Mungu nisaidie nifunguke kwa ajili yako. Nisije nikakukosea kwa kukukosoa vile ulivyoniumba. Vyombo vya uzuri visije pata kibali kwa mwili wangu. Niliona neno lako pekee.
Amina ubarkiwe mtu wa Mungu kwa kutufundisha habari njema. Mwenyenzi Mungu kipitia Mwanawe Yesu kristo atuondolee hayo malango ili adui shetani asitupate
Amina Amina Amina ,😭😭😭😭Nani awaonye wanawake na Maeleni na mapambo YOTE ,mda ni mchache sana tunao HAPA duniani ,eee YESU tufungue macho ya ROHONI Amina
Asante kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu. Je, kusuka nywele za kawaida ( za asili) bila kuongeza pambo lolote kama rasta, weaving , wigi nk je ni machukizo mbele za Mungu? Maana ninasuka nywele za kawaida ( nywele zangu za asili bila kuongeza) . Naomba nifafanulie hapo ili nipone mtumishi wa Mungu.
Nani awaonye hao mi mwenyewe Niko na wife wangu Lkn ukianza Tu kusimulia mambo ya mapambo hutosikizwa KBS na wanaume pia wameingilia hayo mambo ya mapambo makanisani wanayaangalia Tu haya mambo wanaogopa kuwambia watu ukweli manake wanajua Kua watabakia na viti bila watu mungu aturehemu asanti sana Kwa mafundisho yako mazuri mwenye hekima Tu ndie anaeza kukuelewa
Mungu atunusuru,, ila mimi situmii mapambo walakutoboa skio au sehemu nyingine, sioti na tendo la ndoa Bali ni miaka 9 Sasa tangia nimalize shule ya msingi ila siku zote mimi huota tu na shule ile na maramingi twakimbizwa tunapotokea shule au wanafunzi wote wameondoka na nimebakia pekee mule,, nini chazo cha hayo na maana yake nini sioti na shule ya upili au chuo kikuu
0:27 usimpe shetani nafasi, Kweli kabisa yaani, kwa jicho la kawaida huwezi kuelewa, kuna watumishi wa shetani kazi yao ni hiyo wanalala na watu kutimiza kafara zao mwisho wa siku unakosa mke au mume, na kuishi maisha yasiyoeleweka😢, Asante mtumishi
Vitu vya shetan anavyo vitumia kama milango ya kuingilia kwetu ni vingi,mfon kupaka rangi za kucha,nguo fupi,uvaaji wa suruali,nguo za kubana nguo zenye mipasuo,hata baadh ya vyakula au manukato tunayo tumia hata kupendelea movies za kutisha kama za mazombia au za kichawi kuna maroho hua yanatuingia kupitia vitu kama hiv cjui kama nimekusaidia au laa kikubwa nikumwomba Mungu atupe roho mtakatifu ili atuongoze kwa kila kitu kama tutakua na roho mtakatifu atatuonyesha mambo mengi sana pia atatukataza hata kama hata sema mtu mwingine utakuta anasema na ww hichi kitu sio acha
Omba kwa bidii na utumie damu ya Yesu kujitakasa na kujikomboa kutoka kwenye huo unahisi wa hizondoto chafu. Wakati mwingine shetani anaweza kumvamia mkristo hata kama hajafungua mlango wowote, hii hutokea kama hatambui wajibu wake kwa Mugu, pengine hajui hata maombi au hana nguvu kubwa ya Mugu, anaweza kuonewa na shetani
Sasa shetani njo mwenye ma mpaka kuliko YESU ? Neno Lina Sema YESU harari wala kusinziya ajiri ya ukingo Sasa ure malaika mlinzi anatenda lini? Satani satani satani njo ana mamlaka njo alikuya ku pinganisha YESU ushindi wa Golgota hauna faida? Kumpokeya YESU CHRISTU wa NAZARETI kun1 faida kupitiya mtumishi wa Mungu ? Ni mengi kuandika siwezi.
Bwana Yesu Kristo Asifiwe Amina.Mtumishi Ubarikiwe sana kwa Mafundisho yako yaliyo sahihi mbele za Mungu.Mimi Napenda sana MAFUNDISHO YA KIROHO ZAIDI. Barikiwa sn Mtumishi Amina.
Asante kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu. Naomba kuuliza, je kusuka nywele za asili ( nilizozaliwanazo) bila kuongeza rasta na vitu vingine ni dhambi?
Amena,mchungaji Mungu akubaliki sana
Asante sana kwa somo zuri mtumish, kiukweli sikujua lolote kuhusu mapambo
Mungu nisaidie nifunguke kwa ajili yako. Nisije nikakukosea kwa kukukosoa vile ulivyoniumba. Vyombo vya uzuri visije pata kibali kwa mwili wangu. Niliona neno lako pekee.
😊
Amina ubarkiwe mtu wa Mungu kwa kutufundisha habari njema. Mwenyenzi Mungu kipitia Mwanawe Yesu kristo atuondolee hayo malango ili adui shetani asitupate
Hallelujah barikiwa sana mtumishi wa mungu 🙏
Amen 🙏🙏🙏
Amina Amina Amina ,😭😭😭😭Nani awaonye wanawake na Maeleni na mapambo YOTE ,mda ni mchache sana tunao HAPA duniani ,eee YESU tufungue macho ya ROHONI Amina
Barikiwa Sana mtumishi ,,,amen
Mungu akubariki sana akuzidishiye Maisha mema good job
Barikiwa Mwana wa Mungu maana nlikuwa najiuliza n wap tapata majibu ya maswali yangu ,,, Mungu akuongeze Imani usonge mbele
Asante kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu. Je, kusuka nywele za kawaida ( za asili) bila kuongeza pambo lolote kama rasta, weaving , wigi nk je ni machukizo mbele za Mungu? Maana ninasuka nywele za kawaida ( nywele zangu za asili bila kuongeza) . Naomba nifafanulie hapo ili nipone mtumishi wa Mungu.
Hairuhusiwi
Nyoa tuu uwe na aman ya moyo icje ikatokea unakosa unyakuo kisa nywele
Amina MUNGU WA UMOJA akusaidie uzid kufanya kazi yake mtumish
Nashukuru sana kwa hio somo mimi hizo ndoto zimenisubua sana tena miaka mingi.
Barikiwa saaana man of God
Usemayo nikweli mtumishi wa BWANA ubarikiwe sana 🙏🤝
Nani awaonye hao mi mwenyewe Niko na wife wangu Lkn ukianza Tu kusimulia mambo ya mapambo hutosikizwa KBS na wanaume pia wameingilia hayo mambo ya mapambo makanisani wanayaangalia Tu haya mambo wanaogopa kuwambia watu ukweli manake wanajua Kua watabakia na viti bila watu mungu aturehemu asanti sana Kwa mafundisho yako mazuri mwenye hekima Tu ndie anaeza kukuelewa
Aaamen
Watu hawataki kuonywa lakini Mungu yupo Kwa aji ya walio wake
Kweli kabisaa poster 🙏🙏
Amina mtumishi ubalikiwe sana ❤
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
Mungu anisaidie😢😢nisije nikaukosa ufalme wambinguni kwaajili yakuendekeza milango ya Tamara😭😭😭
Amen be blessed mtumishi wa Mungu 🙏
Amen mungu akubariki
Pamoja san mchungaji ❤❤
Amen amen
Hizo don't zote ulizo zitaja Mutumishi mm zote zishanipitia naomba mungu anisaidie zaidi katika toto hizi
Amen
Mungu atusaindiye bila yeye sisi atutaweza Eee Mungu wangu nisaidiye🙏🙏😭😭
😢😢😢😢😢 mungu wangu mtumishi wa mungu balikiwa waongea kweli
Amina
Good job
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
Mungu Akubariki
Amina 🙏 🙏 MUNGU AKUBARIKI 🙏
Amen naamin ni kweli
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu akubaliki sana cassian kwa kutufungua macho
Kama nashukuru Mungu kwa hili fundisho mtumishi nakuomba kila wakati uwe unaliweka uku youtube,
Mungu atunusuru,, ila mimi situmii mapambo walakutoboa skio au sehemu nyingine, sioti na tendo la ndoa Bali ni miaka 9 Sasa tangia nimalize shule ya msingi ila siku zote mimi huota tu na shule ile na maramingi twakimbizwa tunapotokea shule au wanafunzi wote wameondoka na nimebakia pekee mule,, nini chazo cha hayo na maana yake nini sioti na shule ya upili au chuo kikuu
Ujue unarudishwa nyuma uwez Endelea sali sana
Ahsante sana mtumish Mungu akubarik
je ukiwa kwenye kanisa ambao wanawake wanajipodoa na kuweka mawigi na hawaonywi ni kanisa takatifu la mungu ? nisaidieni tafadhali
Kanisa nzuri ni ile inakemea dhambi na kuishi kitakatifu.
Bwana akutumie pia je Kwa hao ambayo hawatumii mapambo Lakini wanakumbana na ndoto hizo je n sababu zipi??
Pepo wachachafu wanapitia kwenye vitu vingi hata vitu unavyotizama
Cheki Hawa Vijana Walivyotekwa angalia hii ua-cam.com/users/shortsgwTZbsWsWvs?feature=share
Kweli kabisa wanawake wa pagani awataki injili ya kweli kama hii 😢
mungu tu ponye
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
❤❤😢😢
Ubiri kuhusu kanisa la Kweli Pia maana maandiko yako waz juu ya ilo
0:27 usimpe shetani nafasi, Kweli kabisa yaani, kwa jicho la kawaida huwezi kuelewa, kuna watumishi wa shetani kazi yao ni hiyo wanalala na watu kutimiza kafara zao mwisho wa siku unakosa mke au mume, na kuishi maisha yasiyoeleweka😢, Asante mtumishi
bwana yesu asifiwe mchungaji ,mimi nimeota jozi hiyo lakini mimi situmiagi mapambo yoyote yaleya uzuri ,nilikuwa nataka unisaidie kwenye kunifafanulia vizuri ,nifanye Nini ?
Vitu vya shetan anavyo vitumia kama milango ya kuingilia kwetu ni vingi,mfon kupaka rangi za kucha,nguo fupi,uvaaji wa suruali,nguo za kubana nguo zenye mipasuo,hata baadh ya vyakula au manukato tunayo tumia hata kupendelea movies za kutisha kama za mazombia au za kichawi kuna maroho hua yanatuingia kupitia vitu kama hiv cjui kama nimekusaidia au laa kikubwa nikumwomba Mungu atupe roho mtakatifu ili atuongoze kwa kila kitu kama tutakua na roho mtakatifu atatuonyesha mambo mengi sana pia atatukataza hata kama hata sema mtu mwingine utakuta anasema na ww hichi kitu sio acha
Omba kwa bidii na utumie damu ya Yesu kujitakasa na kujikomboa kutoka kwenye huo unahisi wa hizondoto chafu.
Wakati mwingine shetani anaweza kumvamia mkristo hata kama hajafungua mlango wowote, hii hutokea kama hatambui wajibu wake kwa Mugu, pengine hajui hata maombi au hana nguvu kubwa ya Mugu, anaweza kuonewa na shetani
Mungu yupo pamoj naw
Mtumishi wa MUNGU na kuna majini ulala na mtu tengu utoto hiyo pia uletwa na nini
Ameen yoote nikweli kabisa
Ameeeee
Sasa shetani njo mwenye ma mpaka kuliko YESU ? Neno Lina Sema YESU harari wala kusinziya ajiri ya ukingo
Sasa ure malaika mlinzi anatenda lini? Satani satani satani njo ana mamlaka njo alikuya ku pinganisha YESU ushindi wa Golgota hauna faida? Kumpokeya YESU CHRISTU wa NAZARETI kun1 faida kupitiya mtumishi wa Mungu ? Ni mengi kuandika siwezi.
Bwana Yesu Kristo Asifiwe Amina.Mtumishi Ubarikiwe sana kwa Mafundisho yako yaliyo sahihi mbele za Mungu.Mimi Napenda sana MAFUNDISHO YA KIROHO ZAIDI. Barikiwa sn Mtumishi Amina.
Amen 🙏
Amen❤
Mungu akubariki
Mungu akubariki
Asante kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Mungu. Naomba kuuliza, je kusuka nywele za asili ( nilizozaliwanazo) bila kuongeza rasta na vitu vingine ni dhambi?
Amen.