ANTII NO : 10: TAMTHILIA YA MAADILI | OFFICIAL HD VIDEO | MASH TV | MADRASA SHOP TV ONLINE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Hii ni moja kati ya tamthilia bora za maadili nchini Tanzania inayozungumzia maisha ya wanandoa pamoja na majukumu ya mke kwa mumewe
    Endelea kufatilia chanel yetu ili uzidi kupata faida
    SUBSCRIBE LIKE COMMENT SHARE
    MASH TV
    +255773 950 250
    +255717 513 191
    MASH TV
    MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE

КОМЕНТАРІ • 309

  • @zuleikhaissa684
    @zuleikhaissa684 2 роки тому +11

    Shukran kwa muendelezo Allah awabarik pia msitucheleweshee tena

  • @sharifakhamis2148
    @sharifakhamis2148 2 роки тому +8

    Antii mzuri wa sura mpk roho ma sha Allah😘

  • @mohdkombo-t7m
    @mohdkombo-t7m 4 місяці тому

    Hongereni Kwa kazi nzuri

  • @ajmallissa907
    @ajmallissa907 2 роки тому +3

    Waaleykum salamu masha Allah mumetuletea ya 10 sasa sio masha allah mungu awatangulie mwatunza mno wanawake ktk hizi tamthilia

  • @wardataliy9319
    @wardataliy9319 2 роки тому +5

    Mashaallah Allah awape wepesi kwenye kazi zenu

  • @mwanarusiropia8363
    @mwanarusiropia8363 2 роки тому +3

    Shukran sana movie nzuri yenye mafunzo👌👌👌❤️

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 2 роки тому +3

    Assallam alleyqum warahmtullah wabarkatuh shukran sna kwa mafundisho yenu mazuri ila ushoga mwengine haufai wallah tuweni makini na mashoga na pia tunao olewa tuwajibike kwenye ndoa zetu uvivu auna laana💞

  • @sabrinakabunzi9044
    @sabrinakabunzi9044 Рік тому

    Mashaallah jaman barakallwahu fik Allah awaajalie umry mrefu wenye manufaaa muendelee kutupa vitu vya faidah ni kitu Khery wanawake wanadumu kwenye starah na kuna mipaka nidhamu ni ya hali ya juu kaka Fahady Allah akulipe sana nakukubali sana kaka angu

  • @abdulmasuod2318
    @abdulmasuod2318 2 роки тому +4

    shukran but daaah mke kuogopwa hivo lakini Kazi mzuri mashallah

  • @halimanj8544
    @halimanj8544 2 роки тому +4

    Mashallah nzuri Allah awazidishie kazi zenu nawapenda sana mwendelezo episode 11

  • @Abla_habiba02
    @Abla_habiba02 2 роки тому +28

    Asanteni sana ila mwanamke haogopewi kiasi chote hicho, simama kiume na uwe na maamuzi ya kijasiri, natumai story mwisho wake mzuri.💞

    • @husnaally6776
      @husnaally6776 2 роки тому +2

      hv wanaume kama fahad wapo kweli mmmh saa izi kashaachwa muda uyo

    • @nshimirimanabora180
      @nshimirimanabora180 2 роки тому +1

      @@husnaally6776 wapo kama hao

    • @husnaally6776
      @husnaally6776 2 роки тому +2

      @@nshimirimanabora180 mmh si dhani kama inakuwa ki kawaida tu mwanaume kweli umfanyie hvyo ila dah mwanamke wa aina hii kiboko sijui ata kama kafunzwa na sijui kalelewa vipi kwao

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 роки тому +1

      @@nshimirimanabora180 a subutuuuuu 😂 😂 😂 umpate wapiiii?

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 2 роки тому +1

      @@husnaally6776 mi sidhani kma wapo

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Рік тому

    Fahadi kaekti ana kichwa kigumu pia amefanywa msukule

  • @sophiaabdallah7821
    @sophiaabdallah7821 2 роки тому +5

    Wow asante kw kutukumbukaa leo Allah awabarikiii

  • @akimanamariam4451
    @akimanamariam4451 2 роки тому +5

    Walaikum salamu walahmatullah wabarakatu ira munatukawiza jamani Allah awabariki twawapenda fom 🇧🇮

  • @khadijakhamis2082
    @khadijakhamis2082 2 роки тому +15

    Mashaallah! Allah awasimamie katika kazi hii nzuri, huyu shoga kumbe juhudi zote hizi yeye ndio wamtaka shemejie ? Yapo mtaani haya anajifanya akupeleke kwa mganga kumbe anaenda kuwafanyia nyie. Allah atunusuru na mashoga hawa kwenye majumba yetu

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 роки тому +1

      Yapo sana hayo dada mie binafsi Sina. Imani na shoga hata kidogo walishanivuruga

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 2 роки тому

      @@zainabzain3434 pole lkn mm nimeolewa nimestopisha maana kuolewa kwangu wameingia wivu

    • @quibibiissa
      @quibibiissa Рік тому

      😅n

  • @husnahlaazizmohammed7397
    @husnahlaazizmohammed7397 2 роки тому +12

    Ma sha Allah tamu Ila mnatuchelewesha Sana jamen

    • @abuahmed1610
      @abuahmed1610 2 роки тому

      Mungu atunusuru na mashoga wanfki

  • @shariffasuleiman1229
    @shariffasuleiman1229 Рік тому

    Story nzuri lkin mbn hkun Ya 12

  • @julianastephano965
    @julianastephano965 Рік тому

    Mpo vizur sana endeleen kutuelimisha Kaz njema

  • @rahimababyima2507
    @rahimababyima2507 2 роки тому

    Maashaallh tunawaomba musitucheleweshee tuleteeni ya 11

  • @a.856
    @a.856 2 роки тому +6

    Asanteni Mash Tv jazakallah khayran

  • @shariffasuleiman1229
    @shariffasuleiman1229 Рік тому

    Antii nae pia ameshika y Rafiki

  • @husseinathuman8469
    @husseinathuman8469 2 роки тому +7

    Maa shaa Allaah basi msicheleweshe tena

  • @zaituniluboge8897
    @zaituniluboge8897 2 роки тому +1

    Jaman asant ni nzur sana,,,, msichelewe 11

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 2 роки тому +3

    Mashaallah hii kazi nimeipenda

  • @aweiybeauty5844
    @aweiybeauty5844 2 роки тому +2

    Movie inanifunza sana sana sana ila Fahad kama huo ustahamilivu unao kweli kweli basi nakuombea kwa Allah uzidi kabisa ila ukumbuke subrah ina mipaka,,,,,,nawapemda washiri wote kwa kutuelimisha ktk mising ya dini yetu🥰

  • @salmasleyum8441
    @salmasleyum8441 2 роки тому +1

    Uyo hakufai muache mpe talaka hajui sheria za mke icho kizingiti hakifai kingoe

  • @najmaomar2751
    @najmaomar2751 2 роки тому +4

    Shukran Allah awafanyie wepec mucitwk san

  • @maimunakisege3503
    @maimunakisege3503 2 роки тому +1

    Mashaallah allh awazidishe na azidi kuwafanyia wepesi katk kazi yenu ni nzuri sana kwakweli nawapenda wote

  • @sashasasha9253
    @sashasasha9253 2 роки тому +6

    Yaan nakereka anavyomng'ang'ania uyo mwanamke ah

  • @nuriatihdjasumin1548
    @nuriatihdjasumin1548 2 роки тому +24

    Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani 🙏 sana jamani sikumingi tulikuwa tunawamiss 💞💞💞

    • @sallysaidy685
      @sallysaidy685 2 роки тому +2

      Walaykum Salam Warrahmatullah Wabarakat
      Shukraaaan
      Ni changamoto za Pesa ndiyo maana mambo hayaendi

    • @saay4273
      @saay4273 2 роки тому +1

      Waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh

    • @husna34562
      @husna34562 2 роки тому +1

      Waalykum msalam waramatullah wabarakatu

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 2 роки тому +1

      Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh

    • @adijarashidi1426
      @adijarashidi1426 2 роки тому +1

      Waalaykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 2 роки тому +2

    Fahad fahad nakuita mara3 bora umuache bonge lkn sio bmdg kwakweli utapata tabu sana daah,

  • @adamalex3075
    @adamalex3075 2 роки тому +3

    Hello....nafurahia sana kaz zenu!!! but nnaombi napenda pia nahitaji kua muislam but sijuh nianzie wap! plz

    • @shamsaog2998
      @shamsaog2998 2 роки тому

      Mashallah ndugu yetu kwa kuona Nuru ya uislam, unachotakiwa kufanya huko huko ulipo unatakiwa kwenda Hadi msikitini ambako pako na karibu na wewe,, Kisha tafuta shekhe katka eneo Hilo na mueleze Nia yako ALLAH akufanyie wepesi

    • @adamalex3075
      @adamalex3075 2 роки тому

      Ok asanteh dadangu nitajitahid kufanya ulichonielekeza..., Mwenyezi Mungu akuzidishien🙏🙏

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 2 роки тому +2

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️nawapenda sana wajilani zetu

  • @mulhatkhamis8806
    @mulhatkhamis8806 2 роки тому +1

    Mashaallh film hii ina mafunzo sn mashaallh

  • @aminaskello546
    @aminaskello546 2 роки тому +3

    Hatimaye jmn,,tuliwasubiria kwa hamu kubwa sana

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 2 роки тому +7

    MashaAllah much love from 974 doha

  • @saay4273
    @saay4273 2 роки тому +4

    MashaaAllah move ni nzuri

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 2 роки тому +5

    Mashaallah hongeren kwa kazi nzuri wapendwa Allah awazidishie kher zaid maana mi binafsi niliwamis sanaaaaa

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Рік тому

    Uko sawa kaka kwa mafunzo,,but mwanaume hupaswi kuwa muoga kiasi hicho kwa mkewo

  • @salmayahya5484
    @salmayahya5484 2 роки тому

    Yaan mwanaume anamuogopa mkewe hadi inakeraaa

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +1

    Mtihani shoga kama huyu ni mtihani kweli mungu tunusuru na watu kama hawa

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 роки тому

    Mashaa Allah tabaraka Allah hongereni Sana filamu nzuri Sana

  • @abdulmalikabdalla7347
    @abdulmalikabdalla7347 2 роки тому +1

    Maashaallaah mbn ya 11 hanlte jmni

  • @ruwaidamohd9382
    @ruwaidamohd9382 2 роки тому +1

    Mashallah mungu awatie nguvu zaid ktk kipaji chenu za kufunza jamii

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 роки тому +3

    Nawapenda wote jaman :antii mashaallah kaz nzur san ❤️😘😍💓❣️🥰

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا 2 роки тому +3

    NZURI JAPO MWACHELEWWSHA

  • @maryambakari4858
    @maryambakari4858 2 роки тому +3

    Kwanza nimecheka sana leo mashallah 💖🥰😅😅

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 2 роки тому +1

    Jmn imeishia pazr dah natamani sahivi muiweke muendelezo

  • @ukhutykhadija9714
    @ukhutykhadija9714 2 роки тому +1

    Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh naomba kuuliza je mna CD zake au

  • @bintdoman7752
    @bintdoman7752 2 роки тому +1

    Tuliwamisi sana msicheleweshe sana banaa

  • @rajeshrajesh-lp2oy
    @rajeshrajesh-lp2oy 2 роки тому +6

    Shukrani kwa kutukumbuka jamani 🙏

  • @neemamzange6612
    @neemamzange6612 2 роки тому

    Mbona siioni part 11

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 роки тому +1

    Fahad ananichekesha wallah sio kumuogopa mke hivyo

  • @mwajabuabdallah3544
    @mwajabuabdallah3544 2 роки тому +2

    Hy ss hv kweli kulogana wanawake kutaisha leo unaachwa sababu ya mke mwenzio mume amuogopa

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 2 роки тому +1

    Khaa yaan huyu shoga anaharibu kila upande 🙌🤣

  • @fadhilabakari8621
    @fadhilabakari8621 2 роки тому +2

    Subhanallah😳 kumbe shoga mboga harakat zote zile nawe uko na Jambo lako🙄🙌

  • @omanbahla1511
    @omanbahla1511 2 роки тому +3

    Asantee md umepita nilimiss

  • @biabumwarua2444
    @biabumwarua2444 2 роки тому +1

    Mi naomba hii nasheed full plz "kwa nn kila siku anty"

  • @abdullahsuleiman7601
    @abdullahsuleiman7601 2 роки тому +1

    Shukran sana Allah akuzidishieni

  • @hadijamohamed2148
    @hadijamohamed2148 2 роки тому

    Maashallah inatufunza vyema

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 2 роки тому +1

    Mashaa Allah. Tuna wapenda. San😘😍

  • @rajabbakari1995
    @rajabbakari1995 2 роки тому +8

    walayk ssalaam warahmatullah, mashaallah 👌👌🥰🥰🥰🥰

  • @dottohamis4427
    @dottohamis4427 2 роки тому +1

    Shukuran sana kwa muendelezo 🙏

  • @swaumungaeka6049
    @swaumungaeka6049 2 роки тому +1

    Mashallah mzur ila munachelewa sana

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 Рік тому

    Nawapenda jamani Allah awazidishie

  • @salma-gf8ek
    @salma-gf8ek 2 роки тому +3

    Shukrani Sana wapendwa

  • @razackkambi7846
    @razackkambi7846 2 роки тому +1

    Kwanini kwanini kaswida yangu pendwa

  • @oficialkhairati632
    @oficialkhairati632 2 роки тому +2

    Ila mnachelewesha

  • @casnayharuni7022
    @casnayharuni7022 2 роки тому +2

    Mko vizuri maashallah

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 2 роки тому +2

    Mmm mnachelewa Sana

  • @hadijakharidy8408
    @hadijakharidy8408 2 роки тому

    Mnachelewesha Sana jmn

  • @ashurafundi2873
    @ashurafundi2873 2 роки тому

    Niliwamiss muda mrefu sana

  • @pilicharo4123
    @pilicharo4123 2 роки тому +2

    asalam alaykum waramatula
    h wabarakatuh asante sana kwakulitea part 10 allah wazidishie nyote

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 2 роки тому +3

    Yaan nmejikuta t nacheka 😂😂😂😂mashaallah ❤ naipenda hii Yaan raha tupu mbona waogopa tena kwa bi mkubwa

    • @raybby9291
      @raybby9291 2 роки тому +1

      Km mm nimecheka jamani mtu amuogopa mkewe tatizo ilo😂

  • @amisabakari1263
    @amisabakari1263 2 роки тому +3

    Manshaallah 🙏 tunashukur mungu

  • @sadaamini1641
    @sadaamini1641 Рік тому

    Hivi huyu fahad ana shida gan lakim😂

  • @zamdasaid7248
    @zamdasaid7248 2 роки тому +1

    Mashallah nzuri

  • @shuwenasaid6038
    @shuwenasaid6038 2 роки тому +1

    Masha wallah ila msicheleweshee km ivyoooo

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 2 роки тому +2

    Mashaallah na wimbo pia kaimba nani?? naupenda mnoo😍😍😍😍😍😍😍😘 Allha awafanyie wepes mtuletee part 11

    • @omarAli-dh7fh
      @omarAli-dh7fh 2 роки тому

      Kweli umerogwa ukamuche mke aliye na mapenz na ww ukae na mke alokuwa hajui umuhim wa ndoa yake,mawazo ondoa broo

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Рік тому

    Mafundixho mazuri sana 🥰🥰

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh3457 2 роки тому +2

    Maa sha Allah. Kazi nzuri

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 роки тому +5

    Mjomba love you 🤣🤣🤣🤣🤣tuwachunguze kwanza awo washauli .kumbe unashauliwa na mtu kasha utwika anachoongea yeye mwenyewe akijui😂😂😂😂

  • @makameomar9229
    @makameomar9229 2 роки тому

    Tamthilia nzur yenye kulet nasaha kwa vijana wetu wa leo

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 2 роки тому

    Mke wa kwanza hafai,
    Fahad Aseme kaoa tuone mke wa kwanza ataamua nini
    Mfitinishaji kaptikana, mke wa pili atamjua tu fitna zake kwa sbb ana tawakkal kwa mola wake.

  • @awenajumasuleiman5759
    @awenajumasuleiman5759 Рік тому

    Mashalla nice 🥰🥰❤️♥️❤️♥️

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 6 місяців тому

    good movie

  • @nuwayirally1725
    @nuwayirally1725 2 роки тому +1

    Shukran sana Allah awabarik

  • @saadamohammed3426
    @saadamohammed3426 2 роки тому +5

    Mnaeka movie Sana inakua hainogi na ufatiliaji wake unapungua kwa watizamaji maana nyie wenyenu bado mko nyuma

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 роки тому +2

    Jaman msitucheweshe ya 11 tenaisubi kwa hamu san

  • @mwanaidibushuti9929
    @mwanaidibushuti9929 2 роки тому +1

    Mashall mashall hii thamtilia nazipenda Sana no 11 inshaall

  • @reymgen8921
    @reymgen8921 2 роки тому +1

    Mashaallh niliwamisi sana jaman

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 2 роки тому +2

    Mwanamme km huyu mm simtaki maana uwadilifu najuwa zeeero....

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 2 роки тому +2

    Nimeisubiri kwa mda mrefu Sana kwanin sasa hivi mnachelewesh hiv

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 2 роки тому +2

    Huyu shoga si shoga ....shoga mboga......loooh mganga tenaa

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 Рік тому

    Asanteni

  • @faridahally6314
    @faridahally6314 2 роки тому +1

    MASHAALLAH ALLAH AWAPE VIPAJI ZAID INSHAALLAH

  • @mariamebrahim3925
    @mariamebrahim3925 2 роки тому +5

    Mashaa Allah

  • @raqiamohd3879
    @raqiamohd3879 2 роки тому +3

    Tumewamic sana

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +1

    Nimecheka, mume ana waza kumuacha na mke anawaza wazeeke wote doo moto huu ila mko vizur sana

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shoga nae nahisi Anamendea😂😂😂😂😂😂😂du kwahali hii rukayya utanisamehe bure mpenzi nikiolewa sutaki ushoga wapika pakua dadek🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому

      @@swaumdodoma7591 wewe nafurahi kumbe unaniona

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 роки тому

      @@rukiaiddyyahaya9506 😂😂😂ehee

    • @rukiaiddyyahaya9506
      @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому

      @@swaumdodoma7591 daa hya bwana

  • @salmarashid3492
    @salmarashid3492 2 роки тому +1

    Munachelewesha mpka nasahau wallahy