Jactan na timu yako mnafanya kazi kubwa ya Mungu kuwafikishia watu wa Mungu ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu. Msisahau kuombea kazi hii maana adui hapendi. Ushuhuda ni silaha kubwa ya kiroho kwa watu wa Mungu maandiko yanasema walimshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao ambao hawakupenda maisha yao hata kufa 🙏🙏🙏🙏🙏
Ninawaombea watazamaji wenzangu waliosikia na kutazama ushuhuda huu mpaka mwisho, wote kwa pamoja tumwamini huyu Yesu Kristo kwa kumaanisha maana yeye ndiye njia pekee ya uzima wa milele, ili siku moja tukaishi naye katika ule Ufalme ujao.
daah mtumishi ata nguvu yakuandika chochote nakosa kumbe mimi sikitu kwa mungu sijaona nilofanya zuri mbele ya mungu nahitaji niitafute njia yake kwa nguvu zote asante mungu kwa hiki nimefunguliwa hakika
Machozi yamenitoka 😭😭😭😭 japokua ni mkristo nawaza haya mapambo ya mwili je nikifa itakuaje Mungu wangu nisaidie baba unipe mwisho mwema 😭😭😭😭😭 atakae soma ujumbe huu anisaidie kwa maombi niachane na mapambo ya mwili 😥😥😥😥
Ameni. Mungu ni mwema yawezekan kamtuma mtumishi kwa ajil yangu mim na wew na mwingine . Ni vyema sas tubadili njia na mienendo yetu tusijisahau na kujiona dunian hapa ni kwetu tumefika. Neema ya bwana na iwe juu yetu
Ushuhuda huu nilishausoma sasa nimeisikiliza na kumuona mwenyewe kupitia promover na mtumishi Jactan Msafiri mbarikiwe wote imenupa nguvu ya kuzimu kutengeneza maisha yangu na kuwasaidia wahitaji na kufanya kazi ya Mungu na kusoma neno la Mungu na kulitafakali na kuliamini na kuliweka kwenye matendo na kubatizwa maji mengi nk
Duniani hata kama ungeish miaka mia14:20 300..lkn ile siku ya mwisho ni mbaya sana kwa mwenye dhambi na ni nzuri kwa aliye okoka(big point my Brother)🙌🙌🙌
asante kwa ushuhuda ndugu Jacktan. Nimetiwa moyo kwamba alipokuwa anajitoa kuwafundisha wengine Neno, mbinguni walifurahia na kunakili juhudi zake zote. Hata wewe Jacktan ujue kwamba unachokifanya kinathaminiwa sana mbinguni. Tungesubiri wachungaji pengine wasingewapatia watu hawa muda wa kutosha kama unavyofanya.
Mimi nimekuelewa sana hujaongopa hata kitu kimoja. Ukiona na wewe umeelewa na umeamini basi hata wewe ni mteule, sina cha kujazia ila amini tu mbingu ipo na uzuri hakuna mfano. Shida ni tu "mpweke" unakuwa unawapna ndugu Zako huku Duniani utatamani kurudi uwahuburi ila hutWeza
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, kwa maana kwa utumishi huu umewafungua macho wengi sana, umenifanya hata mimi niifanye kazi ya Mungu kwa bidii kwa maana imeandikwa "Amelaaniwa yule aifanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu" Ooh ahsante sana Bwana Yesu kwa kunipenda hata nimepata kuona na kusikiliza ushuhuda huu, jina lako litukuzwe na kupewa sifa milele, Amen.
John 11: 25-26 Jesus said to her, I am the resurrection and the life, those who believe in me will live, even though they die; and those who live and believe in me will never die. Mungu alikurudisha ilikupitia ushuhuda wako wengi waokoke and so that you may countine preaching His Gospel. JESUS your able.
Unaushuhuda mzuri, Lakini njoo hapa, Matendo 2:37-39 Matendo 8:14-17 Matendo 10:47-48 Matendo 19 :1-7. Ndio ubatizo sahihi, Utubu kisha ubatizwe katika jina lake Yesu Kristo, ili upate undoleo la dhambi zako. Ubatizo wa maji mengi.
ndungu zangu kejeli hazitatufikisha popote wewe ukipinga wapo watakao kubali hata yesu alikataliwa tena wakamkejeli sana kama mnavyo mkejeli huyu. kaka songambele!!
Ubarikiwe sana mtumishi umenijenga sana,Mimi pia sikufa Bali nilipelekwa juu nikakuta watu wanachomwa sana hakika tunahitaji wokovu wa kweli,mungu atusamehe sana
Mungu ni yuleyule jana leo na hata milele. Hatabadilisha standard zake za utakatifu na haki ili aweze kuaccomodate kizazi flani na style zao za maisha. Mungu tusaidie tufikie mwisho mwema
Mungu awabariki watumishi huu ushuhuda umenihamisha sehemu moja kwenda nyingine,Mungu anisaidie na atusaidie tuyaishi mapenzi yake.ni hasara sana kuikosa mbingu.
Hapa KWENE sauti hata Mimi nikimlilia Mungu kwa jambo flani jibu linakuja bila kuelewa limekujaje na unasikia sauti inakusemesha kabisa..Roho mtakatifu n mwema sana..mda mwingne ukikutana na gum mpk unashindwa ufanyeje Mungu antoa maelekezo ch kumfanya..sema watu wengi hatujui kupambanua sauti Ila Mungu anasa nasi Sana
Nikweli sauti iko nakumbuka mimi nikiwa mdogo niliitwa na. sauti kubwa sana ikiniambiya kunanyoka itatuuma iko ndani sauti iliniita maratatu sauti yakutisha kubwa ikaniita mara tatu ikanisukuma niende kwenda dani nikaona nyoka kubwa nikapiga nduru sana nikiitaji msaada na huko ilikuwa msitu kulitokeya mzee anaiuwa na akaenda zake kwahivo mungu yuko kweli
Amen,nashukuru sn kwa ushuhuda mzur kaka Jactan. Nmeuckiliza kuanzia mwanzo,nmejifunza mengi ikiwemo utoaji,kusaidia wenye uhitaji,kutimiza mapenzi ya Mungu hapa dunian lkn pia kujikana na ya ulimwengu huu ili kuupata uzima wa milele na kwamba hakuna andiko litakalositirika,haki itatendeka cku ile🙏
Sio sauti kwa maana ya sauti bali ni “fikra”. Sauti ya kifikra inakuwa. Yaani unawaza jambo halafu ghafla unapata wazo kuwa fanya kitu fulani ndio inakuwa sauti.
NDUGU KUNA SAUTI YA NDANI NA FIKRA. HIVI NI VITU TOFAUTI. FIKRA ZINAKUWA NDANI YA AKILI NA ZINATOKA MOYONI. SAUTI YA NDANI INATOKA KWA ROHO MTAKATIFU NA INAPITIA KWENYE DHAMIRI YA MTU. MSIKILIZE ANAYESEMA MAANA ANASEMA KUPITIA EXPERIENCE YAKE KIBINAFSI. ANAVYOSEMA NI KWELI.
JOSEPH HIZZA roho mtakatifu ndio huyu huyu aliyewafunulia watu kuandika biblia? Wakaandika mpaka habari za manabii kulala na wake za watu? Jifunze kujua maana ya nafsi. Nilisema sauti ya kifikra ila sikumalizia. Sauti hiyo huletwa na nafsi kwa uwezo wa Mungu.
Nimefuatilia ushuhuda wake mpaka hapa nilipofika aisee amenibariki sana na amenifanya nianze kuzitafakari njia zangu. Jamaan Mungu yupo na kuna maisha baada ya kifo, tafakarini njia zenu.
Jactan na timu yako mnafanya kazi kubwa ya Mungu kuwafikishia watu wa Mungu ushuhuda wa matendo makuu ya Mungu. Msisahau kuombea kazi hii maana adui hapendi. Ushuhuda ni silaha kubwa ya kiroho kwa watu wa Mungu maandiko yanasema walimshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao ambao hawakupenda maisha yao hata kufa 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen,tutazingatia
Msafiri uko vzr ktk ku interview
Amina kwa ushuhuda mzuri.
MUNGU akutie nguvu kufanya kazi yake
Mafunzo mazuri Sana Mwenyezi Mungu atuelekeze na kutuzaidia tuende mapenzi yake
Kaka jactan kazi yako ni njema sana Mungu akuinue zaidi na zaidi
Ninawaombea watazamaji wenzangu waliosikia na kutazama ushuhuda huu mpaka mwisho, wote kwa pamoja tumwamini huyu Yesu Kristo kwa kumaanisha maana yeye ndiye njia pekee ya uzima wa milele, ili siku moja tukaishi naye katika ule Ufalme ujao.
Amen!!! Nimebarikiwa sana na ushuhuda huu jmn!!!
Kwa kweli huu ushuhuda ni fundisho kubwa sana Mungu tusaidie ili tuweze kuishi maisha matakatifu ili mshitaki wetu asiweze kutushtaki.
Nimefurahi sana ujumbe huu maana nimepata kitu kikubwa.
Ameni 🙏🙏🙏 ubarikiwe mtumishi kwa kutufundisha
Mungu akubariki ufanye Kaz ake kikubwa kuombeana ktk safar hii in gmu sana bila kuongoxwa na ROHO wa mungu hatuwez
Mungu nimwema nimejengwa pakubwa nami namtukuza mungu
daah mtumishi ata nguvu yakuandika chochote nakosa kumbe mimi sikitu kwa mungu sijaona nilofanya zuri mbele ya mungu nahitaji niitafute njia yake kwa nguvu zote asante mungu kwa hiki nimefunguliwa hakika
Aiseeee Amejibu vema sanaa swali la kwamba je? Ni sauti gani alikuwa anaisiki....yan amejibu vemaaaaaaaaaaaa hakika ni Bwana
Ameni nimefurahishwa na ujumbe huu umenijenga maana unaelezea habari za mbingu maana mambo ya dunia ni ubatili
Amen
Mungu Akubariki sana nimejifunza vitu vingi sana
Jamani Mungu anatupitisha njia nyingi
Machozi yamenitoka 😭😭😭😭 japokua ni mkristo nawaza haya mapambo ya mwili je nikifa itakuaje Mungu wangu nisaidie baba unipe mwisho mwema 😭😭😭😭😭 atakae soma ujumbe huu anisaidie kwa maombi niachane na mapambo ya mwili 😥😥😥😥
Inawezekana maana mambo ya mwili hushindana na roho ni lazima kuushinda mwili
Ameni. Mungu ni mwema yawezekan kamtuma mtumishi kwa ajil yangu mim na wew na mwingine . Ni vyema sas tubadili njia na mienendo yetu tusijisahau na kujiona dunian hapa ni kwetu tumefika. Neema ya bwana na iwe juu yetu
Tunayaweza yote katika yeye atutiae nguvu
Soma romans 8:1- the last line. Mungu awe nawe na akupetamanio la moyo wako.
Mungu akupe tamanio la moyo wako, mungu tupe mwisho wetu mwema Amen
Amen,Mwenyezi Mungu akubariki sana mchungaji.🎉❤
Thanks brother to give us another chance kupenda mungu saidi,, may God bless you and your family members
No
Asante Mungu akubaliki kwa ujumbe huo tumebalikiwa
Mungu atusaidiye tushinde majaribu ,kwasababu roho ni radhi lakini mwili ni zaifu.
A big amen, tumebarikiwa kabisa na tumejifunza mengi amen.
Ushuhuda wa nguvu sana,Mungu akubariki.
Nimejifunza kusaidia wenye hawana au wanaotuomba msaada tuwasaidie.mungu tusaidie kusaidia.namalipo ni hapa hapa.
Ushuhuda huu nilishausoma sasa nimeisikiliza na kumuona mwenyewe kupitia promover na mtumishi Jactan Msafiri mbarikiwe wote imenupa nguvu ya kuzimu kutengeneza maisha yangu na kuwasaidia wahitaji na kufanya kazi ya Mungu na kusoma neno la Mungu na kulitafakali na kuliamini na kuliweka kwenye matendo na kubatizwa maji mengi nk
Amen
Mungu akubarik mtumishi kwa ushuhuda mzur umefanya niipende kazi yamungu na niifanye kwa bidii mungu nisaidie kumaliza vyema kama nilivyoanza
Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Nimejifunza mambo mengi asanteni sana pastor jactan
Duniani hata kama ungeish miaka mia14:20 300..lkn ile siku ya mwisho ni mbaya sana kwa mwenye dhambi na ni nzuri kwa aliye okoka(big point my Brother)🙌🙌🙌
Very young Pastor, but deeply rooted in Jesus👏🏼👏🏼🙏🏽🙏🏽
asante kwa ushuhuda ndugu Jacktan. Nimetiwa moyo kwamba alipokuwa anajitoa kuwafundisha wengine Neno, mbinguni walifurahia na kunakili juhudi zake zote. Hata wewe Jacktan ujue kwamba unachokifanya kinathaminiwa sana mbinguni. Tungesubiri wachungaji pengine wasingewapatia watu hawa muda wa kutosha kama unavyofanya.
Amen
Mimi nimekuelewa sana hujaongopa hata kitu kimoja. Ukiona na wewe umeelewa na umeamini basi hata wewe ni mteule, sina cha kujazia ila amini tu mbingu ipo na uzuri hakuna mfano. Shida ni tu "mpweke" unakuwa unawapna ndugu Zako huku Duniani utatamani kurudi uwahuburi ila hutWeza
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, kwa maana kwa utumishi huu umewafungua macho wengi sana, umenifanya hata mimi niifanye kazi ya Mungu kwa bidii kwa maana imeandikwa "Amelaaniwa yule aifanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu" Ooh ahsante sana Bwana Yesu kwa kunipenda hata nimepata kuona na kusikiliza ushuhuda huu, jina lako litukuzwe na kupewa sifa milele, Amen.
Na mimi nikiwemo,maana nilianza kukata Tamaa
Amen Amen ubarikiwe Kwa ujumbe Mzuri wakutuelimisha nakutuhimiza Tuzidi kudumu Katika wokovu nautakatifu
John 11: 25-26 Jesus said to her, I am the resurrection and the life, those who believe in me will live, even though they die; and those who live and believe in me will never die. Mungu alikurudisha ilikupitia ushuhuda wako wengi waokoke and so that you may countine preaching His Gospel. JESUS your able.
Huyo atusaidie kuhusu kujiremba kwa Wamama ni sahihi?
Ushuhuda huu umetufungua wengi sana. Mungu awabariki sana wapendwa
Asante kwa ushuhunda umeniwezesha kujiadaa jinsi nitachunga laini zangu na Mungu nisimukosee na aniwenzeshe in Jesus Name Amen
Amina ubarikiwe sana Kwa kweli cjui nisemejeee zaidi MUNGU atuongezee nguvu tuyashinde ya duniani
Nimejifunza sana Mungu anisaidie ubarikiwe sana Mtumishi
Unaushuhuda mzuri,
Lakini njoo hapa,
Matendo 2:37-39
Matendo 8:14-17
Matendo 10:47-48
Matendo 19 :1-7.
Ndio ubatizo sahihi,
Utubu kisha ubatizwe katika jina lake Yesu Kristo, ili upate undoleo la dhambi zako. Ubatizo wa maji mengi.
Ubarikiwe mtumish mungu akutie nguvu
Amen Kaka Mungu akubariki unaninjenga sana Mungu akubarikisana unaneemakweli unanifuza mengi sana
Ubarikiwe sana, nimejifunza kitu
KIJANA ! KWELI UNAFASIRI MAMBO YA KIROHO VIZURI SAAANA !!!!!! IYO NI KWELI
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu
Kwel mkono wa MUNGU ni mkuu sana!💪💪💪💪💪💪
Nimejifunza kitu🙏 Mbarikiwe sanaa
Mungu 🙏🙏🙏 aturehem na atusaidie kufanya mapenzi yke
Kwa yeyote ausikiaye ushuhuda huu na apate kuamini kuwa yesu nimuweza wa yote.
Jesus is lord....naye ndiye njia ya kufika mbinguni
ndungu zangu kejeli hazitatufikisha popote wewe ukipinga wapo watakao kubali hata yesu alikataliwa tena wakamkejeli sana kama mnavyo mkejeli huyu. kaka songambele!!
Ubarikiwe sana mtumishi umenijenga sana,Mimi pia sikufa Bali nilipelekwa juu nikakuta watu wanachomwa sana hakika tunahitaji wokovu wa kweli,mungu atusamehe sana
Mungu ni yuleyule jana leo na hata milele. Hatabadilisha standard zake za utakatifu na haki ili aweze kuaccomodate kizazi flani na style zao za maisha. Mungu tusaidie tufikie mwisho mwema
Tunajifunza jamani eeh
Jactan kazi yako n njema mnooo
Amen
Mungu atusaidie tuishi maisha matakatifu yanayo mpendeza yeye, ubarikiwe kaka endelea kumuamini na kumtumikia Mungu katika jina la Yesu Kristo
Huu ushuuda umenijenga sanasana
Ushuhuda huu umenifunza mengi na Mungu anisaidie kutambua sauti ya Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu awabariki sana
AMEEN USHUHUDA WAKUTUJENGA..MUNGU TUREHEMU TUFANYE NAKUFWATA YALIYO HAKI
Amen. Mungu akumbuke utumishi wako Jacktan. Ubarikiwe
Nimejifunza kwa kweli unacho kifanya hapa duniani ndio ticket yako ya kukupeleka wakati wa mwisho
Mungu awabariki watumishi huu ushuhuda umenihamisha sehemu moja kwenda nyingine,Mungu anisaidie na atusaidie tuyaishi mapenzi yake.ni hasara sana kuikosa mbingu.
Kwa yoooote nasema Mungu atukuzwe asante kwa kushea ma sisi. No mimi kutoka Kenya
Hapa KWENE sauti hata Mimi nikimlilia Mungu kwa jambo flani jibu linakuja bila kuelewa limekujaje na unasikia sauti inakusemesha kabisa..Roho mtakatifu n mwema sana..mda mwingne ukikutana na gum mpk unashindwa ufanyeje Mungu antoa maelekezo ch kumfanya..sema watu wengi hatujui kupambanua sauti Ila Mungu anasa nasi Sana
Asante mungu kwa ushuhuda huu nimejifunza kitu.Amiin
Ameen, namini kwa jina la Yesu nimejifunza nimebrikiwa
Hallelujah hallelujah hallelujah Amen..
Duuuh ni ajabu sana......inaogopesha
Nikweli sauti iko nakumbuka mimi nikiwa mdogo niliitwa na. sauti kubwa sana ikiniambiya kunanyoka itatuuma iko ndani sauti iliniita maratatu sauti yakutisha kubwa ikaniita mara tatu ikanisukuma niende kwenda dani nikaona nyoka kubwa nikapiga nduru sana nikiitaji msaada na huko ilikuwa msitu kulitokeya mzee anaiuwa na akaenda zake kwahivo mungu yuko kweli
Jina la bwana libarikiwe sana mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏
Amina mtumishi nimebalikiwa kupitia ushuda ubalikiwe
Amen, nimebarikiwa na nimejifunza mengi sana kupitia huu ushuhuda
My Lord Jesus Christ be with you my brother. Ushuhuda wako humenisaidia naamini ninakwenda ku correct Yale nilikuwa sifanyi
Yesu nibwana
Barikiwa sana kaka , Mungu akulinde
Amen mtumishi barikiwa sana
Bwana Yesu asifiwe sana kwa kazi zake kubwa.. Nimefurahi kuskia maneno mazuri
Ameeeeeeen kubwaaa kwa Mungu mweza wa yote 🙏🙏🙏🙏🙏
Ubalikiwe Sana mtumishi maana kwaayo umenipa kusonga mbele na kuwamini na kuishi maisha matakatifu na kuendelea kutumika katika nguvu mpya
Ushuhuda mzuri sana 🙏 wakunifanya nizidi kumtumaini MUNGU wambinguni 🙏🙏 ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU wambinguni 🙏
Mungu tupe mwisho wetu mwema Amen
Hallelujah utukufu kwa Mungu aliyeumba mbingu na Dunia 🙏
Glory be to God of Israel.
N/B Utakatifu na haki ndio password
Kabisa sasa umenifungua akili aiseeee asante sanaaa nilikuwa nikitafakari bira majibu🙏
Tunashukuru kwa ushuhuda mzuri unaofundisha sana 🙏🙏
Eeeh Mungu nijalie mwisho mwema wa matendo mema 🤲🤲🤲🤲🤲😢😢😢😢
Amen,nashukuru sn kwa ushuhuda mzur kaka Jactan. Nmeuckiliza kuanzia mwanzo,nmejifunza mengi ikiwemo utoaji,kusaidia wenye uhitaji,kutimiza mapenzi ya Mungu hapa dunian lkn pia kujikana na ya ulimwengu huu ili kuupata uzima wa milele na kwamba hakuna andiko litakalositirika,haki itatendeka cku ile🙏
Hakika
Sio sauti kwa maana ya sauti bali ni “fikra”. Sauti ya kifikra inakuwa. Yaani unawaza jambo halafu ghafla unapata wazo kuwa fanya kitu fulani ndio inakuwa sauti.
NDUGU KUNA SAUTI YA NDANI NA FIKRA. HIVI NI VITU TOFAUTI. FIKRA ZINAKUWA NDANI YA AKILI NA ZINATOKA MOYONI. SAUTI YA NDANI INATOKA KWA ROHO MTAKATIFU NA INAPITIA KWENYE DHAMIRI YA MTU. MSIKILIZE ANAYESEMA MAANA ANASEMA KUPITIA EXPERIENCE YAKE KIBINAFSI. ANAVYOSEMA NI KWELI.
JOSEPH HIZZA roho mtakatifu ndio huyu huyu aliyewafunulia watu kuandika biblia? Wakaandika mpaka habari za manabii kulala na wake za watu? Jifunze kujua maana ya nafsi. Nilisema sauti ya kifikra ila sikumalizia. Sauti hiyo huletwa na nafsi kwa uwezo wa Mungu.
asante sana
True story am blessed
Amina Mungu azidi kututoa gizani na kutufungua ufahamu tuzudi kumtumikia 🙏🙏🙏
Amina kubwa MNA nimejifuza mambo meng
Amina kubwa MNA nimejifuza mambo meng
Eee Mungu nirehemu nifanye mapenzi yako
Ubarikiwe sana mtumishi kiukweli nimebarikiwa sana
Nimefuatilia ushuhuda wake mpaka hapa nilipofika aisee amenibariki sana na amenifanya nianze kuzitafakari njia zangu. Jamaan Mungu yupo na kuna maisha baada ya kifo, tafakarini njia zenu.
Amen. Thanks
Km mm
Je hiyo screen inaonesha mema tu??
Hata Mimi piya najiuliza
Kwa wastani watu 9000wanakufa kwa kila dakika jee mlango ni huo huo?
Kwa mwanadamu haiwezekan lakin kwa MUNGU yote yanawezekana
Mwenye masikio na asikie, Amina.
Jina labwana nalihimidiwe
Amina, yaani ninavo soma baadhi ya comments naona shetani alivyo funga watu jamani dah.😔😔😔
Ubalikiwe
Asante sana mtumichi unajuwa kuelewecha mtu na akaelewa🙏❤
Leo nimekuwa na ibada njema huu ushuhuda nimefuatilia tokea mwanzo umenifungua sana
Amen,,hakika nimebarikiwa sana na uchumbe huo
Amen
Wooow thenkyou so much...I'm so much edified... God bless you & Rich out to many more in Jesus Name 🙏