Agombee, lakini ajue tumeshajua analenga nini. Ila ajue ataungana na msigwa mara baada ya kushindwa vibaya uchaguzi huo. Angekuwa heche ningekubali, na kwa taarifa yake kama itatokea nafasi hiyo kugombewa na mtu mwingine zaidi ya Lissu basi John heche ni bora kuliko wenje.
Nyie ndio wazandiki kwenye chama hiki, usikute na wewe ni pandikizi la ccm. Kama hiyo nafasi ya Lisu inabaki wazi, unataka ukagombee wewe? Au huelewi kama Lisu anaenda kugombea Urais?
Hiki chama kina mamluki ya kutosha na yako kazini, mnapiga makofi kwa sababu hamjui mlitendaro.Watoto wa nani kama mama wako kazinii kuisambaratisha chadema na kuiponya ccm
Hapa ndo mwanzo wa ccm.kwenda hii imeisha sababu hiyo hipo wazi Watu qanataka ubumge aise leo miaka mingapi njaa tupu.bora wakawa wabunge ccm.karibun mno
Hata ukigombea hutashinda.Unapoteza muda wako hutoshinda hata.Lisu tunamtaka sana kwenye hiyo nafasi.Wewe hatutakuchagua pamoja na sifa ulizo nazo. Na ukigombea uwe na nia safi na sio ukute unatembea kuelekea kijani, majano, wewe na kundi lako.
Eti lisu anasubili kuapishwa kuwa rais siku hizi hata mchana munaota ndoto. Etiii muweke kwanza mambo yenu vizuri hasa mwenyekit mwingine nukifauri hapo utaona mambo yanajipa tu mungu baliki tz
Akishindwa anaondoka kama msigwa ndiyo waliochukuwa hela ya Abdul na mama yake aondoke tu atuachie chadema yetu ondoka huwezi kushindana na lisu kailinde CCM siyo chadema
Hata mimi nilikuwa namwamini lakini kwa kauli hizi anazoongea tutampoteza mda si mlefu alianza kutaka kugombea nyamagana ubunge alienda loliya shingo upande hata mwaka huu au mwaka jana moja ya mkutano alisema atasema atangombea ubunge wapi kauri zote hizi ndani kunausaliti wewe ni wenje ungekuwa mtu mwema busara ingekuongoza kusema tuu lisu jamani anatosha siwezi kungombea mbele yake
Wenje huyu huyu alimpeleka Abdul mtoto wa mama kwa lisu ili wakiuze chama na lisu akawafukuza na alipofukuzwa alipewa mamilion ndy yalimpa ushindi wa umwenyekiti wa Kanda ya ziwa akamhujumu pambalu kama amishinda chama kimekufa hizo Hera zitamtafina WENJE
@@dennisungonella205 nashangaa 😂Hawa jamaa wanamuona kama ni tishio wakati ni kawaida hata akitaka kuchukua cheo Cha mbowe ni sawa TU ndio demokrasia hiyo
Mgesubili uchaguzi upite kwani ungekaa kimya usingegombea mpaka uute waandishi shida sana ila nafasi Ile wewe utoshi na wewe ukitaka kumfuata msigwa nenda munaanzaga ivo ukishindwa tuu utasema chadema Kuna lushwa mala mbowe afai tunakujueni wewe safali ya kwenda ccm iyo
Kweli kabisa, nauona mkakati wa kijinga wa kukivuruga chama, kwanini kuanza kutangaza masuala ya kugombea chaguzi zijazo wakati chama hakijatangaza? kama kila mtu ataanza kutangaza nia kugombea taifa haoni anakuwa sehemu ya kuleta taflani ndani ya chama? Halafu, anapoomba nafasi za juu zaidi, je ametimiza kiasi gani wajibu wake kama kiongozi wa kanda ya Victoria? Of course anayo haki, ila this is not the right moment
@@illomowerner7690 aendlee kuwa m kiti wenje awe msaidiz wake lisu awe mgombea urais na nyamagan yetu tuirudshe Kuna mbunge pale nyamagan amn kitu kabisaa
Hawa ndiyo wenye uroho wa madaraka, umepata uwenyekiti wa Kanda bado unataka tena nafasi ya Makamu mwenyekiti Taifa? Chama hakina watu wengine mpaka ww ugombanie Makamu mwenyekiti Taifa?
Bado Lisu anakibari kuliko wewe,Wewe ni mwana siasa mzuri tulia tu,
Kuna umuhimu wa Mbowe ku-step down amwachie Lissu Pia inaweza kuwa njia ya Wenje kutafta kuelekea kwa aliyemtaja kuwa ni rafiki yake Msigwa
Tamaa mbaya.... Pambana na Uwenyekiti wa Kanda ya Ziwa....
Mungu amtangulie
Mh. Msigwa amekiri kwa kinywa chake kuwa vigogo wakubwa wapo njiani kumfuata hasa rafikize, so sad.😢
Achaneni na uchaguzi wa ndani utawagawa Kwa sasa fucus uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu
Lazima kuwe na uchaguzi wa ndani, wewe ni chama gani. Hakina viongozi wa ndani ya chama? Tulia kwanza uone vijana wanavyo simama na chama!
Vizuri sana Wenje, nyasae otelni e dwaroni mdogo wangu. Tunakupenda sana mpendwa wetu
Kaa utulie kwanza
Wenje aliniingza kwenye chadem 2010 nyamagana alipiga show San na ana akil nyng San maendleo n meng Salish nyamagana Mungu akutanglie kaka wenje
Mnajidanganya
karibu Ccm
Kaa nayo wewe
Pesa hizi mh!
Naona kabisa huyu anataka ya msigwa tayari kashalambishwa
Agombee, lakini ajue tumeshajua analenga nini. Ila ajue ataungana na msigwa mara baada ya kushindwa vibaya uchaguzi huo. Angekuwa heche ningekubali, na kwa taarifa yake kama itatokea nafasi hiyo kugombewa na mtu mwingine zaidi ya Lissu basi John heche ni bora kuliko wenje.
Nyie ndio wazandiki kwenye chama hiki, usikute na wewe ni pandikizi la ccm. Kama hiyo nafasi ya Lisu inabaki wazi, unataka ukagombee wewe? Au huelewi kama Lisu anaenda kugombea Urais?
Nenda tu ccm ,maana mmejigeuza kuwa "Bidhaa kama nyanya"
Safari ya kuelekea ccm imeanza hio
Hiki chama kina mamluki ya kutosha na yako kazini, mnapiga makofi kwa sababu hamjui mlitendaro.Watoto wa nani kama mama wako kazinii kuisambaratisha chadema na kuiponya ccm
Kwani kugombea nafasi ya uongozi ni usaliti?😂😂
Nihaki yake
😂😂Wenje bhana?!! Unataka kuwa Makamu Mwenyekiti au unataka kuwa msaidizi wa Mbowe?!? 😂 Unajuaje kama Mbowe ataendelea kuwa Mwenyekiti?!
Acha unafiki wenje tunajua umepangwa ebu sikilizia chadema inavyo wafia jalibu kigombea hiyo nafasi
Naona harufu ya Msigwa kwa Wenje... Nafikiria tu🙊
Na namuona wenje kapooza pooza kama alivyokuwa Msigwa ...
Hapo hamna jipya, Chadema CHALI😂
Mwengine huyo anamfata msigwa mda si mrefu lissu na mbowe hawashikiki hawakamatiki time will tell
Yawezekana kama naye ni miongoni mwa minong'ono ya wanufaika wa Duplicating paper
Kwani Lissu alisema anajiuzulu, ni vizuri kuheshimu walio juu yako, kama Lissu anajiuzulu hapo sawa ila kama yupo acha na hizi maigizo
Hapa ndo mwanzo wa ccm.kwenda hii imeisha sababu hiyo hipo wazi
Watu qanataka ubumge aise leo miaka mingapi njaa tupu.bora wakawa wabunge ccm.karibun mno
Sisi watanzania akili hatuna kabisa. Kwani wenje kugombea makamu mwenyekiti shida iko wapi? Ama kweli ushamba mzigo
Hata ukigombea hutashinda.Unapoteza muda wako hutoshinda hata.Lisu tunamtaka sana kwenye hiyo nafasi.Wewe hatutakuchagua pamoja na sifa ulizo nazo. Na ukigombea uwe na nia safi na sio ukute unatembea kuelekea kijani, majano, wewe na kundi lako.
Lissu agombee uwenyekiti sasa
Huyu anatafuta njia ya kutoka chadema aende CCM 😂😂😂
Umeona mbali.
Msigwa part two😂
Nafikiri hiyo ni haki yako kabisa
Chadema Bado Kuna mvutano Kuna makundi mawili 2,Lisu na Mbowe
Kugombea uongozi haujawahi kuwa dhambi kamwe, wanachama wataamua
Kwa NN unasema unataka ukawe msaidizi wa mbowe mmepanga hivyo kumuondoa lisu au acha ushanz ww tumeshajua Nia yenu ovu iyooo
Chadema ina watu wengi Sana ni college.inaonekana wenje inataka kuondoka tunakupenda Sana ondoka vijana ni wengi
Kaka Mwamba TUNDU LISSU humuwez ww tulia kwanza,atakuabisha mno huwez pambana nae
Wenje ni kiongozi mzuri lkn hana uwezo wa kushindana na Lissu
Kampeni ya Mbowe ukumuangusha Lisu apotee kabisa ndio imeanza
Eti lisu anasubili kuapishwa kuwa rais siku hizi hata mchana munaota ndoto. Etiii muweke kwanza mambo yenu vizuri hasa mwenyekit mwingine nukifauri hapo utaona mambo yanajipa tu mungu baliki tz
Yupo sahihi!
Mbona watu mapovu mengi? Mwacheni agombee, sindo demokrasia tunayopigia kelele ndani ya chama chetu.Hata nafasi ya mwenye kiti watu wagombee tuu.
Wanataka demokrasia ya nje ila ya ndani hapana
Chadema mmefika meisho kama caf
Tunajua kilichonyuma ya wenje naona chama hiiki kimeanza kuingiliwa na mikono ya mtoto wa mama.
Ndo demokrasia yenyewe, ila asije akashindwa na kukimbia😊
Wenje ni ccm
Amebwaga manyaga kweli kweli
Kugombea ni wajibu wakila mwanachama achukue agombee
Concentrate na uchaguzi wa serikali ya mitaa,kuanza kutangaza kwa ajili ya uchaguzi wa ndani unapotosha wananchi,acheni ujinga wenje.
Bundi ametua huko
Nihaki ya mtu yeyote kugombea ilimladi kukizi vigezo ya katiba ya chama wasi bundi kamaunvyosema
Wenje anaanza kupapasa na kugusa link za watu ebullient bonyeza mbowe faundation ## uone nini kitatokea kwenye screen
Akishindwa anaondoka kama msigwa ndiyo waliochukuwa hela ya Abdul na mama yake aondoke tu atuachie chadema yetu ondoka huwezi kushindana na lisu kailinde CCM siyo chadema
Kabisa, aondoke atuachie CHADEMA yetu. Tumekaribia kuchukuwa DOLA wasituharibie.
Yupo sawa wenje, tena anafaa kuwa mwenyekiti wa c,d,m kabisa sio makamu mwenyekiti, sio zambi , anafaa
Hata mimi nilikuwa namwamini lakini kwa kauli hizi anazoongea tutampoteza mda si mlefu alianza kutaka kugombea nyamagana ubunge alienda loliya shingo upande hata mwaka huu au mwaka jana moja ya mkutano alisema atasema atangombea ubunge wapi kauri zote hizi ndani kunausaliti wewe ni wenje ungekuwa mtu mwema busara ingekuongoza kusema tuu lisu jamani anatosha siwezi kungombea mbele yake
shida inakuja akishindwa atakubali maana wanakuwaga na maneno menng hawa watu kama msigwa najua atashindwa kwa kula je atakubali
Wenje dont confuse CDM members
Mbowe mwangalie sana uyu ni yuda kama yule mchungaji
Huwafai kuwa rais hatukutaki
Wenje huyu huyu alimpeleka Abdul mtoto wa mama kwa lisu ili wakiuze chama na lisu akawafukuza na alipofukuzwa alipewa mamilion ndy yalimpa ushindi wa umwenyekiti wa Kanda ya ziwa akamhujumu pambalu kama amishinda chama kimekufa hizo Hera zitamtafina WENJE
Kama ni hivyo basi nafikiri kweli yupo njiani?
Umehongwa na mbowe wewe ni mnafiki ninyi wavhaga huwa mkoje ni watu wabaya sana
Tayari huyu keshanunulika,huyu kweli wa kuvivaa viatu vya lissu huyu?hapana hatoshi
Sio kununulika tu bari tunasikia tetesi kuwa ametengewa bilioni 7kumsambaratisha MH Tundu Lisu.
Kwanini usigombe umwenyekiti mkuu
Paka katua juu ya paa la nyumba
Huyo achunguzwe naona anaaza chokochoko kama vp afutwe uanachama kabisa aende ccm ww Bado mdogo kisiasa tulia
Kwanini Sasa kwani mtu kutamani nafasi ya juu ni kosa
Haahaa kugombea uongozi Kuna dhambi Gani kaka?
@@dennisungonella205 nashangaa 😂Hawa jamaa wanamuona kama ni tishio wakati ni kawaida hata akitaka kuchukua cheo Cha mbowe ni sawa TU ndio demokrasia hiyo
Mgesubili uchaguzi upite kwani ungekaa kimya usingegombea mpaka uute waandishi shida sana ila nafasi Ile wewe utoshi na wewe ukitaka kumfuata msigwa nenda munaanzaga ivo ukishindwa tuu utasema chadema Kuna lushwa mala mbowe afai tunakujueni wewe safali ya kwenda ccm iyo
Kweli kabisa, nauona mkakati wa kijinga wa kukivuruga chama, kwanini kuanza kutangaza masuala ya kugombea chaguzi zijazo wakati chama hakijatangaza? kama kila mtu ataanza kutangaza nia kugombea taifa haoni anakuwa sehemu ya kuleta taflani ndani ya chama?
Halafu, anapoomba nafasi za juu zaidi, je ametimiza kiasi gani wajibu wake kama kiongozi wa kanda ya Victoria?
Of course anayo haki, ila this is not the right moment
@@illomowerner7690 aendlee kuwa m kiti wenje awe msaidiz wake lisu awe mgombea urais na nyamagan yetu tuirudshe Kuna mbunge pale nyamagan amn kitu kabisaa
Eti Laisi wetu kumbe ccm ina rais
Duu, ??mamluki
Hawa ndiyo wenye uroho wa madaraka, umepata uwenyekiti wa Kanda bado unataka tena nafasi ya Makamu mwenyekiti Taifa? Chama hakina watu wengine mpaka ww ugombanie Makamu mwenyekiti Taifa?