MACHOZI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM, KWA MATAJIRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • usisahau ku like,comment,share na ku subscribe youtube channal yetu alfatah tv online, kwa maelezo zaidi piga simu +255 777 858490
    #AlfatahCharitableAssociation

КОМЕНТАРІ • 110

  • @mohameddalmar4070
    @mohameddalmar4070 3 роки тому +1

    ALLAH awahifadhii ndugu mtangazaji n Sheikh Othman Maalim n waislamu wote

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h 4 роки тому +2

    جزاكم الله خيرا الامراء لمؤسسة الفتاح

  • @nyumbayatibanadua737
    @nyumbayatibanadua737 4 роки тому +1

    Kwakupata video nyingine bonyeza maandishi ya bluu hapo chini.
    m.ua-cam.com/channels/TOqt91SRB0NyOw6rMo5zTw.html
    Usisahau ku SUBSCRIBE, SHARE, NA COMMENT

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому

    Subuhanallah yarabi tupe moyo wa huruma tutowe kwenye nyia unayo iridhiya wew mola wetu

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 роки тому +12

    Subhhanaallah tunakuombea yaa Allah sote utufanyie wepes katika kutoa sadaka tulijaalia shukraan Sana masheikh wetu kwa ukumbusho Allah awafadhi jazaka Allahu khaira

  • @abuubakaraliy5096
    @abuubakaraliy5096 4 роки тому

    Allah nijalie na mimi niwe Mwenye kutoa kwa ajili yko allah

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 роки тому

    Mashaallah masheikh wetu kazi nzuri Allah atawalipa inshaallah

  • @kuluthumngendo6005
    @kuluthumngendo6005 4 роки тому +8

    Subihana llah ya raabi tujaalie tuwe ni wenye kutoa kwa wepes na wajaalie mashekh wetu umri mrefu wawe ni wenye kuendelea kutukumbusha inshaallal

  • @abuubakarathman2829
    @abuubakarathman2829 4 роки тому +6

    Wllah Allah awabariki al fatah 📺 online hkika mnafnya kazi kubwa sana nawaombeeni kheri kwa Allah

  • @allymachanokeis3764
    @allymachanokeis3764 4 роки тому +3

    Maneno mazima maalim,
    Sadakta,
    M'Mungu atufanyie wepesi ktk kutoa,
    Kwa waislam sote.
    Amin.

  • @ablatuny5406
    @ablatuny5406 4 роки тому +7

    Subhanallah mtihani wallah

  • @issamohd2674
    @issamohd2674 4 роки тому +6

    Mashaallah m/mungu awajalie kheri innshaallah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 роки тому +16

    😢😢😢😢Ya Rabb atuwezeshe hakika kutoa ni moyo si utajiri .

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 роки тому +14

    Allah tufanyie wepesi katika nafsi zetu tuwe wenye kutoa👏

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 4 роки тому +2

    والله بكيت 😭😭😭 nimetokwa na machozi kwakweli ndugu zangu tuitafuteni pepo kwa mambo km haya yakheri leo wapo watu na mapesa matajiri lkn hakuna jema wanalo lifanya zaidi ya uovu na israfu za mali zake mungu

  • @jokhaali9187
    @jokhaali9187 4 роки тому +1

    Allah atupe moyo wa kusaidia kutokana na moyo na Allah wtatulipa khr

  • @Qatar-vh5ff
    @Qatar-vh5ff 4 роки тому

    Yaarab tujalia tuwe wenye kutoa kwa wepesi Amiin amiin yaraab

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 4 роки тому +1

    Wa'alaykumus salaam wa rahmatullaahi wa barakaatuh....ALLAAHUMMA IQSIMLANAA MIN KHASHYATIKA MAA TAHUULU BIHII BAINANAA WA BAINA MA'SWIYATIKA..WA MIN TWA'ATIKA MAA TUBALLIGHUNAA BIHI JANNATAK.....

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 роки тому +8

    Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh. Yaa salam

  • @issaboytv8290
    @issaboytv8290 4 роки тому +8

    Na Mimi naomba wenye uwezo watoe swadaka kwa maskini kuliko kumalizia kwenye starehe inshallah

    • @abdallahtwalibu8596
      @abdallahtwalibu8596 4 роки тому

      Umepokea 1GB,Zitakazotumika hadi 19-02-2020 18:24:13. UHURU WA KUONGEA : Piga *149*99# kisha chagua 3 YATOSHA MITANDAO YOTE

  • @ahmedesmail4488
    @ahmedesmail4488 2 роки тому

    Subhannallah jaman ndugu zangu kwenye hizo namba tuwachangie chochote kile ili na wao wawe ktk furaha hata kwa elf 1 ni sadaka malipo yake utapata kwa mola mlezi hakuna mwengine zaid ya allah subhanna wataala😭😭😭😭😭

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari4996 4 роки тому +8

    Kutoa ni moyo sio utajir allha tujaalie kheir tujitokeze kwa wingi

  • @many2761
    @many2761 4 роки тому +1

    Subhannallah mwenyezi Mungu atuwekee we pesi kwa kutowa japo kadogo

  • @aligedi2869
    @aligedi2869 4 роки тому +3

    Walai Allah atawalipeni kwa kazi yenu nzuri.

  • @abdallahyusuph9151
    @abdallahyusuph9151 4 роки тому

    Ya Allah Nijalie Kipato Niweze Kusaidia Waislam Wenzangu

  • @mtendasaid5222
    @mtendasaid5222 4 роки тому

    Mola atupe wepesi wakutoa ..tulichonacho NshaaAllah. ..

  • @shamzone388
    @shamzone388 4 роки тому +2

    Allah atawalipa kwa njia yenu ya haki
    Allah atawalipa hatwa zenu ziwe ni njia ya janat firdous yarab
    Wallah waislam tutakwenda kuulizwa
    Jaman wapo ambao hawana dini lakini hanawangaliaa mayatima kwa kila kitu mpaka nikaona choyo katika nafsi yangu
    Nikajiuliza huyu hana dini ni mchina
    Kwa nyumba school mpaka university anawasomesha chakula na matumizi allah atamlipa japo si muislam

  • @emanuelmmbaga5835
    @emanuelmmbaga5835 4 роки тому +4

    Allah awalipe ndugu zangu kwa kazi mnayoifanya..

  • @esharamadhan7315
    @esharamadhan7315 4 роки тому

    yarabi poleni sana masikin .mm niko inje ya nchi inshaallah ntakapo rudi nshaallah lazma ntaitafuta madrasa masikin malaika wa mungu poleni jaman wtt wangu na wazazi wenzangu kwa hakika imenitoa machozi allah azdi kuwa nanyi nshaallah

  • @allyfam4741
    @allyfam4741 4 роки тому +1

    Mungu na mimi nijalie nisaidie ndguzangu

  • @allysaharifsaidi7563
    @allysaharifsaidi7563 4 роки тому +3

    Allah atufanyie wepesi wa kutoa kile tulicho nacho

  • @user-kw1zu2dy1h
    @user-kw1zu2dy1h 4 роки тому +2

    الله يسعدهم

  • @shamilamo9159
    @shamilamo9159 3 роки тому

    Allah atuongoze tuwe wenye nyooyo za kutowa kutowa ni moyo na siutajili

  • @zaharasalum9752
    @zaharasalum9752 3 роки тому

    Allah atujalie tuwe wenye kutoa sadaka.. inshaallah

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 4 роки тому

    Yaa salam.
    Waikum salam warahmatullah wabarakatuh.

  • @abdoulmajid5451
    @abdoulmajid5451 4 роки тому +8

    Subhanaallah 😢😢 Allah awape uwepesi inshaallah.

    • @abdullmalik7847
      @abdullmalik7847 4 роки тому

      Alhamdulillah Allah Atujalie nasi tuwe Wenye kutowa,🇰🇪

    • @issamohammed8298
      @issamohammed8298 4 роки тому +1

      Asalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatu,tunaomba sisi mtuekee namba Za kutolea Swadaq

  • @sleyummoo7795
    @sleyummoo7795 4 роки тому +11

    Laiti ningalikuwa na uwezo wallah nitasaidia myatima nawasio na uwezo hadi mwisho wa maisha yangu Mimi nimaskini lakini huu umaskini wangu Allah nipe kidogo bass nitatowa nusu kwajili ya watu wachini kimaisha na mayatima

    • @abdullmalik7847
      @abdullmalik7847 4 роки тому

      Allah akujalie Dua muhimu kaka

    • @jokhaali9187
      @jokhaali9187 4 роки тому

      Amin

    • @jasminpino3854
      @jasminpino3854 4 роки тому

      Sleyum Moo yani mawazo yako kama yangu kila cku naomba mungu nijaaalie nipate chochote nipate kuwasaidia ndugu zangu na wasio kuwa ndugu zangu waliokuwa na maisha ya umaskini

    • @jasminpino3854
      @jasminpino3854 4 роки тому

      Yaaa Allah nijaalie nipate japo kazi ili nipate kusaidia ndugu zangu wanaiishi maisha ya chini

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 3 роки тому

    YAALLAAH
    YAARABB
    YAA ARR HAMAARRAHIYMIIN
    usituhukumu tuliokosa kwaajili yawalionacho ambaohawatakikutoa ktk njiayako iliyotukuka.

  • @anwaryabdallah7782
    @anwaryabdallah7782 3 роки тому

    SUBHANNALLAAH,

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 роки тому +2

    Subhana Allah watu wanajifagharisha kwa mambo ya upuuzi tumeisahau dini yetu hii nimara ya pili naiyona hii sehemu machozi yananitoka ila uwezo naomba namba yenu niwasiliane nanyi moja kwa moja

  • @abdulhaji6708
    @abdulhaji6708 4 роки тому +1

    Ya allah tujalie khery tuwasaidia wasiojiweza

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y 4 роки тому +1

    Walikum warahatullah wabarakatuh kweri mungu.atunusur

  • @saidsaid226
    @saidsaid226 4 роки тому +4

    Asalamu alaikum. Wa-allahi thumma wa-allahi thumma wa-allahi, tuseme ukweli kidogo najuwa mchango ni muhimu sana. Nasema waume na wavulana wanayo ishi hapo waweza kujitolea kila wiki muda ya ma saa kama manne au tano mukajenga kibanda hilo hata kwa miti na udongo na itakua madrasa na fakhar na uzito wake kuliko vile eliyoko. Samahani sana.

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 4 роки тому

      HAKUNA samahani. Ni kweli kabisa ila tatizo pamoja wenye uwezo wachoyo, ila mfumo wetu wa elimu uko hivyo. Kwani sadaka ni Mali, nguvu, akili, na muda kujitolea. Yaaani, Waislam wa hapa watashindwa kweli kujenga Chuo hata Cha udongo kwa kujishikiza? Yaaani, Waalimu wanashindwa hata ku organize??
      Lakini lazima wenye uwezo wajitokeze na waanze some where kujenga culture ya kujifanyia Mambo Sisi wenyewe Inshaa'Allah.

    • @saidsaid226
      @saidsaid226 4 роки тому

      @@hamidudongo1879 Baraka allah fik. Hi yawezekana kuanzwa hata na watu tatu na kila moja ataweza kuleta marafiki na majirani; watatu mpaka tano kwa hurahisi. Bora kuna niya ya ukweli. Allah ma3akum in shaa allah.
      Ikiwa wewe kutoka pale au wajuwa mjama bas tawakel ufanye connection nao. Baraka allah fik.

  • @muznaalabriy1508
    @muznaalabriy1508 4 роки тому

    Matajiri wa kiislam wanauacha uislam unadhalilika innalilahi wainnalilahi rajiu

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 4 роки тому +2

    Subhanallah

  • @mohdabdi4157
    @mohdabdi4157 4 роки тому +7

    Yaraab tunakuomba utujaalie utudhudishe tuwe na moyo wa kutoa

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 4 роки тому +1

    Jamani huku naomba nijue wapi daah watoto wenyee watakuwa kusaidiwa kamani tujitoleeni ok nasikiliza huku nandika nasikia pangoni inshalah icho kidogo inshalah nitatoa

  • @aniphaally5017
    @aniphaally5017 4 роки тому +1

    Allah awajaalie kila kher Inshaallah

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 роки тому +1

    Waisilam tunahaja yakuongeza nguvuyaumojawetu katika ku upeleka uwisilamu mbele

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 4 роки тому +3

    Asalam alaykum naomba namba zao za tigo pesa hii madrasa imo wapi naomba kujua kwa cc tulioko mbali na nchi ili tuweze kutoa kidogo kwa wazee wetu walotangulia imeniuma sana naomba please maelezo

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 4 роки тому +1

    mashaallah

  • @bernadetanyendo1650
    @bernadetanyendo1650 4 роки тому +1

    😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏👈

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 роки тому +4

    Subhan allah allah atupe yalio ya kher tutowee 😅😅😅😅

  • @nurdinhamisi5996
    @nurdinhamisi5996 4 роки тому

    Matajiri wakiislamu pesa zao kwenye mipira,Umisi na ujinga mwingine lkn Allah anawasubir siku ambayo haitamfaha mali yake pia binaadam atatamani kua mchanga

  • @amenamoh7913
    @amenamoh7913 4 роки тому +1

    Jamani hii madrasa ipo mtaa gani tunataka kujua

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 4 роки тому +1

    Alla ataleta heri innshalla

  • @allynyandwidju113
    @allynyandwidju113 4 роки тому +2

    Asalam warhamatullah wabarakatuh Ustadh mtu aliyekua inje ya Tanzania ana weza kungia aje? In sha Allah mtu juze ili Na Sisi tuchangiy angalao ata kidogo.

    • @halimaramadhan2975
      @halimaramadhan2975 4 роки тому

      Walaykum msalam warahmatullah wabarakatuh kuna number za simu hapo kwenye screen upande wa kushoto zimeandika

  • @zuhurambarouk5356
    @zuhurambarouk5356 4 роки тому

    Mwezi awafanyie kila la hre

  • @esharamadhan7315
    @esharamadhan7315 4 роки тому

    machozi

  • @jumamashuhuri9647
    @jumamashuhuri9647 4 роки тому +2

    Asalam Aleikum, Nawaombeni muweke namba ya mpesa iwe rahisi kwa yoyote aweze kuchangia sio lazima wawe matajiri

  • @zanuraomary4749
    @zanuraomary4749 3 роки тому

    😭😭😭

  • @fatimaabdulla1320
    @fatimaabdulla1320 3 роки тому

    Yani hadi najisikia vibaya wallah hata kama mm masikini lkn wallah nimekula kiapo kwa allah nita saidia

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 4 роки тому +1

    Kkweli kabisa😭😭😭

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 роки тому +10

    waislam wanachangia mipira wanaacha dini yao!!huu ni mtihani mkubwa tutajibu nn kwa Allah ss hasa wale wenye wasaa wa mali?

    • @ntaganzwabyabato6055
      @ntaganzwabyabato6055 4 роки тому

      suleiman bakar wanawekeza pesa kibao aisee

    • @salimali7930
      @salimali7930 3 роки тому

      Nikweli Bro wengi wetu atu thamini kutoa kwa umma wetu lakn ndio utaona majina majukubwa ni ya ndugi zetu wanao wekeza mambo yalio katazwa...Allah tujalie mwisho mwema...

  • @zaidumohd3125
    @zaidumohd3125 4 роки тому +1

    Kheri ipatikane ishaullah

  • @zayanabakari7948
    @zayanabakari7948 4 роки тому

    Subhanallah allah atufanyie wepesi katika Kutoa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 роки тому

    AWW HII NI KIJIJI GANI TANZANIA??

  • @aligedi2869
    @aligedi2869 4 роки тому +2

    Jamani tukiwa ujerumani tumfikie nani?

    • @abuarafatmkweli748
      @abuarafatmkweli748 4 роки тому

      Wasiliana na Al-fatah namba zao hizo hapo kwenye video

  • @hawa4968
    @hawa4968 4 роки тому +3

    Yaa afrah tupe nguvu za kutafuta na utupe mioyo ya kutowa

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 4 роки тому +3

    Muwe munatoa namba za m pesa ili mtu aweze kutoa alichojaaliwa kwa kuichangia hiyo madrasa

  • @allyjuma3807
    @allyjuma3807 4 роки тому

    Iyo madrasa iko wapi

    • @fatmahamad9314
      @fatmahamad9314 4 роки тому

      Yarabi tuwe moyo wakutoa kwani kutoa ni moyo siutajiri

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 роки тому +2

    Subhanallah