ANTII PT:7 | TAMTHILIA YA MAADILI | Official HD Video | Mash Tv | Madrasa Shop Tz
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Time zingine ukikosa utulivu kwa mkeo hukupelekea uonekane kama chizi hii yote sbb nyumbanihakuna utulivu
Tujitahidini wanandoa tupeane furaha ili ndoa zetu zidumu
Endelea kufatilia chanen yetu kwa faida nyingi
Cont:
+255773 950 250
+255717513 191
Mash tv
MKONO KWA MKONO MPAKA TUSHIKAMANE
Nyumba. Ndogo. Mupo. Hewani. Shikiriya. Sana. Ndoa. 👌👌🤝
Mashallh nzuri sana tamthilia hii ila muendelezo unachelewa sana
Madrasa shop natamani niwe nanyi napenda kuigiza filamu nzuri km hizi 💪🥰
MashaAllah. Shukran kwa burudani yenye funzo ndani yake tunaomba msiwe mnachelewesha sana
kwa kweli shukrani maan nilisubiria mpka nakata tamaa hatimaye kichupa hichi hapaa wel ✔ 👍
Masha allah ila inakawia sana mana tumesubiri kwa muda mrefu sana...shukran sana 🙏
Mashallah Fahad umejuwa kunifurahsha hui ndodawa ya walewote wasio jielewa
Shubamiti 🤣🤣🤣💪angekua wangu nilishapigwa Kofi
Mnakaa Sana mnaichelewesha tunasubir sanaa
We Mdada punguza Kula umenenepa vibaya taya km tembo ila mashallah movie nzr sana
Mashallah ni nzuri sana na ina mafudisho ya dini ndani yake samahani kwa hili kama mutaweza musi kicheleweshe sana mana twa subiri kwa hamu sana
Nzr ila tatizzo bado lile lile na hamtaki kulirekebishaa
Mnachelewesha sanaaaa......yani hapa kila nkija likizo nd mnaweka ep mpya ss hio sio kaziii...mjitahidiiiiii
Mnashusha brandiii maaan watu mpaka tunasahau kama kuna kitu kinaitwa antiiiii
Fahad nakupend Bure kwa ajili ya Allah jomon Allah akufanyie wepes
Kwnnn kwnnn kila kitu Antiiii!!??
Mmmmhh kwakwel mwanipa somo nyieeeeeeee ❤❤❤❤❤
Sio mke mke huyo balaa tupu Mwenyezi Mungu atuepushie na hayo
Mashaallah shukuran sana ilaa munachelewesha sanaa🙏😘😘
Mke mdogo hongera sana vzr sana
Nzuri inatufundisha sir wanawake naifatilia saana na niliisubili kwa hamu toka mwezi wa kumi ahsantee
Jaman nimefurah kuileta filam hii.. naipenda sana.. pia mpo vizur.. mashaallah
Maa shaa llah fahad umeoa au baado ....maan
Mashallah tunatkw tuchukue mafunzo kutkn na hii filam
Masha Allah nzur kweli jaman muendelezo au ndo mwisho hapo
Maa shaa llah funzo kwa wenye masikio na uelewa mume ataka malezi 💕💕💕
Mashallah shukran kwenu tulisubir kwa hamu 🤗🌷
I love anti
Nimeisubiri kwa hamu sana Shukran vipenzi kwa kazi nzuri
Wedada ww mungu anakuona unatuaibisha bana acha usaidiwe umeshindwa mwenyewe
Mashaallah shukran sna tulisubria snaa hii episode
Ma shaa Allah.. Ombi tu kwenu, msiisubirishe mda mrefu. Watu hadi wanakua na hamu nayo jaman...
Mashaallah Ni nzur Sana .
Subhallah Allah kuna wake kama hawo kweli
Mko vizuri ila mnazingua film anakaa mda mrefu sana mpaka tunasahau tulipoishia
Waaao co boss wangu ni mke mwenzangu
Nimechekaa sana huyu mwalabu polii anavyomwambiaa moyoni moja kwamojaa
Shukran na tunayajali maoni ya kila Moja na tutazifanyia kazi ishallah
Maa shaa Allah ila mke mkubwa jifunze kuish na mume
Mwendelezo pleass mashaallah nzur
Eti niliwache tu🤣🤣🤣ukishakuwa bonge bwanaaa hayaaa tu Mungu atusaidie vibongeeee
Kwanini jamani mwachelewesha hivi nzuri Sana ila mwakaa Sana kweli
Shukran ni nzuri sana tunasubiri na nyengine
Bi mkubwa ni nomaa yaani mdomo kama chuchunde🤣🤣🤣🙌🙌
Duh Allah anijaalie niwe make mwema kwa mume wangu mtarajiwa
Napenda wanavoitana mumewangu na mke wangu ilihali hawapatani
Allah aniajalie kuwa mke bora kwa mwanamume atakae niajalia
Muwe muma tuleteya zingine ep haraka manshallah ni nzuri
Antii nae yupo vzur
Mmmh mumetutia hamu yaani heee patamu apo kahawa chungu kweli hiyo cpati picha😀
Shukrn sana mwendelez
Da!!! Ummeturum imekata patam maaana da!!
Muendelezo tafadhali mana tunasubili Kwa ham tunawafwatiliya Sana from Australia yani mnajuwa Ku act
Mashaallah kila siku nilikuwa naingia yuetube kuangalia kama ipo tayari shukran
maaashaallah barakallahu fiikum fanyani hima mtultee msicheleweshe
Mashaallah tuliiisubir kw ham zote ak tunapata mafunzo kw xaan hongereni xan washiriki wote
Mashaallah jomon msicheleweshe bas nawapenda sana
Manshallah tabarakallah 🥰🥰🥰🥰🥰mnazidi kutuburudisha🤝
Maa shaa Allah,, Allah awalipee kherii jmn tuliisbr had tukasahauu walah ila tunaskur kutuluteaaa muendlezooo
Mashaallah movie nzuri ila msichelewe jmni 🙏
Mashallah nice movie
Mnakaa muda mrefu sana toeni next yake wiki ujayo jamani kazinzuri sana
Kazi nzuri aana wapendwa
Mashaallah 🙏 penda sana na niliisuburi sana
Mambo ni moto mashaallah t unasubilia ya 8 inshallah
Najifunza kuishi na mwanaume wangu vzr
Yaaan uyu dasalma ata huruma hanaa anasem asaaa babu puuu hahahahah! Kwa kwely tamthilia ni nzuri tena ina mafunzo shukran kwenu pia tunahamu ya kujua mwisho wa yoteee kwa uwezo wa Allah
Mwendelezo usichelewe sana tafadhali
Maashaallaah hii ina fundi sha hasa
Naipenda san hii tamthilia lakin.inachelewa sana jaman
Waooo asante sana kwa muendelezo
17:15 waleykum msalam ,cheichei 🤣🤣🤣🤣🤣 wake wawili 🙌
Nimechelewaa jamani ilaa siyo mbaya mambo ni 🔥🔥nawapenda sana ant na fahdi😘😘😘❤️❤️
❤❤
marshall ela nmeesubiri sn kwa hamu mumechelewa sn
Dah nimeisubiri sanaaaa
Maashaallah munatucherewashea mpaka twasahsu
Niliisubir jamani mungu azid kuwaezesha
Yaani huyu dada cjui nimzungumzie nini jamanii kaaaah mungu wangu niepushe na hiki kikombe
Mashaallah nzuri sana💕💕 ila muwe mnawahi na pia episode ziwe ndefu ndefu maana ujumbe kidogoo mda mnauvuta sana. Mtu anawaza mda mrefuuu mara anatembea sehem ndeefuu mpaka unaivusha mbele mfupishe vitu visivyoo na umuhimu ili kidogo movie iwe na ujumbe mrefu mzuri na isichoshe watazamaji......
Mwendelezo jamanii
insha allah
Ichi kibinti nakipenda kiko vizur Mashaallah
Jamani nzuri ila msichelewa ivo
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH MWENYEZI MUNGU awazidishie kwa kuleta filamu hii inayo ilimisha wengi
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh ya habbty #Zed..vp hali yako
@@bentybenty2343 Alhamdulillah nashukuru mi mzima habibty hofu kwako
@@زينببنتسعيد-د9ح waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Movie mnaichelewesha sana alaf pia mnarembesha sana
Mashallah asnten kwa kutuletea muendelezo lkn mbn mumeikata pazuri haya tuambieni sehem ya 8 tukae mpk lini mana hii movie nzr lkn mnaichelewsha🥺🥺
Mwezi wa 3 mwishoni
🤣🤣chei chei malhaba shikamoo jmn matala 🙌
Waooh hakika tumefurahi
Munatucerewesha namunatupa kadogo🙆♀️🙆♀️
Heee!mtumeee weeee!
Nimeipenda hiyo kaswida
Tamthilia hii inanifanya niishi na mume wang vizuri mashallah hasbunallah
@@sanaiyyaabdallah2874 mkiwa na wafanyakaxi nyondo kiiiibaooooo wakati mume au mwanaume hana makazi maalum
Mie natamani ndoa ya ukewenza
Sana tuuuu
@@heyumi2340 😂😂
@@khadijahali4837 😂😂😂😂mwanamke akiolewa hujiona kayapatia maisha na wanaume wetu waswahili
Nilikuwa naisubr kwa ham part ya saba mashallah
Mashaallah ❤ niliisubili kwa hamu jaman
Mashallah.toeni vipindi nyingi zaidi
Maashaallah
Very nice from South Africa 🇿🇦
Mashallah
Mzuri lkn mbona mwakaa sn
Shukran sana tumengojea sana huku NewYork..tabarkAllah
Mashallha Shukurani nliingoja kwa hamu🥰🥰🥰
Msichelewe bas muendelezoo
🤣🤣🤣mume anataka amng'ate mke jmn allh a2nusulu 🙌
Naangalia nikiwa Oman ...ila wapendwa mnachelewesha sana
Ma aasha ALLAH very nice watching from kazikastani
Subhanallah mke uyu kakosa maadili anamtukana mumewe utadhan mwanawe toba
Mume nae kimyaaa, ndo mana anadharaulika
mumeo........kaowaaaaa
Jamani mnatucheleweshea tunasahau fanyeni upesi