Mama Ipyana Kibona amuasa na kumuombea mtoto wake Dr.Ipyana - FULL VIDEO
Вставка
- Опубліковано 26 чер 2024
- #dripyana
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Mtumishi wake Mama Kibona aliyetumika kwenye Ibada ya The Tabernacle kutufafanulia nini haswa inamaanisha kuwa MASKANI ya Mungu.
Mama alitoa darasa lilitofunza kuhusu unyeyekevu kama kigezo cha msingi sana ili Mungu aishi ndani yetu. Imetupasa tupungue, ili Yesu aongezeke ndani yetu.
#TheTabernacle sio Ibada tu, ni maisha ya kila siku
#DrIpyana
#TheTabernacle
Uhimidiwe MUNGU wewe wa ajabuuu matendo yako makuuu sanaa , nipe na nguvu naujasiri wakuwalea wanangu kwa njia inayokupendeza Mungu wanguuu,, Ipyana you're blessed 🙌 such a mom a wonderful mom 😢laiti wazazi wote wangalikuwa namna hii ooh God ,, nipe nguvu nikawe kielelezo kwa wanangu.....baraka tele
Wazazi wote wangekua hivi kwa kweli tusingeteseka sana katika laana.😭😭Mungu nisaidie nitamkie wanangu baraka nakuwalea vyema
Kweli kabisa dear
Aiseee kweli kabisa
Kabisaaa, Sisi vijana tujifunze kumtumikia Mungu
Nilikuwepo iyo siku ila nimerudi kuangalia tena kuna mambo mengi yananigusa sana nimekuja kujua bila mama Ipyana asingekuwa kwenye wito wake
I have cried, what a wonderful mum she is his intercessor. May God bless her she is bold and full of wisdom.
God is still raising the dead, doctors know, mothers know. My siter lied dead in front of our eyes, my dad gave up, my mom prayed up after a five hours straight of no any sign of breath, she coughed and the rest is history! Mungu ni kweli!
Asante Mungu kuniwezesha kumsikiliza mama ipyana nimekumbuka ninavyomwambia mwanangu amtangulie Mungu kwa kila Jambo mtoto akimjua Mungu ktk roho na kweli ni Raha Sana Mungu naomba unisaidie wanangu wakujue na kutambua kuwa wewe ni mwokozi wa maisha yao na akatawale ndani yao
Asante Mama kwa ushuhuda mzuri nimejifunza kitu.Mungu aendelee kukuongoza mtumishi wa Mungu
Sina mengi ya kusema, Dr Ipyana ndo mwimbaji wa gospel nampenda, namba mbili kutoka kwa mke wangu muimbaji pia. From kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu mama ana roho wa MUNGU na ana nguvu za MUNGU sio kawaida na ndo amemuambukiza na mwanae kuwa hivi YESU awatunze 🙏🙏🙏
Twaitaji huu ujumbe kwenye tiktok tukasambaze tafadhali ❤
The joy of a mother is to see her children doing well.
I salute you mother.
Dr Ipyana ..nyimbo yakoya ya umefa hili umefanya Lile umenipa jina Baba Nina kushukuru..
Baraka zako zako hasiesabiki...neema Yako haizoeleki...😭😭😭😭😭
Machozi yanitoka.
Barikiwa sana.🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙏🙏
Mama mwenye uhafamu wa kiMungu natamani na mm Mungu anipe ufahamu wake niishi maisha ya kumtumaini kristo na watoto wangu kuwalea katika maisha yakumjua kristo wawe na upendo kwa watu wote na wamuheshimu Mungu na watu rika zote pasipo kuangalia uwezo wao
Kingine nimejifunza nikiwa kama mama naweza kutengeneza kesho ya wanangu kwa maombi nakuwatamkia baraka katika kila jambo lililo jema.
Nimelia sana nikafika mbali nikamuogopa Mungu kupitia clip hii
Itoshe kusema asante Mungu kwa yote
Unavyoramani hivyo na Mungu atakupa kadri ya matamanio yake
Touching and loving words
Mungu nijalie kuwa mama mzuri kwa watoto wangu wakujue wewe Mungu wa kweli na kushika njia zako
I came across the song : Bwana minakushukuru first week of June 2024 and it has lifted up my soul and am grateful to God. Though i don't understand much Tanzanian Swahili am watching this testimony from Zambia 🇿🇲 am a single mother of four and am learning something from our mom🙏🙏 i believe the first prophet of a child is the mother 🙌🙌🙏
Dr Ipyana is really blessed ,much love from Burundi ❤
Kwamaombi kama hayo
Mutumishi haataweza kuogopa chochote hata kama nisimba ama mlima gani mbele yake kwasababu amebalikia namama ake 😢
Oooh Jehovah God it touched my soul
BEING A PARENT IT'S A CALL
Kenyan love ipyana🎉
You are a Blessing mum
We love you too Kenyan people❤
Mama ameongea mambo ambayo yamenifunza sana
Mungu akutunze mtumi shi wa Mungu amtumze na Mama nimetamani sana Mama yangu angekuwa hai alikiwa anapenda kunipa maneno ambyo Leo yamekuwa msaada kwangu
Wooooow😭😭😭😭😭😭😭😭.
What a Testimony❤❤❤❤❤❤❤.
Man of God Dr Ipyana,you're God's Seed.....Thank you Mama Ipyana for your GREAT FAITH Since his Childhood!!!
Najiungamanisha na hii neema ya maombi ya mama Ipyana kwa jina la Yeau.❤❤
Wow, Najifunza kutoka kwa MAMA. Mafunzo mazito, Mungu akuhifadhi mama Ipyana. Uishi miaka mingi na uzidi kuzungumza kwa hekima za Mungu.
Asante Mama umenipa nguvu ya kusonga mbele kama Mama wa familia😢😢😢
aaaaawwww...my heart is full. They are both lucky to have each other. I came to know Daktari through his song "kama sio mkono wako". May God continue using you to bless us
Nimelia!!upendo wa mama hauna kifani!!Mungu baba naomba Nitunzie mama yangu!Mungu uwatunze wa mama wote na waliokuja kwako uwapokee!
Mama Mungu akubariki sana Kwa upendo wako,umenibariki sana Mungu akuongezee maisha marefu
Mungu aendelee kumlinda mtumishi Dr Ipyana .Mama Mungu akuongezee Miaka mingi
Ipyana alinishuhudia huku Marekani kuwa aliungua vibaya sana..karibu are akiwa na miaka miwili..Kweli Mungu ni wa ajabu alimponya.
nimelia sana 😢😢😢😢 Mungu akubariki sana mama ipyana R.I.P mama yangu Mungu akupe pumziko zuri🙏🙏🙏🙏
Mungu Ni mkuu Sana - Mama Mungu AKUBARIKI na atunze hii neema kwa Dr
Barikiwa mno Mtumishi wa Mungu! Una Imani kubwa sana
Nimetokwa na machozi nimejifunza kitu kikubwa sana na nimebarikiwa .Mungu akutunze mama Ipyana.Dr Ipyan Umebarikiwa sana sana Mungu akutunze na akuinue zaidi na zaidi kwaajili ya Utukufu wa Mungu.
Aiseee nami nimelia sana...namimi mwanangu aliungua wakati baba yake hayupo.....Amina lakini Mungu alinishindia pia
I just see God in this testimony🥺
My humble request is to consider translating kiseahili for the international audience 🙏😢
mum your surely annointed..,i love you mama..
More love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Asante sana Mama Ipyana kwa maneno ya hekima na maarifa. Dr Ipyana ukawe baraka daima uwe mnyenyekevu
Kama mama nimejifunza jambo Zuri sana barikiwa mama ipyana
What an inheritance from the mum To Dr Ipyana, this is the greatest of all.. Jesus Christ the hope of Glory
Ee BWANA YESU nijalie niwe kama mama huyu kwa watoto wangu🙌🙌🙌🙏
Mama wa busara , powerful
Ubarikiwe mama Mungu amekupa hekma ya hali ya juu .Let God protect you 🙏 watching from USA
Mama asante sana .
MUNGU akubariki mama yangu❤❤❤
This day was amazing aisee ,Mungu aliniudumia mapema Sana,Glory and Honour belong to God Almighty
Ikawe kwangu na mmi nikajazwe roho mtakatifu 😢❤
Like mother like son, be blessed man of God
Hallelujah 😭😭😭😭, Mama ana madini mengi.
Hallelujah. Proud of you mom. Mungu awabariki family ya Mzee Kibona
Mama nzuri sana, Mungu akubariki mama
So touching! Mungu akubariki mama Ipyana kwa hizi shuhuda.❤
Dr Ipyana umebarikiwa sana. Mungu aendelee kukutumia
Wow wow may God receive all the glory watching from Seattle
I pray this grace to be upon my Son in JESUS Name!
Nimependa❤
Tafuta kuwa na amani na watu wote.Tuitazame msalaba.
Nimejifunza mambo mengi kutoka kwa mama huyu mwenye busara.
Mungu akubariki Dr Ipyana.
Wakenya twapenda injili unayoeneza kupitia nyimbo zako.
This got me. Thank you, Mama, for teaching us today. Honouring God brings peace.
Kama mama WA watoto nimejifunza kitu hapo Tunashukuru mtumish WA Mungu.
Nimejikuta nabubujika mno na kulia mbele za Mungu hakika Yesu ni mwaminifu.
Mambo ya nguvu yakuandame mama ❤❤❤❤❤, Mungu akutunze
Dah nimelia na sijui kwa nini nimelia Mungu mponye mama yangu na saratani ya koo
Tayari amefanya
HIS WILL BE DONE 🙏
Kwa jina la Yesu, Amen!!
Powerful indeed.. Such testimony and blessing from parents really helps
Mungu akubariki ushuhuda mkubwa sana mama umenifundisha mengi
Dr ipyana n mnyenyekevu mno, na inaonekana
Mama Mungu akupe umri mrefu
Dr ipyana roho azidi kukutumia kwa ajili ya taifa na ulimwengu
Kiukweli Mama ipyana ni mama wa kuingwa katika jamii
Nimebalikiwa sana mungu akubaliki sana mama
❤❤❤TANGIBLE MANIFESTATION OF GOD'S GLORY.
THIS WILL REMAIN POWERFUL FOREVER AND EVER.
Nimeliaaaa. Mungu nisaidie niwe kama huyu mama na nizidi kukujua wewe Mungu.
😢😢😢😢
Mum mzuri sana 🎉🎉🎉❤ nakupenda sanaaaaa
Familia Yao wote walikuwa watumishi Mzee kibona babake ipyana tuliimba nae sana ibada za hasubuh
Amen Mama Mungu akutumze.
Kwa maombi haya ya huyu mama, Ipyana siyo wakumgusa kabisa unaweza kauka bila moto...
😂😂😂 hakika
Mungu akubariki sana mama
Amen, maombi ya mama ni very powerful
I can't wait for this
Amina Mungu aendelee kukutumiau mtumishi wa Mungu usiende kusho kulia uangalie msalaba utakusaidia ipo neema ya msalaba
Mama mungu akubariki sana
Natamani wazazi wote wangekuwa kama mama Dr ipyana
My spirit was mothered intercessory.wise for a minute
Wow j'adore ce moment Dieu soit loué
That was very powerful and emotional
So powerful and emotional.
Mama asante sana
Amen. What a blessing! 😊
Asante mama kwa malezi bola
Bro ipyana mungu azidi kukuinua, mama amejawa na nguvu
Mungu akubariki mama Ipyana❤
very powerful message, God bless you so Much MAMA.
Ubarikiwe mama mzuri.
Who's cutting onions 😢❤this is uplifting ❤barikiwa sana mum ipyana kwa kutufunza njia
Oooh 😢😢😢
Yesu Asante kwa Maisha Ya Mama Ipyana 😭🙏🏾
What a powerful woman of God 💥
Oooh YESU 😭🙌
Namuona kama mama angu .... daaaaah RIP mama angu pumzika kwa amani
Mungu akubariki saaana Mtumishi wa Mungu
Nimeguswa sana na Shuhuda za mama na jinsi alivyo tamka baraka kwa mwanawe.Jina la Bwana Litukuzwe
Yesu ahsante
God I bless you 🤲🧎🙏😭😭😭My you keep well Mon and Dr Ipyana, your servant. Amen 🙏.
Huyu Mama yangu mdogo mtupu na Mama
This woman ❤❤❤❤ aiseee
It's so Powerful wow
God bless u Mama
😢😘stay blessed mom