SHK MSELEM NIMEKOSOLEWA NAAMBIWA NA POTOSHA

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 38

  • @hassanhassan2567
    @hassanhassan2567 Рік тому +3

    Shiekh wangu bakia katika hapo hapo na wallahi sisi tunaoishi mbali na inchi yetu tunafaidika Sana na daawa yako ya haki Mola akuhifadhi na akuepushe na Shari za munafiq na wanadhuoni waovu wanaowapinga wanadhuoni wa haki kwa kupato cha mambo ya kidunia na inshaAllah iko siku nitakuja kukutembelea inshaAllah

  • @fahimkarama9341
    @fahimkarama9341 6 місяців тому +1

    team mselem best msa Ken

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu4991 4 місяці тому

    Allah akuhifadh

  • @ALIN-7
    @ALIN-7 Рік тому +3

    Shaikh nakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @hajikula
    @hajikula 6 місяців тому

    Nakupenda.Sana.Shehe.Wang.Mselem❤

  • @TwahaKahatan-pt9hg
    @TwahaKahatan-pt9hg Рік тому +2

    Allah akuzidishie ulinzi na afya njema

  • @zamilmohammed2297
    @zamilmohammed2297 Місяць тому

    Subhanna Allah wataala

  • @qurankareem2275
    @qurankareem2275 Рік тому +5

    Ametakasika Mwenyezi Mungu Alieumba mbingu 7 bila YA NGUZO

  • @jumamwinyihaji5007
    @jumamwinyihaji5007 Рік тому +1

    Allahu Akbar

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Рік тому +2

    Nakupenda Sheikh Mselem kwa Ajili ya ALLAH

  • @ababukarlinus9355
    @ababukarlinus9355 Рік тому +2

    Allah akupe umri mrefu sana Inshallah.

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Рік тому +2

    Mselem the best

  • @NuhuYusufu
    @NuhuYusufu Рік тому +1

    Baraka llah fiyka

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 2 роки тому +1

    Allah akuhifadhi shekhe Mselemu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 місяців тому +2

    Nyie mnaoandika na kuanda darsa za sheikh tafadhali andikeni sura ipi na aya ipi inatusaidia sie tunaotaka kusoma hivi vichwa mnavyoweka kwa ajili ya kutafuta viewers havitusadii.

  • @muhamedyaly9890
    @muhamedyaly9890 Рік тому +1

    ALLAH akupe Kila leny kher

  • @allyahmada3795
    @allyahmada3795 2 роки тому +1

    Mashaallah Allah amuhifadh

  • @AbduZongo-og8pp
    @AbduZongo-og8pp Рік тому +2

    Huyu shekhe mkuu tanzania wengine ni makamu wa

  • @ammunashamhuur-jg1jo
    @ammunashamhuur-jg1jo Рік тому +5

    Ukitaka kiswahili Halisi hapa kwa Maalim mselemu ndio kwao,Allah ambariki mimi napata tafser na kiswahili kabisa.

  • @chinchon5984
    @chinchon5984 2 роки тому +1

    Ma Shaa Allah

  • @mohamedubwa1600
    @mohamedubwa1600 2 роки тому +1

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @WenaWana
    @WenaWana 5 місяців тому

    Nawomba Allah akwivazi sana oyende mbele nakusomesa

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому +2

    Anaekosea wowote lazima akosolewe km kakosea na wala sio dhambi na kukosea pia ni jambo lipo

    • @MaalimYussuf-qy9ic
      @MaalimYussuf-qy9ic Рік тому

      Kukosolewa si dhambi ila je ukosowaji wako ndio unaotakiwa katika dini

    • @JannatTahmid
      @JannatTahmid 7 місяців тому

      Kukosowa km ni sahihi sawa lkn si kwamba anapotosha au asisikilizwe.

  • @angelhongoli2989
    @angelhongoli2989 Рік тому

    Mungu akueke she

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 6 місяців тому

    Hapo jamaa wanataka wasilikizwe wao pekee, wanajiona wao wameepushwa na makosa

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 2 роки тому

    Ww ndo makamo wangu 2 Zanzibar hii

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 6 місяців тому

    Taybu muft

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 Рік тому

    Unamzungumzia Mungu tunayemwambudu au unamzungumzia Allah? Alllah?

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 Рік тому

      Allah kwa kiarabu Mungu kwa kiswahili lkn ndio huyo huyo

    • @mohammedsaid761
      @mohammedsaid761 Рік тому

      Allah akuhifadhi na Shari za wanaojifanya wamesoma.Endelea kutuelimisha.

    • @ibbu-tz
      @ibbu-tz Рік тому

      Allah maana yake ni Mwenyezi Mungu.
      Lahi maana yake Mungu
      Kwa kiswahili.

    • @dazzwazenji
      @dazzwazenji Рік тому

      Hujamuelew ama

    • @MaulidAli-f4q
      @MaulidAli-f4q 9 місяців тому

      Ww hujamuelew hu shekh au una mambo yak t binafsi