Tunda man.... I'm here your one fan from kenya.... Kuna ngoma yako moja siipati kabisa... (tunda ft buibui nenda).... Please upload hii track. #tundaman
Nipo Urambo Nakumbuka nilitwa kwenye Mahafari Ya form four Tabora Boys nilipiga pikipik nikawahi tukiwa DK music aka Music mnene Ma dj waliokuwepo walikuwa wamechemka nikapita zangu studio nikaburn CD hii ndio ngoma ilijuwa imefika nikashika Nuwmark 88 nikatashika kipaza nikajitangaza ukumbi mzima wa Tabora boys ulishangilia nikawapa Menu yangu ya mziki huku kwa mbaaali Saut ya huu Wimbo we nililetewa Viroba wala sikujua vimetoka wapi😂😂😂
Nyimbo zinaendelea kuishi sana hizi 2024
Enzi hizo nilikuwa nina daftari maalumu la nyimbo za bongo fleva mashairi yako kichwani naandika nyimbo kama zote 😀...... ❤❤❤❤
Wewe ni mimi kabisa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@SalmaSalmahamisi 😂😂
😂😂 Ati daftari
@@truckingwithfauz7089 oh yeah 🤣
Then what happened 😂😂
Hii nyimbo ilinidatisha kwa watanzania nkatoka busia 🇰🇪 nkaoa tanga 🇹🇿 kilomita 1005 mpaka Kesho tupo wote
Who is listening 2024❤
Me here,may 2024
Nipo uko tu bado 2024
Kiukweli mimi kwa mtizamo wangu madem wa bongo nawakubali kwa asili 💯✔🔥🔥🔥
Daa mpaka nalia wakuu
😢
MZEE WA MITULINGA,CHID
Nimeicheki TikTok nkaikumbuka kweli tundaman alvyopiga mziki
J'aime toujours cette chanson 2024🇨🇩
Huu ndio mziki mzuri bongo
These memories maze..more love from Kenya 🇰🇪🔥🔥
tears on my eyes when i remember the dem dayz .
Penda sana hii
Those days hakuna mbishii....Chidi killed it plus Tunda💯
Duh umenikumbusha mbali sana huu mziki
Hii njo real bongo fleva till 2023 is so 🔥🔥🔥🔥🎶🎶🎶 good music
#Chidbenz🔥🔥🔥
Reehhhhhhhh👏👏👏
Am here 2024
2024 still on 🔥🔥
Kajara masanja enzi zake
Hii ngoma kabisa,yaani ikanipa bidii nimfwate demuwangu. Asante Tundaman
Let's Go This Is Another Banger 2024🎉❤🎉🔥🔥
Je t'ai écouté durant toute mon enfance en RDC❤
Manekeee eeeh eeeh eeeeeh 🎶🎶🎶🎶
Nyimbo za maadili...
Old is gold 😍🔥🔥🔥
when chid was Benz wapi likes za 254
Chidi Benz they love this sound...
Duhh! #TundaMan tumemiss hizi #Flavour
Yaah big up sana brother tunda
Here for old good memories 💞
NA MBONA NIKAMA TUNDAMAN HAKUMUONA NEILAH 🤣🤣🤣
Tundaaaa uliua jamen
Tunda man.... I'm here your one fan from kenya.... Kuna ngoma yako moja siipati kabisa... (tunda ft buibui nenda).... Please upload hii track. #tundaman
Nlikuwa la 5 ,mwalm wanga anaitwa ino aliupenda sn, makirinya school
Nostalgia hit me so hard 😢
Tangia mapenz na ziki hadi leo mm n shabiki yako
❤❤❤still hot here in Zambia
Mzur nakupend Sanaa humzki
Nyimbo unatisha kabisa uyu
🎵🎶🎶 noma tunda
Whose here 2024.
My favorite song 🔥🔥
Hili goma Dah rudia tena na Chidi
Nipo naidownload 2024 ❤️❤️❤️
Hizi ndio zilikuwa nyimbo achanane na matapeli
Uko Swa Brother
We used to love this song na my grandmother
I remember my ex when I was in prison
My fav song❤2024
❤❤❤Masha...Allah
Huu mziki utaishi milele
🎉
Chid benz enzi zake
Tunda gani hilo😅
🔥🙈🔥🔥🎶🎶🎶
du aisee 2024
Mimi nakumbuka ex wangu nikiwa prison
Bonge la ngoma
Bingwa
Duuuuh
Old old 2023
🔥🔥
Fire until further notice
Chid benz
Hot
Love from Kenya
2023 hapa
Tupe mpya @tundaman
Safi Sanna
❤❤
❤️🥺
22-12-2023🎉🎉🎉
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Unachezea account vp ww
Mekutana na song hii tiktok
Tunda wakweli
Uyumuziki uwuheruka ryari
2008 2009 uko
Ulichelewa ku upload kwa account yako lakn sio mbaya bado watu wataangalia
Omi
Alafu Mbona umechelewa ku upload kwa Acc yako? Siku zote hizo watu wamepiga hela
Nipo Urambo Nakumbuka nilitwa kwenye Mahafari Ya form four Tabora Boys nilipiga pikipik nikawahi tukiwa DK music aka Music mnene Ma dj waliokuwepo walikuwa wamechemka nikapita zangu studio nikaburn CD hii ndio ngoma ilijuwa imefika nikashika Nuwmark 88 nikatashika kipaza nikajitangaza ukumbi mzima wa Tabora boys ulishangilia nikawapa Menu yangu ya mziki huku kwa mbaaali Saut ya huu Wimbo we nililetewa Viroba wala sikujua vimetoka wapi😂😂😂
Mahafali sio mahafari
Those days Kali sana
Samahani mimi in mwanafunzi kotoka msumbiji najifunza kupitia wewe Ila kuvitu ambavyo nashindwa kufika malengo kwenye fl yangu. nuxes, flex brow nisaidie kuvipata kaka