Nyie ni washamba mnamlazimisha mchezaj kubaki coast anaonyesha tu hana furaha mchezaji anaenda na kuchuja msione mmeshinda wachezaji wako wengi co yy tu
Hao Simba ni wasanii pia Kwa Awesu Awesu ndivyo hivyo hivyo halafu eti wanamtaka Aziz I ki tutamfilisi yanga sio wafanya biashara kwamba wanapata hasara
Kweli haja mwacha aongee
Kwanza mchezaji hana hata raha
Sio kweli mchezaji mwenyewe ana raha kabisa mmemwaribia mchezaji maisha yake
Kama mchezaji anataka kuhama timu mwacheni ende kuangalie maisha yake
Mwache Lawi aongee mwenyew unamsemea Kwan yy mtt mdogo maana Lawi hana raha kabisa
Wamwache lameck aongee mwenyewe msimnyime mchezaji Raha yake
Wewe mpotoshe kijana ukae ukijua unapigana na jitu kuuuubwa linalokuzid kila kitu
Basi wamwache acheze nao kiwango chake kitachuka
Izo nitamaa broo bc muache aonge japo kidogo
Mmefeli,kwa nini anamzuia kusema
Tamaa zitawaponza
Mbona hana furaha
Achen tamaa huyo nmchezaji msifanye kwa masilahi yenu
Hayo
Y
Manenonimepesi
Sana
Lakini
Yatakukuta
Yakisheria
Mmemnyimq fursa,,hana furaha mtt wa watu.. atawanyoosha kimya kimya, af dirisha dogo huyooo
Mwenyewe ata hajapenda muache udikteta huo ni ushamba
Nyie ni washamba mnamlazimisha mchezaj kubaki coast anaonyesha tu hana furaha mchezaji anaenda na kuchuja msione mmeshinda wachezaji wako wengi co yy tu
Mbona Hana furaha lakini?
kijana unaona hana amani ya moyo kabisa
Mchezaji mwenyew hana furaha ngojen awasaliti ndio mtajua
WANAFIKIRI UJANJA WAKATI WANAMUHARIBIA MAISHA
Angekuwa striker wa mabao Sawa,lakini Beki.Bongo wapo wengi tu.Tena kwa timu kubwa kama Simba hakuna wcwc😂😂😂😂
Mnamfosi lawi kubaki hapo😭🙄😁hana ata furaha bakini nae Kwan ye nan bila yeye tutatoboa tu yeye sio Mungu
Ebu mwacheni toto akatafute maesha yake mbele,maana anyone kana hana furaha,hata name unajua ndio maana unamzuiakuongea
Washambasana hawa jamaa duh
unatombwa we
mbn anatak kuondok aje simba unamzuia?😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Ulitaka awe na masilahi Yako kwani ni mchezaji wako
Hao Simba ni wasanii pia Kwa Awesu Awesu ndivyo hivyo hivyo halafu eti wanamtaka Aziz I ki tutamfilisi yanga sio wafanya biashara kwamba wanapata hasara
Simba na Yanga nani ana madeni mpaka Fifa wanajua ?
Dawa yao rawi wamekubania wewe cheza chini ya kiwango kuwakomesha hawo
Hiyo ni ajira yake. Akicheza chini ya kiwango anajiharibis mwenyewe.
@@kolosii4351chama mbona alikuwa anacheza chini ya kiwango na ameenda timu nyingine