MZIZE ASHINDWA KUJIZUIA BAADA YA KUKUTA NYOMI LA WATU DUKANI KWAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 333

  • @grationkato7658
    @grationkato7658 Місяць тому +79

    Mzize
    Fanya haya
    Salisanaaa
    Usikose kuwasalimia wazazi Iringa na jamaa wote
    Msikilize mwalimu wako na wewe jiongeze kwa mafunzo ya mwalimu wako kuwa mbunifu zaidi tunakuombea utafika mbali mungu akutangulie.

    • @AmbiBoy-tz
      @AmbiBoy-tz Місяць тому

      @@grationkato7658 huyo sio wa Iringa huyo ni Tanga boy

    • @NchembaNchemba-of7db
      @NchembaNchemba-of7db Місяць тому +1

      Wewe unamaono kama yangu

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Місяць тому +1

      Ni wa tanga si iringa

    • @jameskimbeo2328
      @jameskimbeo2328 Місяць тому

      🎉🎉🎉🎉 mzizee😊

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct Місяць тому +2

      kwa kifupi uwe myenyekevu "MUNGU anawapenda wanyenyekevu"....ukiwa na MUNGU inatosha kabisa , hakuna kitakachosimama kinyume na wewe

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Місяць тому +44

    Hongera sana Ally Kamwe kwa ubunifu huu wa kumsuport kijana wetu MZIZE MUNGU aendelee kukuza biashara yako🙏

    • @wazinzatv3152
      @wazinzatv3152 Місяць тому +1

      Shukrani kwa viongozi wote wa yanga

    • @PrinceMbwana-i5o
      @PrinceMbwana-i5o Місяць тому +1

      ameni ameni ameni

    • @Shubbykm
      @Shubbykm 28 днів тому

      Hakika hongera Mzize

    • @Shubbykm
      @Shubbykm 28 днів тому

      Hongera sana God yanga,unapambana hongereni wote yanga

  • @Mari89wx
    @Mari89wx Місяць тому +30

    Clement mzinze una magoli mengi mazuri umefunga. Nimerecodi magoli yote uliyoyafunga vizuri. Nakukubali sana 💚💚💛💛🌻🌻🌻💐💐

  • @ramladhire
    @ramladhire Місяць тому +40

    Alikamwe amezuia haraka sana code isitoke 😂😂😂😂😂 safi sanaa

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h Місяць тому +4

    Mzize ushauri wangu waandishi wasikujaze endelea kupambana tusijisahau tukaona kama tushatimiza lengo la timu tufikirie zaidi mbele kuliko kulizungumzia zaidi lile goli❤❤❤

  • @paulmasunga1754
    @paulmasunga1754 Місяць тому +126

    MwananchiTusisahau pia kumuunga mkono na Max Nzengeli🔰🔰🔰🔰🔰

    • @faridaomary9099
      @faridaomary9099 Місяць тому +10

      Kwani max anaduka

    • @paulmasunga1754
      @paulmasunga1754 Місяць тому +6

      @faridaomary9099 Ndio nae anaduka

    • @Shebe_traLove
      @Shebe_traLove Місяць тому

      Ndio ​@@faridaomary9099anayo max nayeye ila tuna imani sana nasemaji letu hakika ata mfikia kwa wakati wake inshallah yeye afanye vizuri tu wakati akiwafumuwa wa rabu

    • @HadijaAdam-ct6wf
      @HadijaAdam-ct6wf Місяць тому

      @@paulmasunga1754wapi hatujui

    • @GwakisaEzekiel
      @GwakisaEzekiel Місяць тому +10

      Tunaanza hapa kwanza then tutaenda kwa max

  • @nuruelmada2877
    @nuruelmada2877 Місяць тому +20

    Mungu nakuomba umlinde mzize, muepushe na mabaya💛💚

  • @RehemaKomba-pv2le
    @RehemaKomba-pv2le Місяць тому +32

    Mungu akubariki sana mzizeee usisahau ibada kila iitwapo leo

  • @KisaveliKatwez-p1q
    @KisaveliKatwez-p1q Місяць тому +5

    safi san nimeipenda iiih mungu awape nguvu zaid yaaichi mnachokifanya asanten san 🎉🎉💛💚💛💚💛

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Місяць тому +11

    Mungu akimua kufanya jambo kwenye maisha yako anafanya kwa ukubwa na kwa muda ambao hukutarajia,, ongera nyingi Mzize usisaau kutoa fungu kwa wasiojiweza.

  • @VonMason
    @VonMason Місяць тому +47

    Yanga inaweza kukupa maisha ndani ya dakika zero tuu😂😂😂😂

    • @HadijaAdam-ct6wf
      @HadijaAdam-ct6wf Місяць тому +2

      Uhakikaa asaaa

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 Місяць тому +1

      😂😂😂😂😂 kabisaaa

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb Місяць тому +1

      Hakikaaaa 🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂

    • @Tarent-o8f
      @Tarent-o8f Місяць тому

      Waap acha kuwadanganya utopolo wenzako

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu Місяць тому

      Kudanganya wap huo ndo ukweli huoni fumau mshairi alivo toboa kupitia yanga sas hamepata umaarufu kupitia yanga​@@Tarent-o8f

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Місяць тому +8

    MUNGU ni mwema hongera Sana Mzize kila la kheri kwenu nyote kazi njema nyote barikiwa Sana Yanga

  • @MussMeshack
    @MussMeshack Місяць тому +59

    Kuna mtu mmoja sijawahi kuacha kumuona ktk jambo lolote la yanga hongera kwake God YANGA

    • @JuliethLughuyu
      @JuliethLughuyu Місяць тому +2

      jana alisema wanaenda kununua nguo

    • @ZachariaWape
      @ZachariaWape Місяць тому

      Kabixa

    • @Joseph-57
      @Joseph-57 Місяць тому

      Kweli kabisa jamaa kila jambo yupo jamaa achukue tu maua yake💐💐🥀🥀🌹🌹🌹💐🌹🌷🌺

    • @zachariamishai7258
      @zachariamishai7258 Місяць тому +1

      Mshkaji ni .shabiki Kwel kwel yan 🙌

    • @AmirTumbo5
      @AmirTumbo5 Місяць тому

      Kweli

  • @NasmaSanga
    @NasmaSanga Місяць тому +5

    Mwenyeezi Mungu akutangulie kila hatua Warid Mzize nimeipenda kwa sababu unamuamini Sana Mungu

  • @zenobiagenuine537
    @zenobiagenuine537 Місяць тому +1

    Kila jambo linawezekana ukimtegemea Mungu,hongera Mzize ,ombi langu ufanikiwapo usimwache Mungu ,weka majivuno mbali kua mnyenyekevu,Mungu atakufanya uangaze na nuru yako ifurahiwe na kila mtu❤.Pambana jitume mdogo angu,uweke historia kwa taifa letu

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb Місяць тому +4

    Amen🎉🎉🎉❤❤❤❤
    All is Amen kwa Mzize na wachezaji wote wa YANGA
    Asante MUNGU kwa wachezaji wetu Big up keep it up🎉🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤
    Amen 🎉❤🎉❤🎉😂

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Місяць тому +5

    Hongera waridi wetu Mzinze Mungu akuzidishie update duka kubwa zaidi Amina💛💛💚💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @adamnehemia8316
    @adamnehemia8316 Місяць тому +3

    Hongera Ally Kamwe kwa Hekima Yako pia kwa kutoficha kuwa anasupotiwa na mashabiki wengne 🎉

  • @LovenessWaibe
    @LovenessWaibe Місяць тому +5

    Hongera mzizi,hongera wananchiii 💚💚💚💚 wenzngu,😂😂ally kamwe semaji letu naona sasa hivi miwani inakaa sasa make toka tuanze kufungwa miwani ilikua imegoma kukaa kabisa kwenye macho😂😂😂

  • @HassaniShebughe-q5p
    @HassaniShebughe-q5p Місяць тому

    🎉 wewe mzize una uwezo mkubwa sana mimi nakukubali sana kikubwa jiamini kujaribu wakati wowote big up sana mzize

  • @kassimourio6879
    @kassimourio6879 Місяць тому +7

    Kamwe hongera kwa kuzuiya code🎉🎉🎉

  • @emmanuelngette-yd6oc
    @emmanuelngette-yd6oc Місяць тому +23

    Mm zamn mzize sikuwa namkubal kbs ila saiv babaa uishi milele wew ni mwamba 💪 nakkbal kaka unaweza🔥

    • @PogbaJunior-r8k
      @PogbaJunior-r8k Місяць тому +2

      Wew hujui mpira ivi ushawah cheza ata chandimu😂😂😂

  • @PatridaMraponi
    @PatridaMraponi Місяць тому +3

    Hongera saana mzize mungu akujalie afraid njema na sali kila iitwapo leo na baraka zake utazivuna mno katika jina la yesu amen

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Місяць тому +3

    Hongera mzizeeeeeeeeeeeee uongezee bidii ufike mbali🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DeboraMsigala
    @DeboraMsigala Місяць тому +7

    Hongereni vijana wetu wachezaji wa yanga, mmepambana Mungu awalinde

  • @AsumthaAron
    @AsumthaAron Місяць тому +7

    Tunamtambulisha kwenu clement azizi😂😂😂 alisikika mzungu akitamka😂😂

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 Місяць тому

    Mzize hongera.Uko vizuri kwenye kujieleza Mashallah.GOOD LUCK.

  • @SussankhanKhan
    @SussankhanKhan Місяць тому +4

    Mungu nimwema azidi kutupambania daima mbele nyuma mwiko

  • @YusuphKyanzi
    @YusuphKyanzi Місяць тому +4

    Mungu akupe neema na rehema zake tunakuomba ufanye ufanyavyo muwafunge All ahal tunawamba jaman chonde chonde

  • @MichaelNgoilenya
    @MichaelNgoilenya Місяць тому +2

    Mungu akulinde Sana kilementi mzize uko vsr Sana wanachiiiii tunakuombea Sana

  • @DamasBalamu-e4k
    @DamasBalamu-e4k Місяць тому +5

    Hongera kijana wetu

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek Місяць тому +2

    Alhamdulillahi,shkrn mno WANANCHI kwa MALEZI MEMA/USHAURI kwa vjn wetu,HAKIKA KUISHI YANGA NI "FAMILIA",nawe mjku wng JILINDE/TUNZA HESHIMA/NIDHAMU YK,ishi maisha uliyoleleka na WAZAZI WK,upo mikono salama (YANGA),hakika M'Mungu hana chongo/hana hiyana,HUMPA AMTAKAE,salama inshaAllah ktk maisha yk ya bde,Aamin !.

  • @yohanagalusi619
    @yohanagalusi619 Місяць тому +5

    Ali kanwe upo makini kulinda siri za kambi 😂😂

  • @sophiaazizingaiwa3857
    @sophiaazizingaiwa3857 Місяць тому +7

    Warid umebarikiwa baba mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi huu mwaka kwako uwe wa neema❤

  • @eliaichimsuya2266
    @eliaichimsuya2266 Місяць тому +3

    Yanga nguvu Moja Nia Moja upendo wa Wana yanga na mshikamano uzidi daima,Tuna wapenda 🙏💚💚💚

  • @BrownKissinga
    @BrownKissinga Місяць тому +5

    Hongera sana mungu akulinda na kukupa afya njema uzidi kusonga mbele

  • @jmasutv2228
    @jmasutv2228 Місяць тому +7

    Mzize Naitwa Jackson Masumbuko Wambura Duka lako liko Sinza maeneo gan

  • @misambo7539
    @misambo7539 Місяць тому +22

    Kijana aongezewe mshahara haraka sana hata kama hakuna hela sisi mashabiki tupo tayari kuchangia

    • @bakarially253
      @bakarially253 Місяць тому

      Wewe ndio mshabiki

    • @AmbiBoy-tz
      @AmbiBoy-tz Місяць тому +1

      Atalipwa mshahara uliopo kwenye mkataba wake Cha muhimu anatakiwa aongezewe posho

    • @MatiasBroo-z7b
      @MatiasBroo-z7b Місяць тому

      Lipen maden sana

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy Місяць тому

      ​@@MatiasBroo-z7bhakuna ambaye hadaiwi inadaiwa serikali sembuse wewe

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy Місяць тому

      ​@@AmbiBoy-tzndio lkn lzm viongozi waangalie thamani yake

  • @ErastoChambilo
    @ErastoChambilo Місяць тому +2

    Mzize usisahau maombi mungu kwanza

  • @amsiParesso
    @amsiParesso Місяць тому

    Na hata sisi tuliopo loliondo tunakupa big up kinana

  • @JoshuaMwambene-h5j
    @JoshuaMwambene-h5j Місяць тому +4

    YANGA ni kubwa
    Mzize asante kwa kuibeba timu yetu tunakuombea mtoto wetu

  • @buninibunini
    @buninibunini Місяць тому +2

    Keep it up bro!

  • @AllyAthumani-m1k
    @AllyAthumani-m1k Місяць тому +1

    Mashaallah kijana wetu Allah akupe wepesi

  • @josephmtavilalo5087
    @josephmtavilalo5087 Місяць тому

    God yanga big up bro 🎉🎉🎉🎉 na fanc wa Yanga wote gusa achia twende kwao

  • @pascalchipuza3836
    @pascalchipuza3836 Місяць тому +10

    Yanga ndio timu Bora Tanzania kwa kila kitu 🙌💚💛

  • @UpendoEliya-o7n
    @UpendoEliya-o7n Місяць тому

    Safi sana kamwe kwaubunifu mzize muzize nakupenda pambana sana

  • @AdamMwakalasi
    @AdamMwakalasi Місяць тому

    Hongera sana mzize Mungu akulinde

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Місяць тому +1

    Nawapenda Buree Wanaichiiiii Wa Yangaaa Wallah ningekuwa Tz Ningekuwa Nishafika Dukani Kitamboooooo Ongereni Sana Kwa Upendo Wenu Mnaouonesha Akika Na Vijana Wengine Watakuwa Na Nguvu Ya Kupambana Insha Allah

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Місяць тому +15

    Hongera Ally Kamwe kwa ubunifu uliofanya wa kumsaidia Mchezaji MZIZE kutangaza Biashara yake. Jambo la Muhimu kwa MZIZE Kazana kujituma Mazoezini na kwenye Mechi.Wasikilize Makocha wako na Wachezaji Wakongwe. Utafika mbali, KILA LA KHERI.

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 Місяць тому +3

    Pongezi sana Nzize na wachezaji wote wa Yanga

  • @fadhilinankoli2894
    @fadhilinankoli2894 Місяць тому +7

    Kamwe bhna twende kwenye duka hahahahahaha

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Місяць тому

    Ishi sana mwanangu maestro clement mzize🎉🎉🎉

  • @MamaNendo
    @MamaNendo Місяць тому

    Amazing Mzize

  • @BrunoRichard-w5h
    @BrunoRichard-w5h Місяць тому +1

    Mzize Lewandoski utafika mbali mno

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 Місяць тому

    Ongera saana timu ya wananchiii 💚🔰💛

  • @youngpanther7616
    @youngpanther7616 Місяць тому +1

    Mungu amulngezee aisee Alipo pungumiwa kijana wetu

  • @nasraahmad-3703
    @nasraahmad-3703 Місяць тому +2

    Tulikuzodoa game ya yanga na mamelodi South Africa lakin jana wote tumesahau kama tumekuzodoa tunakusifia tu.
    Sisi ndo binaadam kaka
    Kila la kheri clementinyoooo💚💚💛💛

  • @CafelinLawrence
    @CafelinLawrence Місяць тому +1

    Mungu awaajalie Afya njem na awatunzeee

  • @GodfreyKarino
    @GodfreyKarino Місяць тому +2

    Mzize daaah bonge Moja la mchezaji

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Місяць тому +1

    Mungu azidi kumuongoza MZIZE🙏🙏😍

  • @JanethPaul-p2s
    @JanethPaul-p2s Місяць тому +1

    Tunakupenda mzinze💛💛💛

  • @BarikiSolomon
    @BarikiSolomon Місяць тому

    Nakukubali sana dogo na mungu akubariki

  • @ManyamaBituro
    @ManyamaBituro Місяць тому

    Mzize ww n bist sana na utafka kjana wetu

  • @johnboniface2753
    @johnboniface2753 Місяць тому

    Mtu sana ,Bado wanaYanga tunamwitaji sanaaaaaaaaa

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Місяць тому +1

    Mungu akusimamie mdogo wangu endelea kupambana🎉

  • @LufingoMwaipopo
    @LufingoMwaipopo Місяць тому +1

    Hongera mzize mungu akutangulie

  • @EmanuelMiyonjo
    @EmanuelMiyonjo Місяць тому +1

    Mungu ni mwema sana💛💛💚💚

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema Місяць тому

    Mungu ni mwema kijana Yuko vizuri endelea kupambana kwenye uwanja wa mazoezi.

  • @imma_billy
    @imma_billy Місяць тому +1

    Ali Kamwe Mungu akubariki.

  • @ferdinandimani1517
    @ferdinandimani1517 Місяць тому +2

    Congrats kijana goli kali sana

  • @KapeLoBoY
    @KapeLoBoY Місяць тому +1

    hahahahaha mungu awape afya njema wachezaji wetu mana mmejua kutuhexhimixha

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Місяць тому +4

    Mzize mauwa yk ayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MuslihiShafii
    @MuslihiShafii Місяць тому +2

    Allah ashukuriwe

  • @adrianaliko895
    @adrianaliko895 Місяць тому +2

    Kaza kaka...una vitu

  • @owenfweta3239
    @owenfweta3239 Місяць тому +2

    Hongera wananchi

  • @PriscaAndrew-p8u
    @PriscaAndrew-p8u Місяць тому +1

    .,m,m,m,
    Mungu azidi kukutunza,na usiache kumuomba mungu yeyey ndio kila kitu,mzize oyeee

  • @law93king
    @law93king Місяць тому +4

    yanga ina dunia yake🔥💚

  • @JohnKeya-b8d
    @JohnKeya-b8d Місяць тому +2

    Hongera Mzize MUNGU akutunze ili ufikie malengo yako

  • @IsmailMkumba-k8q
    @IsmailMkumba-k8q Місяць тому +1

    Hongera sana mzize

  • @EvalinejovinSulle
    @EvalinejovinSulle Місяць тому +5

    Hii ndo yanga ❤❤❤❤

  • @Kimweri_tz
    @Kimweri_tz Місяць тому +1

    Mzize umetuheshimisha sana

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Місяць тому +1

    Nimetoa machozi kwenye maneno yamwisho ya ali kamwe kumbe viongozi wote safi Sana hiii

  • @noeliMichael
    @noeliMichael Місяць тому +1

    Dua kwako Mungu azid kukupa mbinu zaid yanga na mashabik tupo nyuma yako

  • @Swaumu-g5n
    @Swaumu-g5n Місяць тому +3

    Mungu akuweke

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Місяць тому

    Masha'Allah 🥰💚💛🖤🔰

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu Місяць тому

    Goli la waridi mzizeeeee ni lamsimu mzima

  • @jamalibeya2527
    @jamalibeya2527 Місяць тому

    Mzize kila akifunga bao lazima tumuungishe dukan kwake

  • @AndrewMkuvalwa-f8n
    @AndrewMkuvalwa-f8n Місяць тому +2

    Mungu msaidie mzize

  • @Alimahonge
    @Alimahonge Місяць тому +1

    Safi mzize we pambana tu na utafanikiwa

  • @Mrteetee-o7t
    @Mrteetee-o7t 29 днів тому

    Nakubali Big

  • @RichardRodgers-z2y
    @RichardRodgers-z2y Місяць тому +1

    Mtanzania ukiwa kwenye mechi hakuna kinachohalibika

  • @DoryGeorge
    @DoryGeorge Місяць тому +3

    Hongera🎉🎉

  • @nkubapaul8531
    @nkubapaul8531 Місяць тому

    😂😂😂 alikamwe, umestukia mchongo, mzize kidogo atoe code😅😅😅😅

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Місяць тому +1

    Hongera sana

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Місяць тому +1

    Eleweni maana ya maneno ya Aly kamwe kuwa Hilo eneo liitwe mzize mall. Hii tunzeni lazima litatokea INSHAALAH

  • @DFire-ii8nb
    @DFire-ii8nb Місяць тому +1

    Kamwee kofta hiyoo tunaitakaa mkuu 😂😂😂😂 umekuwa mvetenam 😂😂😂😂

  • @HassanKassim-v7f
    @HassanKassim-v7f Місяць тому

    I say Safi sana Watani ongereni mliupiga mwingi nilivoona golilao mo1. Nlijua tiara mtani anatia aibu taifa.

  • @RahmaSudi-m8t
    @RahmaSudi-m8t День тому

    Yangaoyee💫💨

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Місяць тому +1

    Aisee Ally kamwe nakupongeza sana kwenye hili

  • @ufalumenitv-d4f
    @ufalumenitv-d4f Місяць тому

    Jezi za simba ndani ya duka la mzize