TWAKUSIFU MARIA -Ray Ufunguo |Kwaya ya Mt Malaika Mkuu Mhandu| (official video)
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Twakusifu Maria Mama yetu uliyebarikiwa sana mwombezi wetu nyakati zote
Wimbo:Twakusifu Maria
Mtunzi: Ray Ufunguo
Waimbaji: Kwaya ya Mt Malaika Mkuu Mhandu
Audio Pro: RAJO Pro
Video Pro: MOZEN Pro
Mimi husikiliza huu wimbo mara mingi nikirundiarundia kabla nilale.
Asante tunabalikiwa tumsifu yesu kiristo na mama bikira maria
Mmeimba vizuri sana nimewapenda sana Mungu awabariki sana❤
So so do la fa so tunakushukuru mama maria.
Kazi tamu sana.
Ongera sana mtoto wa ufunguo wimbo nzuri sana
Naomba nota za huu wimbo Bwana Ray
Asante kwa kutumia talanta zenu kumsifu mungu, mungu awazidishie baraka mara Mia.
Wimbo mzur sana
Wimbo mzuri sana hongeren sana alifos uliimba vizuri sana kunywa soda nitalipa
So blessing thank ❤
Kwafuraha nashangwe tumsifu mama yetu maria ameni huu wimbo unanibariki sanaaa kwaupande wangu kama unakubariki pia tusaidiane kugonga hii Alama ♥️ &👍
Ee Mama utuhurumie ❤❤Tunakupenda Mama bikira MARIA ❤❤
First to view
Good song
Beautiful and blessing song and voices 👏🏼 🔥 🔥
Kazi nzuri hongereni sana🔥🔥🔥
Ray Ufunguo never disappoints. Sweet message. Congratulations are in order.
This is great Ray Ufunguo.. This is wonderful.. A very sweet and spicy Marian song.
Wimbo mtamu wa maria..mwenyezi Mungu aendelee kuwazindishia...naeza pata nota za huu wimbo?
wow
This song is so amazing.
May you be blessed all and may the Almighty God grant your heart's desires. Amen
This choir amazing,,,,God give them everything for respecting mother Mary,,your chosen dearest mother,to take care of you.for us to live freely,,oh God bless this choir,,for beautiful such song
Hongera mwalimu Ray
Hongereni wana malaika mkuu..mwanzo mzuri
Wimbo mtamu sana wa kumsifu mama yetu Maria. Sauti za kumtoa nyoka pangoni. Hongera sana mtunzi wa huu wimbo. Mungu akubariki
A very good artistry... I really love Marian songs... This one is at the peak!!!
❤
Singa
Good job congrats indeed. Well Hit
Hiyo feeling weeh!Hongereni wanakwaya angasha zingeni tafadhali ndiposa tumuenzi mama Maria kwa kumzaa mkombozi wa ulimwengu.
.
.
..
Ray daima I like your songs God bless you all in your life ukiwa na tumaini swai and Annastacia muema
Blessed song kep it up
Hongereni WANAKWAYA KWA WIMBO MTAMU SANA WA mama Maria. MUNGU AENDELEE NA KUWALINDA NA KUWABALIKI AMINA
Yes I'll
Asanteni sana wimbo mzuri wa kumsifu Mama yetu Maria .Mbarikiwe sana.
Mwarabu tutungie nyimbo nyingine za Mama Bikira Maria
Wimbo mzuri sana kwa Mama Maria❤️❤️🎉
Nimefurahi sana wimbo huu mzuri mnoo hongereni sans
Kazi nzuri sana wapendwa
Mbarikiwe.sana.mungu.muumba.mbingu.na.inchi
Asanteni sana watumishi wa Bwana na waana wa Mama wetu Maria 🥰
Hongereni
Hongereni sana wimbo mtamu wa mama Maria.Hongera sana mtunzi Ray Mungu azidi kukukirimia neema ili uzidi kumtumkia Bwana 🙏
Hongereni saana❤
Nice song there hongereni sana
Ama kweli nimeucheza wimbo huu nikirudia zaidi ya mara tano asubuhi hii. Asanteni sana wanakwaya wenzangu kwa ustadi wenu. Mungu wetu na awabariki mno leo na siku zote.
Amina
Hongera
Mama Maria ❤...wimbo mzuri hongera mtunzi Ray na waimbaji
Wimbo mtamu kweli ajabu..Asante sana bwana Ray ufunguo
Asante sana kwa wimbo Mtamu huu. Hongereni kwaya
Nice song congratulation
🔥🔥🔥
wimbo mzuri
Nice song for Mama yetu❤
Lex sili
Mbarikiwe!
Kazi nzuri na hongereni
Tunapata wapi nota ya huu wimbo
Nice song 💝❤❤
💥💥💥💥
Mhandu on 🔥🔥🔥🔥
Nice
Congratulations
Can i get a lyrics ? pls.
Nice song in terms of melody and harmony...but lyrics...I disagree...tunafaa kusifu Mungu tu...Maria ni mwombezi wetu...tukimsifu ni kama atakuwa amechukua nafasi ya Mungu.
Unless you are not differentiating between kuabudu na kumsifu hapo ndio mna tatizo... Kumsifu Maria Hamna tatizo kwa sababu hata Malaika wa Mungu (Angel Gabriel) alimwambia Maria kwamba amebarikiwa kuliko wanawake wote hivyo basi kumsifu Maria ni kama kumpongeza kwa Ukuu wake kuteuliwa kuwa Mama wa Mungu....
I stand to be corrected
@justuskalunge1 You're correct
Anazo sifa za pekee, naye tunamtambua kwa sifa hizo. Lazima tuzisifie. Tunapozifia hizo ndo tunamsifu Maria. Labda lugha imekuchanganya. Mbona hata watu wakawaida tunawasifia juu ya jambo fulani nako ni kusifu vilevile. How far about Merry.
Hii teolojia wapi brother 😂😂😂
Hiyo feeling weeh!Hongereni wanakwaya angasha zingeni tafadhali ndiposa tumuenzi mama Maria kwa kumzaa mkombozi wa ulimwengu.
Wimbo mzuri