HIVI NDIVYO JPM ALIVYOKULA KIAPO CHA RAIS LEO DODOMA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 110

  • @mariamuseifu3065
    @mariamuseifu3065 3 роки тому +3

    Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏

  • @zainabujuma7252
    @zainabujuma7252 3 роки тому +2

    Tunakupenda Baba Magufuli go go go Ikulu yako ningekuwa na Amri ningekupa 20 kabisaa

  • @karirekinyana9759
    @karirekinyana9759 3 роки тому +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏Asante Mungu
    Magufuli kweli wewe siomutumishi wawa Tanzania pekee pia wewe nimutumishi wa Mungu Mwenyezimungu akujalie nakukupangufu watuwa
    Danmark tunagupenda sana
    Congratulations 🤝🤝🤝🤝🤝

  • @bernakajoro4083
    @bernakajoro4083 3 роки тому +1

    Mwenyezi mungu akulinde na kukuongoza kiongoz wetu mpendwa ,uliebarikiwa na mungu,mungu awajalie saana viongoz wetu,tunawapenda tunajivunia kuwa na ninyi kwani mfanyanya Mambo makubwa mazur ndani ya nchi hii,tunategemea makubwa Zaid mazur,tunawakubali saana.amina.

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay2205 3 роки тому +4

    Mh Rais wangu hongeraaaa sanaaa.mwisho wa yote ushindi tumepata Mungu ni mwema. Alhamdulillah Molla ni muweza wa yote.

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy 3 роки тому +1

    Mwanangu Joseph, Kazi njema na Mungu akutangulie, usibadirike, moyo wako ni mkarimu kwa watu wako.
    Mungu akushike mkono wake!!

  • @tukuyufm
    @tukuyufm 5 місяців тому +1

    dah, nimemkumbuka sana raisi wangu JPM, pumzika kwa amani

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 3 роки тому +1

    Kura yangu haijapotea wa sijakosea kukuchagua, hongera sana Rais wetu Mwenyez Mungu azidi kukulinda, wanaosema wameibiwa walikuwa wap wakat wana ibiwa?

  • @kusinayusuph3949
    @kusinayusuph3949 3 роки тому +3

    Hongera Sana Raisi wangu niliekuchagua mwenyewe

  • @fredymgina13
    @fredymgina13 3 роки тому +15

    Wakwanza leo jmn team jpm like zetu hapa 😍

  • @latifapolena7649
    @latifapolena7649 3 роки тому +2

    Mungu akupiganie

  • @johnmasalumasalunjire5887
    @johnmasalumasalunjire5887 3 роки тому +1

    Hongera Magufuli Mungu akuriend

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 3 роки тому +5

    Hongera Rais wangu. Mola akutangulie kwenye kazi zako🙏🙏

    • @suleimanhassan6624
      @suleimanhassan6624 3 роки тому

      Mungu akumpe mahono yakuifanys kazi yawana hichi kwauuwaminifu nabils ubanhuzi wadin Wala wskabila mungu akpe uzima,

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 3 роки тому +1

    Hongera sana Raisi wangu Mungu akusimamie katika utumishi wako.

  • @alexmilalu3031
    @alexmilalu3031 3 роки тому +1

    Hongera Rais

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 3 роки тому

    AMEN AMEN. MUNGU MKUU AKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS MAGUFULI NA HEKIMA YA MUNGU MKUU IWE JUU YAKO.BARIKIWA MAMA YETU. AMEN.

  • @eliachniyonkuru9797
    @eliachniyonkuru9797 3 роки тому +3

    Congratulations DKT JPM GOD be with you!! Voice from Burundi

  • @mluziwajini4734
    @mluziwajini4734 Рік тому +1

    Endelea kupumzika vyema hakuka mwendo umeumaliza

  • @nkambapunguja1519
    @nkambapunguja1519 3 роки тому

    Mungu akulinde rais wangu Magufuli 🙏🙏🙏

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h 3 роки тому +1

    Mungu akuweke raisi wetu

  • @petershayo5227
    @petershayo5227 2 місяці тому

    Rest in peace Baba tutakukumbuka milele😭😭

  • @user-re2px8ic1f
    @user-re2px8ic1f 14 днів тому

    Vraiment !!

  • @deborahdeogratius4447
    @deborahdeogratius4447 3 роки тому +1

    Mungu azidi kukubariki kukulinda na kukutunza

    • @haithamalharthy68
      @haithamalharthy68 3 роки тому

      Mama SAMIYA ALLAH akubariki na akusaidiye inshaAllah

  • @petersabai6801
    @petersabai6801 3 роки тому +1

    Hegeraw sana mh jhon pombe magufuri kwa ushindi wako

  • @christinebelinda3498
    @christinebelinda3498 3 роки тому +3

    Congra JPM💝💝💝💝

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 3 роки тому

    Mungu ameshamkataa ndio maana kura za wizi zimeonekana bado umelazimisha utangazwe umeshinda hakika Mungu atakupiga mchana kweupe

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 3 роки тому +3

    Watz wamekuonyesha jinsi gani hawakutaki

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 3 роки тому

      Kama humtaki ni wewe usiseme Watanzania wote hatumtaki sisi bado tunamhitaji sana wewe nenda kajifungie ndani kwako kimya

    • @toxicharmful4938
      @toxicharmful4938 3 роки тому

      Walifumbwa ubongo tuwaache watajuta wenyewe

    • @lilianpabro5511
      @lilianpabro5511 3 роки тому

      Humtak wew c wote

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 8 днів тому

    2024

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 роки тому

    Amina yarabi allah akungoze

  • @lomayanilaiza8205
    @lomayanilaiza8205 3 роки тому

    Jemn President of naona unakula kiapo bythewei ngai 2mikia inch vizr

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 роки тому

    Hongera rais wetu

  • @peterandrew2795
    @peterandrew2795 11 місяців тому

    Pole sana baba yangu

  • @toxicharmful4938
    @toxicharmful4938 3 роки тому +1

    Watanzania tutaibiwa mpala mwisho kama kura zinaibiwa nn hakiwezi ibiwa

  • @magrethmussa6404
    @magrethmussa6404 3 роки тому +1

    Chapa kazi baba tunakuaminia

  • @raqikhalf6415
    @raqikhalf6415 3 роки тому +2

    Utabaki kua raisi wa tanzania hakuna wakukupinga

    • @haithamalharthy68
      @haithamalharthy68 3 роки тому

      Allah akusaidiye JMP.
      una apa kwa makini. MUNU akusaidiye

  • @danieljeromelyimo6673
    @danieljeromelyimo6673 3 роки тому

    Mungu aku samehe Mna thubutu Kuapa😥😥😥😥😥

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 3 роки тому +1

    Bado nasema yanga wabadili jezi. Hii njano ibaki ya Ccm tu.

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 роки тому +2

    MASHA ALLAH.

  • @rumb9691
    @rumb9691 3 роки тому +4

    Nyumbani kumenoga 🇹🇿

  • @razibchowdhury9869
    @razibchowdhury9869 3 роки тому +1

    Mungu.atawahukumu.hapahapa.duniyani.wauwaji.wakubwa.nyiye.akhera.kwendahebu

    • @khalifaalmugheiry9232
      @khalifaalmugheiry9232 3 роки тому

      Amen

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 3 роки тому

      Hujui kusoma brooo

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 3 роки тому

      Ndugu zako wangapi wameuliwa broo

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 Рік тому

      Wewe umefanya manfapi

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 Рік тому

      Allah Hana sifa kama ya binadamu Allah anasamehe mpaka washirikina ambao Allah alisema anasamehe dhambi zote ila ushirikina tu ndie aliahid hatowasamehe washirikina basi kwa hiyo mdomo wako huwezi muingiza mtu motoni Wala peponi angalia yako wewe huna dhambi wewe

  • @linetwafula7107
    @linetwafula7107 3 роки тому

    Rip president magufuli

  • @msstudiosoficial8825
    @msstudiosoficial8825 3 роки тому +1

    ASSANTE SANA

  • @herieltadeus4722
    @herieltadeus4722 3 роки тому

    Ongera baba munga akupe hekma kubwa kwa kuongoza taifa letu

  • @mrsruweidaabdallah8704
    @mrsruweidaabdallah8704 3 роки тому

    Mh hongera tena

  • @lomayanilaiza8205
    @lomayanilaiza8205 3 роки тому

    I shall a

  • @hafidhchoi3186
    @hafidhchoi3186 3 роки тому +3

    Kz kz

  • @switbertntibashima5238
    @switbertntibashima5238 3 роки тому +1

    Hongeraaa jpm

  • @cliffkidd_
    @cliffkidd_ 3 роки тому

    R.i.p JPM

  • @teacherd
    @teacherd 3 роки тому

    JINSI YA KUFAULU MTIHANI WAKO BILA KUSOMA
    ua-cam.com/video/Jt0oh4NkVf0/v-deo.html

  • @razibchowdhury9869
    @razibchowdhury9869 3 роки тому

    Na.mwenyezi.mungu.kashawandalia.makaziyenu.yamilele.motoni

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 3 роки тому

      Hakuna mwanadamu anaekaa kikao na MUNGU juu ya wanadamu chini ya jua

    • @mangeleoporod2704
      @mangeleoporod2704 3 роки тому

      Imeandikwa wapi iyo wewe mwenyewe apo hujui utaenda motoni ama kwenye laha ya milele ndo uhukumu mwenzako

    • @matendupiterngoge8707
      @matendupiterngoge8707 Рік тому

      Umefanya kosa kubwa sana kumuhukumu mtu akiwa hai kua yeye nimtu wa motonn nadhani wewe unaweza kua huujui uislamu kabisa unachukua mamlaka ya Allah ya kujua mtu wa motonn na WA peponإسغفرالله يا رجل

  • @toxicharmful4938
    @toxicharmful4938 3 роки тому +1

    Kama baba anashinikiza watoto wake wote wawe na vyeo familia gani zinatengenezwa hapo na maendeleo gani yatapatikana bila changamoto mfumo wa vyama vingi unaovunjwa huo tutajuta

    • @lewismugo4070
      @lewismugo4070 3 роки тому +1

      kweli kabisa hakuna vile anataka chama chake tu kwa mbunge hakuna maendeleo.

    • @lilianpabro5511
      @lilianpabro5511 3 роки тому

      Mtanyooka

    • @toxicharmful4938
      @toxicharmful4938 3 роки тому

      @@lilianpabro5511 na mamaako pia ngoja tuwaache simnajifanya fyatu

    • @lilianpabro5511
      @lilianpabro5511 3 роки тому

      @@toxicharmful4938 Et ee c fyatu n tunajielewa nyie mtaponda mwisho mtaacha tu amna jipya hapo tushazoea na mitano tushaampa afu kuhusu mama co unaechat nae plz heshima ifwate mkondo wake

    • @lewismugo4070
      @lewismugo4070 3 роки тому

      @@lilianpabro5511 mwenye kuumia ni sisi wanainchi, hii ndunia hakuna inchi iko na chama moja kwa mbunge labda kwa dictator maendeleo hakuna hapo.

  • @ArarsoAli
    @ArarsoAli 3 роки тому +2

    Shanguwee na vigelegele

  • @mrsruweidaabdallah8704
    @mrsruweidaabdallah8704 3 роки тому +1

    Magufuli hoye hongera.

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 3 роки тому

    Hv yule CHIBA amehudhuria kweli hii shughuli 😄😄😄😄😆😆😆😆

  • @natariaboniphace7127
    @natariaboniphace7127 3 роки тому

    Kula yangu imenipa furaha.

  • @phylis1464
    @phylis1464 3 роки тому

    Leo hii ni marehemu😭😭😭

  • @mussahamis1367
    @mussahamis1367 3 роки тому +1

    Amina 5tena

  • @wangariann6044
    @wangariann6044 3 роки тому

    Siningekuwa mtazania aki ama nihame Kenya nije TX huku hakuna upuzi

  • @ChangchunRealstateDragon
    @ChangchunRealstateDragon 3 роки тому

    Pumzika baba

  • @dsagagang3802
    @dsagagang3802 3 роки тому

    Ushuru wa mbuzi kutoka 3000 hadi 6500 tutaisoma wote

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 роки тому

    Bora umeziba tundu

  • @selemanizakarizakaria9371
    @selemanizakarizakaria9371 3 роки тому

    Mashaallah

  • @dogoibrah5902
    @dogoibrah5902 3 роки тому

    wapili leo jamana samahani sana kwa usumbuf na poleni na kazi ila naomba unisaidie ku subscribe UA-cam channel yangu na kushare ku comment please jina dogo_ibrah

  • @stevenfabian2208
    @stevenfabian2208 3 роки тому

    Kama umeona tai ya pink JPM kavaa na wakati akiimba wimbo wa taifa rangi nyingne gonga like

  • @razibchowdhury9869
    @razibchowdhury9869 3 роки тому

    Nyote.mbwa.nyinyi

    • @mangeleoporod2704
      @mangeleoporod2704 3 роки тому

      Acha tabia yakuita watt wawenzako mbwa wewe haujui kuumba hata kuku kwan alie waumba mbona hakuwakosoa

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 3 роки тому

    Hapa ni Dar ama?

  • @johnkyara2016
    @johnkyara2016 3 роки тому +1

    Hii nafasi ya lisu kabsa

    • @justice607
      @justice607 3 роки тому

      😂 😂 😂 Mmeishiwa wapinzan, kwendraaaa lisu akaongoze vichaa wenzake uko 👌👌👌 sio Tz

    • @josephinanikwelimdacki3330
      @josephinanikwelimdacki3330 3 роки тому

      @@justice607 kama nafas yake si umpe

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 3 роки тому

      Umemuona akiapa hapo??? Mashiga mkaape bejium

    • @paulbaynet1396
      @paulbaynet1396 3 роки тому

      Wazi kabisa hahahaaa

    • @liutapro
      @liutapro 3 роки тому

      Kila mmoja ni mchunga na kila mchunga ataulizwa jinsi gani alivyowachunga watu wake, 😭 tuandae majibu siku ya kiama😭