Endelea kuimba nyimbo nzuri kama hizi ambazo zinaendana na nyakati tulizonazo. Japo ni nyimbo ambazo wengi hawapendi huna budi kuendelea kuziimba kwani hata maandiko yanasema katika Zaburi 47:7 "Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote. Imbeni kwa akili." Usikatishwe tamaa mtumishi japo vita ya Kiroho ni kubwa Bwana yuko atakulinda na wabaya wote.
Mungu ndo mtetezi wetu hao wanabii wa uongo watapigwa fimbo na Mungu wasipo tubu kwa kuwaibia watu na miujiza ya uongo. Hivi miujiza ndo itawapeleka mbinguni maana kila nafsi itaonja Mauti, ni vyema kutafari Wimbo huu wa mtumishi anaetumwa na Mugu. " mwinjilist Pascal Cassian, kweli wimbo huu utaokowa maelfu ya watu kwenye kizazi cha sasa. MUNGU AKUBARIKI, Amina!
Waaaaaoooooooh barikiwaaa San Nimeongeaa nimemalizaaa__________. Siku zinakujaa Kila mwenye kusikiaa na sikiee aziache njia zake mbaya amrudiee BWANA Naana saa imefikaa. Hakika tupo mwishonii Barikiwaa sana MTUMISHI WA MUNGU PASCHAL CASSIANI
MATHAYO 24:5 👉 kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema, Mimi ni kristo ;nao watadanganya wengi.Mathayo 24:11👉Na manabii wengi wa uongo watatokea , na kudanganya wengi.Mathayo 24:24✍️Kwamaana watatokea makristo wa uongo ,na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza ,kama yamkini hatawalio wateule. 24👉Tanzania, nimekwisha kuwaonya mbele.
WOOOOOW NILIKUA NASUBILIA HIII ASANTE SANA MWINJILISTI WA MUNGU WEWE NI SHUJAA SANAA NA OMBI LANGU KWAKO NI USIACHE SONGA MBELE KABISAA MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAE YESU KRISTO WANAZARET,BARIKIWA SANA BROTHER SONGA MBELE USIOGOPE MAANA ALIYE NDANI YAKO NI MKUU KULIKO ALIYE DUNIANI, ANEEEEEENA🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa HAPA( KIAPO CHA DAMU) patakuwa hapatoshiii..Kiukweli Inabidi Tukuombeesaana MUNGU Alie kufanya kuwa rungu lake na upanga wake basi Akulinde kwa nguzo ya 🔥 Moto.
Mungu amekuagiza uiambie Dunia ukweli, sema mtumishi wa Mungu, songa mbele, usisubiri Mungu alete mawe yaseme, timiza agizo alilokuagiza Mungu, tupo nyuma yako tunakuombea unamhubiri Mungu aliye hai, hakuna kupepesa macho wala kuchagua maneno, hiyo ndiyo tabia ya Mungu wa mbinguni, Nampenda Mungu, nakupenda kaka
Ubarikiwe sana mtumishi.Ni kweli kabisa jina la Yesu limejitoshereza.Ongea ukweli mtumishi.Biblia inasema itanifaa nini nipate yote ya dunia nikose mbingu!Twenzetu mbinguni
Katikati ya kizazi chenye kuinuka kwa mitume na manabii wa shetani,Mungu nae anainua watu wake,Kama unatamani injili ya kweli kuhubiriwa Basi usiache kumuombea hyu mtumishi wa Mungu😩🙏🙇🙌🙌🙌🙌
We baba sijuiw niseme nini kwamahan nyimbo zako aisee 🙏🤲🤲🤲 zinanifanya nijuiw kweli Mungu yupo nilio pítia Sitaweza sahau Eeeh Mungu wangu 🙆 nikubuke Sasa namimi😭😭😭😭😍
Ujumbe umeshafika injili ya kitapeli ndio inafanya watu washindwe kumjua Mungu wa kweli na utendaji wake wa kazi, imagine eti mafuta ya upako, chupi, boxer, ndala, nowadays mpaka kondomu za upako zipo imagine. Huu ni utumwa kama wa mkononi tu hakuna tena ukweli kweli imebakia kwa wale wanaomjua Yesu wa kweli. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kazi safiiiiiiiii💥
Kwa hii industry nimejifunza hapa kwamba kuna wale wanao burudisha na kuna wale wanao hubiri huyu ndo Nyimbo kama hizi ndo zinatakiwa zihitwe gospel songs
Mimi ck hizi,huyu ndio mchungaj wangu,kwanza ck nicpoona ujumbe wake hapa moyo wangu husononeka sana,Namuombea Mungu amlinde na vita anazopitia,hakika Mungu Yu pamoja nae
Cjuiw kwanini Mozambique amufik Ijili ya sehem moja kwanini mchungaji tangaza Injili mataifa na mataifa Karibu Mozambque Uku bado watu awajuw Injili Ya Mungu🙏🙏🙏🙏
Mwamba huyu hapa nakupenda Bure ndio maana hukufa ili tuzidi kupata gospel ambayo haijachakachulika ambayo haijagoshiwa siyo ya kubana pua kama tunatafta vipaji bari ni yakuskiliza na kupokea uponyo wa myoyo casian ilove u kutoka kwenye kilindi Cha moyo wangu
BWANA MUNGU na ukutumie zaidi,,yaani sichoki kuskiza hii wimbo,,na machozi yakinidondoka,,,hakika BWANA YESU na akutumie zaidiiii,uwambie watu ukweli na kweli iwaweke huru,🙏🙏🙏
Mungu akubariki sanaa mtumishi hizindo nyimbo zakuwaokoa watu sio wengine wanatuimbia wamevaa vimini na masuruali pongezi kwako uishi maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Watu awasikiaki atauwaambie je papa, watu walishaka kuwa vipofu awaonaki tena wala kutafakari juu ya vitu ambavio viko naonekana wazi, Mungu awasaidie kabisa
Mungu akulinde kakangu maaana watu wamepotea .....naungana nawewe Kaka kusema kwer ya mungu,,,,,,kwamaaan itanifaanini kuyathani maisha yangu na kumbe maelfu wanapotea najitahidi kutumikia mungu japo ni Vita kubwa najua mungu atatulipa hata pasipo mwili huuuuuu,,,,,,,,, ubarikiwe
Woow! Finally he has done it again, MUNGU ni Mwema Tunashukuru, Mwinjilist usipanduke simama imara kwa ukweli kutoka kwa MUNGU wetu aliye Hai, Barikiwa Sana
All the way from kenya, yenyewe, Mungu anajua sababu ya kuokoa maisha ya watumishi wake, this guy could b the few alive today who r on track, may God preserve you Paschal to continue blessing our hearts, giving us hope and kutuonya tunapoanguka majaribuni, barikiwa zaidi
Mungu akuongezee nguvu na ulinzi katika maisha yako, kwa jinsi watu tulivyopotea katka kumtafuta Mungu wa kweli. Mungu utuhurumie na utupe upeo wa uelewa
Mimi ni muslim lkn huyu ndo nimemuelewa sana hii ndo bible inavosema sasa waachaneni na manabii wakristo wanataka hela hawoooo
Nipeeni likes wale tunaelewa mtumishi
Tupo wengi sema wengi hawasomi comments zote ila Tupo pamoja
Mungu akutunze mtumishi
Aleluyaaaa huu niwakati wa Roho Mtakatifu,Yahana 16:7-15
Endelea kuimba nyimbo nzuri kama hizi ambazo zinaendana na nyakati tulizonazo. Japo ni nyimbo ambazo wengi hawapendi huna budi kuendelea kuziimba kwani hata maandiko yanasema katika Zaburi 47:7
"Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote. Imbeni kwa akili."
Usikatishwe tamaa mtumishi japo vita ya Kiroho ni kubwa Bwana yuko atakulinda na wabaya wote.
Tunae muelewa huyu naomben like zenu
Anaeleweka sana huyu mwamba
Unaonaje badala ya kukupa wewe likes, tutoe likes kwenye wimbo husika?
Tunae mwinjilist Tanzania kweli kweli
Oyo.oooo
Tuunge group jamn wasap
Mwimbaji wa nyimbo za injili:Wimbo wako unaowataja Manabii wa uongo ni mzuri sana. Pasua anga bila kuogopa!!
Amen! saa imefika ya kuwaambia watu ukweli,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Paschal Cassian.
Mungu ndo mtetezi wetu hao wanabii wa uongo watapigwa fimbo na Mungu wasipo tubu kwa kuwaibia watu na miujiza ya uongo. Hivi miujiza ndo itawapeleka mbinguni maana kila nafsi itaonja Mauti, ni vyema kutafari Wimbo huu wa mtumishi anaetumwa na Mugu. " mwinjilist Pascal Cassian, kweli wimbo huu utaokowa maelfu ya watu kwenye kizazi cha sasa. MUNGU AKUBARIKI, Amina!
Waaaaaoooooooh barikiwaaa San
Nimeongeaa nimemalizaaa__________. Siku zinakujaa Kila mwenye kusikiaa na sikiee aziache njia zake mbaya amrudiee BWANA
Naana saa imefikaa. Hakika tupo mwishonii Barikiwaa sana MTUMISHI WA MUNGU PASCHAL CASSIANI
MATHAYO 24:5 👉 kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema, Mimi ni kristo ;nao watadanganya wengi.Mathayo 24:11👉Na manabii wengi wa uongo watatokea , na kudanganya wengi.Mathayo 24:24✍️Kwamaana watatokea makristo wa uongo ,na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza ,kama yamkini hatawalio wateule. 24👉Tanzania, nimekwisha kuwaonya mbele.
🙏🙏🙏🙏🦾🦾🦾🦾
Anae jiita kristo ako kenya
Amin ndio ukwli
Ameen
Amina
WOOOOOW NILIKUA NASUBILIA HIII ASANTE SANA MWINJILISTI WA MUNGU WEWE NI SHUJAA SANAA NA OMBI LANGU KWAKO NI USIACHE SONGA MBELE KABISAA MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAE YESU KRISTO WANAZARET,BARIKIWA SANA BROTHER SONGA MBELE USIOGOPE MAANA ALIYE NDANI YAKO NI MKUU KULIKO ALIYE DUNIANI, ANEEEEEENA🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu was mbinguni anakulinda Sana anakazi na were songa mbele
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ALIE HAI
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
Mungu ndio mwenye kujua ukweli maana sasa hivi makanisa mengi ni kama biashara kwaajili ya kujipatia mapato
Mungu tusaidie makanisa ya Sasa mengi ni biashara
Hii si sauti ya Pascal hii ni Sauti Ya Mungu Mwenyewe kupitia kinywa cha Pascal, nasikia mpaka kutetemeka.
Mwamposa, Joe Dav, Suguye, msibeze hiyo sauti ya Mungu waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli, nasikia kuwahurumia sana msipogeuka
Upo sahihi kabisa
Sasa HAPA( KIAPO CHA DAMU) patakuwa hapatoshiii..Kiukweli Inabidi Tukuombeesaana MUNGU Alie kufanya kuwa rungu lake na upanga wake basi Akulinde kwa nguzo ya 🔥 Moto.
Mungu amekuagiza uiambie Dunia ukweli, sema mtumishi wa Mungu, songa mbele, usisubiri Mungu alete mawe yaseme, timiza agizo alilokuagiza Mungu, tupo nyuma yako tunakuombea unamhubiri Mungu aliye hai, hakuna kupepesa macho wala kuchagua maneno, hiyo ndiyo tabia ya Mungu wa mbinguni, Nampenda Mungu, nakupenda kaka
Mmoja kati ya watu waliofunguliwa kiroho kupitia nyimbo zako ni Mimi hapa nimejifunza mengi kupitia nyimbo zako Mungu akutunze
Ht mm nabarikiwa sana🎉
Nimekosa cha kuandika, HAKUNA AMBAYE HAJASIKIA KAZI UMEIFANYA KIKAMILIFU ITOSHE KUSEMA MUNGU AKUBARIKI SANA.
Mungu Akutunze Akubariki sana Kwa nondo ya Ujumbe wenye Nguvu. Mungu atete na watesi wako na Damu ya Yesu ikufunike
Freemason waache ujinga waachie watu wamuabudu MUNGU wa Kweli katika Jina la YESU
Mimi nakuamini sana kaka jaman mwingne anaemwamini naomba 👍like
Ubarikiwe sana mtumishi.Ni kweli kabisa jina la Yesu limejitoshereza.Ongea ukweli mtumishi.Biblia inasema itanifaa nini nipate yote ya dunia nikose mbingu!Twenzetu mbinguni
Katikati ya kizazi chenye kuinuka kwa mitume na manabii wa shetani,Mungu nae anainua watu wake,Kama unatamani injili ya kweli kuhubiriwa Basi usiache kumuombea hyu mtumishi wa Mungu😩🙏🙇🙌🙌🙌🙌
We baba sijuiw niseme nini kwamahan nyimbo zako aisee 🙏🤲🤲🤲 zinanifanya nijuiw kweli Mungu yupo nilio pítia Sitaweza sahau Eeeh Mungu wangu 🙆 nikubuke Sasa namimi😭😭😭😭😍
Roho mtakatifu atushindie kabisaa, Yesu nimwema kabisaa roho mtakatifu, nimwema
Hapa Nime kubali Injili ya Kweli kwa kweli watu wame potoshwa sana
Miujiza Isio na Chembe za utakatifu
Unarikiwe sana Mtumishi.
Nakupenda sana kaka nyimbo zako zinamafundisho mazuri sana God bless you 🙏
Mungu Uko wapi shuka mwenyewe utuokoe😢😭😭😢🙏🙏🙏
La nyimbo UMEIBORESHA VIZURI SAANAA mwishoni yaani Meseji imekolezwa na imekolea kwelikweli wasipo Badilika basi wataishi kwa tabu SAANAA Duniani.
Ujumbe umeshafika injili ya kitapeli ndio inafanya watu washindwe kumjua Mungu wa kweli na utendaji wake wa kazi, imagine eti mafuta ya upako, chupi, boxer, ndala, nowadays mpaka kondomu za upako zipo imagine. Huu ni utumwa kama wa mkononi tu hakuna tena ukweli kweli imebakia kwa wale wanaomjua Yesu wa kweli. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kazi safiiiiiiiii💥
Paschal kiboko Yao manabii wanatetemeka sasa hebu weka like apo 👇👇👇
Ata kama nmechelewa, Mungu akulinde na akupe ulinzi Wa kutosha
Paschal nakuelewa sana,umejitoa kwa ajili ya Bwana
Bahati nzuri anawasihi watu kurudi katka NENO la MUNGU kama mnaona anachokosoa hayupo sawa basi someni neno la MUNGU basi kama na lenyewe basi
Kwa hii industry nimejifunza hapa kwamba kuna wale wanao burudisha na kuna wale wanao hubiri huyu ndo
Nyimbo kama hizi ndo zinatakiwa zihitwe gospel songs
Baba mtumishi mungu akuimarishe katika huduma sema yooooooote katka kweli.
Mungu akulinde mtumishi wa mungu akupe uwezo wa kusema vingine sema kila kona Mungu yu pamoja nawewe usiogope mutu mungu akubaliki sana amen amen
Ukwel utabaki ukwel tu,ubarikiwe mtumishi
Mungu Ahimidiwe maana anapaswa kushuhudiwa, walio na mwana walie na Ushuhuda.
Barikiwa sanaaaa kaka pascal kwa huduma njema mungu akutunze uendelee kuinena kweliii yake yesuuuu kristo
Mimi ck hizi,huyu ndio mchungaj wangu,kwanza ck nicpoona ujumbe wake hapa moyo wangu husononeka sana,Namuombea Mungu amlinde na vita anazopitia,hakika Mungu Yu pamoja nae
Mungu turehemu tumeacha kweli yako
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Sema mtumishi wa Mungu hali nitata ,Mungu akutangulie ktk vita ya kutangaza injili ya kweli
Yesu aku tie nguvu mutumishi kwa ukweli ita baki kweli .hukumu ina kuja juyawo bwana akuviki nguvu
Mungu akutie nguvu mutumishi songambele Mungu akuzingile Kwa wigo wake
Cjuiw kwanini Mozambique amufik Ijili ya sehem moja kwanini mchungaji tangaza Injili mataifa na mataifa Karibu Mozambque Uku bado watu awajuw Injili Ya Mungu🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi pigania sana wito wa mungu unaokowa wengi sana lakn usiogope vikwazo siyo wote wanakupenda
Mwamba huyu hapa nakupenda Bure ndio maana hukufa ili tuzidi kupata gospel ambayo haijachakachulika ambayo haijagoshiwa siyo ya kubana pua kama tunatafta vipaji bari ni yakuskiliza na kupokea uponyo wa myoyo casian ilove u kutoka kwenye kilindi Cha moyo wangu
Iyi wimbo ni mahubiri , vraiment c'est une évangile que le Bon DIEU te bénisse 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
En tout cas, may God lead him 🇺🇸🇨🇩🇹🇿
Vizuri sana Kaka yangu
Hongera sana Mtumishi wa Mungu 👏🏼👏🏼👏🏼👍🏼
Ubarikiwe sana mwijilisti kweli wimbo wako huna ujumbe mkuu sana mungu akubariki sana ❤❤
Saaaaa imefika ya kumuabudu Mungu ktk roho na kwel
Naishi Msumbiji alkini nyimbo zako kila siku naweka Yut b naweka niskie ili nijiskie niko Amani🙏🙏🙏barikiwa san papa mchungaji🙏🙏
MUNGU akuongee ulinz siku zote uwong hauta Kaa mbele ya ukwel hata siku moja
Ubarikiwe sanaa mtumishi MUNGU akulinde Akupe maisha marefu Uishi mpaka kusudi lake litimie
Akufiche zaidi mtumishi wa Mungu, asante kwa mahubiri ya ukweli kabsa..
BWANA MUNGU na ukutumie zaidi,,yaani sichoki kuskiza hii wimbo,,na machozi yakinidondoka,,,hakika BWANA YESU na akutumie zaidiiii,uwambie watu ukweli na kweli iwaweke huru,🙏🙏🙏
Congratulations my brother. Mungu ni ukweli, ni lazima tuteteye UKWELI wa kila kitu mpaka mwisho.
Mungu akubariki.
Ukweli unaouma... mtumishi tufungue macho
Uko sahihi mtumishi, hawa Geordavie, Mwamposa, kuhani Musa na wengine wengi tu ( megachurches) ni matapeli sana.
Mungu akubariki sanaa mtumishi hizindo nyimbo zakuwaokoa watu sio wengine wanatuimbia wamevaa vimini na masuruali pongezi kwako uishi maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ámen na kwelewa baba Acha Mungu aitwe Mungu,Eeeeh Mungu simama kwenye Ndoa yangu Família yangu byashara,Yangu,,Nisadie nijifungue salama🙏🙏🙏🙏🙏👇🏿
Uyu bwana ndie alikua Aki kuandikia baati bukuku 100%
Mwamba uyu hapa nampenda San ubalikiwe San mtumishi
Ubarikiwe Mtumishi songa mbele MUNGU akutie nguvu 💪
Asate sana baba ubarikiwe sisi wa Moja tumepoteya
Mungu azidi kuku tunza mtumishi kwahiyo hari hakuna atakae kupenda ira Mungu tu ndie mtetezi wa haki 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥
Barikiwa sana Mtumishi mwinjirist MUNGU Akulinde na familiar yako huzun kubwa 😭😭😭😭😭
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.
Watu wanao ipinga kweli Mungu anawaletea nguvu ya upotevu ili waukumiwe wote siku ya mwisho.
Mungu akubariki kwa ujumbe Mzuri.
Mungu endeleye ku kupatia mafikara ya kwendesha ujumbe yako mbele
Watu awasikiaki atauwaambie je papa, watu walishaka kuwa vipofu awaonaki tena wala kutafakari juu ya vitu ambavio viko naonekana wazi, Mungu awasaidie kabisa
Mungu akulinde mtumishi. Endelea kupasuwa jipu.
Mungu akubariki unasema ukweli
Jamaa ameokoka salut kwake amewachana manabii wa uongo
Mungu akulinde kakangu maaana watu wamepotea .....naungana nawewe Kaka kusema kwer ya mungu,,,,,,kwamaaan itanifaanini kuyathani maisha yangu na kumbe maelfu wanapotea najitahidi kutumikia mungu japo ni Vita kubwa najua mungu atatulipa hata pasipo mwili huuuuuu,,,,,,,,, ubarikiwe
Barikiwa mtumishi wa mungu songs mbele bwana akutie nguvu
Ni waimbaji wa Tchatche dio wana imba ku onesha watu kama kweli Siku zina kwisha tuna ishi Siku za mwisho kweli ume tumwa na Mungu na amini 🙏 🇨🇩
Kusema kweli kama hivi inagharama anahitaji kumwombea sana huyu Mungu azidi kumtunza
Mungu akuwekee ulinzi zaid
MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu nyumbo zako zinatuubiri
Mungu akulinde sana mtumishi kazi yako njema sana
Nakuelewa mno watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa
Mungu atusaidie kwa maana bila nguvu zake atuwezi hata 😭
Ujumbe safiiii umenyookaaaa
Ila hii ya kuigiza kwenye msalaba sijaielewa kwa kweli
Mimi pia hapo kwa msalaba sielewe jameni?
Barikiwa sana mtumishi nyimbo nzuri imejaa mafundisho mengi mazuri sana.
Mungu,samehe Baba wape kusikia,tupe kusikia.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu akubariki sana Pastor Pascal Kasiani, nakuombea Mungu akuongezee ck za kuishi kwa utukufu wa Jina lake Amen
Amène nime Barikiwa kwa nyimbo mimi 😭😭🙏🥰
Deus te abençoe irmão continuem cantando boas músicas bem vindo em Moçambique 🇲🇿🙏🏼🙏🏼🇲🇿🇲🇿
Kaka kassian hakika MUNGU ni mkuu kuliko vyote dunian akika MUNGU akutumie apendavyo
Woow! Finally he has done it again, MUNGU ni Mwema Tunashukuru, Mwinjilist usipanduke simama imara kwa ukweli kutoka kwa MUNGU wetu aliye Hai, Barikiwa Sana
Napenda sana hiyo msg
All the way from kenya, yenyewe, Mungu anajua sababu ya kuokoa maisha ya watumishi wake, this guy could b the few alive today who r on track, may God preserve you Paschal to continue blessing our hearts, giving us hope and kutuonya tunapoanguka majaribuni, barikiwa zaidi
continue cantando essas belas canções que estão em sintonia com os tempos que temos. 🇹🇿🇲🇿 ASANTE MUNGU AWABARIKI.
Amina sana Mtumishi,Mungu wa kweli aabudiwe
Nyimbo nzuri sana Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi.....Akulinde na Wabaya wako...Amen
Yesu asifiwe mimi APA Kolwezi 🇨🇩
Amen Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 😭
Mungu anasema kuwa rafiki wa dunia ni kujifanya kua aduwi wa Mungu ubalikiwe mtumishi kwakuambia yakweri ulimwengu Zambi yake
These is God spirit in to this Man of God…..don’t joke Holy Spirit singing in him😭😭🙏
Amina Amina ujumbe mkweli mtupu Mungu akuangazie mema
Mungu akuongezee nguvu na ulinzi katika maisha yako, kwa jinsi watu tulivyopotea katka kumtafuta Mungu wa kweli. Mungu utuhurumie na utupe upeo wa uelewa