Alhamdulillah sheikh othman khamis mawaidha haya ni muhimu sana na wengi kati ya waumini hawayafamu,inatakiwa mbinu na mkakati ili elimu hii iwafikie wanandoa na wanaotarajiwa kuingia ktk ibada hii,matatizo yaliyopo leo ktk ndoa haya ndio majibu yake, aksante sana sheikh othman khamis pamoja nawe sahib yangu kipenzi saimu gwao allah swt awalipeni badala insha allah,
Mm sisubir kuona kwenye mitandao mambo mazur kama haya ya kuelimisha kbs kila ijumaa nipo msjd mtororo napata mambo live kbs alhamdulillah masha Allah sheikh wetu Allah akupe afya njema.
Ma sha Allah Ya Allah wajaalie wake zetu watutii Wasipate Lahna Shuqran sheikh wa ilmu Allah atakulipa jaza yako Waume nasi tutulie tuwatimizie haja zao wake zetu
Asante kwa darasa zuri maana kuna waume wengine hawajui wajibu wake kwa mkeo yaan mke kutafuta riziki ya kula yeye anakwambia mm ni kusimamia masuala ypte msikitini yy muda msikitini
Ivi sheikh uyo mwanaume kama haya yote anakufanyia ila ikawa akusikizi kwa mfano anarudi nyumbani ucku anakujibu ww mke una tatzo tatzo nin kma kula kulala kuvaa unakul ttzo nin tna unatak ivi kweli sheikh hapo kweli ni sheria
Mashallah ya sheykh
Tunaomba hii mada ya ndoa iwe endelevu uwe ni ukumbusho wakawaida mpaka mwisho wa umri wetu mpaka kisimame kiama
madayandoa
True sheikh I am Christian bt I love musilam teaching ndoa
Mashaallah jazaakallah khayr inshaallah ukumbusho umetufaa sie waumini allah azidi kukuhifadh inshaallah
MASHA Allah sheikh nakupenda saan kwaajili ya Allah
Alhamdulillah sheikh othman khamis mawaidha haya ni muhimu sana na wengi kati ya waumini hawayafamu,inatakiwa mbinu na mkakati ili elimu hii iwafikie wanandoa na wanaotarajiwa kuingia ktk ibada hii,matatizo yaliyopo leo ktk ndoa haya ndio majibu yake, aksante sana sheikh othman khamis pamoja nawe sahib yangu kipenzi saimu gwao allah swt awalipeni badala insha allah,
Mashaalla mungu akuweke sheikh uzidi tukukumbusha katika majukumu yetu kina mama kwasababu tunajisahau sana
Asante maalmu kwa ukumbusho Allah atakulipa
Mm sisubir kuona kwenye mitandao mambo mazur kama haya ya kuelimisha kbs kila ijumaa nipo msjd mtororo napata mambo live kbs alhamdulillah masha Allah sheikh wetu Allah akupe afya njema.
naomba tutumie namba zako
vzur sana shekh
Masha Allah M/mungu anijalie mume mchamungu tuje tupeane haki hizi
Shukran
Masha Allah sheikh very true ...Allah atulipe kheri kwa sote na atupe subra katik ndoa zetu inxhll
Ameen
Ma sha Allah
Ya Allah wajaalie wake zetu watutii
Wasipate Lahna
Shuqran sheikh wa ilmu
Allah atakulipa jaza yako
Waume nasi tutulie tuwatimizie haja zao wake zetu
Inshaalla
Alla Yuki nas
mashallaah
Ixhaallah
Tungeishi hivi kwa mke na mme hakuna ndoa ambayo ingevunjika ''asante kwa nasaha nzuri" ubarikiwe
MashaaAllah kwa mawaitha mazuri sheik wetu
Am a Christian but I love this
L
Karibu katika uislamu.
Karibu ndugu kundini kwetu
Mashallah
Mashaallah mungu akutunze inshaallah
Mashalla Allah azidi kukupa ufahamu zaidii
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akulipe kher sheikh jazakallah khaira
Mungu akuweke maisha marefu
Manshaallah, hua ninamkubari Sana huyu shekhe kwa mawaidha yake.
MashaAllah jazakAllah ❤❤sheikh
Allah akutangulie kwakila Jambo shekh mana wake kukaanao bila kuwakumbusha hakikanimtihani kwakizazi chasasa
MASHAALLAH TABARAKAALLAH MOLA AKUZIDISHIE ILMU SHUKRAN.ALLAH AKUBARIK
Mashekhe mnajitahidi saaaaana kuwaelimisha Hawa viumbe! Tatizo hawazingatii wamejawa na viburi!!!
Asante kwa darasa zuri maana kuna waume wengine hawajui wajibu wake kwa mkeo yaan mke kutafuta riziki ya kula yeye anakwambia mm ni kusimamia masuala ypte msikitini yy muda msikitini
Shukran kwa mawaidha mazur mungu akulinde uzid kutufundisha inshaalah
Vizuri sana sheykh Allah akubariki insha allah
Mashaallah somo zuri sana hakika nimejifunza zaidi
MashaAllah, tumejifunza sana Allah akubariki InshaAllah
Mashallah sheikh othman
Alihamdulillah kwa mawaiza mazur🥰🥰
maashaallah maashaallah nimejifunza kitu 🙏🙏
Amen kiukwel nimejifunza
Jazzakkallah kheir😘😘🙏Allah akujaze kheir sheikh wetu🤲🤲
Mm Ni mkristo lakn napenda mawaiza ya huyu shehe mwenyezi mungu akujalie
Karibu sana kwenye nuru ya uislamu
mashallah
1- othman maalim
2-othman machiel
3-othman khamis
Mashallah mashallah mashallah
Othuman maalim
H
Wanajitahid sn allah awawek
Mimi ni mkristo lakini nimekuelewa sana sheikh wangu,,barikiwa sana
Karibu sister
Assalam alaykum shekh asante kwa mawaidha mazuri ubalikiwe na pia naomba namba yako nina maswali Zaid kuusu upande uo uo wahaki za msingi za mke
Nikweli kabisa Allah atupe kustaminli tufanyikiw duniani na akheira InshaAllah
Allah unipe Mume Mwema ishaallah
Inshaallah
Ahsante
Shukran mwenyezi mungu akuzidishie Amina 🙏🙏
Mashalh
Mashalaah ☪️ shukrani shekhe kwa mawaidha
Mashaallah tabarka...Allah akupe khery
Swadakta Sheikh
Maashaallah yaa rabby mjalie afya njema sheikh wetu na umjaalie mwisho mwema. from tanga.
Mash allaw
Mashaallah shekh wetu Allah akuzidishie mema dunia na kesho akhera
Amiina
Aaaaaaaamin yaaarab,,,
Mashaallah Allah akupe afya njema uzidi kutukumbusha
Masha Allah Sheikh
MashaAllah hutuba nzuri yenye mafunzo shukran xn
Allah Akujazi majaza mema sheikh wetu..na sisi Mungu atupe Hidaya!!!,Amiin..
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu shekhe
Mashallah kutupatia elimu
Mashaa Allah very true, ahsante kwakutuelimisha.
Mashallh allh akinde
Sheikh...Allah akuzidishie umri...hotba imenifunza
Allah akulipe
Maneno yamenipa funzo kubwa sana, ALLAH akuifadhi shekh
Ahsante sana sheikh baarakallaahu fiik
Sheikh mwenyezi mungu akuzidishiye umri
Shukraan sana Sheikh Khamis
Amani ya allah ikuteremkie sheykh
Elimu nzur kweli Allah akubariki shekhe
Amiiin
Upo hata huku
@@MrukeOnline mmmh kwani we nani
Allah akujaliye pepo na sisi pia. Amina
Maa sha Allah... darsa nzuri
باركم الله فيكم
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl
ما شاء الله ما شاء الله شكرا يا شيخ
Hakika kweli kabisa
Jazakhallah kheli
Mashanlaaaa njema shee
Mungu akulipe kheri sheikh wetu.
Nammmh shee wangu uko vizur
Nimejifunza zaidi ndaniyandoayangu
Ahsante kwa ujumbe murua.
Allah akupe maisha marefu ili utupe dawa
😘🎓....asnt mzee kwa iilimu, umeeleweka kwa mapana...! 👏
Mungu akubariki
Takbri
Allah akbru
Mashaallah mawaidha mazuri sana ila mhhhh Allahu yaalam
Upo😄
@@Sal-hijjahgrp nipo krb
@@naamohamed9964 Tante dear
Mwenyezi MUNGU akujalie
Jee ni lazima kwa mke kumpikia mumewe
Shukran wajakaAllahu kheir sheikh rajab khamis
MashaAllah jazakallahu lkheir
Ivi sheikh uyo mwanaume kama haya yote anakufanyia ila ikawa akusikizi kwa mfano anarudi nyumbani ucku anakujibu ww mke una tatzo tatzo nin kma kula kulala kuvaa unakul ttzo nin tna unatak ivi kweli sheikh hapo kweli ni sheria
Shukran Sana .Aki nimejifunza mengi
Ahsante shee. Ila wanawake wengi wameona penye kupewa pesa tu. Koment zimejieleza!
konki shekhe mungu akuzidixhie
Hiyo ya ine Na ya pili ni kweli kabsa.
Shekhe mimi msikilizaji wako sana naelimika sana na hasa sauti yako nzito na lafdhi yako inanifanya nisikilize hadi kesho. Mama zuu
Thanks sheki kwa mafunzo
Amin amin amin amin
Allah akujaze nuru nataka kuona December nimejifunza vingi
Mashaallaah shehk mung akuzidiahie nuru
Asante shehee
Wanawake wanasikia
Allah akupe jaza njema inshallah
Masha Allah swadakt sheikh
Nimekupenda bure
Mashaallah swadakta
Yaani ni mtihani...Kuna wake za watu haki zote 3 hawazipati kutoka kwa waume zao...Mtihani baadhi ya wanaume sijui kesho watamtizama vipi Mola
Tuombeeni lnshaallah tuta badilika na yeye pia muangalie pakuingia maana dunia ime fanya watu wawe na tamaa..
Jazakallah khaira
mashaallah allah akujalie
Hayo ndio meng kwa wanaume wanadhurumu
Mashaallah sheikh
Asante Sana kutukumbusha
Jazakh Allah khel
Mungu akuongeze sheikh
Asante shukran umenijuza nisiyo yajua wallah
Allah s.w akuongoze katka haqi.ahsantah
@@arqamibnarqam.7185 Amin
Mashallah
Tupe elimu sheikh wanawake na wanaume nao pia wasomeshe
Masha Allah, ina jibu ya sauli zote za haki ya wanandoa.
Sikizeni hadi mwisho..
Jazaka Allah kheir
Jazakaallahu khairan inshaallah