#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- #EXCLUSIVE: A to Z HAYATI KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADI KUUAWA, MTOTO WAKE ASIMULIA KILA KITU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mungu amtunze Rais Amani, he's so genuine all the time. Huwa sichoki kumsikiliza, ni zawadi kwetu.
Ukitaka kujua kwanini haswa marehemu alipigwa risasi...andika hapa youtube mahojiano ya amani thani akiwa dubai... Akielezea dhulma kubwa aloifanya marehem na nin kilipelekea auwawe... Nchi hii imemwagwa damu za watu ambao hawana hatia bila ya sababu ya msingi... Historia inafichwa fichwa mno ..ila kiukweli wazee hawa walizingua mno ..
Nilisoma makala moja , pamoja na simulizi za mitaani, baba yake hamoud na wanaharakati kadhaa wa mapinduzi waliuawa akiwemo Hanga na kuzikwa kaburi moja, kabla ya kumuua karume hamoud alitamba na kusema ipo siku nitamuua karume, vyombo vya dola vilipuuzia kwa kuwa walikuwa marafiki pete na kidole
@@admirabisikiduduye1516 mzee na hamoud walikuwa marafiki?
Nimevutiwa sana na mheshimiwa kwa heshma yake,upole wake na fungamano lake na dini yake,mara kwa mara hua anamshukuru Allah na kutowa shukrani zake kwa Allah kwa kutamka alhamdulillah.
Namuombea tawfik katika harakati zake za kimaisha na za kuwaunganisha wananchi wenzake.
Wabillah tawfiq
Baba yake huyu Abeid Amani Karume hivi sasa yupo Jahannam.Mapinduzi ya 1964 Zanzibar ni mauwaji na Karume alishiriki.Malipo ni duniani na Karume akauwawa.
Sasa hivi Simai amejiuzulu kwasababu anataka kujaza pombe zanzibar na sharia haimruhusu😊
MBONA HAMUKUMPINDUA MUINGEREZA ?! SULTAN ALIKUA MZANZIBARI ANAPINDULIWA KIVIPI ?!
Ahsante Mh umeeleza ukweli usiopingika nimependa sana ,hususan kufilisika kwaviwanda vyetu 🎉🎉🎉
muandishi mie napenda kwanza ujue nini tofauti ya hayati na marehemu maiti ya kiislam baada kuzikwa huitwa marehemu maana hua tunamuombea rehma kutoka kwa mwenyezi Mungu na hao wengine hiyana hayati maana yao wao mie siijui
Kazi kweli. Tuna la kujifunza hapo. Historia mpaka mtu uje kufahamu ukweli ni changamoto. Yale yale ya Sokoine. Tuendelee kujuzana.
Ukiuwa Kwa upanga utauliwa Kwa upanga hili halina mjadala
Mh Rais yuko vzr sana.
Mtoa maada nahisi mmekwenda mchomo na mmepoteza maada ya lengo na madhumuni yote ya topic yenu! maada ilikua kuelezea kifo cha karume mwanzo hadi mwisho sio kuruka kwenye maada za mapindunzi,uchumi na uwongozi na maisha yao,vigugumizi na kupoteza mda wa
wasikilizaji.
Anyway mmejitahidi but mmepoteza muelekeo wa maada yenu bila kujijua wala kujitambua.
Asanteni
Hajajitaarisha wala hakusoma histri ya mzee karume ili ataarishe masuala
Mh ameanza vizuri anamaliza vibaya mpka anafanya kigugumizi sisi tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili asiseme uwongo c aseme tu 😢😢
Dhulma zao watazilipa hapahapa
Unalaumu nini. Huyo saa hizi mzee unatakasema alishiriki kumuuwa baba yake au wewe unajuwa vizuri twambie
Muungano wa leo siyo Muungano maana washirika hawako sawa. Zanzibar ina Serikali yake, Tanganyika haina serikali. Maono ya hayati Karume kuhusu Muungano ulikuwa wa kuwa wa nchi moja yenye serikali moja.
Hapo kasemq kweli walionda kushambulia, na walioenda kushambulia walikuwa group
Lakini mzee aman hujatwambia walioshambia ni gari ya aina gani? Na watu wa aina gani?
Mie sisemi. 😂😂😂
Acha speculations
MUNGU azidi kumpa uhai Mzee wetu hata like basi wakuu nimekua wa kwanza hapa
Safi sana kwa kumusikia
Stories nyingi zinasima Mzee Karume alizaliwa Malawi kijijini na aliletwa Zanzibar na Kambarage apindue hatujui Nani Mkweli
Tuambie pia hao masultan waliopinduliwa walitoka wapi
Hz stori za masikan
VIP Levi pesa za wizi zishamaliza
Tujiulize wale wengine walioenda nangari walitafutwa vipi?
Au ndio hao waliokamatwa katika mawaziri na vipi walifinguliwa kesi za mauaji?
Uyo muandishi hana maswala yake sijui hakusoma histri ya mzee karumee hajahitaarisha hasa na mauala ya mzee karume
Muandishi kazi nzr sana brother
Nakuona unachekiii cm why
Appreciate history ya mzee wetu🇹🇿🙏🤲♥️
Allahuma umghofirie na UMREHEMU NAUMPE MAKAZI JANNATI FIRDAWSNUZULA Amin
Kwanini mzee Karume aliuwawa?
😍😍😍❤️
😮😮😮😮😮😮
Thabit kombo kafa mwaka gani?
Juzi
world on fire
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏
Mh,
Hunaishu wewe ulipokua madarakani alifanya nini mbwa
Mpumbavu sana wewe unajuwa nani aliye leta Zanzibar mariziano mpaka leo ikiwa shwari hakuna Raisi duniani kote au kiongozi asiye kuwa na mapungufu walipita maraisi wangapi Zanzibar kabla yeke je kulikuwa na neno mariziano?
Subhanallah una haja gani kutu k ana
MATUSI SI MTAJI
@@salimamani6672Mariziano ya nini kelbu mkubwa weye !
Mamlaka kamili hayawezi kupatikana kwa makaratasi
Yanapatikanaje?
@@SalehToli-n1x hujaskia walivyo sema nchi hawajaipata kwa makaratasi na haitatoka kwa makaratasi sasa akili kichwani mwako
Asante, nimefaidi sana. Huyu mzee ana HEKIMA NYINGI. Mungu ambariki.
Viwanda viliendeshwa kwa ujamaa na mazoea rushwa matumizi mabaya ya vyeo na kutoajiri wataalamu wa kitosha.
Si kweli baba ako hakuzaliwa mwera kazaliwa malawi huo ni kweli nyi nyi hamna asili ya uzanzibari
Kumamae wallah yaani utazani wewe ndio mzazi wao gastadialo stupid
Aliemuuwa karume ni shemeji yake huyo anaezungumza hapo ni mjomba wake aliezaliwa na mama yake Baba na mama mmoja ninaushahidi na ninayoyazungumza mkitaka kujua zaidi wasafi mnitafute niwapeni story maana nilikuwepo eneo la tukio japo nilikuwa mdogo
Acha shoboooo www
Alishambulia alikuwa na wenzake wanavyosema mashahidi ndani ya afisi kuu. Kilikuwa ni kikundi cha huyo jamaa ambao walitumwa na wanavyosema mashahidi aliyeua kauliwa na watu wake ambao walimpeleka aue.
Hadithi hiyo niliipata ndani ya ofisi kuu kwa mzee wa ccm ambaye wakati huo alikuwa kijana wa asp
Nae ni nyerere na wanajua lakini hawasemi 😂
Wauwaji na uvamizi na wengine wamekosa radhi kuwa wanafiki Mwenyezi Mungu mkubwa ndio anaejuwa na haki ataleta In Shaa Allah ameen