Mt. Kizito Makuburi - Hamkujua? (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 29 кві 2023
- Ukombozi wa Mwanadamu ulitabiriwa na manabii tangu kale. Iliandikwa mwana wa Adamu atakamatwa, atateswa, atakufa, na siku ya tatu atafufuka katika wafu.
Maandiko hayo yote yalikuja kutimizwa, ingawa mwanadamu bado alisahau yote, na mwisho akawa akishangaa kila linalotokea kana kwamba hakujua kwamba maandiko yanatimia.
KMK Makuburi wanatuletea wimbo wa kukumbuka safari ya Ukombozi wa Mwanadamu, aliyoipitia Bwana wetu Yesu Kristo, na wanatukumbusha kwamba Ilikuwa ni katika kutimiza maandiko.
WIMBO: HAMKUJUA?
MTUNZI : HENDRY KIMARIO
WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
AUDIO BY : HOLY TRINITY STUDIOS
VIDEO BY : DIVINE STUDIOS & KMK DIGITAL PRO
SCRIPT WRITER : HENDRY KIMARIO
DIRECTED BY :HENDRY KIMARIO
SUBTITLES BY: DICKSON NYAMWIHULA
MUSIC SCORES & LYRICS : www.kmkmakuburi.co.tz/pdf/Ham...
Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
You can support evangelism through
⭐MPESA TZ : +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐VODACOM LIPA NAMBA : 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
#HamkujuaniMwamba?
#kmkmakuburi
#pasaka
#kmk35thannivessary
CONTACT US
PHONE: +255742000089
INSTAGRAM: KMKMAKUBURI
FACEBOOK: KMKMAKUBURI
TWITTER: KMKMAKUBURI
TIKTOK: KMKMAKUBURI
WEBSITE: kmkmakuburi.co.tz
Wooow,Mungu wabariki ndugu zangu wa catholic from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongeren KMK Kwa uinjilishaj mzuriii
Na siku nyingine msitucheleweshee vitu vikali hivi 😂big up brothers and sisters
baaana izi vitu kali zifuatane
Baana waambie vitu vikali mapema ndio best❤
❤
😂😂😂 mpk tunajiskia uchungu na kuumwa wanavyochelewesha
Banaa
NI MZIMA NI MZIMA ALLELUJA. HONGERENI WANAKWAYA WA KMK., 🙏🙏🙏
Ni mzima Kweli Amém
Wioooowwww Mbarikiwe mnooooo kazi nzur8 wapendwa
Kiukweli this is my favourite song of the year, hongereni sana mmeupiga mwingi ntakuwa natamani kuuskiliza kutwa nzima.❤❤
Hamkujua kama tuliutaka sana huu Wimbo siku ya pasaka yenyewe 😂 all in all hongereni sana kmk
Banaa 😂
pongezi za dhati kwa mtunzi hendry kimario na director hendry kimario pamoja na waimbaji mnaweza sana sana sana sana huu ni wimbo unaobariki wengi ,,,,hongereni sana kwa kazi nzuri yenye ujumbe mzuri ndani yake ambao mmetuletea kwa namna nzuri ya uimbaji wenye sauti nzuri na mpangilio mzuri sana sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu mzidi kutenda makubwa zaidi.
These people sing like they will never sing again😅😅😅😅....Much appreciations brothers and sisters, I always love hearing from Makuburi choir
They sure do sing like will never sing again
Nakosa maneno!!!!! Asante kwa Mungu kwa wimbo huu. Asante Ndugu zetu wanamakuburi kutuletea somo lingine!
Mbalikiwe sana wimbo mzuri voko km Malaika, mtu unajua uko paradiso, wanaume Mungu awazidishie baraka nyingi Nashukuru sana. Moyo unafurahi sana
🇰🇪 Kenya twawapenda kweli tena na sana.... 🙏🙏🙏
Wana MT KIZITO HONGERA KUTOKA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃💃💃👏👏👏👏👏👏
Hongereni sana mt kizito makuburi, hamjawahi kukosea, ni roho mtakatifu ndiye anayewaongoza. Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri
Pongezi kwenu waimbaji kwa kutuinjilisha kwa njia ya wimbo, barikiweni saaaana
Hizi Ngoma na bezi .Yan mpangilio wa sauti😊😊❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊,. I LOVE JESUS
Hongereni sana KMK mmeupiga mwingi sana,pasaka imenoga sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻😊
Hamjawahi toa kitu chepesi siku zote. Mtazidi kuwa juu kwa ubora. Atukuzwe sana Mungu aliyewapa karama hiyo.
Pongezi kwa menejimenti yenu, walimu na wanakwaya kwa ujumla. Tunatakatifuzwa kwa kazi zenu BORA.
Hongereni sana, wimbo mzuri hatuchoki kuwasikiliza....
Poa sana
Nakubali sana
Imendeza sana yaaani sifa na utukufu ni kwamungu.💔💔
Hmjawahi kuniangush KMK soon nakuja kujiunga!!!
KMK hamjawahi kuniangusha, hongereni Sana Wana wa Mungu, endeleeni kumtukuza aliyejuu
Hakika ni mzima ila mbona mmetucheleweshea hili baragumu 🥰🥰
heko kwa waimbaji na mtunzi🥰
Mko vzr kazi nimeikubali,siku nyingne mtuleteee msitucheleweshee kazi nzuri Kama hiyo,utupiwe mapema,ili tuwahi kubarikiwa
Bonge la nyimbo kama umeupenda shusha comment zako hapa chini usipite hivi hivi jaman🎉🎉🎉
Litle Angel amezunguka vizur na gauni lake santeee kwa tafakari nzuri.*#Hakika Ni mzima
Asanteni Makuburi, Mungu azidi kuwabariki kwa kadri mnavyomtukuza
Mungu wa mbingu azidi kuwabariki mpo vizuri
HAMKUJUA..TUMEJUA SASA.
AMEFUFUKA KWELI. THE VOICES FOR ME...VERY EXOTIC
Hongereni nazipenda nyimbo zenu zinafariji
WOW KUJENI KENYA MKO MELODY POA SANA
Hongereni Sana, Mungu wa mbinguni awabariki ktk utume wenu
KMK barikiweni sana kwa nyimbo zenu nzuri
Hongera san mt kizito makubur kwa wimbo mzuri Siku zote naangalia kaz zenu
Bwana wape nguvu na hekima 🎉
Safi mmeutendea haki huo utunzi, na pia pongezi kwa utunzi wenye historia ya kifo na ufufuko.
Hongereni kwa utume.
jana nimeitazama hii nyimbo tumaini television hakika mtunzi anahitaji tuzo ya dhahabu, hongereni pia wana kwaya , mmeupiga mwingi
Alleluia Kristu amefufuka
Nawakilisha wakenya❤❤❤❤ wimbo mtamu kweli
Wimbo mzuri sana
Kazi safi
I love that song very much . Your voices angle like.
Saffi kabisaa kazi nzur 🙏😅
Hongereni sana watumishi wake Bwana
Nawapenda sana nyie jamani hongereni sana
Tanzanian's never disappoint when it comes to GOD. Your songs inabariki regardless of denominations. mubarikiwe mkitubariki na sis
Hongeren sana sasa mmejua maana halisi ya vocal
Good mpo vzr sana kmk mungu awabariki
Utunzi murua kanisa hongereeni Kwa uinjilishaji mtamu. Mzidi kumtumikia muumba Kwa utunzi vitamu kila wakati.
Ongereni wanakwanya
Imependeza🎉🎉🎉🎉I thought tuko heaven ❤
Hakika Mungu atukuzwe
Mbarikiwe🎉🎉
❤❤❤❤❤
Nzuri. Sauti na maneno vinasikika vyema.
MKM, nisubirini naja ,from kenya!.
Kama kawaida they never ruins their long-standing history 🔥. MUNGU Azidi kutenda maajabu kupitia Ninyi. Eng. Mushobozi at least kapata Mrithi. MUNGU ni Mwema
Jamani kila mara mwapakua ulio moto zaidi daaah 🔥🔥🔥🔥 nawapendeni sana.
asante kwa ujumbe mzuri
i am actually embarrassed that i have been listening to your songs over the years without subscribing to your channel... but trust me, you have my views
🎉🎉🎉 kazi nzuri kwakila aliyeshiriki
Mnatubariki sana na nyimbo zenu nzuri🙏
Nyimbo nzuri sana
❤️❤️ mna moto saana hongereni
Kwakwel bwana yesu amefufuka
Kitu kizuri🎉❤
Nobody is talking about that babygirl 🥰much love from kenya❤❤❤
A blessed morning ❤.
Iko poa sana hii jmni daaaaah sem naomb km umlitoa album Jin la album ili note zote
Kinanda bass imetendewa haki aisee
Hongereni sana kazi ni nzuri mno
Yaaan hua nashida kutulia nikisikia huu wimbo nahis nipo mbingun yaan kwakwel kuimba nikaha silihii niyawachache
Kongole za dhati kwaya ya Mtakatifu kizito Makuburi. Wimbo huu waniliwaza na kunikolezea imani nikiwa Vilimani Mbagara,gatuzi la Kakamega nchini Kenya kwenye Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa -Mautuma Jimbo Katoliki Kakamega.
Hewallah!!
Hongereni sana. Nice song
Hongereni...I like your songs....they always have a message and much blessings,.👏👏
Ivi hamkujua Kama tunawapenda San.
hatukujua kibao kingine kinakuja kama hiki. my all time favorite choir. unique composition and style. you guys are great
Kazi safi🎉
Wow❤ Lit😍😍
GOAT
😂😂😂😂😂 nzuri sana
Ni moto 🔥 balaa Kimario hongera jamaa yangu, hongereni sana wanakwaya kwa kuutendea haki huu wimbo hilo vibe nalo mmenikosha hongereni sana kwa production nzuri ,,,,kinanda🔥🔥🔥🔥 aliyecheza Mungu anamuona ngoja ninyamaze maana kwenu kufanya mambo moto sio ajabu🔥🔥 hongereni sana
A different angle seen from the norm Master Bernard Mukasa. Gr8 fiesta. Kudos to all the choristers at large.
🔥Wimbo safi, waimbaji safi, Kinanda safi aliyecheza Mungu amuone popote alipo, Production safi👏🏽👏🏽👏🏽 Hakika amefufuka Aleluya 🔥
❤hakika wameutendea haki wimbo. 🙌
Wimbo mzuri
Daaaah jaman n moto chuma hili
Mungu awabariki siku zote
Hongereni Sana,hamjawahi kosea ,big up mtunzi,utukufu kwa Mungu juu
Wuuuuweuweeeeee... Wao Waoooooo... This is it wana KMK... Atleast we have another ufufuko hit... Keep up Malaika Waimbaji na Mtunzi Kimario. Hapa umetutendea haki kweli mkuu
Mmependeza sanaaaàaàaaà jaman hongeren Kwa kumtunza mungu
Tumebarikiwa sana na wimbo huu wa Ufufuko wa Bwana wetu yesu Kristo
Pongezi kwenu kmk hakika mmejitahidi mmeimba vizuri,bigup kwa composer hakika katunga vizuri
Wow! Bwana amefufuka ni mzima alleluia, hongereni sana wana KMK kwa kazi nzuri wimbo mtamu huyo ❤❤❤
Mungu atatusamehe kwa upendo wake mwenyewe. Natutubu dhambi zetu jameni !!!
Kila siku lazma niuangalie yaani naisi kubalikiwa🙏
Sifa na utukufu una yeye hakika Bwana amefufuka
Waooooo good performance hongereni sana Kwaya na studio pia kazi bora sana
This song speaks to me now
Napenda sana wimbo huu. Mungu wangu wimbo mtamu sana ❤
Aisee Mungu aendelee kutukuzwa nasi Tutakatifuzwe