Mt. Kizito Makuburi - Mwamba Yesu kafufuka (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 7 тра 2023
- Kifo cha Msalaba ni adhabu ya aibu kwa wahalifu wakubwa katika enzi za utawala wa Kirumi.
Kwa upendo na msamaha wa Mungu, Yesu Kristo anakubali kuteswa hadi kufa msalabani kwa ajili ya wokovu wa wanadamu.
Baada ya yote hayo bado alishinda vita kwa kufufuka siku ya tatu, ni Mwamba imara usiotikisika.
Kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi inakuletea wimbo unaomuelezea Yesu jemedari wa vita, na Mwamba aliyeshinda mauti kwa kujitoa sadaka.
WIMBO: MWAMBA YESU KAFUFUKA
MTUNZI : JUSTIN SALISALI
WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
ORGANIST : BARAKA THOMAS MASHIBE
AUDIO BY : HOLY TRINITY STUDIOS
VIDEO BY : DIVINE STUDIOS & KMK DIGITAL PRO
SCRIPT WRITER : HENDRY KIMARIO
DIRECTED BY : HENDRY KIMARIO
SUBTITLES BY: DICKSON NYAMWIHULA
Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
MUSIC SCORES & LYRICS:
www.kmkmakuburi.co.tz/pdf/mwa...
You can support evangelism through
⭐MPESA TZ : +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐VODACOM LIPA NAMBA : 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
#badokunaMwamba
#Mwambakafufuka
#kmkmakuburi
#pasaka
#Mwamba
#35thkizitoannivessary
Kazi safi sana!👏👏👏
Hakika Mwamba ni mzima🙏.
Hongereni sana KMK🤗🥰🥰
Mwamba Huyu Hapa na Amefufuka...Guys you are in your own league! Thanks
I'm not a Catholic neither do I understand your language but your songs always go straight to my heart. I will definitely visit this choir one day if God allows . You are the best 😊. sending love from Zimbabwe
Am not a catholic bt....i truly love ur songs
Keep it up my favorite Choir lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safiii
First to comment 🎉❤
Bwana Yesu kweli kashinda mauti ❤💗🧡🧡
Tuliisubiri sana
❤ Hongereni sanaaaaa..... Alooo🎉. Kweli Mwamba Kafufuka.
WIMBO WA KIZALENDO KWA MWAMBA YESU ALIYESHINDA VITA YA UMAUTI...GONGAAAAAA LIKEEEEEE
Safi sana KMK uimbaji wenu unakonga mioyo ya watanzania wengi na kwaya nyingi zinajifunza kupitia utume wenu asante sana.
St .Kizito makuburi choir the best in the world
Kitu Kali kama Nini 🔥🎶
Tanzanian choirs are just on another planetary level hawa wasee wako vizuri....
Hongereni sana km Kwa Kaz nzuri
Nawapenda❤sana nina furaha kuwa mkatoliki
Hongeren sana watu Wa Mungu Kwa kazi nzuri.
Mungu zaidi kuwabariki mnoo aweongee viwango na viwango
Mko vizuri sana jamani wana KMK wewe SaliSali wewe barikiwa sana pia utunzi wah!!!
Nani kama mungu hakika mnaenda na wakati bigap sana mbalikiwe amina
Kwaya iliyo kamilika kila idara, Great work
Wimbo mzuri wenye kubariki roho za wengi...
Wimbo umetuliaa hakika mwamba amefufuka
Furaha mlio nayo kabisa amefufuka yeye ni mwamba
Hongereni kwa wimbo mzuri
Ujumbe mtamu huo tumeupata congrants
Listening to this song when it is fresh in UA-cam. Great and awesome song! Mungu awabariki
I love you guys I'm coming next month guys
Raha sana Tena najiona fahar sana kua mkristu ,,, Asante mungu wangu sio kwa raha izoo
Hongeren sana mafundi
Amegeuza hofu ya kifo kuwa uzima....Ni hodari wa vita mwamba ni mzima kafufuka.....wow wow just wow!!!!!
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana ,nawapenda sana
Salisali🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mwamba wa vita🔥🔥🔥🔥🔥
Very tishabo...neno
Mwamba limetumika mda mwafaka...
Kazi nzuri sana. Mbarikiwe
Wow....from Hamkujua fee days ago to this🎉 ❤ you KMK Makuburi you're the best ❤ have always loved your songs from kitaambo till to date. Congrats KMK mungu azidi kuwabariki. One day I will meet you. I love you my people ❤
Haleluya Haleluya Bwana ni Mzima
Hongereni kwa utume uliotukuka 👌🏿
Mwamba ni Mzima na mshindi hakika. Hongereni wanaKMK. Baraka tele.
Amazing voices, Hongera sana
Mwamba Yesu ni mzima..... Ameshinda mauti, ni hodari wa vita!!!!
Asante kwa wimbo mzuri. Mungu awabariki
Super, 🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Hongereni sana waimbaji wa Mtakatifu kizito Makuburi...kama kawaida mko 🔥🔥🔥🔥...hii ndio kwaya yangu ya maisha... nawapenda mno ajabu..
Salisali kwenye hizi ngoma huwa hukosei mzazi toka ile ngoma ya Simba wa Yuda na hii ya Mwamba aaah uko vzr hongera kwa utunzi mzuri.
Simba wa Yuda caught my eye
Simba wa yuda was abig big thing
Asante St makuburi Kwa wimbo safi kabisa , hapa Kenya tunasema mbarikiweni Sana.
Kazi nzuri Mungu awabariki sana
Kwaya ya mtakatifu makuburi mwanibariki na nyimbo zenu Asante sana . Kaburini hayumo.
Nimebarikiwa na wimbo huu, mungu aendelee kuwaimarisha nyote na wito wenu kwa mungu
Nice kwa kazi nzuriii mm hapo mwanzo mnavo anza pamenikosha
Asante kwa wimbo. Ni mzuri sana
Salisali JM hujawahi kosea kaka. Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kwa namna inayompendeza zaidi. Nabarikiwa sana na tungo zako.
Hapa congo tunawapenda sana. Njooni Siku moja huku tuwaone in live.
Paulo Prince Kabazo
Wimbo Mzuri 🥰🥰na video
Kazi nzuri sana hongereni kmk
Ukisikia utukufu wa Mungu unatukuzwa ni kwenye kwaya ya mt.kizito.Mungu awabariki watumishi wa njia ya uimbaji.
Hongera Prof salisali kwa utunzi mzuri sana Mungu azidi kukutumia na kukiinua kipaji hicho
🎉yaani nimewazoea hadi nawatambua mmoja baada ya mwingine,,I love you darlings
Maestro Salisali Mzee wa simba wa yuda ....nina njegere zako popote ulipoo
Wow! My best choir like your songs , fantastic wish God allows me one day visit this choir, teachable, touchable songs ,be blessed always 🙏🙏
wanasema Justin Salisali akiamua kutunga ni baraka kweli
Hongereni mno wimbo ni mzuri mno nimebarikiwa mnooooo kusikiliza huu wimbo asanteni wote mliotia mawazo yenu kwenye hii nyimbo
Imani yenu inavutia na pia kwaya zenu zimeweza.
Wimbo mzuri, video Iko sawa sana, hasa mavazi ya tamaduni za Kiafrika. Maneno ya wimbo yamewazwa vyema. Hongera sana Salisali kwa utunzi wako mzuri. Hongereni Sana WanaKMK kwa uimbaji wenu mzuri na wa kujitolea.
Kweli aliye hodari wa vita na Mwamba ni mzima!!! 🎉🎉 AMEFUFUKA KWELI!!!
Kazi nzuri sana. Hongera kwa wote waliohusika.
Hakika kmk itaendelea kuwa taasisi na chuo Cha muziki wa kanisa Tanzania. Mbarikiwe mno.
Hongereni Sana .Jimbo kuu Machakos tuko ndani huku Kwa father kioko Mimi nilikua Na nyinyi live.nawapenda kweli
Enyewe kuwa Na subira ni Jambo muhimu Sana .hongereni kmk
Mt.kizito mnaimba vizuri aisee mbarikiwe sana
...tumemisi mazingira asilia, sijui kwann kwaya nyingi siku hizi wanapenda kufanya video shooting studio
Asanteni kazi tamu sana ,Mungu awabariki sana
Ilove kmk
Finally here we are …. Asanteni sana Kwa huduma na Mwenyezi Mungu awabariki sana Kwa utume wenu
Powerful n solemn song
Hakika furaha yangu ni nyimbo za katoliki nafurahia sana kazi nzuri kwenu
Shooting imekaa vizuri. Mmeimba vizuri sana. Mtunzi yupo vizuri. Hongereni sana
waoooohh very sweet !!!!!! hongereni sana
Napenda nyimbo zenu zote.
I love your songs sijasahau mlikuja st Joseph frenademetz kuja kuimba
AWESOME! So ,,,,,,,.proud to be a catholic .Amen
wimbo mtam kweli much love from Kenya.NI UPENDO TU
Nice
🙏
Magnificent! This song is amazing. Keep it up good work of preaching through songs!
Thanks for watching
hii sasa ndo kali kuliko ya kwanza na nilichagua box B mapema
Wimbo wangu bora basi2 ngoja nikae kimya ila ni mzuri mno mno ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ KMK MAkuburi🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
Wimbo mtamu mno, wawezaunywea chai😀😀 Niliusubiri Sana Tangia Jana, nilijua tu lazma uwe unique. Mnsnikosha kweli, Hongereni kmkm
Blessed song kudos 😊
I love the Africanacity in the video
Bwan Yesu ni mzima,kashinda mauti mwamba ni mzima nihodari wa vita mwamba ni mzima kabisa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waleteee🔥🔥🔥🔥
Hakuna mtunzi asiyetamani wimbo wake usiimbwe na kurekodiwa na kwaya bora @KMK. Wanatisha hawa jamaaa.
Waooo hongereni sana kwa wimbo mzuri kwaya ya kizito🔥🔥🔥💪
Whaaat!yaani kazi saafi sana wakuu,❤
Good music
Sauti tamu sana... video concept tamu sana... utunzi mtamu sana.. injili ya Bwana na isonge mbele
May Almighty God bless you all
Mtunzi umenikoshaaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥 Hongereni kwa kazi nzurii
Good job kmk
Safi kabisa
As always, excellent work, Well done KMK ! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥