Waandishi ndio wanajitafuta na kuandika heading za utata ili wapate views lkn wanasahau kwamba professional yao iko uniq endapo wakifanya bila kuchit wanatoboa tu. Unadhani Angel kaanza kazi na Zuchu mbona kaanza na Simba na hawezi kuwa hajielewi hatakama kakutana na changamoto bado anawaheshimu sn watu waliochangia yy kufika hapo
Bongo wasanii wengi wanatumia dancers ni msanii gani katoa dancer kaenda kama huyu alafu from no where mwandishi anajitoa fahamu asimuulize mtu anasemaje kuhusu wakubwa zake angalau awape hope ya kukuuza wengine.
Duh usharud mdada juz tu ulikuw 🇬🇭 kaz nzur num 1 dancer in 🇹🇿 🇹🇿
Nampenda uyu dad❤ anaishi kwenye ndoto zake ata mmi natamani ni around the world❤
Angel Keep the 🔥 burning ,you're amazing,hardworking,determined and passionate ❤❤❤❤❤
Ukimsikiliza vizur utajua kabisa kama Anausingizi
Good job ❤angel
Waandishi ndio wanajitafuta na kuandika heading za utata ili wapate views lkn wanasahau kwamba professional yao iko uniq endapo wakifanya bila kuchit wanatoboa tu. Unadhani Angel kaanza kazi na Zuchu mbona kaanza na Simba na hawezi kuwa hajielewi hatakama kakutana na changamoto bado anawaheshimu sn watu waliochangia yy kufika hapo
Bongo wasanii wengi wanatumia dancers ni msanii gani katoa dancer kaenda kama huyu alafu from no where mwandishi anajitoa fahamu asimuulize mtu anasemaje kuhusu wakubwa zake angalau awape hope ya kukuuza wengine.
She is the best❤
Namsikia sky anakuza legacy yake
Hard worker❤
❤❤❤❤❤
Safi saaana
God girl 🥰🥰🥰
Angel unafanya POA sana dadangu
Umehenda uraya tayali umesahau kiswahili unachanganya
Na WW ulie uswahilini hata kiswahili chenyewe hujui kukiandika!
Ngoja na wewe uwende
@@supertal2943 sawa unaejua kiswahiri
ANAFOSI SANA TUNAMUONA..❤
Wacha rashia mie nimeenda hadi syria 😢😢😂😂🤣anyway this is my girl I like how she answer this nigar
💯Angel
English imeharibu interview, NEXT time jirekebishe
Nkupenda sana kipenz changu Engel nyigu