BILIONEA MTANZANIA ASIMULIA MAZITO ALIYOPITIA MGODINI, NIMECHIMBA NA HARMONIZE, NIMELALA MSITUNI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 143

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 роки тому +39

    Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
    Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.

  • @godsonmrema5538
    @godsonmrema5538 3 роки тому +141

    Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 роки тому +4

      Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.

    • @jumarwambo7420
      @jumarwambo7420 3 роки тому +2

      Acha shule sasa

    • @shadagadagga9922
      @shadagadagga9922 3 роки тому +1

      @@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!

    • @absalimlufyagile4974
      @absalimlufyagile4974 3 роки тому

      Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha

    • @jumarwambo7420
      @jumarwambo7420 3 роки тому

      @@shadagadagga9922 haaaaahaaa

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 роки тому +14

    MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪

  • @graceraphael6658
    @graceraphael6658 3 роки тому +20

    Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 3 роки тому +22

    Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?

    • @abubakarimlyandi8571
      @abubakarimlyandi8571 3 роки тому +2

      😧😱 daaah acha kbisa yan

    • @mwamvitamfinanga2454
      @mwamvitamfinanga2454 3 роки тому +3

      Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.

    • @talents7934
      @talents7934 Рік тому +2

      Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu

  • @edwardboaz9041
    @edwardboaz9041 3 роки тому +42

    Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 3 роки тому +34

    Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP

  • @fahimunyawi5318
    @fahimunyawi5318 3 роки тому +4

    Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 роки тому +8

    jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.

  • @thomasvenance5186
    @thomasvenance5186 3 роки тому +19

    Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 3 роки тому +6

    Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli

  • @moh_platnumz
    @moh_platnumz 3 роки тому +12

    Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee

    • @pettyjongera1295
      @pettyjongera1295 3 роки тому

      Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana

    • @georgemendrad6237
      @georgemendrad6237 3 роки тому

      Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu

    • @heritier5119
      @heritier5119 3 роки тому

      Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya

  • @adamabdullah8136
    @adamabdullah8136 3 роки тому +10

    Mungu akusaidie

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 3 роки тому +2

    Good jobs speaking up my.brothe

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 3 роки тому +13

    Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
    Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.

  • @happysanga7680
    @happysanga7680 3 роки тому +19

    Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote

  • @luckyofficialsports5466
    @luckyofficialsports5466 3 роки тому +1

    Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
    Big up bro we to gather

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Рік тому

    MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 роки тому +2

    Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 роки тому +6

    Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
    Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea

  • @thomasansigar-002
    @thomasansigar-002 11 місяців тому

    congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 роки тому +30

    Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 3 роки тому +19

    Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi8019 3 роки тому +18

    Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 3 роки тому +3

    Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 3 роки тому +4

    Never give up in your life

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 3 роки тому +1

    Home sweet home😍😍😍

  • @nasmaqwaray2584
    @nasmaqwaray2584 3 роки тому +5

    Mungu amlinde

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 3 роки тому +1

    Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA

  • @jasonkalekezi5442
    @jasonkalekezi5442 3 роки тому +6

    Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎

  • @wardasalum852
    @wardasalum852 3 роки тому +8

    Mbunge wetu tunampenda

  • @kinghman8353
    @kinghman8353 3 роки тому +4

    Kazi sana

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 роки тому +2

    Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 3 роки тому +1

    Big up brother

  • @rachelshebesh2752
    @rachelshebesh2752 3 роки тому +1

    I like this job keep it up salim God bless u and your family

  • @HamidKhan-sb2xk
    @HamidKhan-sb2xk 2 роки тому

    Good luck Live long is my dua

  • @Ashahabibu-yr1rn
    @Ashahabibu-yr1rn 6 місяців тому

    Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 роки тому +20

    Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.

  • @fitnessempiretz9385
    @fitnessempiretz9385 3 роки тому +2

    inspired

  • @emanuelmbwiga690
    @emanuelmbwiga690 3 роки тому +3

    Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!

  • @MouhammedSeif
    @MouhammedSeif 3 місяці тому

    Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 3 роки тому +2

    Respect

  • @meedyshow8807
    @meedyshow8807 Рік тому

    Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..

    • @mpetaamarijani2656
      @mpetaamarijani2656 9 місяців тому +1

      Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado

  • @jeremiahmchomvu4824
    @jeremiahmchomvu4824 3 роки тому +3

    Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma

  • @witnesjohn7758
    @witnesjohn7758 3 роки тому +1

    Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 роки тому +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

    • @barbranabakooza9589
      @barbranabakooza9589 3 роки тому +1

      Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe

  • @elishajeremiah8240
    @elishajeremiah8240 Рік тому

    ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 роки тому +6

    Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika.
    Weledi jamani please.

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Рік тому +1

    Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea

  • @josephlucas3634
    @josephlucas3634 3 роки тому +2

    Namuona kama police ndio bodigad wake ama

  • @FanuelFrank
    @FanuelFrank Рік тому

    Nakubaliii

  • @norbetjacob5887
    @norbetjacob5887 3 роки тому +4

    So inspired.

  • @ibrahimbyaese9148
    @ibrahimbyaese9148 3 роки тому +1

    Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @mussaugi2204
    @mussaugi2204 3 роки тому

    Dah hongera

  • @saedfundikiramamoka5798
    @saedfundikiramamoka5798 3 роки тому +1

    Safi

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 3 роки тому +7

    AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao

  • @coticelahilaly6819
    @coticelahilaly6819 3 роки тому

    Hongera sana

  • @user-fs5hv7bs6t
    @user-fs5hv7bs6t Рік тому

    Nice

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba5881 3 роки тому

    Daaah nampendaa coz yuko really sana

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 роки тому +4

    Wa ukae huyu

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 роки тому +1

    pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu

  • @athumani2755
    @athumani2755 Рік тому

    Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba

  • @evancechangae
    @evancechangae 3 роки тому +1

    Hustler 💪🏽

  • @ruralhunter255
    @ruralhunter255 3 роки тому

    All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi

  • @zuberykharoub6868
    @zuberykharoub6868 3 роки тому +1

    morogoro mkoa mzur sana aseee

  • @boisalym9935
    @boisalym9935 3 роки тому +1

    Salim Almas

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 роки тому +2

    Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi

  • @chobachoba4171
    @chobachoba4171 3 роки тому +1

    Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋

  • @sostentete3395
    @sostentete3395 3 роки тому +1

    Maisha ni safari

  • @lehaleimorondi6821
    @lehaleimorondi6821 Рік тому

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 3 роки тому +1

    Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine

    • @na0m1fes51
      @na0m1fes51 3 роки тому +1

      😂😂😂😂😆

  • @nemecymsanya3191
    @nemecymsanya3191 3 роки тому +3

    Msumbiji isikieni tuu aisee

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 роки тому

    Hongera

  • @gasatoneedwardgastoneedwar6906

    Boss najifunza mengi sana kupitia ww

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 3 роки тому +6

    SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.

  • @donmoyes8856
    @donmoyes8856 3 роки тому

    Box mungu azidi kuku inua

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 3 роки тому

    Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 3 роки тому

    Mbuge wetu👌

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 роки тому +1

    Ndugu yetu huyu ulanga stand up

  • @victormauggo
    @victormauggo 2 роки тому

    Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania

  • @victorchuma2114
    @victorchuma2114 3 роки тому

    Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu

  • @joharishabani2893
    @joharishabani2893 2 роки тому

    Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 3 роки тому +2

    Mtangazaj chana nywele

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 роки тому

    Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 роки тому

    Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia

  • @ahmadmasawanga9077
    @ahmadmasawanga9077 3 роки тому +1

    Wapakaya

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 роки тому

    Maisha haya mmh tunahaso san

  • @hamadkimbe1729
    @hamadkimbe1729 3 роки тому +1

    Mzungu wa roho

  • @sadielgwaje6281
    @sadielgwaje6281 3 роки тому

    Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri

  • @kulwapaul8020
    @kulwapaul8020 3 роки тому

    Dah maisha aisee

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 роки тому

    He

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 роки тому

    Ushamba

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 3 роки тому

    Bilionea?????

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 3 роки тому +1

    Nani amesikia he cant do anything

  • @armiyajuma7146
    @armiyajuma7146 3 роки тому

    N

  • @gideonmwalyego466
    @gideonmwalyego466 3 роки тому +1

    Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Рік тому

    Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 роки тому +1

    Hongera sana