🔴
Вставка
- Опубліковано 30 чер 2024
- 🔴#Live: MBOWE na LEMA WAMLIPUA VIBAYA PETER MSIGWA - WAMWITA MSALITI - WAFICHUA ALICHOKIFUATA CCM...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mbowe SI mama imara baba sisi na mungu tunaijua kazi yako acha makapi yaendelee kutoka ndani ya chama
Asante sana makamanda
Safi sana kamanda
Kwa maneno upo vizuri
Somo analotoa Mbowe ni wachache watalielewa hapo. Watanzania wengi washazoea kwenda kwenye mikutano kusikiliza ahadi za uongo. Hawaelewi katiba mbovu inawaathiri vipi au matumizi mabovu ya fedha za umma yana madhara gani kwenye maisha yao.
Wananchi hata Mbowe hawamjui, halafu etc wafanye maamuzi, hawa chenga
Tena za mpunga
😅😅
Msishangae hii ndio democrasia na ndio uhuru wakweri naomba mjue hivyo msi mraum msigwa yupo sahihhi kwa mtazamo wake
Eti Magufuli ampe Hela lema
Kama hili ni kweli hebu viongozi tumrudie mwenyezi mungu cheo ni mungu amekupa kwa kukupima haifai kuwafanyia watu dhuluma je kama umefanikiwa kuwazulum watu unaishi kama mfalume na familia yako je nafsi yako ina amani?hii ni hatari sana malipo ya machozi ya watu na dhalili ya mungu hapa hapa duniani utahimili tumoogope mwenyezi mungu
Hakuna hiya hapo
Kwa tanzania bora mama auze nchi tuu, na kuiba wananchi wamelala
Msigwa ni kama pombe ya chupa hata aibu Hana kisa kushindwa uwenyekiti ,, kumbe lisu alimjua kuwa ni chawa
ukisema UKWELI ni kwamba"Leo hii ukifanyika uchaguzi wa vyama vyte bila jeshi la polis Wala usalama kutumika na ccm nataka nikuhakikishie ccm icngepata kura hata 1 sema tyu huwa wanatumia nguvu ya jeshi la polis na usalama" Dadeq zao
Hehehe, wananchi wanatia story zao tu
Ukimaema Magufuli ndo mnazidi kupote kabsa Mzee baba ana wafuasi wengi sana hapa nchini acha kabsa kumema magufuri ongei masuala ya nchi tu
Uzuri wa kiongozi ni kutafakari ni kwa namna gani atawaletea wananchi maendeleo na sio kuwaambia maneno ya ubaguzi wa vyama, nasema Chadema wamepotea njia, wameishiwa hoja
Global mna shida gani? Video zenu zote lazima zikwamekwame
Wapi lissuau naye kaunga ya msiba😢
Hahaha Hahaha eti aende Mirembe
Natamani Msigwa awe ametumwa kama walivyotumwa akina Halima ili kunusuru chama hichi. Mbowe na Lissu sio watu kama ninyi wale ni watu na zaidi
wee jembe sana
Kuelewa hutuba za viongoz wa chadema inahitajka elimu kubwa ukiwa na elimu ndogo utaona kama wanapiga kelele au walopokaji
Yaani Tanga wanachojuaga ni mspenzi tu, wapo usingizini miaka nenda rudi 😓😓😓
Kumbe unatuma kabuku waandamane wakati wakwako wapo nje ya nchi
Hovyo kbs
Tanga hovyo kbs ni ccm tupu,lkn ni masikini kuliko kawaida
Hawa wanoitwa people's hawajasikia mwenzao anasema watoto wake wako nje ya nchi, watoto wa nani waandamane sasa!!!
Watu wanataka sana mabadiliko,lakini aina za hutuba zenu za kuzoza na marehemu kila siku,inapunguza sana ungwaji mkono,watu wa buldoza ni wengi mulijuwe hilo, jitahidini kuliteka kundi hilo
wewe muongo, watu tunazidi kuwaelewa chadema! ulishawahi kuona komenti yoyote kutoka kwangu? ila wewe unakomenti mara kumi hata ishirini kila siku na nakufuatilia pakubwa tu.
Aidha, marehemu kuongelewa ni kawaida, madikteta wote duniani akiwemo magufuli wanaongelewa kwa mabaya yao. Anaongelewa Mobutu, Hitler, Stalin, Bokasa nk. Kwa Nini magu asitajwe Kwa mabaya yake?
Ni kweli kuna mema machache ameyafanya pia mabaya yake yapo.
Hata idiamini ni marrehemu lakn Hadi Leo anazungumziwa
Hamjielewi
Haisaidii kitu ameshaondoka ccm kaeni na chama chenu cha kikabila
Msigwa alisema akija ccm achomewe nyumba na magari ya keyote jemnakumbuka kamamna kumbuka jueni hata mboe, lema, risu, woteni ccm wenyeshida ni chadema hawawachini kama vire wiraya tawi kata ndowanachama wachadematu taifaniuongo mura
Hawa Chadema Mungu kama huwaoni basi Duniani hakuna Mungu na Mungu ni wewe kiumbe hai pambania hali yako kwa akili yako inavyokutuma. Chadema ni chama kinachoishi kwa akili kila kitu wameporwa lkn wananchi sisi tupo tupo tu hakuna hata mtu anajitokeza kama Kenya alafu wakija hapo mnawang'onga mnasubiria kanga na hongo za gongo na sadaka au zaka mnakaa kimya. Jitoeni muone kama hamjaonekana watu kati ya watu.
Chadema.nani.mgo.mbea.urais
Tajeni.watu.watkakujua.mbowe.unasmje
Lisu.au.mbwe
Chadema nanyinyi wanunueni wana ccm
@ James mwanachama hawanunuliwi wanajiunga kwa mapenzi
HAMNA ANAE nunuliwa
Kila mtu yupo huru kujiunga na Chama anachotaka,kuongea anachotaka hata nyinyi tunawakaribisha CCM matusi ya Nini toeni sera
We lema fala sana,toa sera za chama chako,acha kudandia hoja
Lema wadanganye hawoawo wewe watoto wako umewaficha kanada alafu unasema tuache uwoga fala wewe sisi ndiyo wanaume atukimbii na atujutii Mama mitano tena
We mbwa kweli Kati ya wanaume naww ni mwanaume? Puuumbavu wanaume wako kenya
Yani hawa, kuanzia muonekano, wanayoyatamka ni dhahiri ni watu matapeli kabisa. Chadema ni mkisanyiko wa vijana kadhaa wa kihuni
Mnasagika mioyoni Msigwa kawaacha hoiiii, wasaliti wakubwa mlipokea hongo ya Lowasa.uzeni ndizi na ninyi mnunue watu kutoka CCM.mmekwishaaaa!!!!
Hana kero huyu
Lema unataka waaandamane kwenda wapi
Chdema hawana tofauti na muniki
Ushauri wangu mngeachana na kumsema marehem Magufuli na kuongelea mapungufu yaliyopo na kueleza wanannchi mtayamaliza vipi. Magufuli ana wafuasi wengi mno nchi hii. Kumsema magufuli ni kupoteza mamilioni ya kura
Safi sana.umeshauri vyema sana.Viongozi zingatieni ushauri huu wa Busara.maana Waliopo tunawasema vibaya,na aliyetoka mmemung'ang'ania kumsema vibaya.Acheni,badilisheni gea angani.Magu ni wa kila mnyonge.
Fact
Sure
@@martinamassawe7921 Acha wajichimbie kaburi😁😁
Msigwa ndo nani
😂😂😂😂 eti leo Msigwa ni nani si mlikua mnamita kamanda poleni na bado wapo wengi tu wataunga mkono juhudi nye ni watoa Tarifa tu hakuna cha maana
Hakuna jipya hapo chadema
kenge! Msigwa katumia haki yake ya kuamua wapi sahihi kwenye siasa, tukumbuke kuhama chama pia ni sehemu demockorasia;kumbe ulikuwa na deni sasa umeshalipa kweli!
Sakosi katika ubola wake
unajua mnakua kero kwa wananchi kwani hamna agenda yenu?. nikuitukana ccm na Serkali yake kila wakati mtaongozaje nchi hii bila ya kuwa na sera zenu ambazo hamzitangazi? Ona mnavyo zidi kumegeka. muda si mrefu tutamkaribisha lema CCM.
Muacheni msigwa kafanya maamuzi ya maana sana
Wewe lema ;mbower; tulizeni booli mwiba hutokea ulipoingilia acheni kujadili mtuu mmoja mmoja tunachahitaji ni siaasaa safiii isyo kwa ya matusii unafiki tuelezeni mtakachofanyia watanzania wekeni mpira uwanjani mupimwe CCM&Chadema''' wazalendo& CAF fainali tuta amua seye wapiga kuraaaaa Apo vipi acheni kujadili mtuu mmoja mmoja ;matusi ya Nini
Kwer hiki ni chama cha watoa taarifa
KAONA CHADEMA N CHAMA CHA SACOS KAONA HAMNA KITU
😂😂
Ulikimbia deni Acha kumsingizia Magufuli. Hizi siasa rahisi rahisi hazina tija kwa taifa. Leteni sera zenu maandamano yataongeza maiti zingine hiyo siyo issue.
Deni la nini shida yako bado upo ndotoni ukabila unakusumbua
Chama cha domokrasia na maokoto
MBONA WATU NI WAWILI TU NDIO MKUTANO HUO
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. BG UP MSIGWA ,,umechagua NA BADO ,,chadema 😁😁😁
O😊jamani Muacheni magufuli wetu ongeeni ya kwenuuu msituvuruge kumsema Jembe la watanzania, tena mkome
Imekula upande hiyo bado zamu yako kuunga juhudi
chama cha kikanda hicho kinaeleweka ww nani uliemuona
Sakosi ya mbowe. Mbona kama imepanic. Ngoja msigwa amwage mboga ndio mtajua hamjui.
Siasa za bongo
We mwenyewe madaraka unayapenda jiuzuru uwenyekiti wa chama kwanza
Mbowe anatufaa leo na kesho na katiba haijavunjwa ya chadema.
kuna haja ya kujitathimini lazima kunakitu hakijakaa sawa humo ndani msilete blaa blaa, me mwenyewe nimeumia sana Msigwa kuhamaaa
Ahame tu! kwani hujamsikia msukuma? tafuta clip ya msukuma akimwongelea msigwa kwamba alikuwa anapokea pesa kutoka ccm na ikifika mwaka 2024 kabla ya uchaguzi wa mitaa atabeba gitaa begani?
kaka ugomvi huwa upo TU hata ccm yule msigwa ni mjinga
mtoa kero kesha lewa pombe ya mnazi
Chadema kama sakosi
Pumbavu zenu, Magufuli hayupo mnafiwa na chama chenu
Kabla sijasahau israel wamevunja makanisa jerusalem kanisa kongwe duniani na pia bethlehem ma Palastians ndio wakristo hakuna maYahudi kristo leo tanzania wanaunga mkono israel elimu ni muhimu sana biblical jews sio hawa europeans hawamuamini jesus ambapo waislamu wanamuamini kwa kila kitu
Sasa lema huyo msemaji kakudanganya watu wanauwawa na wewe umepata hotuba huo ni ujinga halafu unatuzarau tanga kwakuwa tuna nyumba za miti
Lema magufuri akupe hela ili iweje...yule alikwa hana huo ujinga...nyie hakuna kitu
CCM NI SEHEMU YA MABEBELU NDIO MAANA TAIFA LINATUMBUKIA SHIMON BADO HUJUI WWE NI KUBWA JINGA
Mbowe ndio Tajiri. chadema akifatiwa na lema Alafu wanaopiga kelele hapo Wote ni. Watanzaia. Achana na chama cha Kanda mbowe kafanya kazi. Na Rais mkapa adi Rais Samia. Mbona zito kaachi. Uwenye Kiti.
Zitto ndo kitu gani yuda yule
Halafu mm sasa naelewa kua chadema ndo watekaji ili wafanye siasa lkn ni ujinga uliopitiliza yaan siasa za tzanzania ni zakitoto sana
We fala sana wakati huo serikali Iko wapi sasa
Toa ushaidi achaekula matangopori ...nyi saccos ya kichaga hiyo@@kurwanjonge4586
Tatizo hawana mamlaka
MNAWAPANGA WATU WASEME KERO
Lema jembe, ila mbowe kapitwa na wakati hana ushawishi, mwacheni tu msigwa aende, umri alionao sio rafiki akapate pesa za kujikimu uzeeni, kweli alikuwa akiipenda chadema, lakini cheo hana ataishije!
Wewe.upewe pesa ya nn mpumbavu mmoja wewe
Tatizo nyie mmejaa roho ya ukanda ndio maana hamuwezi kupewa nchi.
Magufuli akupe pesa wewe? Ua ni mwanaCCM alikuwa anamtongoja mke wako.
Global Acha uchonganishi, wapi wamemsema msigwa? naku-unsubscribe now
CCM waliwanunua Kina mdee nasali NK lakini mbaka sasa bado wanapumulia gezi kwamziki wachadema uyomsigwa nifala tu
CCM imeja viongozi wakutosha kuanzia chipukizi mpaka juu sasa wanunue watu wenu wa nini? Tatizo lenu ni kwamba hamna sera nye ni watoa Tarifa mkisikia leo imetokea jambo mitandaoni nye kesho mnaamka nalo sasa watu wamesha wachoka ndo maana wanahama
uko saw ndugu
2:11 Lema unawadanganya hao wana KABUKU huna msaada wewe madaraka yoyote utawasaidiaje watu.hapo ni kumbi na kumbinga..kitabu cha zamani kilinasibu..tatua kero tukuone ..unawaita boya ..
Kuelewa hotuba za upinzan kunahitaji elimu kubwa ukiwa na elimu ndogo huwez kuelewa mtu anatatuajekero wakati aliporwa ubunge wake kibabe na mwenda zake(Magu)
Salami kwanza
Msituingize kwenye machafuko mbweha nyie
Yaani hili baba lenye jicho moja la kondoo🚮🚮
Huyu lema anapenda Israel yeye ni mkristo wa yahudi hawamuamini jesus wala ukristo
Bible jews sio hawa wazungu ni watoto wa jacob
Toa mfano UAE jangwa wanaotesha fruits na vegetable
Huko rasalkheima Fujeira Sharjah Alein dubai Hatta wacha kasumba za israel moha mbili israel wanuwa watoto vizee na wanawake South Africa imewashitaki ICU nyie mumelala na kasumba ya chukdren if israel basi sio hawa wazungu wake up
Ccm wajinga wewe mwelevu uliye na hakili zisizo na akili utabaki kung'ang'ana na malehem pole yako
Msigwa kashtukia deal maana mwenyekiti tangu sijazaliwa😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jamaa atatoleawa kama Kotapini
Wengi wao niwasaliti siku tukipata mtu sahihi kabisa mbowe ataachia Profesa j kama sio kuugua alitakiwa yeyeachukue kiti
KIKWAZO KIKUBWA WENGI WATAONDOKA CHADEMA KUTOKANA MBOWE NA LEMA NA LISSU UKABILA UDINI
Utakuwa na govi, maana hiyo akili niya peke yako karne hii
ni propagabda za ccm tu
Ivi mlilipwaga sh ngapi kumsema magufulii
Hata Yesu anasemwa seuze Magufuli !?
Kabuku ni Nguzo ya CCM, MKUTANO UMEOZA
Watoto wako Mr lema hawako Tanzania kikinuka hapa unakimbilia kanada then unatuambia tuandamane Shame on you
Wanachama wengi wamehama CHADEMA. Doctor Slaa, Zitto kabwa, Halima Mdee, Edward lwaasa, Fredrick Sumaye na wengine wengi. Tuacha kumlaumu Msigwa, tujitathimini wapi tunakosea.
Toka nipo la saba mbowe ni mwenyekiti chama Cha wahuni hiki
😂😂😂 YAN HAWA N KELELE TU MDA SIO MLEFU UTASMIA NA WENYEW WAME HAMIA CCM😂😂 NJAA MBAYA 😅 HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIVYO HIVYO KWA UCHUNGU 😂😂 KUMBE NJAA ILIKUWA HAIJAMKOLEA😂 NJAA IKIKOLEA MBONA UTAHAMA TU 😂😂😂