Mzize Fanya haya Salisanaaa Usikose kuwasalimia wazazi Iringa na jamaa wote Msikilize mwalimu wako na wewe jiongeze kwa mafunzo ya mwalimu wako kuwa mbunifu zaidi tunakuombea utafika mbali mungu akutangulie.
Mzize ushauri wangu waandishi wasikujaze endelea kupambana tusijisahau tukaona kama tushatimiza lengo la timu tufikirie zaidi mbele kuliko kulizungumzia zaidi lile goli❤❤❤
Ndio @@faridaomary9099anayo max nayeye ila tuna imani sana nasemaji letu hakika ata mfikia kwa wakati wake inshallah yeye afanye vizuri tu wakati akiwafumuwa wa rabu
Mungu akimua kufanya jambo kwenye maisha yako anafanya kwa ukubwa na kwa muda ambao hukutarajia,, ongera nyingi Mzize usisaau kutoa fungu kwa wasiojiweza.
Kila jambo linawezekana ukimtegemea Mungu,hongera Mzize ,ombi langu ufanikiwapo usimwache Mungu ,weka majivuno mbali kua mnyenyekevu,Mungu atakufanya uangaze na nuru yako ifurahiwe na kila mtu❤.Pambana jitume mdogo angu,uweke historia kwa taifa letu
Hongera mzizi,hongera wananchiii 💚💚💚💚 wenzngu,😂😂ally kamwe semaji letu naona sasa hivi miwani inakaa sasa make toka tuanze kufungwa miwani ilikua imegoma kukaa kabisa kwenye macho😂😂😂
Alhamdulillahi,shkrn mno WANANCHI kwa MALEZI MEMA/USHAURI kwa vjn wetu,HAKIKA KUISHI YANGA NI "FAMILIA",nawe mjku wng JILINDE/TUNZA HESHIMA/NIDHAMU YK,ishi maisha uliyoleleka na WAZAZI WK,upo mikono salama (YANGA),hakika M'Mungu hana chongo/hana hiyana,HUMPA AMTAKAE,salama inshaAllah ktk maisha yk ya bde,Aamin !.
Nawapenda Buree Wanaichiiiii Wa Yangaaa Wallah ningekuwa Tz Ningekuwa Nishafika Dukani Kitamboooooo Ongereni Sana Kwa Upendo Wenu Mnaouonesha Akika Na Vijana Wengine Watakuwa Na Nguvu Ya Kupambana Insha Allah
Hongera Ally Kamwe kwa ubunifu uliofanya wa kumsaidia Mchezaji MZIZE kutangaza Biashara yake. Jambo la Muhimu kwa MZIZE Kazana kujituma Mazoezini na kwenye Mechi.Wasikilize Makocha wako na Wachezaji Wakongwe. Utafika mbali, KILA LA KHERI.
Tulikuzodoa game ya yanga na mamelodi South Africa lakin jana wote tumesahau kama tumekuzodoa tunakusifia tu. Sisi ndo binaadam kaka Kila la kheri clementinyoooo💚💚💛💛
Mzize
Fanya haya
Salisanaaa
Usikose kuwasalimia wazazi Iringa na jamaa wote
Msikilize mwalimu wako na wewe jiongeze kwa mafunzo ya mwalimu wako kuwa mbunifu zaidi tunakuombea utafika mbali mungu akutangulie.
@@grationkato7658 huyo sio wa Iringa huyo ni Tanga boy
Wewe unamaono kama yangu
Ni wa tanga si iringa
🎉🎉🎉🎉 mzizee😊
kwa kifupi uwe myenyekevu "MUNGU anawapenda wanyenyekevu"....ukiwa na MUNGU inatosha kabisa , hakuna kitakachosimama kinyume na wewe
Hongera sana Ally Kamwe kwa ubunifu huu wa kumsuport kijana wetu MZIZE MUNGU aendelee kukuza biashara yako🙏
Shukrani kwa viongozi wote wa yanga
ameni ameni ameni
Hakika hongera Mzize
Hongera sana God yanga,unapambana hongereni wote yanga
Clement mzinze una magoli mengi mazuri umefunga. Nimerecodi magoli yote uliyoyafunga vizuri. Nakukubali sana 💚💚💛💛🌻🌻🌻💐💐
Alikamwe amezuia haraka sana code isitoke 😂😂😂😂😂 safi sanaa
Umeonae😄😄😄😄
Mzize ushauri wangu waandishi wasikujaze endelea kupambana tusijisahau tukaona kama tushatimiza lengo la timu tufikirie zaidi mbele kuliko kulizungumzia zaidi lile goli❤❤❤
MwananchiTusisahau pia kumuunga mkono na Max Nzengeli🔰🔰🔰🔰🔰
Kwani max anaduka
@faridaomary9099 Ndio nae anaduka
Ndio @@faridaomary9099anayo max nayeye ila tuna imani sana nasemaji letu hakika ata mfikia kwa wakati wake inshallah yeye afanye vizuri tu wakati akiwafumuwa wa rabu
@@paulmasunga1754wapi hatujui
Tunaanza hapa kwanza then tutaenda kwa max
Mungu nakuomba umlinde mzize, muepushe na mabaya💛💚
Mungu akubariki sana mzizeee usisahau ibada kila iitwapo leo
Umeonae kijana alitaka kwenda mbali xan😄😄😄
ameni ameni ameni
safi san nimeipenda iiih mungu awape nguvu zaid yaaichi mnachokifanya asanten san 🎉🎉💛💚💛💚💛
Mungu akimua kufanya jambo kwenye maisha yako anafanya kwa ukubwa na kwa muda ambao hukutarajia,, ongera nyingi Mzize usisaau kutoa fungu kwa wasiojiweza.
Yanga inaweza kukupa maisha ndani ya dakika zero tuu😂😂😂😂
Uhakikaa asaaa
😂😂😂😂😂 kabisaaa
Hakikaaaa 🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Waap acha kuwadanganya utopolo wenzako
Kudanganya wap huo ndo ukweli huoni fumau mshairi alivo toboa kupitia yanga sas hamepata umaarufu kupitia yanga@@Tarent-o8f
MUNGU ni mwema hongera Sana Mzize kila la kheri kwenu nyote kazi njema nyote barikiwa Sana Yanga
Kuna mtu mmoja sijawahi kuacha kumuona ktk jambo lolote la yanga hongera kwake God YANGA
jana alisema wanaenda kununua nguo
Kabixa
Kweli kabisa jamaa kila jambo yupo jamaa achukue tu maua yake💐💐🥀🥀🌹🌹🌹💐🌹🌷🌺
Mshkaji ni .shabiki Kwel kwel yan 🙌
Kweli
Mwenyeezi Mungu akutangulie kila hatua Warid Mzize nimeipenda kwa sababu unamuamini Sana Mungu
Kila jambo linawezekana ukimtegemea Mungu,hongera Mzize ,ombi langu ufanikiwapo usimwache Mungu ,weka majivuno mbali kua mnyenyekevu,Mungu atakufanya uangaze na nuru yako ifurahiwe na kila mtu❤.Pambana jitume mdogo angu,uweke historia kwa taifa letu
Amen🎉🎉🎉❤❤❤❤
All is Amen kwa Mzize na wachezaji wote wa YANGA
Asante MUNGU kwa wachezaji wetu Big up keep it up🎉🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤
Amen 🎉❤🎉❤🎉😂
Hongera waridi wetu Mzinze Mungu akuzidishie update duka kubwa zaidi Amina💛💛💚💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Hongera Ally Kamwe kwa Hekima Yako pia kwa kutoficha kuwa anasupotiwa na mashabiki wengne 🎉
Hongera mzizi,hongera wananchiii 💚💚💚💚 wenzngu,😂😂ally kamwe semaji letu naona sasa hivi miwani inakaa sasa make toka tuanze kufungwa miwani ilikua imegoma kukaa kabisa kwenye macho😂😂😂
🎉 wewe mzize una uwezo mkubwa sana mimi nakukubali sana kikubwa jiamini kujaribu wakati wowote big up sana mzize
Kamwe hongera kwa kuzuiya code🎉🎉🎉
Mm zamn mzize sikuwa namkubal kbs ila saiv babaa uishi milele wew ni mwamba 💪 nakkbal kaka unaweza🔥
Wew hujui mpira ivi ushawah cheza ata chandimu😂😂😂
Hongera saana mzize mungu akujalie afraid njema na sali kila iitwapo leo na baraka zake utazivuna mno katika jina la yesu amen
Hongera mzizeeeeeeeeeeeee uongezee bidii ufike mbali🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni vijana wetu wachezaji wa yanga, mmepambana Mungu awalinde
Tunamtambulisha kwenu clement azizi😂😂😂 alisikika mzungu akitamka😂😂
Mwarabu bhn
Mzize hongera.Uko vizuri kwenye kujieleza Mashallah.GOOD LUCK.
Mungu nimwema azidi kutupambania daima mbele nyuma mwiko
Mungu akupe neema na rehema zake tunakuomba ufanye ufanyavyo muwafunge All ahal tunawamba jaman chonde chonde
Mungu akulinde Sana kilementi mzize uko vsr Sana wanachiiiii tunakuombea Sana
Hongera kijana wetu
Alhamdulillahi,shkrn mno WANANCHI kwa MALEZI MEMA/USHAURI kwa vjn wetu,HAKIKA KUISHI YANGA NI "FAMILIA",nawe mjku wng JILINDE/TUNZA HESHIMA/NIDHAMU YK,ishi maisha uliyoleleka na WAZAZI WK,upo mikono salama (YANGA),hakika M'Mungu hana chongo/hana hiyana,HUMPA AMTAKAE,salama inshaAllah ktk maisha yk ya bde,Aamin !.
Ali kanwe upo makini kulinda siri za kambi 😂😂
Warid umebarikiwa baba mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi huu mwaka kwako uwe wa neema❤
Yanga nguvu Moja Nia Moja upendo wa Wana yanga na mshikamano uzidi daima,Tuna wapenda 🙏💚💚💚
Hongera sana mungu akulinda na kukupa afya njema uzidi kusonga mbele
Mzize Naitwa Jackson Masumbuko Wambura Duka lako liko Sinza maeneo gan
Sinza Makaburini
Sinza makaburini
Unataka ukamkope ama
@@MatiasBroo-z7b😂😂😂😂
@@MatiasBroo-z7b😂😂😂😂😂
Kijana aongezewe mshahara haraka sana hata kama hakuna hela sisi mashabiki tupo tayari kuchangia
Wewe ndio mshabiki
Atalipwa mshahara uliopo kwenye mkataba wake Cha muhimu anatakiwa aongezewe posho
Lipen maden sana
@@MatiasBroo-z7bhakuna ambaye hadaiwi inadaiwa serikali sembuse wewe
@@AmbiBoy-tzndio lkn lzm viongozi waangalie thamani yake
Mzize usisahau maombi mungu kwanza
Na hata sisi tuliopo loliondo tunakupa big up kinana
YANGA ni kubwa
Mzize asante kwa kuibeba timu yetu tunakuombea mtoto wetu
Keep it up bro!
Mashaallah kijana wetu Allah akupe wepesi
God yanga big up bro 🎉🎉🎉🎉 na fanc wa Yanga wote gusa achia twende kwao
Yanga ndio timu Bora Tanzania kwa kila kitu 🙌💚💛
Na ubinifu pia ,Gusa achia twende kwao
Safi sana kamwe kwaubunifu mzize muzize nakupenda pambana sana
Hongera sana mzize Mungu akulinde
Nawapenda Buree Wanaichiiiii Wa Yangaaa Wallah ningekuwa Tz Ningekuwa Nishafika Dukani Kitamboooooo Ongereni Sana Kwa Upendo Wenu Mnaouonesha Akika Na Vijana Wengine Watakuwa Na Nguvu Ya Kupambana Insha Allah
Hongera Ally Kamwe kwa ubunifu uliofanya wa kumsaidia Mchezaji MZIZE kutangaza Biashara yake. Jambo la Muhimu kwa MZIZE Kazana kujituma Mazoezini na kwenye Mechi.Wasikilize Makocha wako na Wachezaji Wakongwe. Utafika mbali, KILA LA KHERI.
Pongezi sana Nzize na wachezaji wote wa Yanga
Kamwe bhna twende kwenye duka hahahahahaha
Ishi sana mwanangu maestro clement mzize🎉🎉🎉
Amazing Mzize
Mzize Lewandoski utafika mbali mno
Ongera saana timu ya wananchiii 💚🔰💛
Mungu amulngezee aisee Alipo pungumiwa kijana wetu
Tulikuzodoa game ya yanga na mamelodi South Africa lakin jana wote tumesahau kama tumekuzodoa tunakusifia tu.
Sisi ndo binaadam kaka
Kila la kheri clementinyoooo💚💚💛💛
Mungu awaajalie Afya njem na awatunzeee
Mzize daaah bonge Moja la mchezaji
Mungu azidi kumuongoza MZIZE🙏🙏😍
Tunakupenda mzinze💛💛💛
Nakukubali sana dogo na mungu akubariki
Mzize ww n bist sana na utafka kjana wetu
Mtu sana ,Bado wanaYanga tunamwitaji sanaaaaaaaaa
Mungu akusimamie mdogo wangu endelea kupambana🎉
Hongera mzize mungu akutangulie
Mungu ni mwema sana💛💛💚💚
Mungu ni mwema kijana Yuko vizuri endelea kupambana kwenye uwanja wa mazoezi.
Ali Kamwe Mungu akubariki.
Congrats kijana goli kali sana
hahahahaha mungu awape afya njema wachezaji wetu mana mmejua kutuhexhimixha
Mzize mauwa yk ayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Allah ashukuriwe
Kaza kaka...una vitu
Hongera wananchi
.,m,m,m,
Mungu azidi kukutunza,na usiache kumuomba mungu yeyey ndio kila kitu,mzize oyeee
yanga ina dunia yake🔥💚
Hahhaaaaaaaa😅😅😅😅😅
Hongera Mzize MUNGU akutunze ili ufikie malengo yako
Hongera sana mzize
Hii ndo yanga ❤❤❤❤
Mzize umetuheshimisha sana
Nimetoa machozi kwenye maneno yamwisho ya ali kamwe kumbe viongozi wote safi Sana hiii
Dua kwako Mungu azid kukupa mbinu zaid yanga na mashabik tupo nyuma yako
Mungu akuweke
Masha'Allah 🥰💚💛🖤🔰
Goli la waridi mzizeeeee ni lamsimu mzima
Mzize kila akifunga bao lazima tumuungishe dukan kwake
Mungu msaidie mzize
Safi mzize we pambana tu na utafanikiwa
Nakubali Big
Mtanzania ukiwa kwenye mechi hakuna kinachohalibika
Hongera🎉🎉
😂😂😂 alikamwe, umestukia mchongo, mzize kidogo atoe code😅😅😅😅
Hongera sana
Eleweni maana ya maneno ya Aly kamwe kuwa Hilo eneo liitwe mzize mall. Hii tunzeni lazima litatokea INSHAALAH
Kamwee kofta hiyoo tunaitakaa mkuu 😂😂😂😂 umekuwa mvetenam 😂😂😂😂
I say Safi sana Watani ongereni mliupiga mwingi nilivoona golilao mo1. Nlijua tiara mtani anatia aibu taifa.
Yangaoyee💫💨
Aisee Ally kamwe nakupongeza sana kwenye hili
Jezi za simba ndani ya duka la mzize