Zuweina Mohamed .I ain't talking about dhambi zao,nazumgumsia vile hana vita mtandaoni.Dhambi yao ni yao na Mwenyezi mungu,lakini ako na heshima yake kushinda mama dangote.Authubillah
Zuweina Mohamed.LMBO you in my comment section preaching sis.I would rather one enjoys themselves and not be bothered with others ,than one who every post she post is throwing shades.Mama mobetto is respectful weather She's in a bar drinking that's her sins.You carry your own unless you are a saint....Google will help.Deuces
Clack Goodluck TV,mama ni mama kwa kweli!acheni mama aitwe mama!mama km hakuweza kuitoa mimba yako atakupigania kwa kila litakalo kukuta haijalishi we ni Malaya hata jambazi!
Hongera mwalimu wa Hamisa kwa kumkomesha Dai hadi anaipatapata. Ayo vipi leo mmewagusa WCB family? Njaa kali eee hahaaa WCB family ndio inalipa mitandaoni. Dai ni wa watu hata msipomuhoji yeye mtajikuta mnahoji baby bibi wake hahaaa
Mitihani. Allah atuhifadhi na watoto wetu. Baada ya kumkataza aache zina. Ww unamwambia akipata mimba azae, hao ndio ndugu zake. Muhofu Allah mama angu, ww ni muisilam. Usihadaike na vishilingi hvyo. Kaburi linatisha na hata hvyo ujue unagawana dhambi na mwanao. Hayaa.
Anny Onesmo unachokiangea ni kweli sasa usikie wale wariobahatisha maisha kina mama Nasibu na Dada mtu jibu na swali utabaki unajiuriza wapi na wapi vijembe vya ushwahilini tu😏😏
Mama hamisa ukimsikiliza kwa makini utagundua ni msomi na anajielewa,si mlopokaji,sema hamisa Sasa ivi utuletee Mume maana km watoto tayari una Baba na mama
I really wonder! Kumbe hamisa tabia anatoa kwa mamaake. Basi ndio hivo. Kuchubua na kadharika. I bet there is witchcraft in the whole drama of Diamond and Hamisa relationship. Mpaka mama anamshahuri mtoto azae bila ndoa???? Nimekushangaa! Yatamukuta Tu. Anavyotrndea wenzake yanamusubili.
Alex Murithi Alex for your information I hv no hatred but i comment just because this family are just faking and are very good pretenders. I know hamisa mother is supportive to Zari and Diamond's break up. So, i dislike such characters.
Halafu unasema ndoa majaaliwa. Inamaana azini tuu. Halafu unajitia kumtaja Yaa Rasulullahi. Humfaham kabisa. Km unajua jinsi Allah anavyoichukia zina basi usingekua unampa kichwa mwanao.
Love Mummy swadakta maneno yako nipo pamoja na wewe sijaona cha kumsifu huyu MAMA ikiwa na mie pia mzazi kama yeye...unasema ndoa ni majaaliwa inamana ni kheri mwanao akafanye zinaa ili mradi tu MKONO uingie mdomoni...kataza mwanao zinaaa na sio kusema ndoa majaliwa.....
wote nyie Malaya wewe na mwano wewe mwenyew Malaya ndiyo maana ujaolewa mpaka leo mnategemea k zenu kuishi poleni sana unaacha kumshauri mwanao aolewe unamshauri azae hovyo MTU mzima hovyo
Mtangazaji mfukunyuku wewe khaa Mama uko sawa kabisa kibaya chako kizuri cha mpita njia Hamisa your luck una rafiki wa ukweli 😂😂😂Team Nyodo hahahha ume tisha Mama
Mama hamisa ni kijana na ni mrembo Lakini hajishauwi kwa kweli...kama vile navyo jishauwa mama diamond. Mama diamond ni mtu mzima ..lakini mh !..anapenda kujishauwa na wala hajiheshimu...hapendezi hata kidogo .
rajab msinzia hajamshauri amesema azae sasa unataka amwambie atoe mimba si uuwaji huo.na amesema ndoa ni rikzi ikipatikana atafurahi au hukusikia hio.waajabu ni ww
Umejua kunichekesha mama...ati unawablock. ...
Love love love all the way from Kenya
Wow hongera Hamisa mungu akuzidishie .
Mama anatia raha huyu anajielewa sana mengin ni riziki kutoka kwa mungu inshalla
MAMA NIMEKUPENDA KWA MASHAURI YAKO, LAKINI MUOMBE NA MASHAURI APATE MUME ALIE CHAGULIWA NA MWENYEZI MUNGU, NDOA NI KITU CHA MANA SANA.
Asante mama tunakupenda pia
Hongera mama na mwanao
Mama mwenye adabu na heshma❤❤❤
Zuweina Mohamed .I ain't talking about dhambi zao,nazumgumsia vile hana vita mtandaoni.Dhambi yao ni yao na Mwenyezi mungu,lakini ako na heshima yake kushinda mama dangote.Authubillah
Zuweina Mohamed.LMBO you in my comment section preaching sis.I would rather one enjoys themselves and not be bothered with others ,than one who every post she post is throwing shades.Mama mobetto is respectful weather She's in a bar drinking that's her sins.You carry your own unless you are a saint....Google will help.Deuces
I love you mama mtulivu mwenyewe
woyoooo wapi team nyodo gonga like hapa ha ha ha Asante mama team nyodo
Iyo ndo raha ya mama anakuwa na mtoto bega kwa bega mama ndo Rafik wa kwel
dah Umeongea point sana mama etu kipenzi
Mama Mobeto anamchango mkubwa kwa mwanaye, mama ni mama tu
Clack Goodluck TV,mama ni mama kwa kweli!acheni mama aitwe mama!mama km hakuweza kuitoa mimba yako atakupigania kwa kila litakalo kukuta haijalishi we ni Malaya hata jambazi!
Gianna Joji iyo ni kweli dada yangu😍
she's more than a mother,, with maximum respect......
Safi nimempenda bure anaongea kwa kujiamini na ana hekima.Hongera sana
Mama mshauri mwanao aolewe mungu hapendi uzinifu Allah atawabariki
Wewe umeolewa
Haki ya mungu nimekupenda bure we mama
Mashaallah hamisa insha'Allah utapata mume wa ndowa cyo ndowana
kweli mama mungu yupo nawe dar nakupenda sana una maneno ya busala
Hongera mwalimu wa Hamisa kwa kumkomesha Dai hadi anaipatapata. Ayo vipi leo mmewagusa WCB family? Njaa kali eee hahaaa WCB family ndio inalipa mitandaoni. Dai ni wa watu hata msipomuhoji yeye mtajikuta mnahoji baby bibi wake hahaaa
Potezea Wazushi shuhudia mwenyewe umeona ee
Duh mama wa kiislamu una mshajihisha mwanao alete haramu ndani nyumba loh!
Penda mama hamisa
mashallah,mama jaman huyu kila MTU anamwita mwanake
Aaah! She is so lovely. I can steal her from hamisa😊
Ninekupenda sana mama mobeto
mama umesema ukweli penda wewe
Best Mama...
nampenda huyu mama
Salute mama lao pambana hivyohivyo
Huyo mama, kuna video aliyekua anakatika , ndo hyo au nafananisha
Mungu ajaalie kushindania kher zaid hamisa hongera fanya kher zaid ndo maisha yanaenda zaid kumfurahisha mungu
Nakupendaga sana mama hamisa
Tunamumbea missa wetu atampata wakumdeza pamoja mama unaongea adi raha penda sana wewe❤❤👏👏
hongera mama kwa hekima
Ww mama hii interview yako niyamwanzo kuisikia. Lkn naona hufai kua mama kiisilam. Huna aibu wala busara. Allah akuongeze
We ndo Mungu eti?
Umeongea neno la mana mama heshima kwako
huyu mama katulia anaongea mpk raha huchoki msikiliza
Nimekupenda bule mama❤️❤️ unajielewa sio kama mama,,,,,,,,,,,😓 acha nisiongee sana😞☹️
😂😂😂😂😂
Millard hili tangazo lako badilisha sasa tuna jua kazi yako ni utangazaji ndio 😂😂😂
Rahima Juma 😂😂😂😂😂
😂😂😂Rahima Juma
Dedih Ahmed 😂😂😂nimejikuta naandika tu
Rahima Juma tangazo ndo Pesa my
Linachosha sana kwa kweliii
safiii sanaa mama hamisaa
Asante mama mama unaejielewa heshima yk mama wew ndie mama unaejua maana ya mtoto
Nilichanga pia mimi from Germany..Team hamisa forever
Mama nakupenda sanatu sana lv mama mombeto
Yaani upo vizuri, umeongea vizuri
Mama mwenye busara zake 💕💕
oyooo, Tim nyodo, ju ju Amisa, kimbiza wote 🏃🏃🏃
I love you mama♥️♥️
Anajielewa sana huyu mama mashaallah
huyu mama ni mzuri Sana kapendeza kweli halafu na mavazi yake ni ya heshma na anaongea point love you mama
Hongera sn Hamisa Kwa kuwa na Mama Bora ❤
Mitihani. Allah atuhifadhi na watoto wetu. Baada ya kumkataza aache zina. Ww unamwambia akipata mimba azae, hao ndio ndugu zake. Muhofu Allah mama angu, ww ni muisilam. Usihadaike na vishilingi hvyo. Kaburi linatisha na hata hvyo ujue unagawana dhambi na mwanao. Hayaa.
nimekupenda mama hunajielewa
Safi kabisa mama,mama ni mama bwana hakuna km mama!
And God bless u mama
Safiii mamawe
nakupenda mama misa
Huyu mama anajielewa.hata anavoongea unaona.kapita shule huyu
Anny Onesmo Ana heshima na pia mstaharabu MashaAllah
mwacheni azae mpaka wafike Mia hawezi kushindana na Zari anawatoto 5 na bado Anaita MTu na pasa zake
Anny Onesmo unachokiangea ni kweli sasa usikie wale wariobahatisha maisha kina mama Nasibu na Dada mtu jibu na swali utabaki unajiuriza wapi na wapi vijembe vya ushwahilini tu😏😏
Anny Onesmo Umeona heeeeee!!!
Anna Upendo 😂😂😂
Best mum in the world
Allah bless me mother like hamisa mum
👏👏👏
eti hamisa azae kwaiyo mnafanya zinaaa hovyo Malaya wewe unatafuta kiki bwege
Asante mama
😂😂 nakupenda bule mama mobeto 💕💕
she is so mature❤❤
Mashallah mama yetu uko vzr sana nakupenda sana
Mama mwenye busara zakee
nimempenda bure uyu mama, ana kauli nzur.
mashallah mama mungu akufungulie kila lakheir kwa kauli zako zabusara
Unajua kujibeba mama....
Huyo Mama Mashallah Mashallah
Ana Hikma ya hali ya juuu
Nice
kabisa mama ndoa ni riziki
Yaaani mtafutenii kabisaaa 😘😘😘😘interview ahi choshiii 😘💪💪💪
Mama unamaneno ya Busara, *Bi Sandra* ebu msikie uyu Mwanamke mwenzio alivyokuwa na hekma, love you forever *Mama Mobetto* umeongea point.
Mashallah mama
Mama hero mungu atampa mume wenye kheri nae .azae watoto wa mama
Mama hamisa ukimsikiliza kwa makini utagundua ni msomi na anajielewa,si mlopokaji,sema hamisa Sasa ivi utuletee Mume maana km watoto tayari una Baba na mama
Me kanichekesha tu alivyosema hawezi kutoka Instagram
Mama nakupenda nimecheka unanifanya nikufuraie jinsi unavyo mfariji amisa yani anapitia magumu
I really wonder!
Kumbe hamisa tabia anatoa kwa mamaake. Basi ndio hivo. Kuchubua na kadharika. I bet there is witchcraft in the whole drama of Diamond and Hamisa relationship. Mpaka mama anamshahuri mtoto azae bila ndoa???? Nimekushangaa! Yatamukuta Tu. Anavyotrndea wenzake yanamusubili.
jibrat mugwaneza have been following your comments in Facebook, UA-cam etc. Pls stop that hatred
Alex Murithi
Alex for your information I hv no hatred but i comment just because this family are just faking and are very good pretenders. I know hamisa mother is supportive to Zari and Diamond's break up. So, i dislike such characters.
mama uko safi
nimama wacheche Sana wanao ongea hivyo Asantee mama
Umeongea none mama nakupenda sn mama kwanz mjasir unajielewa
I love this woman. She is you humble and lovable. Clearly has respect and has her Daughter's best interests at heart.
Halafu unasema ndoa majaaliwa. Inamaana azini tuu. Halafu unajitia kumtaja Yaa Rasulullahi. Humfaham kabisa. Km unajua jinsi Allah anavyoichukia zina basi usingekua unampa kichwa mwanao.
Love Mummy swadakta maneno yako nipo pamoja na wewe sijaona cha kumsifu huyu MAMA ikiwa na mie pia mzazi kama yeye...unasema ndoa ni majaaliwa inamana ni kheri mwanao akafanye zinaa ili mradi tu MKONO uingie mdomoni...kataza mwanao zinaaa na sio kusema ndoa majaliwa.....
Aolewe ndo kizurii siyo kuzin tuu
wote nyie Malaya wewe na mwano wewe mwenyew Malaya ndiyo maana ujaolewa mpaka leo mnategemea k zenu kuishi poleni sana unaacha kumshauri mwanao aolewe unamshauri azae hovyo MTU mzima hovyo
Matonya Albaho sipendi mabishano
Khadija Aziza malaya wewe na mamaako nfyuuuu
Janet Wande Harris kabisa...👏👏👏
Khadija Aziza ndowa ya toka kwa Allah 🙏☝
Nakupenda buree mama Hamisa!
I lovo u mummy😘
Mama mzuri wa hekima sio kama muji mama mungine haina hekima hongera mama hamisa
Mama Mobetto is the real GGGG! Namfollow Instagram pap. She is the best😍
ndoa mpangaji ni mungu kama mume wake yupo tu atatokea awe kama shishi akajikalya na uchebe kimy
Mtangazaji mfukunyuku wewe khaa Mama uko sawa kabisa kibaya chako kizuri cha mpita njia Hamisa your luck una rafiki wa ukweli 😂😂😂Team Nyodo hahahha ume tisha Mama
Mama anabusara huyu
Mama nakukubali
Hamisa mobetto is so local and green
I love mama saaana
UKIPATA MIMBA USTOE!!!.....Mh wasia mzur huo!!!
Hamissa has got the best mum
Mama hamisa ni kijana na ni mrembo
Lakini hajishauwi kwa kweli...kama
vile navyo jishauwa mama diamond.
Mama diamond ni mtu mzima ..lakini
mh !..anapenda kujishauwa na wala
hajiheshimu...hapendezi hata kidogo .
Rahma Husseil
Mh sijawahi kuona mzazi wa ajabu kama huyu ambae anamshauri mwanawe azini lol pole sana
rajab msinzia ww umezini mara ngp usijifanye msafi
mama mecup kdg unatumia saf saba mama mobeto
Hajamshauri azini lkn amesema aki pata mimba azae, we vp sa amtenge 😏😏
rajab msinzia amemshauri wapi??jamani??mbona mnakuza mambo!
rajab msinzia hajamshauri amesema azae sasa unataka amwambie atoe mimba si uuwaji huo.na amesema ndoa ni rikzi ikipatikana atafurahi au hukusikia hio.waajabu ni ww
huyu mama anajielewa, yaani interview yake haichoshi hata nusu sema mmemuhoji kidogo na nyie
na cream zimechoma mikono vidole vyote vipodozi vinawaweka wazuri sadaka aina baraka kani imetangaziwa
Uyu mama ana akili
Naipenda xna hii familia
Lov u mam mobetto
mbn wcb am wafanyii interview.