Shekhe. Kumladhi! Maana NIMEANDIKA na kutafsiri jina lako TOFAUTI! Naam, Shekhe Othman. Niombee Mema katika safari yangu ya hapa Duniani. Nami nakuombea katika kazi hiyo NZURI na muhimu saaana katika kutukumbusha wajibu wetu kwa Muumba wetu🙏🙏🙏
Mashallha shekhe Othman mungu akupe aweni lnshallha uzidi kutupa mawaiza yenye raza ya sauti mzuri maana uwe nikisiliza mawaiza yako najiona napata na furaha ya moyo kwaza uchoshi mashallha kusiliza
Allhamdulillh Allah awape umri.mrefu mashekhe wetu wote mnaolingania daw othuman Allah akulipe unatoa daw Kwa hekma bila ya ukali mpak mamuma anakuwa na mwang kweny moyo walahi
Allah akuhifadh shehe. Nataman kujua kama una darsa za kufundisha kinamama hapa dar. Allah anijaalie niwe miongoni mwa wanafunzi wako. Allah kakuruzuku ilmu kubwa.Wasaidie akinamama wa kiislam kwa kuwaelimisha ili kizazi cha hiki kiweze kunusurika na kiwe bora kwa kumtii allah.
Shekhe. Kumladhi! Maana NIMEANDIKA na kutafsiri jina lako TOFAUTI!
Naam, Shekhe Othman. Niombee Mema katika safari yangu ya hapa Duniani. Nami nakuombea katika kazi hiyo NZURI na muhimu saaana katika kutukumbusha wajibu wetu kwa Muumba wetu🙏🙏🙏
MashaaAllah....Wallahi nimejifunza mengi Sana kupitia kwako Ustadhi.Mwenyezi Mungu Akuzidishie
Huo namuelewa sana Ustadhi twashukuru kwa dawaaa zinatubadilisha na kua wacha mungu
Jazaka Allah khaira shekh othman maalimu Allah AKUJAALIE umri Mrefu
mashaAllah one of my favorite sheikh
Mashaallh mungu akujaalie kila l kher inshaallah kw kutup elim mungu akubarki inshaallah
Sheikh Othman, tunakupenda na tunakuhishimu kwa kusikiliza Mawaidha yako. Mungu akuhifadhi akupe siha na afya. Tufate mawaidha ya Kiislamu. AMIN
AMIIN
M nahtaj unioe nipate kufundishwa mambo ya din jamn
ameen
Jazaka Allah khaira shekh othman maalimu
Jazzakallah kheyran sheikh Othman
Marshallah mwenyezi mungu akulipe kwa kazi nzuri inshallah
Mashallha shekhe Othman mungu akupe aweni lnshallha uzidi kutupa mawaiza yenye raza ya sauti mzuri maana uwe nikisiliza mawaiza yako najiona napata na furaha ya moyo kwaza uchoshi mashallha kusiliza
Mashallah Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
Thank u I have liked this.
Mashaa Allah, Allah amjalie Sheikh hafia Bora nasisi pia Aamin
Shukran wajazzak Allah kheir Allah akuhifadhi akupe umri na afya njema
Inshallah Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema na mimi pia tuwe peponi pamoja na mtume Mohammad(s.a.w).Aminiiii
Issa Ngullo amin
Ameen
Ameen yarab
m
Na mm mwenye kuskiliza tuweote peponi insha allah
Mashallah shekh mm napenda sana mawaidha yako Inshallah kila khery namungu akuongezee umri mrefu wenye faida Akhera na duniani Inshallah 👏
Sheikh Othman Ndugu yangu Allah kakujaalia Zumari la dhahabu unavyosoma Quraan 7:14 MashaAllah
TabaarakALLAH min Kulli ni3am
Masha Allah shekhe Allah akulipe na atujaalie wasikilizaji tuwaizike
Allah Atujalie kheri insha'Allah
My Aalim Dr Othman Maalim 😢
Manshaallah cheikh, shukran shukran
Maa shaa Allah tabarakallah baraka llahu fik sheikh othman
Mashaallah Jazakallahu kheyri, Mungu Azidi kukuweka shekhe Othman Maalim
Shukurani sheikhe othumani mwenyezi Mungu akujalie Janna tukufu siku ya khisabu inn'shaalla
Daah uyu shehge mungu amoinde
shekhe maalimu othuman Allah akupe kheri nyingi
My favorite sheikh
Allah akuzidishie ilmu nayapenda mawaidha ysko sana
🇧🇮🇧🇮🇧🇮Allah akubariki
Nampenda sana shekh Othuman Allah akuoe ukupe umri mrefu InshaAllah
Mungu akuongoze shekh Othman maalim
Alhamdulillahi leo nimejua vp hizo sijida 2 zilivo wekwa ALLAH akupe umri uzidi kutuelimisha🤲🤲
Karibu tena Bujumbura Sheikh
Jazzakallah fikum
My all time favorite Allah ya Izaq❤️💯🙏🏽
Allah akupe Afya njema ili uendelee kutulingania InshaAllah @Sheikh Othman Maalim
Abubakary AEL sheh othmani mungu kukupa!!
Mashaalaa mungu akupe afya njema
mashaalah.M/MUNGU akupe ujila wako kwakutuerimisha waja wenzio.
Ma Sha Allah,nakupenda kwa ajili ya Allah!
assalaam, Allah amjaalie ulamaa huyu elimu yenye manufaa kwa jamii Duniani na Akhera ,Allahumma Aamin
Waalley kum sallam,Allahuma ameen.
Masha Allah shekhe Allah akuzidishie kila kheri akuepushe na kila la Shari AMEEN Akupe umri mrefu AMEEEEEEEN
I like all the best
Shekhe othuman Allah akuhifadh
Amina
Shekhe Asuman. Ukarikiwe zaidi kwa Umahiri wa usomaji na Tafsiri ya NENO la Mwenyezi MUNGU. Emmanuel
Qqq
Masha Allah mungu akujalie afya njema amiin
Sheikh wangu love you from Canada 🇨🇦
Maa Shaa Allaah
Jazakallahu kheyri ya maalim othman
Shukrani shekhe othman
mashaa allah
E / M niweke bhal na Ibils laana kum na ikitokea nikipotea bhx naomba nikukumbuke inshallah
Mungu akubatiye Rehma Yake
Mwenyezi Mungu akupe maisha malefu
Allhamdulillh Allah awape umri.mrefu mashekhe wetu wote mnaolingania daw othuman Allah akulipe unatoa daw Kwa hekma bila ya ukali mpak mamuma anakuwa na mwang kweny moyo walahi
jazak Allah khair nimependa sheikh
Shekhe wetu ,Mola akuzidishie uwezo wa dawa na umri mrefu insha Allah
Jazakallah khair
Allah akuhifadh shehe. Nataman kujua kama una darsa za kufundisha kinamama hapa dar. Allah anijaalie niwe miongoni mwa wanafunzi wako. Allah kakuruzuku ilmu kubwa.Wasaidie akinamama wa kiislam kwa kuwaelimisha ili kizazi cha hiki kiweze kunusurika na kiwe bora kwa kumtii allah.
Mashaallah aleyk Sheikh Othman maalim Allah kakupa sauti na umejua kuitumia mahala sahihi Allah atupe ilham sote muslim
Maashallah akujaalie kila la khery sheikh
Shukran shekh, kiukweli si mda mrefu mimi mwenye nilijiuliza, kwani hizi jijida mbili zilikujakujaje ktk kusali
mashallah sheikh nkukubali %%%%%%%%%%%%% mungu akubariki
Allah akujaliie elmu zaidi ,uzidi kutuelimisha,shukran, jazakumullah kheir
Mashaallah mungu akupe mwisho mwema
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah amiin yarabi
mashaallah shekh othman Maalim Mungu akulinde na kila kabaya
Mashaaalh mungu azindi kukupe umri sheh wetu ili uzindi kutufundishaa🌹🌹🌹
Mwenyezimungu akufanyie wepesi shekh
Maashaallah shukraaan saan shekh nakupenda saaan
Mashallha
Alhamndulilah ALLAH akuzidishie kheri duniani na Akhera pia
Jazaka Allahu kheira
Mashallah mungu akupe uzima uzidi kututowa kwenyeshimo la moto tupate kher kwa allah
Mwenyez mungu akujaalie kila la kheri shekh,wewe ni mwaalimu wangu mkubwa!
Mungu akupe khery Sheikh Othman maalim
Allahuaqbaru🙏🏽
mashallah mola akubarik
Mashallsh
Aĺlah atukinge na amali ya kivri na wenye kibri Allah awaonolee
Amiyn
Hakika makumbusho yako ni Bora kwetu sisi ...Mola akujaalie kila lenye kheri la akhera na dunia
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 ya Allah bless us with your deen
Alhamdulillah
Alhamdulilah mashallah mawaidha yakusisimua Mungu akupe mashaisha marefu amin
Jazakallah khair!!!
ALLAH akujaalie kheir inshaaLLAH
Inshaallah
mashallaah allaah akuweke shekhe wetu kuakutuelimisha mashalah
Mashallah sijawai kuchoka kukuskiza shekh wanguu...siku moja nataman nikuone inshallah
Jazzakallahu khery shekhe othman Maalim,ALLAH akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema Inshallah.
Saumu Hassan jazzakallahu khery shekhe othman
Mashaallah
Mambo.vipi
sheikh Allah akupe umri mrefu wenye manufaa
Tujuane tunaoangalia 2024
Alla akupe kila lahere ishaall shehe wetu amini
MashaAllah, Jazakallahu kheyri Sheikh
mashallah shukrani 🙏
mashallah
H
MASHAALLAH ALLAH AKUZIDISHIE KAKAETU UTHUMAN MAALIM NA AKUJAALIE MWISHO MWEMA AMIIN
Maaaashaallah Allah akulipe badala
Amin
Jazakallahu khaira
Mashaallah mungu akupe umri mrefu
mungu akupe mwisho mwema
MASHAALLAH 💕💕 MWENYEZI MUNGU ATUJAALIE MWISHO MWEMA.
Maasha Allah akuiy kaaariiiimm
God Bless you. Mashaallah
Mashallah
MashaAllah Allah atujaalie tuwe ni wenye kuwaidhika
Mungu akupe mema
Mashallah Allah akulipe mema inshallah
mashalah
Shukran wajazaka Allahu heri
Mashallah tabarakallah jazzakallahu khaira
Alhamdullillahh..
masha allahu shekhe kutupa muonguzo Allah akupe kauli thabiti
Baaraqallahu fiyq yaa sheikh
Mungu akupe maisha marefu
shekhe allah akupe umri mrefu nsitupate kujua kama wew
amineee
Wallah hua sijutii bando langu sheikh, niangaliapo mawaidha yako najihisi nipo kabisa karibu na masahab
m.a
@@ahmedhusseinhussein8145 maalum mm taka uniekewazi nilimsikia shehe anasema mtuikwahaelewani nanduguzake hana Ramadhani je hii inaukweli
Mashaallah shekh Othman Maalim
Mashalah hakika nimepata aman ya moyo kwakuskilz kisa cha nabii adam kikiwa kimeelezwa kikamilifu
jazakalahu kheyri ustadh
May Allah bless you shekhe
mungu akubariki sana shee OTHMANI MAALIM
MASHAALAH
Cheikh Othmane malim una soma kur'ani kwa utarTibu , mungu akupe umri mlefu , n'a mwisho mwema.
Amiin