EXCLUSIVE: Mama Hamisa kazungumza "Namwambiaga Hamisa akipata mimba asitoe"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 238

  • @eustarmwambanga5131
    @eustarmwambanga5131 6 років тому +37

    Umejua kunichekesha mama...ati unawablock. ...
    Love love love all the way from Kenya

  • @shiraann632
    @shiraann632 6 років тому +19

    Wow hongera Hamisa mungu akuzidishie .

  • @beryldennis2263
    @beryldennis2263 6 років тому +15

    Mama anatia raha huyu anajielewa sana mengin ni riziki kutoka kwa mungu inshalla

  • @wamamatu6294
    @wamamatu6294 6 років тому +26

    MAMA NIMEKUPENDA KWA MASHAURI YAKO, LAKINI MUOMBE NA MASHAURI APATE MUME ALIE CHAGULIWA NA MWENYEZI MUNGU, NDOA NI KITU CHA MANA SANA.

  • @veronikazacharia7206
    @veronikazacharia7206 6 років тому +19

    Asante mama tunakupenda pia

  • @bintisuleimani7124
    @bintisuleimani7124 6 років тому +25

    Hongera mama na mwanao

  • @kittsmohamud
    @kittsmohamud 6 років тому +21

    Mama mwenye adabu na heshma❤❤❤

    • @kittsmohamud
      @kittsmohamud 6 років тому

      Zuweina Mohamed .I ain't talking about dhambi zao,nazumgumsia vile hana vita mtandaoni.Dhambi yao ni yao na Mwenyezi mungu,lakini ako na heshima yake kushinda mama dangote.Authubillah

    • @kittsmohamud
      @kittsmohamud 6 років тому

      Zuweina Mohamed.LMBO you in my comment section preaching sis.I would rather one enjoys themselves and not be bothered with others ,than one who every post she post is throwing shades.Mama mobetto is respectful weather She's in a bar drinking that's her sins.You carry your own unless you are a saint....Google will help.Deuces

  • @paschazianyerere8276
    @paschazianyerere8276 6 років тому +17

    I love you mama mtulivu mwenyewe

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 6 років тому +36

    woyoooo wapi team nyodo gonga like hapa ha ha ha Asante mama team nyodo

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 6 років тому +26

    Iyo ndo raha ya mama anakuwa na mtoto bega kwa bega mama ndo Rafik wa kwel

  • @aminafesali5817
    @aminafesali5817 6 років тому +15

    dah Umeongea point sana mama etu kipenzi

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 6 років тому +24

    Mama Mobeto anamchango mkubwa kwa mwanaye, mama ni mama tu

    • @giannajoji7944
      @giannajoji7944 6 років тому

      Clack Goodluck TV,mama ni mama kwa kweli!acheni mama aitwe mama!mama km hakuweza kuitoa mimba yako atakupigania kwa kila litakalo kukuta haijalishi we ni Malaya hata jambazi!

    • @bisengobubasha
      @bisengobubasha 6 років тому

      Gianna Joji iyo ni kweli dada yangu😍

  • @shakershaker3336
    @shakershaker3336 6 років тому +5

    she's more than a mother,, with maximum respect......

  • @floraclemence2081
    @floraclemence2081 6 років тому +9

    Safi nimempenda bure anaongea kwa kujiamini na ana hekima.Hongera sana

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 6 років тому +11

    Mama mshauri mwanao aolewe mungu hapendi uzinifu Allah atawabariki

  • @aminamgaya7511
    @aminamgaya7511 6 років тому +10

    Haki ya mungu nimekupenda bure we mama

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 6 років тому +10

    Mashaallah hamisa insha'Allah utapata mume wa ndowa cyo ndowana

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema8107 6 років тому +11

    kweli mama mungu yupo nawe dar nakupenda sana una maneno ya busala

  • @fbr5113
    @fbr5113 6 років тому +16

    Hongera mwalimu wa Hamisa kwa kumkomesha Dai hadi anaipatapata. Ayo vipi leo mmewagusa WCB family? Njaa kali eee hahaaa WCB family ndio inalipa mitandaoni. Dai ni wa watu hata msipomuhoji yeye mtajikuta mnahoji baby bibi wake hahaaa

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk 6 років тому +12

    Duh mama wa kiislamu una mshajihisha mwanao alete haramu ndani nyumba loh!

  • @maryammarym4437
    @maryammarym4437 6 років тому +11

    Penda mama hamisa

  • @faridashabani8210
    @faridashabani8210 6 років тому +4

    mashallah,mama jaman huyu kila MTU anamwita mwanake

  • @phyllism2479
    @phyllism2479 6 років тому +5

    Aaah! She is so lovely. I can steal her from hamisa😊

  • @nadyajumaa4490
    @nadyajumaa4490 6 років тому +5

    Ninekupenda sana mama mobeto

  • @faziafaziaa5259
    @faziafaziaa5259 6 років тому +21

    mama umesema ukweli penda wewe

  • @mohammadmpinga7404
    @mohammadmpinga7404 6 років тому +5

    Best Mama...

  • @catherinemsofe8020
    @catherinemsofe8020 6 років тому +6

    nampenda huyu mama

  • @emmamwaila7129
    @emmamwaila7129 6 років тому +6

    Salute mama lao pambana hivyohivyo

    • @lucasgeorge2540
      @lucasgeorge2540 3 роки тому

      Huyo mama, kuna video aliyekua anakatika , ndo hyo au nafananisha

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 6 років тому +1

    Mungu ajaalie kushindania kher zaid hamisa hongera fanya kher zaid ndo maisha yanaenda zaid kumfurahisha mungu

  • @queenkhalimaqueenkhalima3174
    @queenkhalimaqueenkhalima3174 6 років тому +3

    Nakupendaga sana mama hamisa

  • @jasminetesha8225
    @jasminetesha8225 6 років тому +2

    Tunamumbea missa wetu atampata wakumdeza pamoja mama unaongea adi raha penda sana wewe❤❤👏👏

  • @masiqaima3099
    @masiqaima3099 6 років тому +3

    hongera mama kwa hekima

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 років тому +2

    Ww mama hii interview yako niyamwanzo kuisikia. Lkn naona hufai kua mama kiisilam. Huna aibu wala busara. Allah akuongeze

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd8537 6 років тому +3

    Umeongea neno la mana mama heshima kwako

  • @prettyedoedward8549
    @prettyedoedward8549 6 років тому +5

    huyu mama katulia anaongea mpk raha huchoki msikiliza

  • @floraemile8476
    @floraemile8476 6 років тому +3

    Nimekupenda bule mama❤️❤️ unajielewa sio kama mama,,,,,,,,,,,😓 acha nisiongee sana😞☹️

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 6 років тому +37

    Millard hili tangazo lako badilisha sasa tuna jua kazi yako ni utangazaji ndio 😂😂😂

  • @chim_j3133
    @chim_j3133 6 років тому +2

    safiii sanaa mama hamisaa

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd8537 6 років тому +1

    Asante mama mama unaejielewa heshima yk mama wew ndie mama unaejua maana ya mtoto

  • @aishaelias6826
    @aishaelias6826 6 років тому

    Nilichanga pia mimi from Germany..Team hamisa forever

  • @angelgaly1696
    @angelgaly1696 6 років тому +1

    Mama nakupenda sanatu sana lv mama mombeto

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 6 років тому +7

    Yaani upo vizuri, umeongea vizuri

  • @FM-xi3on
    @FM-xi3on 6 років тому +3

    Mama mwenye busara zake 💕💕

  • @faidadusabe9249
    @faidadusabe9249 6 років тому +9

    oyooo, Tim nyodo, ju ju Amisa, kimbiza wote 🏃🏃🏃

  • @zaitunisudi3022
    @zaitunisudi3022 6 років тому +1

    I love you mama♥️♥️

  • @husnauthman7609
    @husnauthman7609 6 років тому +1

    Anajielewa sana huyu mama mashaallah

  • @agnessjohn8404
    @agnessjohn8404 6 років тому

    huyu mama ni mzuri Sana kapendeza kweli halafu na mavazi yake ni ya heshma na anaongea point love you mama

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 9 місяців тому

    Hongera sn Hamisa Kwa kuwa na Mama Bora ❤

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 років тому +1

    Mitihani. Allah atuhifadhi na watoto wetu. Baada ya kumkataza aache zina. Ww unamwambia akipata mimba azae, hao ndio ndugu zake. Muhofu Allah mama angu, ww ni muisilam. Usihadaike na vishilingi hvyo. Kaburi linatisha na hata hvyo ujue unagawana dhambi na mwanao. Hayaa.

  • @elizabetandrew7954
    @elizabetandrew7954 6 років тому +1

    nimekupenda mama hunajielewa

  • @giannajoji7944
    @giannajoji7944 6 років тому +1

    Safi kabisa mama,mama ni mama bwana hakuna km mama!

  • @mirriamandayi6753
    @mirriamandayi6753 6 років тому

    And God bless u mama

  • @mwanamkas5539
    @mwanamkas5539 6 років тому +2

    Safiii mamawe

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 6 років тому +1

    nakupenda mama misa

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 6 років тому +57

    Huyu mama anajielewa.hata anavoongea unaona.kapita shule huyu

    • @zamzamhamisi7332
      @zamzamhamisi7332 6 років тому +3

      Anny Onesmo Ana heshima na pia mstaharabu MashaAllah

    • @fatumamunguamlalezemahalia9488
      @fatumamunguamlalezemahalia9488 6 років тому

      mwacheni azae mpaka wafike Mia hawezi kushindana na Zari anawatoto 5 na bado Anaita MTu na pasa zake

    • @annaupendo4768
      @annaupendo4768 6 років тому +1

      Anny Onesmo unachokiangea ni kweli sasa usikie wale wariobahatisha maisha kina mama Nasibu na Dada mtu jibu na swali utabaki unajiuriza wapi na wapi vijembe vya ushwahilini tu😏😏

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 років тому

      Anny Onesmo Umeona heeeeee!!!

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 6 років тому

      Anna Upendo 😂😂😂

  • @YusufAli-jv3bj
    @YusufAli-jv3bj 6 років тому

    Best mum in the world
    Allah bless me mother like hamisa mum

  • @nabintukadende2388
    @nabintukadende2388 6 років тому +6

    👏👏👏

    • @matonyaalbaho7034
      @matonyaalbaho7034 6 років тому

      eti hamisa azae kwaiyo mnafanya zinaaa hovyo Malaya wewe unatafuta kiki bwege

  • @wandelugenzi5926
    @wandelugenzi5926 3 роки тому

    Asante mama

  • @mamag3301
    @mamag3301 6 років тому +3

    😂😂 nakupenda bule mama mobeto 💕💕

  • @maureenlove7921
    @maureenlove7921 5 років тому

    she is so mature❤❤

  • @aishaaly2489
    @aishaaly2489 6 років тому

    Mashallah mama yetu uko vzr sana nakupenda sana

  • @joycejoes
    @joycejoes 6 років тому +5

    Mama mwenye busara zakee

  • @queendia.4173
    @queendia.4173 6 років тому +3

    nimempenda bure uyu mama, ana kauli nzur.

    • @maimunashaban6314
      @maimunashaban6314 6 років тому

      mashallah mama mungu akufungulie kila lakheir kwa kauli zako zabusara

  • @ARi-gp3cm
    @ARi-gp3cm 6 років тому +6

    Unajua kujibeba mama....

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 роки тому

    Huyo Mama Mashallah Mashallah
    Ana Hikma ya hali ya juuu

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 6 років тому +1

    Nice

  • @sophiatesha9696
    @sophiatesha9696 6 років тому +1

    kabisa mama ndoa ni riziki

  • @tausak4568
    @tausak4568 6 років тому +1

    Yaaani mtafutenii kabisaaa 😘😘😘😘interview ahi choshiii 😘💪💪💪

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому

    Mama unamaneno ya Busara, *Bi Sandra* ebu msikie uyu Mwanamke mwenzio alivyokuwa na hekma, love you forever *Mama Mobetto* umeongea point.

  • @adenimbosa4448
    @adenimbosa4448 6 років тому

    Mashallah mama

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 6 років тому

    Mama hero mungu atampa mume wenye kheri nae .azae watoto wa mama

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 6 років тому +2

    Mama hamisa ukimsikiliza kwa makini utagundua ni msomi na anajielewa,si mlopokaji,sema hamisa Sasa ivi utuletee Mume maana km watoto tayari una Baba na mama

    • @okojoshua4652
      @okojoshua4652 6 років тому +1

      Me kanichekesha tu alivyosema hawezi kutoka Instagram

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 4 роки тому

    Mama nakupenda nimecheka unanifanya nikufuraie jinsi unavyo mfariji amisa yani anapitia magumu

  • @Jib28
    @Jib28 6 років тому +4

    I really wonder!
    Kumbe hamisa tabia anatoa kwa mamaake. Basi ndio hivo. Kuchubua na kadharika. I bet there is witchcraft in the whole drama of Diamond and Hamisa relationship. Mpaka mama anamshahuri mtoto azae bila ndoa???? Nimekushangaa! Yatamukuta Tu. Anavyotrndea wenzake yanamusubili.

    • @alexmurithi1327
      @alexmurithi1327 6 років тому

      jibrat mugwaneza have been following your comments in Facebook, UA-cam etc. Pls stop that hatred

    • @Jib28
      @Jib28 6 років тому

      Alex Murithi
      Alex for your information I hv no hatred but i comment just because this family are just faking and are very good pretenders. I know hamisa mother is supportive to Zari and Diamond's break up. So, i dislike such characters.

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 6 років тому +1

    mama uko safi

  • @irenejoshua1616
    @irenejoshua1616 6 років тому

    nimama wacheche Sana wanao ongea hivyo Asantee mama

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd8537 6 років тому

    Umeongea none mama nakupenda sn mama kwanz mjasir unajielewa

  • @lenaliz8037
    @lenaliz8037 6 років тому

    I love this woman. She is you humble and lovable. Clearly has respect and has her Daughter's best interests at heart.

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 років тому +2

    Halafu unasema ndoa majaaliwa. Inamaana azini tuu. Halafu unajitia kumtaja Yaa Rasulullahi. Humfaham kabisa. Km unajua jinsi Allah anavyoichukia zina basi usingekua unampa kichwa mwanao.

    • @zuweinamohamed8436
      @zuweinamohamed8436 6 років тому

      Love Mummy swadakta maneno yako nipo pamoja na wewe sijaona cha kumsifu huyu MAMA ikiwa na mie pia mzazi kama yeye...unasema ndoa ni majaaliwa inamana ni kheri mwanao akafanye zinaa ili mradi tu MKONO uingie mdomoni...kataza mwanao zinaaa na sio kusema ndoa majaliwa.....

  • @khadijaaziza7586
    @khadijaaziza7586 6 років тому +22

    Aolewe ndo kizurii siyo kuzin tuu

    • @matonyaalbaho7034
      @matonyaalbaho7034 6 років тому

      wote nyie Malaya wewe na mwano wewe mwenyew Malaya ndiyo maana ujaolewa mpaka leo mnategemea k zenu kuishi poleni sana unaacha kumshauri mwanao aolewe unamshauri azae hovyo MTU mzima hovyo

    • @khadijaaziza7586
      @khadijaaziza7586 6 років тому

      Matonya Albaho sipendi mabishano

    • @janetwandeharris3934
      @janetwandeharris3934 6 років тому

      Khadija Aziza malaya wewe na mamaako nfyuuuu

    • @faidadusabe9249
      @faidadusabe9249 6 років тому

      Janet Wande Harris kabisa...👏👏👏

    • @faidadusabe9249
      @faidadusabe9249 6 років тому

      Khadija Aziza ndowa ya toka kwa Allah 🙏☝

  • @teclabeny3335
    @teclabeny3335 6 років тому

    Nakupenda buree mama Hamisa!

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 роки тому

    I lovo u mummy😘

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 років тому

    Mama mzuri wa hekima sio kama muji mama mungine haina hekima hongera mama hamisa

  • @janeawuor9468
    @janeawuor9468 6 років тому

    Mama Mobetto is the real GGGG! Namfollow Instagram pap. She is the best😍

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema8107 6 років тому +1

    ndoa mpangaji ni mungu kama mume wake yupo tu atatokea awe kama shishi akajikalya na uchebe kimy

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 6 років тому +1

    Mtangazaji mfukunyuku wewe khaa Mama uko sawa kabisa kibaya chako kizuri cha mpita njia Hamisa your luck una rafiki wa ukweli 😂😂😂Team Nyodo hahahha ume tisha Mama

  • @leahgodson7512
    @leahgodson7512 6 років тому +3

    Mama anabusara huyu

  • @deograsiamgeni5716
    @deograsiamgeni5716 6 років тому

    Mama nakukubali

  • @tiaedwards3587
    @tiaedwards3587 6 років тому

    Hamisa mobetto is so local and green

  • @reginaphillipo8758
    @reginaphillipo8758 6 років тому

    I love mama saaana

  • @supertal2943
    @supertal2943 6 років тому +4

    UKIPATA MIMBA USTOE!!!.....Mh wasia mzur huo!!!

  • @Roz923
    @Roz923 6 років тому +4

    Hamissa has got the best mum

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 років тому +6

    Mama hamisa ni kijana na ni mrembo
    Lakini hajishauwi kwa kweli...kama
    vile navyo jishauwa mama diamond.
    Mama diamond ni mtu mzima ..lakini
    mh !..anapenda kujishauwa na wala
    hajiheshimu...hapendezi hata kidogo .

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 6 років тому +13

    Mh sijawahi kuona mzazi wa ajabu kama huyu ambae anamshauri mwanawe azini lol pole sana

    • @jamillaibrahim7068
      @jamillaibrahim7068 6 років тому +3

      rajab msinzia ww umezini mara ngp usijifanye msafi

    • @jamesmpeter8710
      @jamesmpeter8710 6 років тому

      mama mecup kdg unatumia saf saba mama mobeto

    • @zaitunisudi3022
      @zaitunisudi3022 6 років тому +2

      Hajamshauri azini lkn amesema aki pata mimba azae, we vp sa amtenge 😏😏

    • @giannajoji7944
      @giannajoji7944 6 років тому +1

      rajab msinzia amemshauri wapi??jamani??mbona mnakuza mambo!

    • @mwanaidialimwayoyo1423
      @mwanaidialimwayoyo1423 6 років тому

      rajab msinzia hajamshauri amesema azae sasa unataka amwambie atoe mimba si uuwaji huo.na amesema ndoa ni rikzi ikipatikana atafurahi au hukusikia hio.waajabu ni ww

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 6 років тому +24

    huyu mama anajielewa, yaani interview yake haichoshi hata nusu sema mmemuhoji kidogo na nyie

  • @douceurgracia4359
    @douceurgracia4359 6 років тому +2

    na cream zimechoma mikono vidole vyote vipodozi vinawaweka wazuri sadaka aina baraka kani imetangaziwa

  • @Roz923
    @Roz923 6 років тому +2

    Uyu mama ana akili

  • @neemajankey6985
    @neemajankey6985 6 років тому

    Naipenda xna hii familia

  • @adolfinangatunga2957
    @adolfinangatunga2957 6 років тому

    Lov u mam mobetto

  • @francischiko3752
    @francischiko3752 6 років тому +1

    mbn wcb am wafanyii interview.