Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa... Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia. Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu Big up bro we to gather
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika. Weledi jamani please.
Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.
Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
Acha shule sasa
@@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!
Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha
@@shadagadagga9922 haaaaahaaa
MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
Nice
Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?
😧😱 daaah acha kbisa yan
Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.
Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu
Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya
Ahaaahaaa
Kabisa
Inawezakana ila pia haiwezkani.
Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP
Huyu amepita,
Anayajua maisha
Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz
jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.
Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake
Kabisa kaangaika bana
God bless u gud work.
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee
Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana
Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu
Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya
Mungu akusaidie
Good jobs speaking up my.brothe
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
Hana maswali huyu jamaa..
Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
Big up bro we to gather
MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!
Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote
Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea
congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....
Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!
Duuh atali sana
Unachosema kweli watutunapitia sehemu mbalimbali
Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote
Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize
ata mie
Ata mm
Hata mimi
Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎
Wachimbe mkuu ipo siku utapata Tanzanite
Never give up in your life
Home sweet home😍😍😍
Mungu amlinde
Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA
Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎
Mbunge wetu tunampenda
Kazi sana
Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu
Big up brother
I like this job keep it up salim God bless u and your family
Good luck Live long is my dua
Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,
Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.
inspired
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako
Respect
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado
Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma
Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe
ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika.
Weledi jamani please.
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
Namuona kama police ndio bodigad wake ama
Nakubaliii
So inspired.
Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Dah hongera
Safi
AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao
Tatizo wengine historia zao hazizidi mistari minne
Hongera sana
Nice
Daaah nampendaa coz yuko really sana
Wa ukae huyu
Wakashina mayangu???
pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu
Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba
Hustler 💪🏽
All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi
morogoro mkoa mzur sana aseee
Salim Almas
Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi
Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋
Maisha ni safari
❤
Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine
😂😂😂😂😆
Msumbiji isikieni tuu aisee
Hongera
Boss najifunza mengi sana kupitia ww
SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.
Box mungu azidi kuku inua
Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....
Mbuge wetu👌
Ndugu yetu huyu ulanga stand up
Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania
Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu
Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu
Mtangazaj chana nywele
😂😂😂😆
Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.
Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia
Wapakaya
Maisha haya mmh tunahaso san
Mzungu wa roho
Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri
Dah maisha aisee
He
Ushamba
Bilionea?????
Nani amesikia he cant do anything
N
Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.
hujielewi
Acha rohombaya usimpe kurayako basi uswalitu
Ujielewi
Wivu aka husda
Kijana mpambanaji sana na ni kawaida ya watu weupe sababu wanachukia umasikini. Mbunge tumepata Ulanga
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
Hongera sana