WALLAH UKISOMA DUA HII TATIZO LOLOTE LITAKUTOKA ..OTHMAN KHAMIS ramadhsn ya 16

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 113

  • @ramamohammed1438
    @ramamohammed1438 4 роки тому +39

    ALLAH(S.W) atuondolee fitna ya Simu na internet maana ndoo chanzo kikuu cha waja wa Allah(s.w) kusahau na kujawa na uvivu wa kuleta istighfar.....Allahu akbar..

  • @nipoassia6188
    @nipoassia6188 3 роки тому +3

    LAILLAH ILLA ANTA SUBHANAKA INNI KUNTU MINADHWALIMINA

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 роки тому +12

    Allah akupe umri mrefu wenye kheri na Baraka Cheikh wetu ,akupe mema duniani na kesho Akhera

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 4 роки тому +8

    Allah Akbar💚MashaaAllah💚Saum Maqboleen💚Ramadhan Mubarak💚Baarakallah Fekum💚

  • @sifaayyldz6040
    @sifaayyldz6040 4 роки тому +7

    Shukran kwa mafundisho yako mashallah mashallah mashallah 🤲

  • @salmabaidu7849
    @salmabaidu7849 4 роки тому +6

    Hii dua ni nzto sana WALLAH!! ALLAHU AKBAR!! Ukiisoma kwa yakin biidhiLlah unafanikiwa

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 4 роки тому +12

    Allah akulipe sheikh wetu kwa fikra nzuri kabisa ni kweli kabisa

    • @maymunahomar5016
      @maymunahomar5016 4 роки тому

      Allahumma Aamin.

    • @omarjumanne6744
      @omarjumanne6744 4 роки тому +1

      Huyu ni lmamu safi sana kama maimamu wote wagekuwa kama weye manshaaalallllah

  • @rukiaomar2560
    @rukiaomar2560 4 роки тому +2

    Alhamdulillah shukran tumefaidika maashaAllah

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 роки тому +6

    yaani Shekhe kama uliniona allah akupe kila la kheri akhera na duniani asante

  • @jumaahmad4117
    @jumaahmad4117 4 роки тому +3

    Sheikh Allah akubariki na kila la kheri dunian na kesho Akhera.
    Uzd kutuelmsha.

  • @adamjb1026
    @adamjb1026 4 роки тому +12

    Masha allah. Ahsante sheikh kwa ukumbusho mzuri

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +6

    Lailahaila anata subhanaka innikuntum minadhwalimina...

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      Shukurani. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la kheri dunia mpaka akhera kwa kutuandikia hii dua

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Рік тому

    Jazaka Allah kheri

  • @maymunahomar5016
    @maymunahomar5016 4 роки тому +5

    Shukraan sana Sheikh kwa mawaidha yako. Allah (SWT) atuongoze tufuate yalo mema. Aamin.

    • @fabssaleh7273
      @fabssaleh7273 11 місяців тому

      ALLAHUMMA AMEEN WA JAZAKALLAHU KHAIRAN

  • @nasramussadaudi
    @nasramussadaudi 5 місяців тому

    Lailaha illa anta subhanaka inni kuntum minadhwaliimin

  • @abdinurabdi4399
    @abdinurabdi4399 4 роки тому +6

    Masha Allah

  • @mariam1chuwa542
    @mariam1chuwa542 4 роки тому +3

    Mashalah mwenyezi mungu akupe Maisha marefu

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 4 роки тому +2

    ALLAHU AKBARU
    Shukran sana Shaykh
    Baaraka Allahu fiyka

  • @mustakeemrafiksatya7311
    @mustakeemrafiksatya7311 4 роки тому +7

    سُبْحَانَ ٱللَّٰهِ
    ماشاءالله

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 4 роки тому +3

    Shukran wajazaka llahu Heri inshallah

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 4 роки тому +9

    Mashaallah tabarak allah kweli kabisa shekh wangu, sisi islamu tuwavivu lkn mungu atuepushe

  • @begumbutt3330
    @begumbutt3330 4 роки тому +2

    Wallahi ni kweli kabisa hii dua ninaiamini sana kila ninapokuwa kwa msiba wowote ninaisoma hii dua na inanisaidia sana

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 4 роки тому +1

    Mashallah shekhe ALLAH akuzidishie kheri dunian na kesho akhera

  • @zamdinkilala8790
    @zamdinkilala8790 4 роки тому +4

    Allah akupe kheri

  • @afrahalbusaidi4816
    @afrahalbusaidi4816 4 роки тому +4

    MashaAllah, May Allah grant you jannah

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 4 роки тому +2

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @tukaezuberi8513
    @tukaezuberi8513 7 місяців тому

    Shukran sheh

  • @ramadhanially6613
    @ramadhanially6613 4 роки тому +5

    Allhamdulilah

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 4 роки тому +5

    Allah azidi kutuhurumia waja wake na atuongoze na azilainishe nyoyo zetu na azifanye nyepesi kwa kumtaja yeye na kumshukuru zaidi.Ila kuna sehem kidogo yanichanganya sheikh wangu"Wasema Nabii.Yunus,baada ya kuwaambia watu wake watafikwa na balaa baada ya siku 3,halafu haikutokea ndipo akaamua kukimbia.Na kuna sheikh mwingine aliwahi kusema yakua,Nabii.Yunus kutokana na watu wake alipokua akiwakataza kufanya maovu wanakataa.Hatimae akakasirika na akaamua kuondoka,kwa kua hawataki kumsikiliza,ili watapo fikwa na balaa yeye asiwe miongoni mwao!Hapo ndipo nashindwa kuelewa kidogo,naomba nifafanuliwe zaidi,nami nia yangu si kwamba napinga unacho ongea,bali nahitaji nifaham zaidi.Samahani kwa hili

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 4 роки тому +2

    Shukran sana

  • @juniorjuma6884
    @juniorjuma6884 4 роки тому +1

    Mwenyezimungu atupe mwisho mwema inshaallha

  • @namatajoy22
    @namatajoy22 4 роки тому +1

    Jazak ALLAH khair

  • @AbdullaAbdulla-pw5nd
    @AbdullaAbdulla-pw5nd 4 роки тому +2

    Mashallah

  • @mudysule6870
    @mudysule6870 4 роки тому +4

    Kwel tupo nyuma sanaa wallah tunaandaafia sana mambo ya kipuuzi....

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 4 роки тому +3

    MashaAllah

  • @saraahmed6413
    @saraahmed6413 4 роки тому +1

    Shukran sheikh

  • @dhulhijahabubakar7778
    @dhulhijahabubakar7778 4 роки тому +3

    Baraka Allah fikum

  • @jubeyrtvliterarymaterials9689
    @jubeyrtvliterarymaterials9689 2 роки тому

    Alhamdulillah. Mashallah sheikh

  • @PAZI_TV
    @PAZI_TV 4 роки тому +7

    Sina shaka na Surat l waaqia huwa naisoma nikiwa sina hela basi hata inapotokea pesa inakuja leo!umeniongezea jengine la dhikri ahsante Sheikh

  • @mudysule6870
    @mudysule6870 4 роки тому +5

    Mashaallah sheikh upo vizl sanaa

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 4 роки тому +2

    Maashaa Allah

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 роки тому +8

    Hawa watu wasiopenda hii video ni kina nani?
    1.Makafiri
    2.Wachawi
    3.Watumishi wa shytani
    4.Maadui wa Mwenyezi mungu
    5.Watu wasiopenda kusikia jina la mwenyezi kutajwa
    6.Wachawi wasiopenda kurudi kwa mungu mlezi

    • @rahmaomary5134
      @rahmaomary5134 4 роки тому +1

      Wamekufuru hawa watu

    • @africa7479
      @africa7479 4 роки тому +2

      Wana wivu na dini yetu ya haki, kwenye din zao hakuna haya, utasikia toa elf kadhaa mungu akusamehe au akupe kitu filan

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 4 роки тому

      @@africa7479 michango kama wapo ktk harusi. Wengine wanafikia mpk kuwaambia wafuasi wao walete nusu ya mshahara wao.🤔🤔 Huko america ndio usiseme wanafikia mpk kuwafosi wafuasi wenye kipato cha juu wakae mbele wenye kipato cha kati wakae katikati na wale kina sisi walala hoi wanatukanwa kila siku wakienda huko kuaomba mungu. Utasikia nyie mliokaa nyuma zaidi ni aje hawa wawe na pesa nyie hamna? Dua zenu hazikubaliwi sababu ya umaskini wenu na ubahiri wa kutoa. .Subhannallah

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 роки тому +2

    Insha Allah tutapigana vita na Iblis ili tumkurubie ALLAH🤲🤲🤲🇰🇪

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 роки тому +3

    Shukran

  • @moridohome4790
    @moridohome4790 3 роки тому

    Shukran wajazakumullah kheir

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 4 роки тому +1

    Subhanallah

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 роки тому +1

    Shukran shekhe

  • @husnaally9391
    @husnaally9391 4 роки тому

    M@shaallah
    Sante kwa ukumbusho

  • @aminamtawila1889
    @aminamtawila1889 4 роки тому +5

    Nikweli kabisa waisl am tumekuwa wavivu sn2 wà DUA

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 роки тому

    Shukran shekhewetu tutayafanyia kazi

  • @AbdulAbdul-vp2np
    @AbdulAbdul-vp2np 4 роки тому +17

    Astaghafirullah kwa uvivu tulionao, Allah tuongoze tuwe wenye kushikamana na dua kwa wingi ili tupate rahma zako

  • @hudhud2022
    @hudhud2022 4 роки тому +2

    pia Masheikh wengine wanasema shirki tukiweka nia sasa hatujuwi sahihi Subhanallah akili vichwani mwetu

  • @aminagau3344
    @aminagau3344 4 роки тому +1

    Mashaalaa

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 роки тому +3

    vidonge vyetu bila daku shukran sheikh kwa ukumbusho

  • @mohamedmjange5585
    @mohamedmjange5585 2 роки тому

    Mashaallah

  • @mohamedisultani8163
    @mohamedisultani8163 2 роки тому

    Allah atuezeshe

  • @aishasaidchekeche9262
    @aishasaidchekeche9262 4 роки тому +3

    Shekhe unasema kweli kabisa,

  • @shuhaidaomar3347
    @shuhaidaomar3347 4 роки тому +2

    kweli shekh wetu ss tuko nyum na mambo ya khere

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 роки тому +2

    Msikitini angebakia saimu gwao tu

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 роки тому +4

    Yote kweli...

  • @abdallahjuma1176
    @abdallahjuma1176 3 роки тому +1

    Sheikh je kama hujui kuisoma suratul Waqia ila kuisikiliza pia iko na faida ama?

  • @akramwalong5370
    @akramwalong5370 4 роки тому

    Nice

  • @faruquesumail4465
    @faruquesumail4465 Рік тому

    Swadakta shehe

  • @allykassim819
    @allykassim819 4 роки тому +5

    URADI HUU KWA UKAMILIFU WAKE NI MARA NGAPI,MUDA GANI NA KWA SIKU NGAPI

    • @lutyali4964
      @lutyali4964 4 роки тому +1

      Haina idadi yyt usome kwa uwezo wako t

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 роки тому +1

    Shukulan

  • @abukarhassan2663
    @abukarhassan2663 4 роки тому +1

    Msikitini tusingezidi watu 10

  • @maimunarupia4773
    @maimunarupia4773 4 роки тому +1

    ..

  • @saidimrisho883
    @saidimrisho883 4 роки тому

    Ila waumini weng hawajui kukaa kwa adabu nakumcklz Shekh wapoapo tu kama wapo kijiwen

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 роки тому +4

    Masha Allah

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani4641 4 роки тому +1

    Mashallah

  • @bibasulesh7866
    @bibasulesh7866 2 роки тому

    Mashaallah

  • @queenmaya8022
    @queenmaya8022 4 роки тому

    Shukran

  • @ashasalim5967
    @ashasalim5967 4 роки тому +1

    Mashallah

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati7456 4 роки тому +3

    Masha Allah

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 роки тому

    Mashaallah