Swali ni je Mkulima atapinda mgongo mara ngapi kuweka hiyo mbolea? Kifuniko kimoja mara idadi ya mimea ni UTUMWA. tafadhali rudi darasani uje na njia mbadala. Hivi mkulima mwenye heka 10 si atatoka KIBYONGO?????
Sasa ww ni mkulima kweli au maana swali lako Hali muhusu Wala Hali husiani naye hata kidogo Ila kwakifupi ni kwamba mashine zakuweka mbolea zipo na pia hata watu wapo Kama we una mkono mgumu hutaki kuajiri watu ndiyo utapinda mgongo mzeee
Siyo suala la 'mkono mgumu'@@deogratiusyudatadei5658 mahindi kilo 1 ni shs 900 or less sasa utaajiri watu wangapi? unajua heka 1 inakupa kilo ngapi? Kilimo is business bro. Kama machine zipo basi atuelekeze tutumie hizo machine.
Asate Niko Congo RDC 🇨🇩❤
Can u subtitle in English?
huyu ofsa anaijua kazi yake vizuri,maneno mafupi yanayoeleweka
🤔🤔
Asante kwa elimu
maelezo mazuri
Darasa mujarabu
nenda ukafundishe chuo chochote maana unauwezo mkubwa wa kuelezea mtu
Swali ni je Mkulima atapinda mgongo mara ngapi kuweka hiyo mbolea? Kifuniko kimoja mara idadi ya mimea ni UTUMWA. tafadhali rudi darasani uje na njia mbadala. Hivi mkulima mwenye heka 10 si atatoka KIBYONGO?????
Hili swali natamani alione
Sasa ww ni mkulima kweli au maana swali lako Hali muhusu Wala Hali husiani naye hata kidogo Ila kwakifupi ni kwamba mashine zakuweka mbolea zipo na pia hata watu wapo Kama we una mkono mgumu hutaki kuajiri watu ndiyo utapinda mgongo mzeee
Siyo suala la 'mkono mgumu'@@deogratiusyudatadei5658 mahindi kilo 1 ni shs 900 or less sasa utaajiri watu wangapi? unajua heka 1 inakupa kilo ngapi? Kilimo is business bro. Kama machine zipo basi atuelekeze tutumie hizo machine.