Mt. Kizito Makuburi - Hamkujua? (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 кві 2023
  • Ukombozi wa Mwanadamu ulitabiriwa na manabii tangu kale. Iliandikwa mwana wa Adamu atakamatwa, atateswa, atakufa, na siku ya tatu atafufuka katika wafu.
    Maandiko hayo yote yalikuja kutimizwa, ingawa mwanadamu bado alisahau yote, na mwisho akawa akishangaa kila linalotokea kana kwamba hakujua kwamba maandiko yanatimia.
    KMK Makuburi wanatuletea wimbo wa kukumbuka safari ya Ukombozi wa Mwanadamu, aliyoipitia Bwana wetu Yesu Kristo, na wanatukumbusha kwamba Ilikuwa ni katika kutimiza maandiko.
    WIMBO: HAMKUJUA?
    MTUNZI : HENDRY KIMARIO
    WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
    AUDIO BY : HOLY TRINITY STUDIOS
    VIDEO BY : DIVINE STUDIOS & KMK DIGITAL PRO
    SCRIPT WRITER : HENDRY KIMARIO
    DIRECTED BY :HENDRY KIMARIO
    SUBTITLES BY: DICKSON NYAMWIHULA
    MUSIC SCORES & LYRICS : www.kmkmakuburi.co.tz/pdf/Ham...
    Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
    You can support evangelism through
    ⭐MPESA TZ : +255742000089
    Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
    ⭐VODACOM LIPA NAMBA : 5425652
    Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
    ⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
    A/C No: 3390899162
    Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
    Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
    Swift code: KCBLTZTZ
    #HamkujuaniMwamba?
    #kmkmakuburi
    #pasaka
    #kmk35thannivessary
    CONTACT US
    PHONE: +255742000089
    INSTAGRAM: KMKMAKUBURI
    FACEBOOK: KMKMAKUBURI
    TWITTER: KMKMAKUBURI
    TIKTOK: KMKMAKUBURI
    WEBSITE: kmkmakuburi.co.tz

КОМЕНТАРІ • 434

  • @user-rh2wo7hj1c
    @user-rh2wo7hj1c Рік тому +13

    Wooow,Mungu wabariki ndugu zangu wa catholic from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NashonMatiku
    @NashonMatiku 18 днів тому +1

    Hongeren KMK Kwa uinjilishaj mzuriii

  • @lawrencekameja9730
    @lawrencekameja9730 Рік тому +40

    Na siku nyingine msitucheleweshee vitu vikali hivi 😂big up brothers and sisters

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 Рік тому +6

    NI MZIMA NI MZIMA ALLELUJA. HONGERENI WANAKWAYA WA KMK., 🙏🙏🙏

  • @user-mu8bk3fv3r
    @user-mu8bk3fv3r 10 днів тому +1

    Ni mzima Kweli Amém

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 Рік тому +5

    Wioooowwww Mbarikiwe mnooooo kazi nzur8 wapendwa

  • @Delinathakahanantuki
    @Delinathakahanantuki Місяць тому +3

    Kiukweli this is my favourite song of the year, hongereni sana mmeupiga mwingi ntakuwa natamani kuuskiliza kutwa nzima.❤❤

  • @kendrick9339
    @kendrick9339 Рік тому +11

    Hamkujua kama tuliutaka sana huu Wimbo siku ya pasaka yenyewe 😂 all in all hongereni sana kmk

  • @josephdafay3806
    @josephdafay3806 4 місяці тому +3

    pongezi za dhati kwa mtunzi hendry kimario na director hendry kimario pamoja na waimbaji mnaweza sana sana sana sana huu ni wimbo unaobariki wengi ,,,,hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ujumbe mzuri ndani yake ambao mmetuletea kwa namna nzuri ya uimbaji wenye sauti nzuri na mpangilio mzuri sana sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu mzidi kutenda makubwa zaidi.

  • @zithafaustin3815
    @zithafaustin3815 6 місяців тому +10

    These people sing like they will never sing again😅😅😅😅....Much appreciations brothers and sisters, I always love hearing from Makuburi choir

  • @maishayangu9216
    @maishayangu9216 Місяць тому +1

    Nakosa maneno!!!!! Asante kwa Mungu kwa wimbo huu. Asante Ndugu zetu wanamakuburi kutuletea somo lingine!

  • @gudelamethod5661
    @gudelamethod5661 Рік тому +3

    Mbalikiwe sana wimbo mzuri voko km Malaika, mtu unajua uko paradiso, wanaume Mungu awazidishie baraka nyingi Nashukuru sana. Moyo unafurahi sana

  • @georgemasika8316
    @georgemasika8316 Рік тому +4

    🇰🇪 Kenya twawapenda kweli tena na sana.... 🙏🙏🙏

  • @mellenarasa8497
    @mellenarasa8497 Рік тому +2

    Wana MT KIZITO HONGERA KUTOKA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃👏👏👏👏👏👏

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому +3

    Hongereni sana mt kizito makuburi, hamjawahi kukosea, ni roho mtakatifu ndiye anayewaongoza. Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri

  • @deogratiusmkamba8573
    @deogratiusmkamba8573 9 місяців тому +2

    Pongezi kwenu waimbaji kwa kutuinjilisha kwa njia ya wimbo, barikiweni saaaana

  • @angelvictory6169
    @angelvictory6169 9 місяців тому +2

    Hizi Ngoma na bezi .Yan mpangilio wa sauti😊😊❤
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊,. I LOVE JESUS

  • @afyalivenadr.shirima5631
    @afyalivenadr.shirima5631 4 місяці тому +2

    Hongereni sana KMK mmeupiga mwingi sana,pasaka imenoga sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻😊

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 Рік тому +3

    Hamjawahi toa kitu chepesi siku zote. Mtazidi kuwa juu kwa ubora. Atukuzwe sana Mungu aliyewapa karama hiyo.
    Pongezi kwa menejimenti yenu, walimu na wanakwaya kwa ujumla. Tunatakatifuzwa kwa kazi zenu BORA.

  • @PaskaziaDamiani-pk4et
    @PaskaziaDamiani-pk4et Рік тому +2

    Hongereni sana, wimbo mzuri hatuchoki kuwasikiliza....

  • @user-bn6jv2zf7d
    @user-bn6jv2zf7d Місяць тому +1

    Poa sana

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 2 місяці тому +1

    Nakubali sana

  • @salvinasimbaulanga
    @salvinasimbaulanga Рік тому +2

    Imendeza sana yaaani sifa na utukufu ni kwamungu.💔💔

  • @mwesigacredius9852
    @mwesigacredius9852 11 місяців тому +2

    Hmjawahi kuniangush KMK soon nakuja kujiunga!!!

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda3585 Рік тому +2

    KMK hamjawahi kuniangusha, hongereni Sana Wana wa Mungu, endeleeni kumtukuza aliyejuu

  • @Ellybeny
    @Ellybeny Рік тому +2

    Hakika ni mzima ila mbona mmetucheleweshea hili baragumu 🥰🥰

  • @lydiamaende3036
    @lydiamaende3036 Рік тому +2

    heko kwa waimbaji na mtunzi🥰

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba8610 Рік тому +3

    Mko vzr kazi nimeikubali,siku nyingne mtuleteee msitucheleweshee kazi nzuri Kama hiyo,utupiwe mapema,ili tuwahi kubarikiwa

  • @AlbertWilbert
    @AlbertWilbert 3 місяці тому +1

    Bonge la nyimbo kama umeupenda shusha comment zako hapa chini usipite hivi hivi jaman🎉🎉🎉

  • @reymondjoseph3189
    @reymondjoseph3189 10 місяців тому +2

    Litle Angel amezunguka vizur na gauni lake santeee kwa tafakari nzuri.*#Hakika Ni mzima

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon Рік тому +2

    Asanteni Makuburi, Mungu azidi kuwabariki kwa kadri mnavyomtukuza

  • @JuliethKayenzi-sx5ds
    @JuliethKayenzi-sx5ds Рік тому +2

    Mungu wa mbingu azidi kuwabariki mpo vizuri

  • @vickynash372
    @vickynash372 Рік тому +4

    HAMKUJUA..TUMEJUA SASA.
    AMEFUFUKA KWELI. THE VOICES FOR ME...VERY EXOTIC

  • @janethseleman4059
    @janethseleman4059 5 місяців тому

    Hongereni nazipenda nyimbo zenu zinafariji

  • @joycengovi2039
    @joycengovi2039 Рік тому +2

    WOW KUJENI KENYA MKO MELODY POA SANA

  • @wernerkahemela9197
    @wernerkahemela9197 4 місяці тому +1

    Hongereni Sana, Mungu wa mbinguni awabariki ktk utume wenu

  • @georgemothemba9261
    @georgemothemba9261 Рік тому +1

    KMK barikiweni sana kwa nyimbo zenu nzuri

  • @agatonngailo6632
    @agatonngailo6632 Рік тому +1

    Hongera san mt kizito makubur kwa wimbo mzuri Siku zote naangalia kaz zenu

  • @PhilipKitiya-re6uh
    @PhilipKitiya-re6uh 10 місяців тому +2

    Bwana wape nguvu na hekima 🎉

  • @elizabethhamisi2242
    @elizabethhamisi2242 3 місяці тому +1

    Safi mmeutendea haki huo utunzi, na pia pongezi kwa utunzi wenye historia ya kifo na ufufuko.

  • @elizabethhamisi2242
    @elizabethhamisi2242 3 місяці тому +1

    Hongereni kwa utume.

  • @JuliusAlphonce-cu2nb
    @JuliusAlphonce-cu2nb 3 місяці тому +1

    jana nimeitazama hii nyimbo tumaini television hakika mtunzi anahitaji tuzo ya dhahabu, hongereni pia wana kwaya , mmeupiga mwingi

  • @delfinankirote6501
    @delfinankirote6501 Рік тому +2

    Alleluia Kristu amefufuka

  • @kennyrodgers1
    @kennyrodgers1 Рік тому +3

    Nawakilisha wakenya❤❤❤❤ wimbo mtamu kweli

  • @FaridaKasebele
    @FaridaKasebele Рік тому +3

    Wimbo mzuri sana

  • @perpetualmusuya9138
    @perpetualmusuya9138 Рік тому +1

    Kazi safi

  • @user-bs4zy1dv9g
    @user-bs4zy1dv9g 2 місяці тому +1

    I love that song very much . Your voices angle like.

  • @lazaruskihwele2879
    @lazaruskihwele2879 Рік тому +3

    Saffi kabisaa kazi nzur 🙏😅

  • @LetisiaShipula-ym2ui
    @LetisiaShipula-ym2ui Рік тому +1

    Hongereni sana watumishi wake Bwana

  • @BlandinaKesaga
    @BlandinaKesaga 4 місяці тому

    Nawapenda sana nyie jamani hongereni sana

  • @jerutojudith409
    @jerutojudith409 11 місяців тому +8

    Tanzanian's never disappoint when it comes to GOD. Your songs inabariki regardless of denominations. mubarikiwe mkitubariki na sis

  • @benedictmnyasumba
    @benedictmnyasumba Рік тому +2

    Hongeren sana sasa mmejua maana halisi ya vocal

  • @scolasticaDeonice
    @scolasticaDeonice Рік тому +1

    Good mpo vzr sana kmk mungu awabariki

  • @steveokoth5481
    @steveokoth5481 Рік тому +2

    Utunzi murua kanisa hongereeni Kwa uinjilishaji mtamu. Mzidi kumtumikia muumba Kwa utunzi vitamu kila wakati.

  • @stevenmhagama5636
    @stevenmhagama5636 10 місяців тому +1

    Ongereni wanakwanya

  • @Edusos634
    @Edusos634 Рік тому +1

    Imependeza🎉🎉🎉🎉I thought tuko heaven ❤

  • @VerenaRwegasira
    @VerenaRwegasira 4 місяці тому

    Hakika Mungu atukuzwe
    Mbarikiwe🎉🎉

  • @marktesha762
    @marktesha762 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤
    Nzuri. Sauti na maneno vinasikika vyema.

  • @tonnymwenga1888
    @tonnymwenga1888 Рік тому +1

    MKM, nisubirini naja ,from kenya!.

  • @naborymdemu5040
    @naborymdemu5040 Рік тому +2

    Kama kawaida they never ruins their long-standing history 🔥. MUNGU Azidi kutenda maajabu kupitia Ninyi. Eng. Mushobozi at least kapata Mrithi. MUNGU ni Mwema

  • @mwalimuaudi8844
    @mwalimuaudi8844 11 місяців тому

    Jamani kila mara mwapakua ulio moto zaidi daaah 🔥🔥🔥🔥 nawapendeni sana.

  • @agneliusmbilinyi37
    @agneliusmbilinyi37 Рік тому +1

    asante kwa ujumbe mzuri

  • @conceptaamimo5029
    @conceptaamimo5029 4 місяці тому +3

    i am actually embarrassed that i have been listening to your songs over the years without subscribing to your channel... but trust me, you have my views

  • @timothewmkalawa-op7fd
    @timothewmkalawa-op7fd Рік тому +1

    🎉🎉🎉 kazi nzuri kwakila aliyeshiriki

  • @janemakarious9461
    @janemakarious9461 3 місяці тому

    Mnatubariki sana na nyimbo zenu nzuri🙏

  • @user-ip5qs8mk2p
    @user-ip5qs8mk2p Рік тому +1

    Nyimbo nzuri sana

  • @tukenselachungu8336
    @tukenselachungu8336 Рік тому +1

    ❤️❤️ mna moto saana hongereni

  • @user-lk1fr8iw5v
    @user-lk1fr8iw5v 4 місяці тому +1

    Kwakwel bwana yesu amefufuka

  • @JacklineMukami-rk7ku
    @JacklineMukami-rk7ku Рік тому +1

    Kitu kizuri🎉❤

  • @elizabethmutua3256
    @elizabethmutua3256 Рік тому +3

    Nobody is talking about that babygirl 🥰much love from kenya❤❤❤

  • @linetkamaina3767
    @linetkamaina3767 8 місяців тому +3

    A blessed morning ❤.

  • @DignaBlass-qv1zn
    @DignaBlass-qv1zn Рік тому

    Iko poa sana hii jmni daaaaah sem naomb km umlitoa album Jin la album ili note zote

  • @fredyshayo5345
    @fredyshayo5345 Рік тому

    Kinanda bass imetendewa haki aisee

  • @peterjohn5509
    @peterjohn5509 Рік тому +1

    Hongereni sana kazi ni nzuri mno

  • @veredianacharles9518
    @veredianacharles9518 2 місяці тому

    Yaaan hua nashida kutulia nikisikia huu wimbo nahis nipo mbingun yaan kwakwel kuimba nikaha silihii niyawachache

  • @bonifacemurunga2736
    @bonifacemurunga2736 Рік тому +2

    Kongole za dhati kwaya ya Mtakatifu kizito Makuburi. Wimbo huu waniliwaza na kunikolezea imani nikiwa Vilimani Mbagara,gatuzi la Kakamega nchini Kenya kwenye Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa -Mautuma Jimbo Katoliki Kakamega.
    Hewallah!!

  • @monicahmutuku3305
    @monicahmutuku3305 Рік тому +1

    Hongereni sana. Nice song

  • @user-xo9bz2mx8b
    @user-xo9bz2mx8b 7 місяців тому +1

    Hongereni...I like your songs....they always have a message and much blessings,.👏👏

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba8610 Рік тому +2

    Ivi hamkujua Kama tunawapenda San.

  • @wilfrednyamosi3354
    @wilfrednyamosi3354 Рік тому +4

    hatukujua kibao kingine kinakuja kama hiki. my all time favorite choir. unique composition and style. you guys are great

  • @briankutolo9661
    @briankutolo9661 Рік тому +1

    Kazi safi🎉

  • @AnnahMulinge-br8qg
    @AnnahMulinge-br8qg Рік тому +4

    Wow❤ Lit😍😍

  • @mutinda9155
    @mutinda9155 Рік тому +4

    GOAT

  • @user-qz4dz8xo4j
    @user-qz4dz8xo4j 10 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂 nzuri sana

  • @lawrencekameja9730
    @lawrencekameja9730 Рік тому +59

    Ni moto 🔥 balaa Kimario hongera jamaa yangu, hongereni sana wanakwaya kwa kuutendea haki huu wimbo hilo vibe nalo mmenikosha hongereni sana kwa production nzuri ,,,,kinanda🔥🔥🔥🔥 aliyecheza Mungu anamuona ngoja ninyamaze maana kwenu kufanya mambo moto sio ajabu🔥🔥 hongereni sana

    • @vickynash372
      @vickynash372 Рік тому +2

      A different angle seen from the norm Master Bernard Mukasa. Gr8 fiesta. Kudos to all the choristers at large.

    • @Kmdkimanga
      @Kmdkimanga Рік тому +4

      🔥Wimbo safi, waimbaji safi, Kinanda safi aliyecheza Mungu amuone popote alipo, Production safi👏🏽👏🏽👏🏽 Hakika amefufuka Aleluya 🔥

    • @claudiacaroly1687
      @claudiacaroly1687 Рік тому +2

      ❤hakika wameutendea haki wimbo. 🙌

  • @marykipingili
    @marykipingili Рік тому +1

    Wimbo mzuri

  • @kombejayvision4538
    @kombejayvision4538 Рік тому

    Daaaah jaman n moto chuma hili

  • @johnotieno7295
    @johnotieno7295 Рік тому

    Mungu awabariki siku zote

  • @ReginaHeriel-sd3yg
    @ReginaHeriel-sd3yg Рік тому +3

    Hongereni Sana,hamjawahi kosea ,big up mtunzi,utukufu kwa Mungu juu

  • @thepebrisfamilygracedbless6668

    Wuuuuweuweeeeee... Wao Waoooooo... This is it wana KMK... Atleast we have another ufufuko hit... Keep up Malaika Waimbaji na Mtunzi Kimario. Hapa umetutendea haki kweli mkuu

    • @WilfredMussa-ov7yi
      @WilfredMussa-ov7yi Рік тому

      Mmependeza sanaaaàaàaaà jaman hongeren Kwa kumtunza mungu

  • @KwayayaFamiliaTakatifu-Kigonzi

    Tumebarikiwa sana na wimbo huu wa Ufufuko wa Bwana wetu yesu Kristo

  • @ProsperPaul-kc1qp
    @ProsperPaul-kc1qp Рік тому +1

    Pongezi kwenu kmk hakika mmejitahidi mmeimba vizuri,bigup kwa composer hakika katunga vizuri

  • @janemwau
    @janemwau Рік тому +2

    Wow! Bwana amefufuka ni mzima alleluia, hongereni sana wana KMK kwa kazi nzuri wimbo mtamu huyo ❤❤❤

  • @georgemothemba9261
    @georgemothemba9261 11 місяців тому +1

    Mungu atatusamehe kwa upendo wake mwenyewe. Natutubu dhambi zetu jameni !!!

  • @natashamichael9879
    @natashamichael9879 Рік тому

    Kila siku lazma niuangalie yaani naisi kubalikiwa🙏

  • @judithmakeja6607
    @judithmakeja6607 Рік тому

    Sifa na utukufu una yeye hakika Bwana amefufuka

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 Рік тому +3

    Waooooo good performance hongereni sana Kwaya na studio pia kazi bora sana

  • @jamesgachau2566
    @jamesgachau2566 Місяць тому +1

    This song speaks to me now

  • @lopuyopaulolokwawi
    @lopuyopaulolokwawi Рік тому +3

    Napenda sana wimbo huu. Mungu wangu wimbo mtamu sana ❤

  • @andrewmushi281
    @andrewmushi281 Рік тому +1

    Aisee Mungu aendelee kutukuzwa nasi Tutakatifuzwe