Matunda hatari kwa Mama Mjamzito! | Mjamzito tumia Matunda haya kwa tahadhari kubwa!!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 750

  • @fatumaabduly5086
    @fatumaabduly5086 2 роки тому +3

    Duh asantee Sana dokta kwa SoMo maana hayo matunda Kama zabibu na nanasi ndo matunda niliyokuwa nakula Sana Mungu akubariki kwa kutujuza endelea kutuelimishaa🙏

  • @aikacyril8537
    @aikacyril8537 2 роки тому +3

    Duuh ahsante Dr but ninavyopenda zabibu Mungu atusaidie kwa kweli

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Kula kwa Kiasi kidogo sana

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому +1

      Mmh nilikuwa nakula zabibu usiku huu hd nimeziacha kwa plesha jmn 😢😂

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Pole sana 😄😄😄

  • @violeth-wo5op
    @violeth-wo5op Рік тому +2

    Vip doctor hv ndz mbivu ni mbaya kwa mjamzto

  • @madamlina-nf7ed
    @madamlina-nf7ed 6 місяців тому +3

    Nilikula saaana nanasi ni kweli nilijifungua kabla mana ilibidi nijifungue mwezi 2 ila nikajifingua mwezi 1. Ila Mungu mwema nilijifungua salama na Binti angu nae Yuko salama.

  • @annastaziamadaha8281
    @annastaziamadaha8281 6 місяців тому +1

    Duuu nmekoma kula ukwaju asante doctor 😢🎉❤

  • @AnnasiaMacha
    @AnnasiaMacha Рік тому +1

    Doctor uko vizur asante napata elimu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Ubarikiwe naomba usome kuhusu somo hili la Matunda hatari kwa Mjamzito nimefanya update kwenye Mamaafya.com

  • @berthamethod764
    @berthamethod764 8 місяців тому +2

    Nakuelewa vizur sana hongera na mungu azid kukulinda

  • @CelinaMatei
    @CelinaMatei 26 днів тому +2

    Doctor Mimi ninaujauzito wa moezi miwili na wiki Moja juzi talehe 6 mwezi wa kwanza nilienda hospital kuajiri ya kuanza clinic lakini doctor alivo nipiga ultrasound majibu kwamba mimba yangu imeharibika Sasa kinachonishangaza mtoto namsikia muvument za mtoto kucheza bado nazisikia na sijisikii dalili yoyote ya kuumwa tumbo Wala sijisikii maumivu yoyote

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  25 днів тому

      Message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @jeaninehatungimana1494
    @jeaninehatungimana1494 4 роки тому +6

    Shukran sn Doctor, izo tunda ulisem zote nakula kwa ivi niko mjaa mzito sema papaye ndio sili wala ndio inasababisha nitokwe na damu pia na tumbo kunium sana shukran

  • @hassankhatibu4281
    @hassankhatibu4281 Рік тому +2

    asant daktar kwa kujua mm nimekula juis ya ukwaju na papai na zabibu na pia nina mimba ya miez miwili je hapo mimba inaweza kuharibika

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Tafadhari sikiliza video zetu hapa UA-cam

  • @HappynessMduma-zf1mp
    @HappynessMduma-zf1mp Рік тому +1

    Samahanii Dr mim Nina ujauzito Ila napata maumivuu ya kiuno ,na mgongo alafu nakohoa Sanaa nimetumia dawa ya kikohozi ambayo PRINALYN lakinii Hali ya kikohozi bado n kalii. Pia miez kadhaa iliyopitaa nilibeba mimba na ikaharibikaa Naombaa unisaidiee Dr

  • @ashalikala6556
    @ashalikala6556 2 роки тому +1

    Habari dr pole na majukumu na asante kwa Elimu ya afya kwa mjamzito,, Jeh hivi tunda la zambalau lina FAIDA NA ATHARI gani kwa mjamzito?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Sifahamu ndugu yangu

    • @mwanaishanadi5828
      @mwanaishanadi5828 Рік тому

      Habari dr:nilikula zambarau presha imeshuka sina ham nazo tena nna presha ya kushuka tena ile mbaya nifanyeje dokta

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Uende hospital watakupa maelekezo namna ya kufanya Ndugu yangu, lakini hiyo presha Iko ngapi Saivi?

  • @machozialice
    @machozialice 5 місяців тому +1

    Ananas ilitaka haribu mimba yangu docta una sema kweli

  • @MaryamoMasoud-je1ww
    @MaryamoMasoud-je1ww Рік тому +1

    Doctor vp Hali yko tatizo n nin nachoka sana pia natapika Kila asubuh natapika manjano vichungu naomba msaada

  • @shaymaasaid5940
    @shaymaasaid5940 Рік тому +1

    Doctor Matufaaa jeee hayana shida kwamjamzito

  • @agnesikhamis6496
    @agnesikhamis6496 2 роки тому +2

    asante docta kwa somo lako hata mm ni mjamzito wa miezi miwili napenda sana kula papai na ukwaju na tikiti maji hivyo vitu navipenda kwahiyo niache docta

  • @JacobOruma
    @JacobOruma Рік тому +1

    Je Bibi akiwa mimba waeza tomba mpango WA kando ukarudi nka lala pamoja?

  • @MarthaMkasi
    @MarthaMkasi 3 місяці тому +1

    Duuhh ninavyolipenda basi mwisho leo papai limekataa kbs

  • @DerickLugemalila
    @DerickLugemalila Рік тому +1

    Dr smhn Nina ujauzito wa miez 3 je Almond inafaa kula maana napenda sana kutafuna

  • @Latifa-fp3sq
    @Latifa-fp3sq Рік тому +2

    Samahan doctor kufanya mapenzi wakati wa mimba changa halafu damu ikatoka inamaana gani

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Mimba inatishia kuharibika ndugu yangu uende hospitali watakuandikia Dawa na pia msishiriki tendo la ndoa kwa sasa ndugu.

    • @Latifa-fp3sq
      @Latifa-fp3sq Рік тому +1

      Asant doctor

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @Latifa-fp3sq OKay

  • @esterkusaga4451
    @esterkusaga4451 Рік тому +2

    Doctor samahn mm napenda Sana kula nyanya chungu je Kuna madhara

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Hapana

    • @AllyAmuuneiba
      @AllyAmuuneiba 23 дні тому

      Kam una mimba ukijiskia kuumwa na tumbo la khez inakuaje apo naomba mnsaidie

  • @AgnessMwampamba
    @AgnessMwampamba Рік тому +1

    Je? Nikwanini mimba ikiwa kubwa kwanzia week 28 utra-sound inashindwa kusoma umri wa mtoto kwa usahihi

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam

  • @VeronicaMeshack
    @VeronicaMeshack 7 місяців тому +1

    😢😢mimi nilikula papai mtoto nimejifungua kabla ya muda wiki 23...kafariki yaani mwezi huu tare 2...2024 inaumiza

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Pole sana ndugu yangu

  • @violethsambalila8554
    @violethsambalila8554 2 роки тому +6

    Samahn doctor ukiwa mjamzito unakunywa maji unatapika inakuaje

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Uende hospital utaandikiwa Dawa za kuzuia kutapika

    • @violethsambalila8554
      @violethsambalila8554 2 роки тому +1

      Nilienda wakanambia had miez 5 ndo nawez kunywa nikwel

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Walikupa Dawa?

  • @FrolahEdward
    @FrolahEdward 6 місяців тому +1

    Samahani dr, mimi nilikuwa natumia uzazi wa mpango yaani sindano mwezi wa 4 nikaacha kutumia nikaenda duka la dawa nikamwelezea shida akanipa vidonge ambavyo ni vyeupe mistari 3 na mstari mmoja kama damu ya Mzee nikatumia vidonge vitano je haviwezi kuleta effect kwa mtoto?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Message WhatsApp number iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @AfnaniIbrahim
    @AfnaniIbrahim 4 місяці тому +1

    Hbr dr mimi ni mjanzito karibu naingia mwenzi wa nne lakini asubuhi Natapika.kama vya njano alafu vichungu sababu nn dr lkn sio kila siku.

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 місяці тому

      Maudhi madogo madogo kwa Mjamzito

  • @linababyangeline7137
    @linababyangeline7137 2 роки тому +2

    Doctor mimi hupata maumivu makali kipindi cha siku zangu naomba ushauri wako plz

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому +1

      Hiyo umeanza tokea zamani au hivi karibuni?

    • @linababyangeline7137
      @linababyangeline7137 2 роки тому +1

      @@DrMwanyika ilianza kipindi nikiwa na umri Wa miaka 15 sasa hivi Nina umri Wa miaka 17

    • @linababyangeline7137
      @linababyangeline7137 2 роки тому +1

      @@DrMwanyika nimeenda hospital wamenipa dawa za kupunguza maumivu ,lkn nahisi kuna tatizo 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Pole Sana

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Hakuna shida

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 Рік тому +1

    Dctr naile hali ya kutapka na kuhalisha kwa mama mjamzto shida nin?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Inategemeana na sababu kwa siyo Mara zote shida ni Ujauzito inawezekana akawa na Magonjwa mengine tu

  • @hopemariki5893
    @hopemariki5893 Рік тому +1

    Je! Mtoto Mchanga kukosa choo marakwamara ni hatari? Sababu Gani zinazofanya kichanga kukosa choo? Tufanyaje ili apate choo Kichanga?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Naomba nitumie message WhatsApp number iko kwenye profile picha yangu hapo juu

  • @ModyVigoma-pc9nv
    @ModyVigoma-pc9nv 4 місяці тому +1

    Samahani docta napenda kula limau jee halina madhara nko na uja uzito wa miezi miwili

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 місяці тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

  • @sabrinamlali9123
    @sabrinamlali9123 9 місяців тому +1

    Doctor samahani nipo njee ya mada je mjamzoto akitumia binzari na tangawiz je vinashida labda tangawiz kwenye chai au binzar kwenye chakul

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  9 місяців тому

      Sidhani kama zinashida

  • @swaumumohamed7835
    @swaumumohamed7835 Рік тому +1

    Nini kinasababisha mdomo kua mchungu sanaa kwa mama mjamzito??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Maudhi madogo madogo kwa Mjamzito

  • @carolinekimatare7327
    @carolinekimatare7327 2 місяці тому +1

    Doctor mm huwa nikila chakula napenda kiwe na pilipili nyi gi sana nnawezq nikamwathiri mtoto

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 місяці тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

  • @BintiMgandi
    @BintiMgandi 10 місяців тому +1

    Samahan dacktar nlkua nauliza maji yanayotoka kwa toni mojo baada ya kikojoa na ni meupe yawezakua mabaya

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  10 місяців тому

      Sifahamu uende hospitali wakufanyie Uchunguzi

  • @Ummiruhaina
    @Ummiruhaina 6 місяців тому +1

    Doct mbona baadhi ya madakitari wasema zabibu zaongeza damu hark na wanashauri kutumika kwa wingi

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Sawa

    • @Ummiruhaina
      @Ummiruhaina 6 місяців тому +1

      @@DrMwanyika ushauri wako doctor

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Sikiliza video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako 👆

  • @AshllyAshfattyAshanty
    @AshllyAshfattyAshanty 10 місяців тому +1

    Samahan Dr juice ya mirinda ni mbaya kwa mjamzito

  • @audreystelladaniel6086
    @audreystelladaniel6086 2 роки тому +3

    Sasa mbona mnasema tupate some vitamins kama mult vitamin ikiwemo na hizo vitamin za baaadhi ya hayo matunda

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Matunda yako ya aina nyingi Sana siyo lazima utumie matunda hayo yaliyotajwa

    • @joshuajoshua8068
      @joshuajoshua8068 2 роки тому +1

      je grandmalt inamadhara ukinywa mjamzito

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Sikiliza video ya Matumizi ya Grandmalt kwa Mjamzito ya Dr.Mwanyika

  • @Rawdha-y8t
    @Rawdha-y8t Місяць тому +1

    samahan doctor nina mimba ya wiki 8 je naweza kutumia rozela kama juisi

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Місяць тому

      Kwa Nini?

    • @Rawdha-y8t
      @Rawdha-y8t Місяць тому

      @DrMwanyika kwajili ya kuongeza damu, japo sijapima nikajua nina dam kiasi gan.

  • @irenemweta5117
    @irenemweta5117 Рік тому +1

    Samahani doctor je ukila matunda Haya cheza ni vibaya??

  • @reginatatilio9278
    @reginatatilio9278 2 роки тому +2

    Habari doctor mimi na tatizo ninavyokojoa naumia sana tatizo itakua nini

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Uende hospitali kafanyiwe vipimo hospitali

  • @user-dy4ci3gt5k
    @user-dy4ci3gt5k Рік тому +1

    Habar mm ni mjamzito lakin siwez kula chakula chochote ispokua nanas nisaidie doctor

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam

  • @kemigisaesther1879
    @kemigisaesther1879 2 роки тому +2

    Doctor samaani,miwa inakataziwa piya kwa mja mzito myezi 4 kupanda juu?

  • @yasintapaulo6339
    @yasintapaulo6339 2 роки тому +2

    Doctor nina mimb y miez9 na wk je nikila nanas uchungu unakuj af unapotea

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      😆😆😆😆 haya bhana nanasi Hailet Uchungu wa kawaida

    • @yasintapaulo6339
      @yasintapaulo6339 2 роки тому +1

      @@DrMwanyika sasa inaleta uchungu upi dr. Yaan naumwa wki sasa homa inakuja inaacha

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Kwani Homa Maana yake ni nini?

    • @yasintapaulo6339
      @yasintapaulo6339 2 роки тому +1

      @@DrMwanyika naumwa uchungu afu unaacha dr

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Pole sana Mimba imefikisha wiki ngapi Leo?

  • @JescaMnali-w7s
    @JescaMnali-w7s 3 місяці тому +1

    Habari Dr, hivi ni nini kinasababisha kifafa cha uzazi?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 місяці тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako hapa

  • @AishaIddy-m3b
    @AishaIddy-m3b Місяць тому +1

    Dct me nilikua sijui nilikul nanasi mimba ilikua ya week 3 nilikul mar mbili sijui itanileta mazala badae

  • @SuzanBundara
    @SuzanBundara 7 місяців тому +1

    Doctar mm ninamimba ya mwezi 1 na wiki mbili ila napenda sana kulala chali je kunamathara yeyote

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  7 місяців тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

  • @mordenboyTz
    @mordenboyTz 2 роки тому +1

    Doctor hiv mama mjamzto akiwa anapenda xan kula miwa,je kunaadhari yoyote??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому +1

      Haina madhara Ndugu yangu

    • @mordenboyTz
      @mordenboyTz 2 роки тому +1

      @@DrMwanyika daah, shukran doctor mung akubark

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому +1

      Okay

  • @shanajoseph6006
    @shanajoseph6006 2 роки тому +1

    Docta mi nimeyatumia sana papai mimba ilvyokuwa na miez mtatu sasa hiv nimeacha sina hamu nayo itaniletea madhara?

  • @basalybestyy5771
    @basalybestyy5771 3 роки тому +1

    doctor samahn me nmekula apple kma sku tatu ivii sas naona mlango wa kizaz kma umelegea kdg inamana mimba itatoka kabla au nna 18 na sku 2

  • @HajiMbarouk-t8u
    @HajiMbarouk-t8u 3 місяці тому +1

    Dr. Nikila nanas nikiwa na miez tisa ni saw

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 місяці тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

  • @renathaaudax7197
    @renathaaudax7197 2 роки тому +2

    Hello samahan Dr. Natokwa na matone ya damu pia ya natoa harufu. Sababu itakua nin

  • @rwakukukabale2654
    @rwakukukabale2654 Рік тому +1

    Je mjamzito kuwa na hamu ya kula tunda linaloitwa Pera Lina hadhari Gani kwake make huyu anayapenda na kuyatumia naomba ushauri wa hilo

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Halina madhara yoyote ila kula kwa kiasi kidogo tu

    • @rwakukukabale2654
      @rwakukukabale2654 Рік тому +1

      @@DrMwanyika Asante kwa ushauri wako doctor

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @rwakukukabale2654 Amina ndugu yangu

  • @rosysebarua8699
    @rosysebarua8699 Рік тому +1

    Asante

  • @fatumambunde2832
    @fatumambunde2832 Рік тому +1

    Mimi sipend kula kabisa nikiwaza kula tuh nahisi kichefuchefu hii ni kawaida au ni mda mfupi tuh

  • @rosejoseph2228
    @rosejoseph2228 Рік тому +1

    Ahsantee sn Dr Ubarikiwe

  • @bahrainaliiy6926
    @bahrainaliiy6926 2 роки тому +1

    Doctor mama mjamzito ni vibaya kula kiporo cha ubwabwa?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Sikiliza video ya kula kiporo kwa Mjamzito ya Dr.Mwanyika

    • @RechoMalcom-y2u
      @RechoMalcom-y2u 7 днів тому +1

      @@DrMwanyika doctor mimi ni mjamzito wa miez minne lakini nikipiga mswaki huwa natapika sanaaa na kujickia kichefu chefu na mwili kuishiwa nguvu kitendo cha kuswaki tu haswa nikisugua ulimi na muda mwingne wala c ingizi mswahi ndani juu tu Ila ndo natapika shida ni nini

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  7 днів тому

      @RechoMalcom-y2u Pole sana message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @RehemaFrank-d7x
    @RehemaFrank-d7x Рік тому +1

    Me nakula ukwaju lakn sio sanaa

  • @ThomasPita-pv5oi
    @ThomasPita-pv5oi 5 місяців тому +1

    Dokta me mbona nilikua nakula xana xaxa itakuaje😢😢

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  5 місяців тому

      Pole sana ndugu yangu

  • @hawashabani5848
    @hawashabani5848 2 роки тому

    Doct samahan je miw maan nataman kula miwa sana na juisi yake

  • @junaithammahad3844
    @junaithammahad3844 4 роки тому +7

    Nimekula nanasi mara 3 nina ujauzito wa miez mi4 mungu anisaidie tu jaman. Sikufaham

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 роки тому +1

      Usijali haina shida cha msingi saivi upunguze kuitumia

    • @junaithammahad3844
      @junaithammahad3844 4 роки тому

      @@DrMwanyika Nashukuru Dr

  • @ednakimario2689
    @ednakimario2689 2 роки тому +3

    Dr me nina ujauzito wa mwezi lakini sina hamu ya kula chochote najiskia vibaya kila wakati nifanyeje

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Hiyo ni Hali ya kawaida kwa umri huo wa Mimba uende uanze clinic tafadhari

  • @amylovhusen4724
    @amylovhusen4724 9 місяців тому +1

    Kwaio dkt kama papai limeiva vzr lina shida pia?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  9 місяців тому

      Tafadhari sikiliza videos zetu hapa UA-cam

  • @rahmaabuu2829
    @rahmaabuu2829 Рік тому +1

    Xamahan mim nipo nnje ya mada nilikua nauliza milinda nyeusi haina madhala kwa mam mjamzito maan mm napend kunywa na ujauzito wa miezi8

  • @aishasalum5391
    @aishasalum5391 Рік тому +1

    Dr habari nina mimba ya week 18 lakini sipati dalili zozote za mtoto kucheza mimba ya 4

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Muda bado endelea kusubiri ndugu

    • @MarthaMwalugala-i4k
      @MarthaMwalugala-i4k 11 місяців тому

      Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Mimi Nina mimba ya miezi mitatu naenda wa nne nimekula nanasi sana nilikuwa sijui Asante kunijuza sasa ntaacha .

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  11 місяців тому

      @user-hn4ew1vv2s Amina ndugu yangu

  • @nahyasemwaza7248
    @nahyasemwaza7248 2 роки тому +1

    Sasa dct me yangu WK 40 nasiku zake napo sitakiw kula jmn

  • @zuhuranjou9216
    @zuhuranjou9216 2 роки тому +7

    Ukiwa na ujauzito wawenzi mmoja lazima ijisikie kichefu chefu kutapika mana mimi lilipima nikakuta ni nayo lakini hizo dalili sizioni kama kichefu chefu ni kwa mbari sana na wara sio cha kunikera ivi itakuwa ipo sawa kwa upande wangu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому +7

      Subiri muda bado zitakukera badae saivi enjoy tu

    • @shamilashaffi2163
      @shamilashaffi2163 2 роки тому +2

      Dkt samhn mimba yangu ya kwanz sikuwa na dalili yoyot ya kutapika hata kichefuchef na kukosa nguvu ila kwa mimb ya pili dalili zote zimenijia na pia nakosa hamu ya kula hata siku mbili ila na kunywa tu siwez kumletea mwanang tatizo lolot🙏

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому +1

      Sikiliza video zangu ndugu

    • @CeciliahMutheu-tt4ku
      @CeciliahMutheu-tt4ku Рік тому

      @@DrMwanyika je n nn maana ya placenta anterior and not low lying plz naomba unielezee

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Kondo liko nyuma na haliko karibia na Mlango wa Uzazi au sehemu ya chini kwa ufupi liko sehemu yake inayotakiwa kuwepo

  • @betypaulo2445
    @betypaulo2445 4 роки тому +1

    asant dokt je uji wa ukwajju hatakiw kunyw mjamzito

  • @mossisilima452
    @mossisilima452 Рік тому +1

    Kama papai litakua limewiva vzr je linafaaa?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Fuatilia video zetu ndugu yangu

  • @carolimahetu-f7m
    @carolimahetu-f7m 6 місяців тому +1

    Asante Dr VP kuhusu mama mjamzito kuchelewa kujifungua?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Iko video fuatilia hapa UA-cam

  • @elizabethikamage7176
    @elizabethikamage7176 2 роки тому +1

    doctor samahani mi sijawahi ona ute unaovutika siku za hatari je siwezi kupata Mimba?

  • @berthamethod764
    @berthamethod764 8 місяців тому +1

    Mama mjamzito analuhusiwa kung'oa jino pale linapozid maumivu

  • @HanifaMuradi-qj1cf
    @HanifaMuradi-qj1cf Рік тому +1

    Dokta mjamzito wamwez MMOJA kutoa damu kzk nguo Mara moja au kuona marenda yadamu shida Nini je mda hii anakua mwil unamlegea sana

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Bonyeza link hii sikiliza video
      ua-cam.com/video/OdIIEeuymMo/v-deo.html

  • @frolalupogompumbavuwewesiw179
    @frolalupogompumbavuwewesiw179 3 роки тому +2

    Dr mbona nahisi Nina mimba na dalili zote Ila kiuno kinakuwa kinaniuma cna nahatiye napata periodinasababishwa na Nini kiuno kuniuma cna

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 роки тому

      Umefanya kipimo Cha Mkojo Cha UPT?

  • @rehemamkagila4116
    @rehemamkagila4116 2 роки тому +1

    Mm ujauzito wangu wa kwanza nilikuwa napenda xn mananasi ckuwa najua nikajifungua mtt miez nan hakukaa muda mrefu akafarik wamama tujitahd vyakula pind tukiwa na ujauzito 😥

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Pole Sana Ndugu yangu ila jaribu kuangalia na shida nyingine inawezekana Kuna sababu nyingine pia

    • @rehemamkagila4116
      @rehemamkagila4116 2 роки тому +1

      Mmmh nikajielezeje maana cjaelewa hapo Nikapime kipimo kipi dr 😥

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Nitumie message WhatsApp number iko kwenye profile yangu hapo juu kwa maelekezo mengine

  • @PeninaJoel
    @PeninaJoel 8 місяців тому +1

    Doctor je tope tope wengine wanaita stafeli je nayo ni sawa?

  • @abdulmalikhassan8836
    @abdulmalikhassan8836 3 роки тому +1

    Muke wagu muja muzita leo tumbo limemukaza dawayake nini

  • @fideadrianamos6214
    @fideadrianamos6214 4 роки тому +1

    Me ninaujauzto wa wiki 21 tang nmebeba sjawah kula Nanasi lakn saiv napata Sana hamu nalo najizuia nashindwa cjui nifanyje doctor

  • @MahamuduHaluna
    @MahamuduHaluna Місяць тому +1

    Mimi ni mjamzito wa mapacha na miez 8 lakin tumbo la washa je nihatari Kukuna tumbo

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Місяць тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

    • @muna1744
      @muna1744 Місяць тому +1

      Hata mimi pia kuna muda tumbo linaniwasha

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Місяць тому

      @muna1744 Okay

  • @marymwakyriq7491
    @marymwakyriq7491 Рік тому +1

    Dr Zabibu kwa wiki 36 linaweza leta shida

  • @LatifaMkwizu-u1v
    @LatifaMkwizu-u1v Рік тому +1

    je naweza kula nanasi wakati nimefikia waka wa kujifungua

  • @rosemaryrenatus8064
    @rosemaryrenatus8064 Рік тому +2

    Docta mimi napenda kula peasi lina madhara

  • @rehemamkagila4116
    @rehemamkagila4116 2 роки тому +1

    Doctor mm nmekula zabibu mara moja je ninaweza kumuathiri mtt maana nmeanza kuogopa

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Usijali haina shida haitakiwi kula mara kwa mara unaweza kula kwa kiasi kidogo sana maana hakuna tafiti za kisayansi zinazothibitisha hivyo ni vema kuwa na tahadhari Maana matunda yako ya aina nyingi unaweza tumia aina nyingine

  • @AhmedAlly-xe3uw
    @AhmedAlly-xe3uw 3 місяці тому +1

    Maashaallah mafunzo yako yananifunza mambomengi nisiyoyajua nayajua ss

  • @mwajeimtonga8846
    @mwajeimtonga8846 2 роки тому +1

    Samahan docta jana nimekula ukwaju nashangaa nimeamka kujisahidia haja ndogo umebadilika langi kiuno nacho kinauma naomba kujua kama nimepata mazadhara

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Hapana usiwe na wasiwasi Ndugu yangu ila acha kutumia ukwaju

    • @mwajeimtonga8846
      @mwajeimtonga8846 2 роки тому +1

      Asante docta naomba kuliza mim sijaingia period toka mwez wa sita mpka uu wa Saba na nimepima nimekutwa na ujauzito je ntakuwa naujauzito wa miez mingap naomba kujua docta

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Sifahamu kafanyiwe Ultrasound

  • @DicksonMtawo
    @DicksonMtawo 5 місяців тому +1

    Dr. kutema tema mate ni dalili ya mimba

    • @DicksonMtawo
      @DicksonMtawo 5 місяців тому +1

      Mke wangu anatema sana mate takribani ni wiki sas ni dalil ya nin

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  5 місяців тому

      @DicksonMtawo Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

    • @DicksonMtawo
      @DicksonMtawo 5 місяців тому +1

      Nafatilia lakin sielew dkt

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  5 місяців тому

      @DicksonMtawo Message WhatsApp number iko kwenye profile picha hapo juu

  • @DianaClaudius-i4x
    @DianaClaudius-i4x 8 місяців тому +1

    Mungu wangubmm nakula nanas na zabibu wiki 35

  • @dijakanikikaniki6046
    @dijakanikikaniki6046 2 роки тому +1

    Asante sana doctor mungu akubariki

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 Рік тому +1

    Ninamimba ya miezi sita Mimi naipenda sana zabibu napapai tumbohuwa linaniuma nakuniachia naleo nimekula zabibu zakutosha kabla ya kusoma iivideo saizi naona majimaji ya dam ukeni ndonini Sasa docta sielewi

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Aisee pole sana uende hospital mimba yako inatishia kuharibika watakiandikia dawa na watakupa maelekezo

  • @jescajanuary2811
    @jescajanuary2811 3 роки тому +1

    Samahan dokta mm ninamimba ya mwezi lakn napata njaa kila baada ya lisaa tu ninashida au nikawaida

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 роки тому

      Hakuna shida uwe unakula Mara kwa Mara sawa eeh Mimba ikifikisha miezi minne utatakiwa upewe Dawa za minyoo

  • @phibijuilus7748
    @phibijuilus7748 3 роки тому +1

    ahsante doctor

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 роки тому

      ❤️

    • @AlickMwakitalima-oy4no
      @AlickMwakitalima-oy4no 8 місяців тому +1

      Doctor mke wangu amekuwa na shida ya mimba ya kuharibika na sijui nini shida na hivi sasa ni mjamzito ni saidie ushauri wako

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  8 місяців тому

      @AlickMwakitalima-oy4no Pole sana message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @stellamwanda2312
    @stellamwanda2312 Рік тому +1

    Dr minamimba ya miezi mitata ilanaishiwa sana nguvu kukaa mda mrefu nashindwa nachoka

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Uende hospitali wakufanyie Uchunguzi zaidi ndugu yangu pole sana

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 4 роки тому +4

    Jaman navyopenda nanasi Dr mbona roho imeniuma na hapa nimeshanunua

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 роки тому +1

      Ndio uache au uwe unatumia kidogo sana

    • @PriaMnken-nm6sb
      @PriaMnken-nm6sb 6 місяців тому

      Duuh mm Huwa nakula ckujuaa tena sio kidogo ​@@DrMwanyika

  • @tumcmrs7126
    @tumcmrs7126 4 роки тому +1

    Asee somo zuri..asante dokta

  • @johnsonbenard111
    @johnsonbenard111 Рік тому +1

    HABARI Dr
    Mke wangu anamimba changa na amekula zabibu pia kifua kilikua kinamuuma akatengeneza tangamwizi pamoja na limao akachanganya akanywa hapa ameenda chooni anasema ametokwa na Damu Je kuna madhara yoyote na Je tufanyanye??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Mpeleke hospital akafanyiwe vipimo na watamwandikia Dawa

  • @LovenessZakayo-xk4st
    @LovenessZakayo-xk4st Рік тому +1

    Nlijifungua mtoto mweny utumbo njee inasababishwa n nini

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Hiyo ni shida ya ulemavu wa kuzaliwa!

  • @PriaMnken-nm6sb
    @PriaMnken-nm6sb 6 місяців тому +1

    Mm nipo nnje ya mada doctor cjatumiaa folic acid. Nilianza clinic nikiwa na miez mitatu ila wakasema mda wa folic acid umeshaa pitaa. Nikapewa dawa ya calcimag je ni sawa? Naomba nisaidiee doctor. Please 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  6 місяців тому

      Pole sana message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @fatmasule8262
    @fatmasule8262 Рік тому +2

    Doctor Mimi uweka ukwaju kama napika samaki wa kuchemsha pia ni Vibaya

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Sidhani kama kuna shida ndugu yangu

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 4 роки тому +2

    Doooh asante dr kwa somo,sasa hivi ujauzito wangu ni wiki 16,lkn nilipokuwa wiki ya 14 nilipata hiyo shida sana ya kutokwa na damu kwenye fizi na asubuhi nilikuwa napenda sana kutumia ukwaju,sasa ndiyo nimeelewa maana ya hili somo🙏🙏

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 роки тому

      Aaah vizuri sana

    • @mamynassor958
      @mamynassor958 4 роки тому +2

      Asante docta izo dalili naziona nakula nanasi sana mungu anilinde

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 роки тому

      Okay

    • @estherpassaris4912
      @estherpassaris4912 4 роки тому

      Niko na mimba ya mwezi moja. Nilifanya mapenzi damu ikaanza kutoka. Tatizo ni lini

    • @rehemamtumwa102
      @rehemamtumwa102 2 роки тому +1

      Je kama ukila papai kipande kidg pia kinaleta mazara

  • @zulfahmchina2791
    @zulfahmchina2791 2 роки тому +1

    Mungu wangu mm nkula nans km chiz nna miez4 😓

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  2 роки тому

      Uwe unakula kwa kiasi kidogo tu

  • @sayydathamad6178
    @sayydathamad6178 3 роки тому +1

    Jaman dr me nanas nalipend san unanishaurije.......mimb y miez 4 kwend 5.....n halin athar kw mtoto

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  3 роки тому

      Tafadhari naomba usikilize video