ANTII NO : 10: TAMTHILIA YA MAADILI | OFFICIAL HD VIDEO | MASH TV | MADRASA SHOP TV ONLINE
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Hii ni moja kati ya tamthilia bora za maadili nchini Tanzania inayozungumzia maisha ya wanandoa pamoja na majukumu ya mke kwa mumewe
Endelea kufatilia chanel yetu ili uzidi kupata faida
SUBSCRIBE LIKE COMMENT SHARE
MASH TV
+255773 950 250
+255717 513 191
MASH TV
MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE
Shukran kwa muendelezo Allah awabarik pia msitucheleweshee tena
Antii mzuri wa sura mpk roho ma sha Allah😘
Hongereni Kwa kazi nzuri
Waaleykum salamu masha Allah mumetuletea ya 10 sasa sio masha allah mungu awatangulie mwatunza mno wanawake ktk hizi tamthilia
Mashaallah Allah awape wepesi kwenye kazi zenu
Shukran sana movie nzuri yenye mafunzo👌👌👌❤️
Assallam alleyqum warahmtullah wabarkatuh shukran sna kwa mafundisho yenu mazuri ila ushoga mwengine haufai wallah tuweni makini na mashoga na pia tunao olewa tuwajibike kwenye ndoa zetu uvivu auna laana💞
Mashaallah jaman barakallwahu fik Allah awaajalie umry mrefu wenye manufaaa muendelee kutupa vitu vya faidah ni kitu Khery wanawake wanadumu kwenye starah na kuna mipaka nidhamu ni ya hali ya juu kaka Fahady Allah akulipe sana nakukubali sana kaka angu
shukran but daaah mke kuogopwa hivo lakini Kazi mzuri mashallah
Mashallah nzuri Allah awazidishie kazi zenu nawapenda sana mwendelezo episode 11
Asanteni sana ila mwanamke haogopewi kiasi chote hicho, simama kiume na uwe na maamuzi ya kijasiri, natumai story mwisho wake mzuri.💞
hv wanaume kama fahad wapo kweli mmmh saa izi kashaachwa muda uyo
@@husnaally6776 wapo kama hao
@@nshimirimanabora180 mmh si dhani kama inakuwa ki kawaida tu mwanaume kweli umfanyie hvyo ila dah mwanamke wa aina hii kiboko sijui ata kama kafunzwa na sijui kalelewa vipi kwao
@@nshimirimanabora180 a subutuuuuu 😂 😂 😂 umpate wapiiii?
@@husnaally6776 mi sidhani kma wapo
Fahadi kaekti ana kichwa kigumu pia amefanywa msukule
Wow asante kw kutukumbukaa leo Allah awabarikiii
Walaikum salamu walahmatullah wabarakatu ira munatukawiza jamani Allah awabariki twawapenda fom 🇧🇮
Mashaallah! Allah awasimamie katika kazi hii nzuri, huyu shoga kumbe juhudi zote hizi yeye ndio wamtaka shemejie ? Yapo mtaani haya anajifanya akupeleke kwa mganga kumbe anaenda kuwafanyia nyie. Allah atunusuru na mashoga hawa kwenye majumba yetu
Yapo sana hayo dada mie binafsi Sina. Imani na shoga hata kidogo walishanivuruga
@@zainabzain3434 pole lkn mm nimeolewa nimestopisha maana kuolewa kwangu wameingia wivu
😅n
Ma sha Allah tamu Ila mnatuchelewesha Sana jamen
Mungu atunusuru na mashoga wanfki
Story nzuri lkin mbn hkun Ya 12
Mpo vizur sana endeleen kutuelimisha Kaz njema
Maashaallh tunawaomba musitucheleweshee tuleteeni ya 11
Munachelewesha sala
Asanteni Mash Tv jazakallah khayran
Antii nae pia ameshika y Rafiki
Maa shaa Allaah basi msicheleweshe tena
Jaman asant ni nzur sana,,,, msichelewe 11
Mashaallah hii kazi nimeipenda
Movie inanifunza sana sana sana ila Fahad kama huo ustahamilivu unao kweli kweli basi nakuombea kwa Allah uzidi kabisa ila ukumbuke subrah ina mipaka,,,,,,nawapemda washiri wote kwa kutuelimisha ktk mising ya dini yetu🥰
Uyo hakufai muache mpe talaka hajui sheria za mke icho kizingiti hakifai kingoe
Shukran Allah awafanyie wepec mucitwk san
Mashaallah allh awazidishe na azidi kuwafanyia wepesi katk kazi yenu ni nzuri sana kwakweli nawapenda wote
Allaahumma aamiin
Yaan nakereka anavyomng'ang'ania uyo mwanamke ah
Subra subrq
Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani 🙏 sana jamani sikumingi tulikuwa tunawamiss 💞💞💞
Walaykum Salam Warrahmatullah Wabarakat
Shukraaaan
Ni changamoto za Pesa ndiyo maana mambo hayaendi
Waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Waalykum msalam waramatullah wabarakatu
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Waalaykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh
Fahad fahad nakuita mara3 bora umuache bonge lkn sio bmdg kwakweli utapata tabu sana daah,
Hello....nafurahia sana kaz zenu!!! but nnaombi napenda pia nahitaji kua muislam but sijuh nianzie wap! plz
Mashallah ndugu yetu kwa kuona Nuru ya uislam, unachotakiwa kufanya huko huko ulipo unatakiwa kwenda Hadi msikitini ambako pako na karibu na wewe,, Kisha tafuta shekhe katka eneo Hilo na mueleze Nia yako ALLAH akufanyie wepesi
Ok asanteh dadangu nitajitahid kufanya ulichonielekeza..., Mwenyezi Mungu akuzidishien🙏🙏
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️nawapenda sana wajilani zetu
Mashaallh film hii ina mafunzo sn mashaallh
Hatimaye jmn,,tuliwasubiria kwa hamu kubwa sana
MashaAllah much love from 974 doha
MashaaAllah move ni nzuri
Mashaallah hongeren kwa kazi nzuri wapendwa Allah awazidishie kher zaid maana mi binafsi niliwamis sanaaaaa
Sannna tuuuu mbonaaa wako vizuriii
Allaahumma aamiin
Uko sawa kaka kwa mafunzo,,but mwanaume hupaswi kuwa muoga kiasi hicho kwa mkewo
Yaan mwanaume anamuogopa mkewe hadi inakeraaa
Mtihani shoga kama huyu ni mtihani kweli mungu tunusuru na watu kama hawa
Mashaa Allah tabaraka Allah hongereni Sana filamu nzuri Sana
Maashaallaah mbn ya 11 hanlte jmni
Mashallah mungu awatie nguvu zaid ktk kipaji chenu za kufunza jamii
Allaahumma aamiin
Nawapenda wote jaman :antii mashaallah kaz nzur san ❤️😘😍💓❣️🥰
NZURI JAPO MWACHELEWWSHA
Kwanza nimecheka sana leo mashallah 💖🥰😅😅
Jmn imeishia pazr dah natamani sahivi muiweke muendelezo
Asalam alaykum warahmatulah wabarakatuh naomba kuuliza je mna CD zake au
Tuliwamisi sana msicheleweshe sana banaa
Shukrani kwa kutukumbuka jamani 🙏
Mbona siioni part 11
Fahad ananichekesha wallah sio kumuogopa mke hivyo
Hy ss hv kweli kulogana wanawake kutaisha leo unaachwa sababu ya mke mwenzio mume amuogopa
Khaa yaan huyu shoga anaharibu kila upande 🙌🤣
Subhanallah😳 kumbe shoga mboga harakat zote zile nawe uko na Jambo lako🙄🙌
Asantee md umepita nilimiss
Mi naomba hii nasheed full plz "kwa nn kila siku anty"
Shukran sana Allah akuzidishieni
Maashallah inatufunza vyema
Mashaa Allah. Tuna wapenda. San😘😍
walayk ssalaam warahmatullah, mashaallah 👌👌🥰🥰🥰🥰
Shukuran sana kwa muendelezo 🙏
Mashallah mzur ila munachelewa sana
Nawapenda jamani Allah awazidishie
Shukrani Sana wapendwa
Kwanini kwanini kaswida yangu pendwa
Ila mnachelewesha
Mko vizuri maashallah
Mmm mnachelewa Sana
Mnachelewesha Sana jmn
Niliwamiss muda mrefu sana
asalam alaykum waramatula
h wabarakatuh asante sana kwakulitea part 10 allah wazidishie nyote
Yaan nmejikuta t nacheka 😂😂😂😂mashaallah ❤ naipenda hii Yaan raha tupu mbona waogopa tena kwa bi mkubwa
Km mm nimecheka jamani mtu amuogopa mkewe tatizo ilo😂
Manshaallah 🙏 tunashukur mungu
Hivi huyu fahad ana shida gan lakim😂
Mashallah nzuri
Masha wallah ila msicheleweshee km ivyoooo
Mashaallah na wimbo pia kaimba nani?? naupenda mnoo😍😍😍😍😍😍😍😘 Allha awafanyie wepes mtuletee part 11
Kweli umerogwa ukamuche mke aliye na mapenz na ww ukae na mke alokuwa hajui umuhim wa ndoa yake,mawazo ondoa broo
Mafundixho mazuri sana 🥰🥰
Maa sha Allah. Kazi nzuri
Mjomba love you 🤣🤣🤣🤣🤣tuwachunguze kwanza awo washauli .kumbe unashauliwa na mtu kasha utwika anachoongea yeye mwenyewe akijui😂😂😂😂
🤣🤣
🤣🤣
Tamthilia nzur yenye kulet nasaha kwa vijana wetu wa leo
Mke wa kwanza hafai,
Fahad Aseme kaoa tuone mke wa kwanza ataamua nini
Mfitinishaji kaptikana, mke wa pili atamjua tu fitna zake kwa sbb ana tawakkal kwa mola wake.
Mashalla nice 🥰🥰❤️♥️❤️♥️
good movie
Shukran sana Allah awabarik
Mnaeka movie Sana inakua hainogi na ufatiliaji wake unapungua kwa watizamaji maana nyie wenyenu bado mko nyuma
Jaman msitucheweshe ya 11 tenaisubi kwa hamu san
Mashall mashall hii thamtilia nazipenda Sana no 11 inshaall
Mashaallh niliwamisi sana jaman
Mwanamme km huyu mm simtaki maana uwadilifu najuwa zeeero....
Nimeisubiri kwa mda mrefu Sana kwanin sasa hivi mnachelewesh hiv
Yan niliimis hii inamafundisho mazuri
Huyu shoga si shoga ....shoga mboga......loooh mganga tenaa
Asanteni
MASHAALLAH ALLAH AWAPE VIPAJI ZAID INSHAALLAH
Allaahumma aamiin
Mashaa Allah
Tumewamic sana
Nimecheka, mume ana waza kumuacha na mke anawaza wazeeke wote doo moto huu ila mko vizur sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shoga nae nahisi Anamendea😂😂😂😂😂😂😂du kwahali hii rukayya utanisamehe bure mpenzi nikiolewa sutaki ushoga wapika pakua dadek🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@swaumdodoma7591 wewe nafurahi kumbe unaniona
@@rukiaiddyyahaya9506 😂😂😂ehee
@@swaumdodoma7591 daa hya bwana
Munachelewesha mpka nasahau wallahy