ALLAH(S.W) atuondolee fitna ya Simu na internet maana ndoo chanzo kikuu cha waja wa Allah(s.w) kusahau na kujawa na uvivu wa kuleta istighfar.....Allahu akbar..
Allah azidi kutuhurumia waja wake na atuongoze na azilainishe nyoyo zetu na azifanye nyepesi kwa kumtaja yeye na kumshukuru zaidi.Ila kuna sehem kidogo yanichanganya sheikh wangu"Wasema Nabii.Yunus,baada ya kuwaambia watu wake watafikwa na balaa baada ya siku 3,halafu haikutokea ndipo akaamua kukimbia.Na kuna sheikh mwingine aliwahi kusema yakua,Nabii.Yunus kutokana na watu wake alipokua akiwakataza kufanya maovu wanakataa.Hatimae akakasirika na akaamua kuondoka,kwa kua hawataki kumsikiliza,ili watapo fikwa na balaa yeye asiwe miongoni mwao!Hapo ndipo nashindwa kuelewa kidogo,naomba nifafanuliwe zaidi,nami nia yangu si kwamba napinga unacho ongea,bali nahitaji nifaham zaidi.Samahani kwa hili
Hawa watu wasiopenda hii video ni kina nani? 1.Makafiri 2.Wachawi 3.Watumishi wa shytani 4.Maadui wa Mwenyezi mungu 5.Watu wasiopenda kusikia jina la mwenyezi kutajwa 6.Wachawi wasiopenda kurudi kwa mungu mlezi
@@africa7479 michango kama wapo ktk harusi. Wengine wanafikia mpk kuwaambia wafuasi wao walete nusu ya mshahara wao.🤔🤔 Huko america ndio usiseme wanafikia mpk kuwafosi wafuasi wenye kipato cha juu wakae mbele wenye kipato cha kati wakae katikati na wale kina sisi walala hoi wanatukanwa kila siku wakienda huko kuaomba mungu. Utasikia nyie mliokaa nyuma zaidi ni aje hawa wawe na pesa nyie hamna? Dua zenu hazikubaliwi sababu ya umaskini wenu na ubahiri wa kutoa. .Subhannallah
ALLAH(S.W) atuondolee fitna ya Simu na internet maana ndoo chanzo kikuu cha waja wa Allah(s.w) kusahau na kujawa na uvivu wa kuleta istighfar.....Allahu akbar..
swadaqt hizo ndio zimetupotosh vakubwa kwa wadogo
Ni kweli kaka
Amin
Aamin Yaa Rabb.
Sadaqta maneno yako.
@@maymunahomar5016
Shukran ukhtie
LAILLAH ILLA ANTA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMINA
Allah akupe umri mrefu wenye kheri na Baraka Cheikh wetu ,akupe mema duniani na kesho Akhera
Allah Akbar💚MashaaAllah💚Saum Maqboleen💚Ramadhan Mubarak💚Baarakallah Fekum💚
Shukran kwa mafundisho yako mashallah mashallah mashallah 🤲
Hii dua ni nzto sana WALLAH!! ALLAHU AKBAR!! Ukiisoma kwa yakin biidhiLlah unafanikiwa
Allah akulipe sheikh wetu kwa fikra nzuri kabisa ni kweli kabisa
Allahumma Aamin.
Huyu ni lmamu safi sana kama maimamu wote wagekuwa kama weye manshaaalallllah
Alhamdulillah shukran tumefaidika maashaAllah
yaani Shekhe kama uliniona allah akupe kila la kheri akhera na duniani asante
Sheikh Allah akubariki na kila la kheri dunian na kesho Akhera.
Uzd kutuelmsha.
Masha allah. Ahsante sheikh kwa ukumbusho mzuri
Lailahaila anata subhanaka innikuntum minadhwalimina...
Shukurani. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri dunia mpaka akhera kwa kutuandikia hii dua
Jazaka Allah kheri
Shukraan sana Sheikh kwa mawaidha yako. Allah (SWT) atuongoze tufuate yalo mema. Aamin.
ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN
Lailaha illa anta subhanaka inni kuntum minadhwaliimin
Masha Allah
Mashalah mwenyezi mungu akupe Maisha marefu
ALLAHU AKBARU
Shukran sana Shaykh
Baaraka Allahu fiyka
سُبْحَانَ ٱللَّٰهِ
ماشاءالله
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah
Mashaallah tabarak allah kweli kabisa shekh wangu, sisi islamu tuwavivu lkn mungu atuepushe
Wallahi ni kweli kabisa hii dua ninaiamini sana kila ninapokuwa kwa msiba wowote ninaisoma hii dua na inanisaidia sana
Mashallah shekhe ALLAH akuzidishie kheri dunian na kesho akhera
Allah akupe kheri
MashaAllah, May Allah grant you jannah
MaashaAllah
Amiin
Jazaka Allah khaira shekh
Shukran sheh
Allhamdulilah
Allah azidi kutuhurumia waja wake na atuongoze na azilainishe nyoyo zetu na azifanye nyepesi kwa kumtaja yeye na kumshukuru zaidi.Ila kuna sehem kidogo yanichanganya sheikh wangu"Wasema Nabii.Yunus,baada ya kuwaambia watu wake watafikwa na balaa baada ya siku 3,halafu haikutokea ndipo akaamua kukimbia.Na kuna sheikh mwingine aliwahi kusema yakua,Nabii.Yunus kutokana na watu wake alipokua akiwakataza kufanya maovu wanakataa.Hatimae akakasirika na akaamua kuondoka,kwa kua hawataki kumsikiliza,ili watapo fikwa na balaa yeye asiwe miongoni mwao!Hapo ndipo nashindwa kuelewa kidogo,naomba nifafanuliwe zaidi,nami nia yangu si kwamba napinga unacho ongea,bali nahitaji nifaham zaidi.Samahani kwa hili
Shukran sana
Amin
Mwenyezimungu atupe mwisho mwema inshaallha
Jazak ALLAH khair
Mashallah
Kwel tupo nyuma sanaa wallah tunaandaafia sana mambo ya kipuuzi....
MashaAllah
Shukran sheikh
Baraka Allah fikum
Alhamdulillah. Mashallah sheikh
Sina shaka na Surat l waaqia huwa naisoma nikiwa sina hela basi hata inapotokea pesa inakuja leo!umeniongezea jengine la dhikri ahsante Sheikh
😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
@@zayyatiyussuf9566 sasa zayyat unacheka nini mama? hahahahahahahahh
@@wahidkombokhamis4330 Yani kanifrahisha👆Yani weacha tu
@@zayyatiyussuf9566 una visa ww hahhahahahhahahahahahahhaah
Mashaallah sheikh upo vizl sanaa
Maashaa Allah
Hawa watu wasiopenda hii video ni kina nani?
1.Makafiri
2.Wachawi
3.Watumishi wa shytani
4.Maadui wa Mwenyezi mungu
5.Watu wasiopenda kusikia jina la mwenyezi kutajwa
6.Wachawi wasiopenda kurudi kwa mungu mlezi
Wamekufuru hawa watu
Wana wivu na dini yetu ya haki, kwenye din zao hakuna haya, utasikia toa elf kadhaa mungu akusamehe au akupe kitu filan
@@africa7479 michango kama wapo ktk harusi. Wengine wanafikia mpk kuwaambia wafuasi wao walete nusu ya mshahara wao.🤔🤔 Huko america ndio usiseme wanafikia mpk kuwafosi wafuasi wenye kipato cha juu wakae mbele wenye kipato cha kati wakae katikati na wale kina sisi walala hoi wanatukanwa kila siku wakienda huko kuaomba mungu. Utasikia nyie mliokaa nyuma zaidi ni aje hawa wawe na pesa nyie hamna? Dua zenu hazikubaliwi sababu ya umaskini wenu na ubahiri wa kutoa. .Subhannallah
Insha Allah tutapigana vita na Iblis ili tumkurubie ALLAH🤲🤲🤲🇰🇪
Shukran
MashaAllah, JazakAllah Khairan
Mashaallah Allah atupe wepesi
MSHAALLAH shukurn ALLAH bariq
Shukran wajazakumullah kheir
Subhanallah
Shukran shekhe
M@shaallah
Sante kwa ukumbusho
Nikweli kabisa waisl am tumekuwa wavivu sn2 wà DUA
Shukran shekhewetu tutayafanyia kazi
Shekh yupo vyema
Astaghafirullah kwa uvivu tulionao, Allah tuongoze tuwe wenye kushikamana na dua kwa wingi ili tupate rahma zako
shukuran
Ameen Yarrab
Allahuma Aamin
Amiin ya Rabbi allamiin
pia Masheikh wengine wanasema shirki tukiweka nia sasa hatujuwi sahihi Subhanallah akili vichwani mwetu
Mashaalaa
vidonge vyetu bila daku shukran sheikh kwa ukumbusho
Kweli sheikh ss tuuwavivu wa kuleta duwaaa.
Maashaallha sheikh
Mashaallah
Allah atuezeshe
Shekhe unasema kweli kabisa,
kweli shekh wetu ss tuko nyum na mambo ya khere
Msikitini angebakia saimu gwao tu
Yote kweli...
Sheikh je kama hujui kuisoma suratul Waqia ila kuisikiliza pia iko na faida ama?
Nice
Swadakta shehe
URADI HUU KWA UKAMILIFU WAKE NI MARA NGAPI,MUDA GANI NA KWA SIKU NGAPI
Haina idadi yyt usome kwa uwezo wako t
Shukulan
Msikitini tusingezidi watu 10
..
Ila waumini weng hawajui kukaa kwa adabu nakumcklz Shekh wapoapo tu kama wapo kijiwen
Masha Allah
Mashallah
Mashaallah
Shukran
Mashallah
Masha Allah
Mashaallah