WA ACHIENI WATU VIDEO OFFICIALY PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024
  • #0688199370 #0766998994 #0788871769#

КОМЕНТАРІ • 803

  • @AishaIkhallah
    @AishaIkhallah 6 місяців тому +8

    Mimi ni muslim lkn huyu ndo nimemuelewa sana hii ndo bible inavosema sasa waachaneni na manabii wakristo wanataka hela hawoooo

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Рік тому +93

    Nipeeni likes wale tunaelewa mtumishi

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Рік тому +58

    Endelea kuimba nyimbo nzuri kama hizi ambazo zinaendana na nyakati tulizonazo. Japo ni nyimbo ambazo wengi hawapendi huna budi kuendelea kuziimba kwani hata maandiko yanasema katika Zaburi 47:7
    "Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote. Imbeni kwa akili."
    Usikatishwe tamaa mtumishi japo vita ya Kiroho ni kubwa Bwana yuko atakulinda na wabaya wote.

  • @akidaboy
    @akidaboy Рік тому +302

    Tunae muelewa huyu naomben like zenu

  • @bulayankondo9459
    @bulayankondo9459 Рік тому +8

    Mwimbaji wa nyimbo za injili:Wimbo wako unaowataja Manabii wa uongo ni mzuri sana. Pasua anga bila kuogopa!!

  • @kingmhondela
    @kingmhondela Рік тому +12

    Amen! saa imefika ya kuwaambia watu ukweli,ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Paschal Cassian.

    • @upendokiza6061
      @upendokiza6061 Рік тому

      Mungu ndo mtetezi wetu hao wanabii wa uongo watapigwa fimbo na Mungu wasipo tubu kwa kuwaibia watu na miujiza ya uongo. Hivi miujiza ndo itawapeleka mbinguni maana kila nafsi itaonja Mauti, ni vyema kutafari Wimbo huu wa mtumishi anaetumwa na Mugu. " mwinjilist Pascal Cassian, kweli wimbo huu utaokowa maelfu ya watu kwenye kizazi cha sasa. MUNGU AKUBARIKI, Amina!

  • @henrylukosy4908
    @henrylukosy4908 Рік тому +14

    Waaaaaoooooooh barikiwaaa San
    Nimeongeaa nimemalizaaa__________. Siku zinakujaa Kila mwenye kusikiaa na sikiee aziache njia zake mbaya amrudiee BWANA
    Naana saa imefikaa. Hakika tupo mwishonii Barikiwaa sana MTUMISHI WA MUNGU PASCHAL CASSIANI

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Рік тому +75

    MATHAYO 24:5 👉 kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu,wakisema, Mimi ni kristo ;nao watadanganya wengi.Mathayo 24:11👉Na manabii wengi wa uongo watatokea , na kudanganya wengi.Mathayo 24:24✍️Kwamaana watatokea makristo wa uongo ,na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu wapate kuwapoteza ,kama yamkini hatawalio wateule. 24👉Tanzania, nimekwisha kuwaonya mbele.

  • @Akinyisafi8361
    @Akinyisafi8361 Рік тому +36

    WOOOOOW NILIKUA NASUBILIA HIII ASANTE SANA MWINJILISTI WA MUNGU WEWE NI SHUJAA SANAA NA OMBI LANGU KWAKO NI USIACHE SONGA MBELE KABISAA MUNGU AKUTIE NGUVU NA AKUFUNIKE KWA DAMU YA MWANAE YESU KRISTO WANAZARET,BARIKIWA SANA BROTHER SONGA MBELE USIOGOPE MAANA ALIYE NDANI YAKO NI MKUU KULIKO ALIYE DUNIANI, ANEEEEEENA🙏🙏🙏🙏🙏

    • @janeth5378
      @janeth5378 Рік тому +2

      Mungu was mbinguni anakulinda Sana anakazi na were songa mbele

    • @barakamasanja6728
      @barakamasanja6728 Рік тому +1

      Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU ALIE HAI

    • @mayamonabeatrice6823
      @mayamonabeatrice6823 Рік тому +1

      Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾

    • @johnbashiri6652
      @johnbashiri6652 Рік тому

      Mungu ndio mwenye kujua ukweli maana sasa hivi makanisa mengi ni kama biashara kwaajili ya kujipatia mapato

    • @johnbashiri6652
      @johnbashiri6652 Рік тому

      Mungu tusaidie makanisa ya Sasa mengi ni biashara

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 Рік тому +10

    Hii si sauti ya Pascal hii ni Sauti Ya Mungu Mwenyewe kupitia kinywa cha Pascal, nasikia mpaka kutetemeka.

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Рік тому +13

    Mwamposa, Joe Dav, Suguye, msibeze hiyo sauti ya Mungu waachieni watu wamwabudu Mungu wa kweli, nasikia kuwahurumia sana msipogeuka

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Рік тому +5

    Sasa HAPA( KIAPO CHA DAMU) patakuwa hapatoshiii..Kiukweli Inabidi Tukuombeesaana MUNGU Alie kufanya kuwa rungu lake na upanga wake basi Akulinde kwa nguzo ya 🔥 Moto.

  • @emmanuelchengula6307
    @emmanuelchengula6307 Рік тому +17

    Mungu amekuagiza uiambie Dunia ukweli, sema mtumishi wa Mungu, songa mbele, usisubiri Mungu alete mawe yaseme, timiza agizo alilokuagiza Mungu, tupo nyuma yako tunakuombea unamhubiri Mungu aliye hai, hakuna kupepesa macho wala kuchagua maneno, hiyo ndiyo tabia ya Mungu wa mbinguni, Nampenda Mungu, nakupenda kaka

  • @graceedward1553
    @graceedward1553 Рік тому +6

    Mmoja kati ya watu waliofunguliwa kiroho kupitia nyimbo zako ni Mimi hapa nimejifunza mengi kupitia nyimbo zako Mungu akutunze

  • @drdd774
    @drdd774 Рік тому +8

    Nimekosa cha kuandika, HAKUNA AMBAYE HAJASIKIA KAZI UMEIFANYA KIKAMILIFU ITOSHE KUSEMA MUNGU AKUBARIKI SANA.

  • @veronicajohn1689
    @veronicajohn1689 Рік тому +21

    Mungu Akutunze Akubariki sana Kwa nondo ya Ujumbe wenye Nguvu. Mungu atete na watesi wako na Damu ya Yesu ikufunike

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Рік тому +7

    Freemason waache ujinga waachie watu wamuabudu MUNGU wa Kweli katika Jina la YESU

  • @simionbrandy101
    @simionbrandy101 Рік тому +4

    Mimi nakuamini sana kaka jaman mwingne anaemwamini naomba 👍like

  • @eliamanirakiza5127
    @eliamanirakiza5127 9 місяців тому +4

    Ubarikiwe sana mtumishi.Ni kweli kabisa jina la Yesu limejitoshereza.Ongea ukweli mtumishi.Biblia inasema itanifaa nini nipate yote ya dunia nikose mbingu!Twenzetu mbinguni

  • @sarasiame8904
    @sarasiame8904 Рік тому +3

    Katikati ya kizazi chenye kuinuka kwa mitume na manabii wa shetani,Mungu nae anainua watu wake,Kama unatamani injili ya kweli kuhubiriwa Basi usiache kumuombea hyu mtumishi wa Mungu😩🙏🙇🙌🙌🙌🙌

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 Рік тому +4

    We baba sijuiw niseme nini kwamahan nyimbo zako aisee 🙏🤲🤲🤲 zinanifanya nijuiw kweli Mungu yupo nilio pítia Sitaweza sahau Eeeh Mungu wangu 🙆 nikubuke Sasa namimi😭😭😭😭😍

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Рік тому +10

    Roho mtakatifu atushindie kabisaa, Yesu nimwema kabisaa roho mtakatifu, nimwema

  • @ecaemanga618
    @ecaemanga618 Рік тому +7

    Hapa Nime kubali Injili ya Kweli kwa kweli watu wame potoshwa sana
    Miujiza Isio na Chembe za utakatifu
    Unarikiwe sana Mtumishi.

  • @EvalineKelvin-wg7up
    @EvalineKelvin-wg7up Рік тому +5

    Nakupenda sana kaka nyimbo zako zinamafundisho mazuri sana God bless you 🙏

  • @NyarikiDamah
    @NyarikiDamah 7 місяців тому +5

    Mungu Uko wapi shuka mwenyewe utuokoe😢😭😭😢🙏🙏🙏

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Рік тому +4

    La nyimbo UMEIBORESHA VIZURI SAANAA mwishoni yaani Meseji imekolezwa na imekolea kwelikweli wasipo Badilika basi wataishi kwa tabu SAANAA Duniani.

  • @godwinchristian5252
    @godwinchristian5252 Рік тому +5

    Ujumbe umeshafika injili ya kitapeli ndio inafanya watu washindwe kumjua Mungu wa kweli na utendaji wake wa kazi, imagine eti mafuta ya upako, chupi, boxer, ndala, nowadays mpaka kondomu za upako zipo imagine. Huu ni utumwa kama wa mkononi tu hakuna tena ukweli kweli imebakia kwa wale wanaomjua Yesu wa kweli. Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu kazi safiiiiiiiii💥

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe9164 Рік тому +6

    Paschal kiboko Yao manabii wanatetemeka sasa hebu weka like apo 👇👇👇

  • @jackyjacky2930
    @jackyjacky2930 Рік тому +6

    Ata kama nmechelewa, Mungu akulinde na akupe ulinzi Wa kutosha

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Рік тому +8

    Paschal nakuelewa sana,umejitoa kwa ajili ya Bwana

  • @Heri-k3v
    @Heri-k3v 9 місяців тому +4

    Bahati nzuri anawasihi watu kurudi katka NENO la MUNGU kama mnaona anachokosoa hayupo sawa basi someni neno la MUNGU basi kama na lenyewe basi

  • @isaackkimpanga3883
    @isaackkimpanga3883 Рік тому +11

    Kwa hii industry nimejifunza hapa kwamba kuna wale wanao burudisha na kuna wale wanao hubiri huyu ndo
    Nyimbo kama hizi ndo zinatakiwa zihitwe gospel songs

    • @mbegagrayson123
      @mbegagrayson123 Рік тому

      Baba mtumishi mungu akuimarishe katika huduma sema yooooooote katka kweli.

  • @geofleyfreenwelluka
    @geofleyfreenwelluka Рік тому +7

    Mungu akulinde mtumishi wa mungu akupe uwezo wa kusema vingine sema kila kona Mungu yu pamoja nawewe usiogope mutu mungu akubaliki sana amen amen

  • @SudaNyalupagi
    @SudaNyalupagi 7 місяців тому +5

    Ukwel utabaki ukwel tu,ubarikiwe mtumishi

  • @lizjoro8902
    @lizjoro8902 Рік тому +7

    Mungu Ahimidiwe maana anapaswa kushuhudiwa, walio na mwana walie na Ushuhuda.

  • @farajamsigwa4002
    @farajamsigwa4002 Рік тому +11

    Barikiwa sanaaaa kaka pascal kwa huduma njema mungu akutunze uendelee kuinena kweliii yake yesuuuu kristo

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Рік тому +5

    Mimi ck hizi,huyu ndio mchungaj wangu,kwanza ck nicpoona ujumbe wake hapa moyo wangu husononeka sana,Namuombea Mungu amlinde na vita anazopitia,hakika Mungu Yu pamoja nae

  • @pelecymsemwa8107
    @pelecymsemwa8107 Рік тому +5

    Mungu turehemu tumeacha kweli yako

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 6 місяців тому +6

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 Рік тому +5

    Sema mtumishi wa Mungu hali nitata ,Mungu akutangulie ktk vita ya kutangaza injili ya kweli

  • @wivinemuderwa1874
    @wivinemuderwa1874 8 місяців тому +6

    Yesu aku tie nguvu mutumishi kwa ukweli ita baki kweli .hukumu ina kuja juyawo bwana akuviki nguvu

  • @omanss268
    @omanss268 Рік тому +6

    Mungu akutie nguvu mutumishi songambele Mungu akuzingile Kwa wigo wake

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 Рік тому +5

    Cjuiw kwanini Mozambique amufik Ijili ya sehem moja kwanini mchungaji tangaza Injili mataifa na mataifa Karibu Mozambque Uku bado watu awajuw Injili Ya Mungu🙏🙏🙏🙏

  • @elikanalebwanga2001
    @elikanalebwanga2001 Рік тому +4

    Mungu akubariki sana Mtumishi pigania sana wito wa mungu unaokowa wengi sana lakn usiogope vikwazo siyo wote wanakupenda

  • @kacheniernest2644
    @kacheniernest2644 Рік тому +2

    Mwamba huyu hapa nakupenda Bure ndio maana hukufa ili tuzidi kupata gospel ambayo haijachakachulika ambayo haijagoshiwa siyo ya kubana pua kama tunatafta vipaji bari ni yakuskiliza na kupokea uponyo wa myoyo casian ilove u kutoka kwenye kilindi Cha moyo wangu

  • @pamamwoyaofficiel9770
    @pamamwoyaofficiel9770 Рік тому +34

    Iyi wimbo ni mahubiri , vraiment c'est une évangile que le Bon DIEU te bénisse 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ProsperMbabazi
    @ProsperMbabazi 13 днів тому +2

    Vizuri sana Kaka yangu

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 Рік тому +7

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu 👏🏼👏🏼👏🏼👍🏼

  • @Davidfaith845
    @Davidfaith845 Рік тому +11

    Ubarikiwe sana mwijilisti kweli wimbo wako huna ujumbe mkuu sana mungu akubariki sana ❤❤

  • @PaulPower-w2n
    @PaulPower-w2n 7 місяців тому +4

    Saaaaa imefika ya kumuabudu Mungu ktk roho na kwel

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 Рік тому +3

    Naishi Msumbiji alkini nyimbo zako kila siku naweka Yut b naweka niskie ili nijiskie niko Amani🙏🙏🙏barikiwa san papa mchungaji🙏🙏

  • @SaimonDavid-li5yq
    @SaimonDavid-li5yq 7 місяців тому +7

    MUNGU akuongee ulinz siku zote uwong hauta Kaa mbele ya ukwel hata siku moja

  • @atupakisyesengo7432
    @atupakisyesengo7432 Рік тому +7

    Ubarikiwe sanaa mtumishi MUNGU akulinde Akupe maisha marefu Uishi mpaka kusudi lake litimie

  • @dadmam8334
    @dadmam8334 Рік тому +7

    Akufiche zaidi mtumishi wa Mungu, asante kwa mahubiri ya ukweli kabsa..

  • @sharonetsisiche5184
    @sharonetsisiche5184 Рік тому +5

    BWANA MUNGU na ukutumie zaidi,,yaani sichoki kuskiza hii wimbo,,na machozi yakinidondoka,,,hakika BWANA YESU na akutumie zaidiiii,uwambie watu ukweli na kweli iwaweke huru,🙏🙏🙏

  • @nehemiahdieumerci5626
    @nehemiahdieumerci5626 Рік тому +11

    Congratulations my brother. Mungu ni ukweli, ni lazima tuteteye UKWELI wa kila kitu mpaka mwisho.
    Mungu akubariki.

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 Рік тому +5

    Ukweli unaouma... mtumishi tufungue macho

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 Рік тому +6

    Uko sahihi mtumishi, hawa Geordavie, Mwamposa, kuhani Musa na wengine wengi tu ( megachurches) ni matapeli sana.

  • @gervasmfubusa
    @gervasmfubusa Рік тому +4

    Mungu akubariki sanaa mtumishi hizindo nyimbo zakuwaokoa watu sio wengine wanatuimbia wamevaa vimini na masuruali pongezi kwako uishi maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gracekayandakayanda3428
    @gracekayandakayanda3428 Рік тому +4

    Ámen na kwelewa baba Acha Mungu aitwe Mungu,Eeeeh Mungu simama kwenye Ndoa yangu Família yangu byashara,Yangu,,Nisadie nijifungue salama🙏🙏🙏🙏🙏👇🏿

  • @themicbandforeveryone19997
    @themicbandforeveryone19997 Рік тому +6

    Uyu bwana ndie alikua Aki kuandikia baati bukuku 100%

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Рік тому +3

    Mwamba uyu hapa nampenda San ubalikiwe San mtumishi

  • @veronicawilson4263
    @veronicawilson4263 Рік тому +13

    Ubarikiwe Mtumishi songa mbele MUNGU akutie nguvu 💪

  • @MaselaOmari-z6n
    @MaselaOmari-z6n 7 місяців тому +4

    Asate sana baba ubarikiwe sisi wa Moja tumepoteya

  • @isayasangija8587
    @isayasangija8587 Рік тому +6

    Mungu azidi kuku tunza mtumishi kwahiyo hari hakuna atakae kupenda ira Mungu tu ndie mtetezi wa haki 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 Рік тому +9

    Barikiwa sana Mtumishi mwinjirist MUNGU Akulinde na familiar yako huzun kubwa 😭😭😭😭😭

  • @jeanefelix70
    @jeanefelix70 Рік тому +4

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.
    Watu wanao ipinga kweli Mungu anawaletea nguvu ya upotevu ili waukumiwe wote siku ya mwisho.

  • @kivurugaathuman2694
    @kivurugaathuman2694 Рік тому +7

    Mungu akubariki kwa ujumbe Mzuri.

    • @faustinbimpa
      @faustinbimpa Рік тому

      Mungu endeleye ku kupatia mafikara ya kwendesha ujumbe yako mbele

  • @sikitunathing9429
    @sikitunathing9429 Рік тому +2

    Watu awasikiaki atauwaambie je papa, watu walishaka kuwa vipofu awaonaki tena wala kutafakari juu ya vitu ambavio viko naonekana wazi, Mungu awasaidie kabisa

  • @ngendakuriyotriphose8109
    @ngendakuriyotriphose8109 Рік тому +5

    Mungu akulinde mtumishi. Endelea kupasuwa jipu.

  • @MussaYohana-w4b
    @MussaYohana-w4b 14 днів тому +2

    Mungu akubariki unasema ukweli

  • @MeshakiShija-mz5mw
    @MeshakiShija-mz5mw 5 місяців тому +4

    Jamaa ameokoka salut kwake amewachana manabii wa uongo

  • @barakaabery
    @barakaabery Рік тому +6

    Mungu akulinde kakangu maaana watu wamepotea .....naungana nawewe Kaka kusema kwer ya mungu,,,,,,kwamaaan itanifaanini kuyathani maisha yangu na kumbe maelfu wanapotea najitahidi kutumikia mungu japo ni Vita kubwa najua mungu atatulipa hata pasipo mwili huuuuuu,,,,,,,,, ubarikiwe

  • @elizabethnamwinga3210
    @elizabethnamwinga3210 Рік тому +5

    Barikiwa mtumishi wa mungu songs mbele bwana akutie nguvu

  • @mutegekindahura7647
    @mutegekindahura7647 Рік тому +2

    Ni waimbaji wa Tchatche dio wana imba ku onesha watu kama kweli Siku zina kwisha tuna ishi Siku za mwisho kweli ume tumwa na Mungu na amini 🙏 🇨🇩

  • @bahatmasawe1959
    @bahatmasawe1959 6 місяців тому +4

    Kusema kweli kama hivi inagharama anahitaji kumwombea sana huyu Mungu azidi kumtunza

  • @patricknyamkora1419
    @patricknyamkora1419 Рік тому +4

    Mungu akuwekee ulinzi zaid

  • @esthelamonica7022
    @esthelamonica7022 Рік тому +5

    MUNGU akubariki sana mtumishi wa Mungu nyumbo zako zinatuubiri

  • @samwelnyakamoro8388
    @samwelnyakamoro8388 Рік тому +6

    Mungu akulinde sana mtumishi kazi yako njema sana

  • @GraceDeograthius
    @GraceDeograthius 3 місяці тому +4

    Nakuelewa mno watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa

  • @Vivituma
    @Vivituma Рік тому +5

    Mungu atusaidie kwa maana bila nguvu zake atuwezi hata 😭

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz1076 Рік тому +2

    Ujumbe safiiii umenyookaaaa
    Ila hii ya kuigiza kwenye msalaba sijaielewa kwa kweli

  • @oscarthomas2019
    @oscarthomas2019 Рік тому +1

    Barikiwa sana mtumishi nyimbo nzuri imejaa mafundisho mengi mazuri sana.

  • @estardavid
    @estardavid Рік тому +6

    Mungu,samehe Baba wape kusikia,tupe kusikia.😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @evaristamwinuka6494
    @evaristamwinuka6494 Рік тому +1

    Mungu akubariki sana Pastor Pascal Kasiani, nakuombea Mungu akuongezee ck za kuishi kwa utukufu wa Jina lake Amen

  • @apolinaayebacanadienne7188
    @apolinaayebacanadienne7188 Рік тому +7

    Amène nime Barikiwa kwa nyimbo mimi 😭😭🙏🥰

  • @amigopraia8674
    @amigopraia8674 Рік тому +8

    Deus te abençoe irmão continuem cantando boas músicas bem vindo em Moçambique 🇲🇿🙏🏼🙏🏼🇲🇿🇲🇿

  • @isaya.m.mwakapesa9808
    @isaya.m.mwakapesa9808 Рік тому +4

    Kaka kassian hakika MUNGU ni mkuu kuliko vyote dunian akika MUNGU akutumie apendavyo

  • @Esther-Bri
    @Esther-Bri Рік тому +5

    Woow! Finally he has done it again, MUNGU ni Mwema Tunashukuru, Mwinjilist usipanduke simama imara kwa ukweli kutoka kwa MUNGU wetu aliye Hai, Barikiwa Sana

  • @emelysilingi201
    @emelysilingi201 Рік тому +3

    Napenda sana hiyo msg

  • @RuthNjoroge-oc9sq
    @RuthNjoroge-oc9sq Рік тому +3

    All the way from kenya, yenyewe, Mungu anajua sababu ya kuokoa maisha ya watumishi wake, this guy could b the few alive today who r on track, may God preserve you Paschal to continue blessing our hearts, giving us hope and kutuonya tunapoanguka majaribuni, barikiwa zaidi

  • @bonifaciodinis1634
    @bonifaciodinis1634 Рік тому +17

    continue cantando essas belas canções que estão em sintonia com os tempos que temos. 🇹🇿🇲🇿 ASANTE MUNGU AWABARIKI.

  • @lydiamsafiri9613
    @lydiamsafiri9613 Рік тому +9

    Amina sana Mtumishi,Mungu wa kweli aabudiwe

  • @grantonmwandawa4559
    @grantonmwandawa4559 Рік тому +10

    Nyimbo nzuri sana Mungu azidi kukupa ufunuo zaidi.....Akulinde na Wabaya wako...Amen

  • @CarlomushidKavul-yc5qs
    @CarlomushidKavul-yc5qs Рік тому +4

    Yesu asifiwe mimi APA Kolwezi 🇨🇩

  • @barakadieudonne
    @barakadieudonne Рік тому +9

    Amen Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 😭

  • @samweryconsintantino-xz6bx
    @samweryconsintantino-xz6bx Рік тому +3

    Mungu anasema kuwa rafiki wa dunia ni kujifanya kua aduwi wa Mungu ubalikiwe mtumishi kwakuambia yakweri ulimwengu Zambi yake

  • @mercywere558
    @mercywere558 9 місяців тому +3

    These is God spirit in to this Man of God…..don’t joke Holy Spirit singing in him😭😭🙏

  • @queendeeofficial9810
    @queendeeofficial9810 Рік тому +2

    Amina Amina ujumbe mkweli mtupu Mungu akuangazie mema

  • @israelisponsor8755
    @israelisponsor8755 Рік тому +1

    Mungu akuongezee nguvu na ulinzi katika maisha yako, kwa jinsi watu tulivyopotea katka kumtafuta Mungu wa kweli. Mungu utuhurumie na utupe upeo wa uelewa