Nikweli kabisa huyu Mzee yuko sawa kabisa mimi huwa najiuliza kwanini wazee wetu walifukuza wakoloni ilihali hatujafika kiwango cha kujitawala sisi wenyewe angaliya sasa tunavo hangaika
Huyu mzee anaongea ukwel, na hiyo ya vyakula shulen na hospitalin kwa wanaoishi ulaya wanafahamu ndio iko hivyo. Huwez umwa na Unaweza vipi upate chakula.
Mzee ana hoja. Asikilizwe haraka sana tena leo leo😂😂
MZEE RUNGWE ANA KITU TUMUANGALIE😂
Napenda sana kumsikiliza huyu mzee, japo anachekesha sana!.
Charlse amecheka sana leo 😅😅😅
Kumuhoji huyu mzee ni kipengele
Mtangazaji naomba nionganishe nauyo mzee mimi naitaji kujiunga nachama cha chauma naitaji nijue utaratibuwake napmba uniunganishenae
Nikweli kabisa huyu Mzee yuko sawa kabisa mimi huwa najiuliza kwanini wazee wetu walifukuza wakoloni ilihali hatujafika kiwango cha kujitawala sisi wenyewe angaliya sasa tunavo hangaika
Mzee namkubali sana maana si chawa wa ccm ana msimamo na anajua anachokifanya
bonge la interview hili na huyu mzee anajibu maswali kwa ufasaha sana.
Lissu au mbowe wahoji please
Huyu mzeee ni mkongwe sana kwa siasa
One on one 🔥🔥🔥🔥
Mzeee bhnaaa atupe wali
ILA SIASA BHAN HUYU MZEE ALISEMA AKICHAGULIWA MASHULENI NI UBWABWA TU NA BAHARI YA HINDI ITAHAMIA DODOMA 😅😂
Huyu mzee anaongea ukwel, na hiyo ya vyakula shulen na hospitalin kwa wanaoishi ulaya wanafahamu ndio iko hivyo. Huwez umwa na Unaweza vipi upate chakula.
tupitisheni sera yabubwabwa tule biriani kila mwisho wa week😅😅
Hahhah ubwabwa ni muhimu
😂😂😂anajiamin mzee wa ubwabwa alafu anajibu Kwa ufasaha Kwa akili kubwa
Mzee jau sana 🤣🤣
Ubwabwa ni lazima hashim
Mkuu tunahitaji utufanyie mahojiano na Mwabukusi
Watu zamani walikuwa wachache
Ubwabwa ni lazma! Kati ya vyoooote, hili ndio muhimu
MZEE WETU RUNGWE
Mzee rungwe ungemuuliza huyo mwandishi ataje hayo mazur
Hawa ni waandishi maroboti uwezo wao ni kusifu tu hawana uwezo huo,too weaker to reasoning,Mzee yuko smart na kama angetaka kujifunza,mzee ana madini
@omarmwalimu92 amekazania mazur ya awamu hii,anatk mzee atoe sifa
😂