ANGEL NYIGU "SIPO sawa na ZUCHU kama Zamani/Wana CHUKI na MIMI/Bila Hela Sichezi wimbo'
Вставка
- Опубліковано 15 чер 2024
- Dansa Angel Nyigu amepiga stori na Rick Media kuhusu kazi yake na kufunguka mambo mengi, kama kuanza kufanya kazi na Harmonize, uhusiano wake ulivyo na ZUCHU n.k
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#AngelNyigu #Zuchu - Розваги
Nimekuwa wakwanza kukomenti apa naombeni like ❤❤
Dada endelea ivo ivo huez fanya kaz bure iyo ni ngumu no money no sevice
Hapo kwa kutotaka kufanya kazi tena akidai wanawake wakipanda kidogo tu zarau...uyu n mrs energy kwa mtazamo wangu😂
Nampenda sana angle ❤
Hyu z hataki kuona mwanamke kwenye wcb
Sema Zuchu alidhani mnamchukua Simba 😂
Zuchu mshamba sana hajiamini
wapili
Mwandishi ana force bifu kuwa lazima liwepo
❤❤❤❤❤❤❤❤
𝘏𝘰𝘯𝘨𝘦𝘳𝘢 𝘣𝘪 𝘥𝘢𝘥𝘢
Hawa Watu 😂😂😂
🧭🤳 Nimkuwa wa kumi10 from Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 PEMBA CariaCo❤❤❤ namkubali Angel N.
Si Mozambiki ni Mozambique na si cariaCo ni Kariakoo hovyoooo😏
😂😂😂😂😂😂@@nellymtambo8432
Ila wadau mnachapia sms zenu😅😅😅
Lazima chuki iwepo wewe no mzuri zaidi yake halafu unakia lucheza zaidi hunategemea NIMI NA wewe imezidi mpaaka ijanja
UYO DEM AACHE UCHINGA KAZI ZIFOSIWA MJINI,,UKISUBIRI UTAUZA LAKINI UTACHELEWA...WE SEMA TU UNA BIFU NA ZUHURA...NA HUNA MUDA WA KUMTETEMEKEA UELEWEKE.
Fanya mchezo wa kuombwa na zombie
dada kajipata sasa
Mkiwaga. Nashida mnakuwa wapole. Mkipata mnakuwa na menu jujuu
Ko ulitaka awe mtumwa kisa tu hana pesa
3
Mimi MTU WA 26 kucomment
Kwahy
We watu wamekuthaminisha umejipata alafu unawadindia kweli binadamu konyo
mfano wewe mtu akufikishe sehemu fulani af atumie iyo kama advantage ya kukumistreat utamchukuliaje uyo mtu et
zuchu kamkuta anafanya kazi na Vanessa mdee kusema kwamba wamemthaminisha apo niuwongo 😁😁😁
@@mwajumabinwa604 huyo Vanessa alimuachaje? Sisi tume.jua akiwa wasafi na Zuchu alikuwa akiwapeleka nje lkn anamtaja pekeake kama dencer wake hamjui kama hapo alimthamini na lengo la zuchu alikuwa amfikishe alipo lkn Sijasikia zuchu akimuongelea kwa lo lote lile ila yy akiulizwa anaanza kubwabwaja badala ya kutoa heshima tu kwa Zuchu na Wcb anajikuta kafanikiwa kuliko wcb hapo alipo yani
@@malkavoice2570Angela kaisha enda inchi nyingi kucheza kuliko zuchu, Norway, Russia, Belgium..... zuchu ahajafika huko kote wewe America alienda na unajuwa kulibuma
@@mwajumabinwa604hilo jambo angel mwenyewe ndio aliyesema kwenye interview alisema zuchu ndio alifanya aonekane sana na mtu aliyefanya kwenda nje ya nchi
Wewe bado umefugwa miguu sijawai kuona unacheza nyimbo za konde naona bado unaogopa
Ni kama ufatilii vida zake zote...anacheza hadi za anjella
anafanya kazi kwaku lipwa nasio eti nyimbo imetredi mdo afanye apana
Konde halipi😅uyu anacheza kwa kulipwa😅