hapa namibia, tunapingwa mchana kutwa, tunaitaji maombi yenu.
Mungu akubariki Santa mtumishi was kirsto yesu
Mungu akusaidie mtumishi Tena ubarikiwe
Barikiwa mtumishi, hakika wewe ni mtumishi wa Mungu aliyehai
Amen 🙌🙌
Amina Mungu yupo tuwe makini sana
Hakika mungu awe nguzo ya roho yako hakuna anayeweza kusema kishujaa namna hii mungu akubariki sana mtumishi akupe nguvu ili wasikie walio potea amen
Mungu akubarikisana naakuzidishie masiku kabisa pasta
Mungu akulinde sana mtumishi sambaza hiyo injili leta huku daar
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
amen mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe sana
ukweli mchungu lkn lazima uupate ivo ulemavu haudumu milele mungu wetu ni mwanifu Amina babangu
Barikiwa sana baba wangu mungu akulide sana
Huyu Mtumishi yuko sahihi .. Mungu akulinde na kukuficha maana vita yako ni kubwa kwa vile unausema ukweli
mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Bwana yesu asifiwe Na akubariki Na kukupigania
Safi sana mtumishi ukweli mtupu ila mtu aelewe hadi Yesu ajifunue mwenyewe haswaa naziombea akili za wasikilizaji zifunguliwe kwa jina la Yesu ndo tutapata mabadriko
Endelea kuhubiri ukweli kabisa…Barikiwa !
Fanya kazi yako alie kutuma mungu
Amina kubwa mtumishi usemayo nikweli kabisa baba 🙌🙏Mungu akubariki sana 🙌🙏
Hongera mtumishi kwakusema ukweli
Mungu akubariki na akulinde,mtumishi, ni nyakati za mwisho , Mungu akubariki
Umeongea ukweli. Mtumishi Wa MUNGU ✍️. Ubarikiwe Sana ✍️✍️✍️✍️
Ukweli upi ?
Kwamba dawa za nywele ni mimba changa?
Hereni ni milango ya kuzimu?
Mikufu ni milango ya kuzimu?
Huyu ni MUONGO na anafanya Watu wasionaelim ambayo hawajawahi kutoka hata nje ya wilaya Yao
@@apostlej.rministiryprophet2219iyo ni Injili siyo Wlimu Hapo Yanii Anaaibishwa Shetani Nanikweri ni Malango KabiSA
Watumishi wa uongo lazima waambiwe ukweli,Asante cassian
Mungu muumba wa vitu vyote atulinde
Yesu akutie nguvu. Hii niinjili ya matengenezo na watu wamekalia dini et dhehebu la kipentekoste huku wameshakufa
Barikiwa mtumishi wa MUNGU Kwa neno zuri la MUNGU hakika ni injili yenye ufunuo mkubwa sana kuhusu Dunia ya Sasa, MUNGU atujalie kuishinda Dunia hii na tutashinda katika Jina la YESU KRISTO Amen.
Mungu Akutunze ,Akulinde ,akuzingilie Kila Mahali ,Ulinzi wa Mungu Baba uonekane kwako Kila saa Kila Dakika Mungu awe Mwaminifu kwako Asikupungukie Milele Ameni
Amen MUNGU akufiche
Hakika mungu yupo nawewe unahubii injii ngumu kabisa yenye ukweri kabisa mungu akusimamie kabisa
Ubarikiwe una Sema kweli
Kwa Sasa tunaupungufu wa watumishi wenye injili ya kweli kama hii . Uyu mtu napenda huduma yake Yuko vizuri mno
Ahsante kwa ujumbe mtumishi wa Mungu,Mungu akubariki sana jamani.
Barikiwaaaa
Kwakweli mungu atusaidie
Asante kwa kuniletea ukweli wako🔥🔥.
Amena sana Ubarikiwe sana mtumishi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kutufungua akili zetu Bwana akufunike na damu yake takatifu
Mungu akbariki tumishi wa mungu usiongope kulisema neno la mungu nakupenda sana natamani uje serengeti 🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi
Amin amin munjilist mungu akubaliki sana kuwafungua wat
Barikiwa mtumishi
Ubalikiwe mtumishi naulinzi uwe pamoja nawe
wana wake tuna mwitaji BWANA saana atusaidie maana mhmhmhmh sijui ninani atakae okoka kwakipindi hiki sijui MUNGU atusaidie tuishi maisha ya kumpendeza MUNGU.
Halleluyha ukweli kabisa Mutumishi wa Mungu watu tufunguke macho
AMEN MTUMISHI WA MUNGU mafundisho yako yananifungua Sanaa ...endelea kutufundisha tupone.
Mungu atusamehe sana jaman
Nilikuwa sikwamini ila sasa nakuelewa mungu akutie nguvu..nakukubali 100%
Wasabato wako sawa,urembo ni ibada za miungu,ee mungu tusaidie
Twahitaji ukweli Kenya
Ameen ameen and ameen
Amen MUNGU Wa kweli akuongoze babaa
Yah kwel mtumishi
In every step we take Jesus is ahead of us. Let's not give up because of some hindrances put ahead of us. Jesus is aware of our situations. Ev. Paschal Cassian, I'm in touch with you in preaching the Gospel of Jesus Christ. Holy Spirit take more of us and give more of you, in Jesus' name.......!!!
Yeshua Messiah na aturehemu na atuhurumie
Sois béni 🔥🔥🇨🇩🙌
Mtumishi Mbarikiwe kwakutuonya kwasababu wengi wame potea kwami ujiza ambazo zimetokea
Amen Amen Barikiwa mno Mtumishi kwa Mungu.
Yaani ni kweli wasabato wamepotoka sana
Nakupenda sana Paschal. Lakini kwenye hili umethibitisha Elimu ndogo na ufunuo dhaifu
Amen
Ubarkiwe mutumshi wamungu 🙏🤝
Mungu wa Mbinguni akuliiiinde na akufiche ndani ya damu yake, Ilo ndilo ombi langu kwa baba wa Mbinguni
Mungu awe ngao yako
Wallai mm hakuna mwimbaji mwenye naona hakika anaimbaga ukweli na kufunza vile shetani anatutumia bila kujua .Mungu akubariki kkaangu endelea kutoboa siriiii kbixa watu wapende wasipende ukweli usemwe
Mtumishi kemea sana wasabato wamepoka sana vibaya muno
Amen amen 🙏
mungu akibaliki
Asant san mtumish wamung
Shalom mtumishi nawezaje kupata namba yako
Mubalikiwa
Ameni🙏🙏🙏🙏💪
Mungu atuwezeshe sote wana wake
Amen amen glory to Jesus
Kazi nu njema endelea
Nimependa huo msimao mtumish wa kuzalauliwa hata kutengwa na ndg ni mafundisho Mazur ambayo mwongozo ktk Safar yetu ngum ya kwenda mbingun