Azam TV - Ufugaji wa kisasa wa samaki kwa kutimia tenki la maji

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 сер 2024
  • Huenda unapenda kufuga samaki, lakini unashindwa kwakuwa hakuna sehemu ya kutosha. Makala ya Shambani iliyoandaliwa na mwandishi wa Azam TV Jamaly Hashim, inatoa darasa la ufugaji huo wa kisasa.

КОМЕНТАРІ • 14

  • @amosijacksoni
    @amosijacksoni Рік тому

    Azamu ni the Best Duniani
    Unga,michezo,Elim tv

  • @danielmwakajila6878
    @danielmwakajila6878 2 роки тому +1

    Somo zuri sana. Mawasiliano na hao wataalamu yanapatikana vipi?

  • @leonardkigutu7716
    @leonardkigutu7716 5 років тому +1

    Mawasiliano ni muhimu, na je tunafanyaje hili kupata kuyatengeneza au mtengenezaji ni nani na anapatikana wapi!? kwa sababu umetuacha njia panda!

  • @thobiasmboje1506
    @thobiasmboje1506 4 роки тому

    Naomba mawasiliano me nipo mjin mfumo huo nimeupenda na ninauhitaji sana

  • @lameckluwanda3506
    @lameckluwanda3506 5 років тому +1

    We need contacts to get the experts.

  • @stellaakyoo1448
    @stellaakyoo1448 6 років тому

    jaman mawasiliano pls muhimu

  • @raykatsha2064
    @raykatsha2064 5 місяців тому

    Nawapataje

  • @stellaakyoo1448
    @stellaakyoo1448 6 років тому

    fundi wa kutengeneza ayo mateki

  • @hamisihassan3070
    @hamisihassan3070 6 років тому

    Tatizo mawasiliano hamuweki

  • @matabac
    @matabac 6 років тому

    Naomba mawasiliano na mtaalam wa ufugaji wa samaki please

  • @edsonteri4489
    @edsonteri4489 5 років тому

    Umeme umeme umeme umemeeeee eti umesema umeme unahitajika masaa 24 duh

    • @abdallahmatongo3169
      @abdallahmatongo3169 5 років тому

      Edson Teri solar ni umeme pia. Ndugu usikatishwe tama na changamoto ya umeme.