BALAA LA WATU WAKITABU KWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) SHEIKH MSELEM BIN ALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • #jtvznz#

КОМЕНТАРІ • 8

  • @imanshao
    @imanshao Рік тому

    Soma yohana 16' kwanzia 1 hadi mwisho utapata jibu lako kabla ujakufa kwenye ujinga unaosema

  • @imanshao
    @imanshao Рік тому +2

    Pia sisi waislam tuna misikiti ilio jengwa na mitume kabla ya mtume wetu Muhamad ukisoma quran utajua msikit wa makka amejenga nabii Ibrahim na mtoto wake islmail msikit wa jerusalem amejenga nabii sulemani yote hayo ni kuonyesha dalili za wazi kabisa

  • @imanshao
    @imanshao Рік тому

    Quran ndio kitabu cha mwisho tafsir ya quran kwa kiswahili ni ufunuo vitabu vilivyo tangulia ni torati na sio kumbu kumbu kingine ni zaburi kingine injili cha mwisho ni ufunuo ndio quran penda usipende utakavyo kufa ndio utajua

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Рік тому

    Mungu alikosa nini au alipungukiwa nini mpaka Amtume Muhammad mtume WA uongo na mtume WA majini?. Mtume WA mwisho Duniani ni Mtume yohana aliandika kitabu cha ufunuo na Ndio aliandika mambo yatakayokuepo kabla ya haya nayatakayokuepo kabla ya hayo, naakapiga muhuli akuna MTU kuongeza wala kupunguza , ivi nyie waisla mkisoma Bible kwanzia mwanzo mpaka ufunuo kipi kilipungua mpaka Muhammad aje na Qur'an ya Uongo na iliyodokoa maandiko kutoka kwenye vitabu vya kale , na hiyo jibril ajawahi kuepo dunia wala issa Bali ni story kama za Wille gamba

    • @muhidinsuleiman4315
      @muhidinsuleiman4315 Рік тому

      Fransis Joseph ,,hayo mnayoyafanya makanisani ndo mliyofahamishwa kwenye biblia? Muwe vichwa wazi wanawake na viguo vifupi means nusu uchi? mbn mnaenda makanisani mkiwa katika hali hiyo?

    • @HusseinGabu-wr3xh
      @HusseinGabu-wr3xh Рік тому

      Hiyo hoja Yako Haina kasome kitabu Cha mwanzo mungu anamuahid Ibrahim atamfanya Ismaili kuwa taiga kuu au kasome kitabu Cha isaya ufunuo arabuni hata wewe pia unajua kama kweli alitabiliwa sema na wewe ndio wale wale mnajitia pamba sikioni

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Рік тому

      @@muhidinsuleiman4315 we kichwa panzi nikuulize Adam na hawa pale eden walikua wanaongea na Mungu je walivaa hayo mahijabi? Au nipe andiko hawa au mke WA Adam alivaa hijabu, au Lete andiko popote pale linalosema watu waswali wakiwa wamevaa mahijab, tatizo nyie waislam mnasumbuliwa na utumwa WA fikra

    • @Juma-qd5eq
      @Juma-qd5eq 9 місяців тому

      Wew ,,unauliz habr ya hawa na Adam kukaa uchi ,wew na dada ,,ako munakaa uchi ,,kama ukiona wanafaid kaa na wew