Je Kitovu Cha Mtoto Mchanga Kikianguka Au Kutoka Huwa Mnakipeleka Wapi? 😂😂😂😂

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 288

  • @DeborahMacha
    @DeborahMacha 11 місяців тому +9

    HaBari doctor, Me naomba unisaidie mwanangu ana wiki Moja toka nijifungue ila utosi wake audundi je ni tatizo gan

  • @AbdalaAbdii-l5t
    @AbdalaAbdii-l5t 11 місяців тому +3

    Kinawekwa kwenye zizi la mbuzi kinachamganyika na mbolea afu unafagia ile mholea unaweka kwenye mgomba shambani ule mgomba unaitwa mgomba wa mtoto ndizi ikikomaa hairusuwi kuuzwa tunapika tunakula😂 by eliza

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  11 місяців тому

      Aiseeh 😃😃😃😃👍👍

  • @EvalineWillium
    @EvalineWillium 5 місяців тому +2

    Kwa kweli tukiangalia Mawazo mengi ya watu inaonekana kwamba KITOVU ni kitu cha kiimani sana,
    Mimi kwa Upande wangu wa Imani--Baada ya kitovu kuanguka Unafanyia Maombi na kukikabidhi kwa Mungu kwa njia ya Maombi,
    Then baada ya Hapo unakuwa huru kwa kufanya Chochote, (Utupe au Uifadhi) naamini Hakutakuwa na Madhara tena😊.

  • @bethjoel6642
    @bethjoel6642 День тому +1

    Kilipotea chenyewe yesu ni mlinzi.

  • @HassanMwasile
    @HassanMwasile 11 місяців тому +3

    Kawaida kitovu kikotoka kinatakiwa kitupwe na siwara kila mtu kutambua kwa kama kuna watu wabaya wakakitumia katika faida zao

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 16 днів тому +1

    Unakichukua unakifanyia maombi. Unafunga kila roho ambazo zinaweza kuinuka kwa mtoto kupitia kitovu kwa maombi kisha unakichoma moto

  • @SalmaHassan-g1o
    @SalmaHassan-g1o 10 місяців тому +2

    Abar doktar kitov kikatika na angali akijakauka vzur je ni vibaya

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  10 місяців тому

      Message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

    • @ibrahimuwanchara4224
      @ibrahimuwanchara4224 9 місяців тому +1

      ​@@DrMwanyika mbona mm sioni. Iyo namba

    • @ibrahimuwanchara4224
      @ibrahimuwanchara4224 9 місяців тому

      Mwanangu mm kinatoa majimaji ila kimekatika

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  9 місяців тому

      @ibrahimuwanchara4224 Kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @SheilahBenson-df9wh
    @SheilahBenson-df9wh 3 дні тому +1

    mim mwananang ana miak3 ila ninach mpk leo nimekifung na kitambaa nimewek kweny beg la nguo ninaogop kukitupa wala kukifukia moyo wang hautak kabsaa bs huw nawaz nawez fukia kikafukuliw na wachawi

  • @rehemasauli
    @rehemasauli Рік тому +5

    Habari dr mimi huwa nakifukia chini mana kitovu ndio maisha ya mtoto

  • @VivianOtieno-rp4eq
    @VivianOtieno-rp4eq 7 днів тому +1

    Dkt, je baada ya kitovu kukatika ni kawaid kutokwa na maji maji ?

  • @naomiauma7913
    @naomiauma7913 Рік тому +6

    Sisi kweti hufukia lkn samahani Dtr mtoto wangu ana mwenzi mmoja na amemea mfano wa meno ndani ya mdomo

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Nitumie picha WhatsApp number iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @AsmaAli-je2zz
    @AsmaAli-je2zz 10 днів тому +1

    Kitovu kifukiwe ktk mazingira yetu tunayotoka yaani nyumbani Kwa wazazi Kwa baba au mama kwani mtoto anafuata na anakua karibu zaidi na Ile seemu kilipofukiwa kitovu chake

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 Рік тому +4

    Dokta naomba uniambie kuwashwa na tumbo kwa mjamzito ni madhara au sio madhara?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Bonyeza link hii sikiliza video
      ua-cam.com/video/GD9B2jn2uyo/v-deo.html

  • @JohnDoe-f3u
    @JohnDoe-f3u Рік тому +12

    Mamaangu aliniambia niweke kitapotea cenyewe.hakuna mrinzi kama Damu ya Yesu Christo.

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 11 місяців тому +1

    Thanks Dr Mwanyika kwa mafundisho yako

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  11 місяців тому

      👍

    • @RechoProches
      @RechoProches 8 місяців тому +1

      Doct mtt wangu wiki ya tatu ajapona kitovu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  8 місяців тому

      @RechoProches Okay uende hospitali wakufanyie Uchunguzi

  • @BerthaVenance-c6k
    @BerthaVenance-c6k Місяць тому +1

    Naomba nisaidie doctor mtoto wangu ana miez miwil na wiki moja sasa lakin kitovu chake bado hakijakauka kinakuwa kam kidonda kibichi je shida inaweza kuwa nini??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Місяць тому

      Message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @jackobmwanyita1730
    @jackobmwanyita1730 Рік тому +2

    Doctor mimi mwangu ana mwezi lakin ziwa lake upande wa kulia linatoa vimaji maji na nikibinya kuna kama kipeke itakua ni nini shida dokta

  • @BlassMusic-e9l
    @BlassMusic-e9l 25 днів тому

    Mimi pia najifunza. Lkn pia Kuna Imani nyingine natamani sana kujua kuhusu kitovu. Wanasema wakati kinadondoka, kikidondokea kwenye uume wa mtt, mwisho wa siku anakuwa Hana uwezo wa kusimamisha uume. Hili nalo limekaaje?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  24 дні тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam kuhusu maswali yako

  • @penuelyolotu7113
    @penuelyolotu7113 Рік тому +12

    Kitovu Ni uchafu kwa Nini kitunzwe?? Tupa chooni acha Imani potofu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Shukrani Sana ndugu yangu ubarikiwe

  • @ReginaDaniel-p8o
    @ReginaDaniel-p8o Місяць тому +1

    Dr umri sahihi wa kumpa mtot mdogo maji ya kunywa ni upi?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Місяць тому

      Akisha funga miezi 6 ndugu yangu

    • @mwasitiabubakarAbdallah
      @mwasitiabubakarAbdallah 22 дні тому

      Nilijifungua maziwa hayatoki daktar akanipa ushauri nimpe maji Yale ambayo umechemsha kwa usafi yakipoa unanywesha kijiko kimoja alhamdulillah maji ya kunywa kwa mtoto muhimu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  22 дні тому

      @mwasitiabubakarAbdallah 🥴

  • @AbdallahRamadhani-s6e
    @AbdallahRamadhani-s6e Рік тому +2

    Mungu wangu ndugu kilakitu niimani yako

  • @dafrozachalukula9745
    @dafrozachalukula9745 3 місяці тому +2

    Eti kitofu wakati wa kudondoka kikidondokea sehemu za Siri za mtoto anakiwa tasa?

  • @NorahBoniphacePaul-zm1mi
    @NorahBoniphacePaul-zm1mi Рік тому +1

    Dr.samahan mi mtoto wangu analia sana ucku shida ni nini??

  • @StellaRajabu-jq5pq
    @StellaRajabu-jq5pq Рік тому +1

    Kitovu ukiweka vibaya mwanaume akalia anakufa ko nihatari unaweza gombana na mkeo akakufanyia vibaya ko nihatar

  • @SosteniGaspari-l1h
    @SosteniGaspari-l1h 4 місяці тому +1

    Sisi tunahifadhi sehemu sarama Mana hatavito uvyetu mama arivitunza mpakasasa nakiramtoto chake kinafahamika natmezariwa watoto kumi

  • @ZuhuraIbrahim-sl9nu
    @ZuhuraIbrahim-sl9nu Рік тому +2

    Kitovu kutupa chooni au dampo sio vzri inabidi kifukiwe ardhini kwasababu hakuna mtu atakaeju kam umefukia kitovu ten unavyofukia muwe watu wawili too

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Рік тому +1

    Sisi kwwtu unatafuta kitambaa cheusi unakifunga unamfungia mwanao kiunoni kinasaidiwa hata kwenye magonjwa y dege dege na watu wabaya hawamfat mwanao" mm nasali lkn kitovu cha mwanangu lzima nimfugie kiunon wanangu wote had ile kamba ikikatika na chenyewe kimeisha

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 3 місяці тому +2

    Mimi ni mkristo, naamini kitovu kinamaana kubwa sana ktk maisha ya muhusika.
    Kwahiyo sisi huwa tunamnunulia mtoto shamba tunakisaga kitovu tunachanganya na mbegu kisha tunazipanda mbegu shambani au unaweza kumnunulia kiwanja ukamjengea nyumba na kupanda mti wa matunda ukakishanganya pia na udongo wa ujenzi pamoja na mti wa matunda
    Kwetu kitovu ni uhai na chakula pia hutukumbusha tendo jema la msaada tulioupata tulipokua tumboni nk

  • @ZawadiMinja-u1o
    @ZawadiMinja-u1o Місяць тому +1

    Ss Huwa tuna tumia kama Kinga ya mtoto huzuia jicho kwa mtoto Huwa tunamfungia mtoto mpka atakapo fikisha miaka mitatu

  • @ANNA.RAMADHAN
    @ANNA.RAMADHAN 7 місяців тому +1

    Si Dr upande wetu tunakihifazi sehemu salama hatutupi

  • @ShifraNgitu
    @ShifraNgitu 5 місяців тому +1

    Barkiwa sana

  • @biscuits001
    @biscuits001 Рік тому +1

    Je n kawaida choo cheusi kwa mtoto mchanga wa siku mbili

  • @hajrakhani744
    @hajrakhani744 Рік тому +1

    Dr kwetu tunakifukia na juu tunapanda mti

  • @GideonNyanga
    @GideonNyanga Рік тому +1

    Mimi nilitupa ju ni uchafu hakuna kitu mtoi atafanya iyo ni imani ya watu

  • @AminaHasani-i9s
    @AminaHasani-i9s 12 днів тому +1

    Duuh msiniogopeshe

  • @MonikaFedrick-td8nv
    @MonikaFedrick-td8nv 9 місяців тому +5

    minatupaga tu atabomani kwenye ng'ombe misinaga imani yaovyo kikubwa nikumuamini mungu watu waache imaniza kizamani

  • @ZainabuNaheeli
    @ZainabuNaheeli Рік тому +1

    Mimi na swali dkt ukijifunguria nyumbani inatakiwa ufanyaj hudumia ya kwanza

  • @rossemasanja4932
    @rossemasanja4932 Рік тому +1

    Mm kwakweli sijui

  • @elidermussa6728
    @elidermussa6728 Рік тому +1

    Dokta samahani ni wakati Gani mtoto mchanga anatakiwa kunyolewa nywelee asantee kwa kufundishaa kuhusu kitovu tumepataa uelewa je kuhusu nywelee nazo ?? Ipojee

  • @sabinamaneno9354
    @sabinamaneno9354 Рік тому +1

    Mi nilikitunza tu kikapotea chenyewe

  • @MwanaidMajani-dh5zc
    @MwanaidMajani-dh5zc Рік тому +1

    Dr sorry. Mm napenda Sana kula chips ivi ni kweli Kuna madhara yanayotokana na kula chips kwa wingi

  • @ab_68-yn9ub
    @ab_68-yn9ub 8 місяців тому +1

    Mm najua kitovu unafukia hautupi choon walasehem nyonyete Zaid yakukifukia 😢

  • @bakaryusuph8463
    @bakaryusuph8463 Рік тому +3

    Niliambiwa na mama nitupe popote niache imani potofu kwamaani ss Walokole,, naizo imani kwamba ushiki tena mimbo so kweli me sahiv kijacho,,,,,,,,,,,,,,,,,,naomba kujua maumivu ya tumbo chini ya kitovo inasababishwa na nini kwa mama kijacho

  • @AstedJoeltito
    @AstedJoeltito 4 місяці тому +1

    Na vipi mbina kondo lanyuma linabaki hospitali

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 місяці тому +1

      Ulitaka uondoke nalo?

    • @AstedJoeltito
      @AstedJoeltito 4 місяці тому +1

      @@DrMwanyika hapana nilitaka kusema kama linabaki hospitali na hatuoni shida kwanini tuoneshida kutupa kitovu Cha mtoto????

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  4 місяці тому

      @AstedJoeltito Okay

  • @CatherineMushi-m7q
    @CatherineMushi-m7q Рік тому +1

    Dr.kitovu kikianguka huwa kinachukua mda gani kufunga?wangu analia kinapanda

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Fuatilia video zetu ndugu yangu kuhusu Ngiri ya Kitovu kwa Kichanga

  • @vodacomtanzania4400
    @vodacomtanzania4400 Рік тому +3

    Bora uchimbe shimo ufukie au kama nimtu washamba nenda ukakifukie huko huko shambani

  • @SadifaAmour
    @SadifaAmour 7 місяців тому +1

    Huku kwetu Zanzibar wengi wetu Huwa tunachimba kishimo kidogo tu na kukihifadhi

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 7 місяців тому +2

    Mtoto alie tairiwa au tohara unamshauriaje?

  • @kassimpeterMwahalende
    @kassimpeterMwahalende 3 місяці тому +1

    Sisi tunafukiaa chini

  • @victoriakapwesu9630
    @victoriakapwesu9630 Рік тому +2

    Mimi na kichomaga

  • @MaickoJoseph
    @MaickoJoseph 4 місяці тому +1

    Mimi naajua unakiweka kwenye mgomba inakuwa mgomba unavyo stawi namtoto anaka ivo

  • @bakaryusuph8463
    @bakaryusuph8463 Рік тому +2

    Me nilitupa nyumban kwetu je! kunashida jamani

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Mkuu Mimi nataka niwasikilize watu wa imani hapo maana mwenyewe Sina uhakika

  • @khadijaemmanuel3563
    @khadijaemmanuel3563 8 місяців тому +2

    Mm nimekua nikimuona mamà angu alikua mtoto akikatika kitovu aulikua anakitunza vizuri ndani ya kopo watoto wanakua wanakikuta nakukiona pia

  • @MaryamNurru
    @MaryamNurru Рік тому +2

    mi nilikitupa chooni

  • @NasraMohamedi-e8m
    @NasraMohamedi-e8m Рік тому +1

    Ni kiungo ambcho,kilisha isha kazi yake,,hivyo kichimbiwe ardhin,,au chooni,,ili wale wasshirikina wasiweze kukipata nakuendelea kukuitumia

  • @janethmuziranenge5024
    @janethmuziranenge5024 Рік тому +1

    Dr ultrasound Aina shida kufanya mara kwa mara,

  • @aishajuma468
    @aishajuma468 Рік тому +1

    Warangi wanatupa kwenye boma tu ngombe😅😅

  • @CarolinaYusuphu-d5e
    @CarolinaYusuphu-d5e 9 місяців тому +1

    Et doctor ni kweli kitovu cha mtoto kikiangukia kwenye sehemu yake ya siri kama ni mtoto wa kiume baadae hataweza kusimamisha?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  9 місяців тому

      Fuatilia video zetu hapa UA-cam

  • @NeemaNicolus-p8w
    @NeemaNicolus-p8w 2 місяці тому

    Sisi tunawekaga to kweny mafuta ya mtt anayopaka kinayanyuka humo humo akiwa anapaka

  • @ChristinaMtavangu
    @ChristinaMtavangu 9 місяців тому

    Je, kitovu kinapokaribia kukatika hutoa harufu kali?

  • @agnesmeivukie6495
    @agnesmeivukie6495 9 місяців тому +1

    Hakina kazi ye yote kikishatoka ni cha kutupwa tu na hakina umuhimu wowote tena

  • @shifashifat7438
    @shifashifat7438 Рік тому +1

    Dr Mimi Nina watoto tano ila kitovu natupa tu

  • @aminasoud7797
    @aminasoud7797 7 місяців тому +1

    Tukiachana na iman nivizur kiungo chochote cha mwanaadamu kistirie kwani kuonekana pia sio vizur

  • @GloryPaulo-x6z
    @GloryPaulo-x6z Рік тому +1

    Kaka naomba namba zaki

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Kwenye Profile picha hapo juu mkuu

  • @annamzeru-m1f
    @annamzeru-m1f Рік тому +1

    kitovu kinafukiwa sehemu ambayo imetulia sana ambayo haina pilika pilika kama vile ktk mgomba katikati na mtu asikuone

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Okay 👍

    • @zawadipeter8333
      @zawadipeter8333 Рік тому +1

      Docter naomba nisaidie mwanangu anawiki moja na siku mbili kitovu kimedondoka baada ya siku ya tatu lakini nimekaa siku tano kinatoa vidamu kidogo apa kwenye kitovu tatizo nini

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @zawadipeter8333 mpeleke hospital akafanyiwe Uchunguzi

  • @MwanasainaMohamed
    @MwanasainaMohamed 7 місяців тому +3

    Mimi mamaangu mkwe aliniambia nikakitupe mtoni anasema hata yy alikuwa anatupa mtoni pia ambako mto huo maji ayakauki miaka nenda miaka rudi

  • @LidyaAyubu-bc8sw
    @LidyaAyubu-bc8sw 5 місяців тому +1

    Namutoto kulia usku Nini tatizo

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  5 місяців тому

      Message WhatsApp number iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @hawaissaramsdhan5704
    @hawaissaramsdhan5704 Рік тому +2

    Dokt me naujauzito wa miez 7 mtoto anacheza sawa lakin tumbo langu lipo kawaida to halionyesh kama na mimba...ispokuwa kuna mda kama usku ndo linakuwa... lakin mda mwingi linarudi kawaida...je nitakuwa na tatizo lolote?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Unavyosema kawaida una maana gani?

    • @hawaissaramsdhan5704
      @hawaissaramsdhan5704 Рік тому +1

      @@DrMwanyika yan tumbo siyo kubwa...halionyeshi kabisa kama na mimba ya miez 7 na ule msta wa tumbon sina hauonekan kabisa lakin..naskia mtoto akicheza....je nn shida ya tumbo kutokuwa kubwa kama wajawazito wengine ila mm nimarayangu yakwanza kubeba mimba.

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому +1

      Dada acha kujifananisha na watu wengine tumbo lako ni tumbo lako tu haliwezi fanana na wengine

    • @hawaissaramsdhan5704
      @hawaissaramsdhan5704 Рік тому +1

      @@DrMwanyika sawa nimekuelewa inshaallah

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Amina

  • @HathumaniBaunsa-uf4jn
    @HathumaniBaunsa-uf4jn Рік тому +1

    Kitofu ukizika sivibaya ukihifathi kwa tiba inafaa zaidi hapa duniani kilakitu nitiba nywele nitiba mavuzi nitiba kikwapa tiba kucha tiba uchafu wa wakitofu tiba nk Sasa basi kitofu hutumika kwakupendwa kama mtoto anvyopendwa hakuna anaye chukia mtoto mchanga huyo anakuwa mchawi kitofu nitiba ya majipu nk kwahiyo ukitupa sawa Tena mbali uki hifathi nivizuri zaidi wenu mtaalam wa tiba asilia tukiungana na tiba za kisasa ufumbuzi zaidi kwa kuwanusuru wangonjwa wetu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Amina ndugu yangu

    • @tinkiboniface3342
      @tinkiboniface3342 Рік тому +1

      Dr mm niko nje ya mada ya kitovu, nina swali, kuna mahusiano gan ya ukiwa unanyonysha harafu maziwa yakawa yanauma yanavuta vuta kama visindano inakuwa ni nini?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Hali ya kawaida ndugu yangu hiyo kwa mtu anayenyosha!

  • @mwajabually6738
    @mwajabually6738 Рік тому +2

    Hii naona imesimama kimila zaid kila sehemu wana mila zao wengne wanafanya hadi sherehe za kimila kama kupika pombe za kimila na kukizika kile kitovu,ila mm naona ni busara kukizika kipande kilichodondoka maana ni sehemu ya mwili

    • @mwajabually6738
      @mwajabually6738 Рік тому +1

      Ila mm Dr naomba unijuze ,Je ni kweli kuwa ulaji wa udongo kwa mama mjamzito hupelekea kupungua kwa damu mwilini???

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Okay

    • @mwajabually6738
      @mwajabually6738 Рік тому +1

      @@DrMwanyika ni kweli dr ulaji wa udongo hukausha damu kwq mama mjamzito??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Bonyeza link hii sikiliza video
      ua-cam.com/video/PS4kfQKeQu8/v-deo.html

  • @christinewekesatinatina4750
    @christinewekesatinatina4750 Рік тому +1

    Wangu ako na miezi miwili na bado kimefura dokta

  • @LazaroNoel-r2b
    @LazaroNoel-r2b 9 місяців тому +1

    Wengine wanamila zao zakufukia kitovu

  • @MaryamNurru
    @MaryamNurru Рік тому

    kwaimani yangu mi hua no na tupa chooni

  • @nuruzebedayo5458
    @nuruzebedayo5458 Рік тому +15

    Kuna nyumba nilipanga wakati Fulani Kuna mpangaji mpare alijifunguwa mtoto wa kike ila kilicho nishangaza kile kitovu kilileta ugomvi mkumbwa mnooo,upande wa mwanaume wanataka kitovu wanasema kinatakiwa kuzikwa kwao,wao ni waruguru wa mgeta na mpare anasema kitovu kinazikwa Kwa mwanamke mpaka ndugu wa mwanamke upareni wakaja kukichukuwa kwanguvu na kurudi same

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Aaaah aiseeeh pole yao ndugu yangu

    • @mgonjaelizabeth8063
      @mgonjaelizabeth8063 Рік тому +2

      Hahaha jamn nmecheka kipare ndo tulivyo wapare ila kama wakwe zako sio washirikina 💯 unaweza kuwapa wakwe ila kama wakwe zako hawaelewek bora nikimeze dadeq.🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      😄😄😄

    • @lizmwosha4298
      @lizmwosha4298 Рік тому +2

      Doctar mtoto wangu anapata choo kigumu sana

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @lizmwosha4298 Pole sana message Whatsapp namba iko kwenye profile picha hapo juu

  • @zuwyzuwy5852
    @zuwyzuwy5852 Рік тому +1

    Doctor hbr na Kama kitovu kinatoa harufu Ila bado kuanguka unafanya nn doctor je unaweza kumpaka spirit manaa kina unyevu unyevu?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Mpeleke hospitali wamchunguze ndugu yangu kwanza

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 Рік тому +1

      Hello, ulifanikiwa ndugu?? Maana na mimi ndo tatizo ilo ilo lipo kwa mwanangu

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Okay mpeleke hospital akafanyiwe uchunguzi ndugu yangu

  • @ShaniJuma-xw6wc
    @ShaniJuma-xw6wc 8 місяців тому +2

    Doctor na tunaojfungua🎉 kwa operation tunaruhusiwa kufunga tumbo

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  8 місяців тому

      Naomba usikilize video zetu hapa UA-cam

  • @AshaAbdalla-l4m
    @AshaAbdalla-l4m Рік тому +1

    Samahn doctor, froup la whatsp najiungaje?

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719

    Sisi kwetu tunafukua katika mti unaozaa na alikichukua mama sana sana mgomba ili asipate shida ya uzazi ukubwani

  • @AnifaKhamis
    @AnifaKhamis Рік тому +1

    Ndokita mm mwanangu alikunywa maji machafu tumbon ipi timba yk nisaidie

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Message Whatsapp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @johnkibaja2562
    @johnkibaja2562 Рік тому +1

    Mimi hutupa chooni au nakichanga na taka zingine nakichoma nakukiteza, lekini lengo haswa la kufanya hivyo ni kwa ajili ya unzi ili kisije tumika na watu wabaya kwa lengo la kumdhuru mtoto

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Okay 👌

    • @samorastephano1322
      @samorastephano1322 Рік тому +1

      Dr me mtoto angu anamiezi sita but ngozi ake inakuwa na vipere vidogo kama vya joto na badae anakuwa anatokwa na kama ngozi ya juu naomba msaada

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @samorastephano1322 Pole sana message Whatsapp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @lulutweve3516
    @lulutweve3516 Рік тому +3

    mtoto wangu wa tatu nilichimba shimo nikafukia hawa wawili sijui vilipotea tuuu

  • @farajakabura5206
    @farajakabura5206 Рік тому +1

    Watu wengi wanakihifazi

  • @phinaswai4718
    @phinaswai4718 Рік тому +1

    Dr samahani, mwanangu leo siku ya 11 kitovu hakijakatika na kinatoa viusaha kwa mbali? Nifanyaje Doctor??

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Mpeleke hospital akafanyiwe uchunguzi na Daktari

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 Рік тому +1

      @@DrMwanyika sawa sawa

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Okay

    • @annambunda6601
      @annambunda6601 Рік тому +1

      @@DrMwanyika docta samahan eti nikweli kbs siku ya 13.. na siku ya 14 ndo siku yakupata mtoto wa kiume..??? Natamani mno

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      @annambunda6601 Nadharia tu hizo unaweza fanya na usipate wa kiume 😄

  • @AnjeloBlazo
    @AnjeloBlazo Рік тому +2

    Mi mwanangu anamwaka na miez2 hana jino ata moja shida nn Dr

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Nitumie message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @JacklineMichael-r9t
    @JacklineMichael-r9t Рік тому +2

    Namba yako naipataje

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Iko Iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @MarieHamis
    @MarieHamis 5 місяців тому +1

    Tunatupa choon

  • @JohariKennedy
    @JohariKennedy 9 місяців тому +1

    Mimi huwa nafukia

  • @MariamAbuubakar-e5o
    @MariamAbuubakar-e5o Рік тому +3

    Mi watto wangu wa tano nilitupa chooni2

  • @salmaibrahimsheshe9841
    @salmaibrahimsheshe9841 Рік тому +2

    Doctor cha mtoto wang anasiku ya saba kitovu chake akijakatika bado

  • @verenapastory9118
    @verenapastory9118 Рік тому +1

    Mimi mtoto wakwanza nikipeleka kwa mama mkwe akasema tupa uvnguni mwakitanda mtoto wa pili nilikitupa chooni mtoto wa tatu nilikitupa chooni mtoto wa nne wifi yangu alikuwepo akasema ukitupe uvunguni hila wale wawili nivyo tupa chooni wakovizuri kifikira nijayanti niwatu wakujituma wkiujumla wakovizuri kuliko nilivyo tupa uvunguni mwa kitanda

  • @Ashanty-fb7su
    @Ashanty-fb7su 8 місяців тому +1

    Mm kitonvu cha mwanangu kilianguka chenyewe na kikaishia ivyo ivyo wakati natoka hospitali kikaanguka na sikukiona tena

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  8 місяців тому

      Okay

    • @Ashanty-fb7su
      @Ashanty-fb7su 8 місяців тому +1

      Kuna watu wasema kitonvu kikiangua kwa chini ya uchi wa mott kaka ni wakiume atakua shoga au kama ni wa kike atakua anajikojolea kitanda je Dr imekaaje hii ni kweli au

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  8 місяців тому +1

      @Ashanty-fb7su Hakuna ukweli wowote ndugu yangu

  • @doreenmsigwa7487
    @doreenmsigwa7487 Рік тому +1

    Niimani potovu kwakweli kikitoka unatupa tu choon hakuna lakutokea ukijengea Iman kuwa itakuwa hiv hakika inakuwa lakin ukichukulia Kam uchafu mwingine hakuna kitakachotokea chochote maan kunakitu kingine watu husema kitovu kikidondokea sehem za sir Kwa mtoto huleta shida mmh bado mm hapo pia sitaki kuamin Kam kunaukweli ndani yake

  • @benjaminbenmo5616
    @benjaminbenmo5616 Рік тому +1

    Dr mi kwenye jamii ninayoishi wote wanafukia afu juu anapanda mgomba na akiwa wakiume kinafukiwa kimeangalia juu mtoto anakua na nguvu za kutosha sio poa tuheshim mila zetu jmn

  • @helenasangu3698
    @helenasangu3698 Рік тому +1

    Mimi naamini sehemu salama ni chooni, maana kitovu akichukua mtu mbaya anao uwezo wa kufanya vibaya, ni bora kitupia chooni tena ukipenda kabla ya kutupia unaomba maana ni sehemu ya mwili wa mwanao, huko amna anae weza kukifikia.

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo Рік тому +1

    Mie niliambiwa nikitie kwenye chupa ya mafuta anayopaka mtoto hata mtu mbaya akija kuchukua hatamdhuru mtoto kwasabu asili iliyomo kwenye kitovu ameshajipaka mwenyewe

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Рік тому +2

    Mimi ninawatoto wawili lakin sikumbuki nakitupiaga wapi kwakweli

  • @glorywakiariro2535
    @glorywakiariro2535 11 місяців тому +1

    Kama hakijakauka vizuri na ana miezi miwili afanye???

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  11 місяців тому

      Message WhatsApp namba iko kwenye profile picha hapo juu mkuu

  • @NiyomdikoSavera
    @NiyomdikoSavera 5 місяців тому +1

    Kwetu burundi tunakihifadhi vizuri ikitokea mtoto anaumwa macho au mtu mzima unavhukuwa kitovu kile unapitisha kwenye macho mgonjwa anapona

  • @rugaya_tz
    @rugaya_tz Рік тому +1

    kuna wengine wana wana wafungia mukononi ili iwekinga kwa mutoto kukitoa hadi miaka mitano

  • @JacklineSamwel-k1r
    @JacklineSamwel-k1r Рік тому +1

    Sorry mwanangu ana wiki kitovu kimeshakatika ila bado kinatoa harufu pia akijakauka naweza kumpaka spiit

    • @DrMwanyika
      @DrMwanyika  Рік тому

      Mpeleke hospital akafanyiwe uchunguzi na watamuandikia Dawa