MWINYI AINGIA IKULU,NYERERE AAGA TAIFA 1985

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Safari ya kung’atuka madarakani kwa Mwalimu Julius Nyerere baada ya kuhudumu kwa miaka 24 kwa nafasi ya urais wa Tanganyika na baadaye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilianza Jumatatu ya Oktoba 14, 1985.
    Ilikuwa ni baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 27 na mgombea pekee wa nafasi ya urais, Ali Hassan Mwinyi akaibuka mshindi.

КОМЕНТАРІ • 23

  • @patrickkambale603
    @patrickkambale603 4 роки тому +3

    Mungu akupe maisha marefu mzee mwinyi almaarufu mzee wa ruksa

  • @verenikapallanjyo41
    @verenikapallanjyo41 2 роки тому +1

    Kuna watu hapa duniani hawakubalianagi na taarifa hata moja.Wao ni kutoa kasoro tu kila taarifa.Nahao watu kwenye familia,kwenye jamii inayowazunguka wanasumbua sana.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 місяців тому

    Mungu akupe maisha marefu mzee mwinyi❤❤

  • @wilbertchafumbwe4353
    @wilbertchafumbwe4353 4 роки тому

    Asante mwanamke digital kwa historia hii

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 3 роки тому +1

    Tumetoka mbali🇹🇿

  • @geoffreynghumba1029
    @geoffreynghumba1029 7 місяців тому

    Hii habari haikundikwa vizuri. Safari haiwezi kuanza Oktober 14 baada ya uchaguzi uliomalizika October 27, what for

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 4 роки тому

    Mungu ni mwema sana

  • @SML2019
    @SML2019 4 роки тому +1

    Safi sana. Tunahitaji vitu kama hivi

  • @salimkombo1017
    @salimkombo1017 3 роки тому

    Powa

  • @lwitikophilipopelela1891
    @lwitikophilipopelela1891 3 роки тому

    R.I.P mzee Njelu Kasaka

  • @rahabukimena8464
    @rahabukimena8464 3 роки тому

    Tutakukumbuka daima baba

    • @aminaomary5567
      @aminaomary5567 7 місяців тому

      Mungu akuponye haraka❤❤❤mzee Rukusa.

  • @elishangoma8235
    @elishangoma8235 4 роки тому

    Maisha ya zamani yalikuwa mazuri sana

    • @khamisibinamu5323
      @khamisibinamu5323 3 роки тому

      Hayajawahi kuwa mazuri toka sisi tukiwa wadogo kaulimbio maisha magumu hadi leo

    • @mosesmzakwe7774
      @mosesmzakwe7774 3 роки тому

      Nchi imetoka mbali sana

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Рік тому

      ​@@khamisibinamu5323 kweli kabisa wewe unakumbukumbu nzuri za wapi
      tulipotoka.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 роки тому

    Sasa ndio nini radio au TV?

  • @ebenezatv765
    @ebenezatv765 4 роки тому

    Ebeneza

  • @paulmaziku240
    @paulmaziku240 4 роки тому

    Yaan kununua gari..upewe kibali

  • @oraionsabibi2756
    @oraionsabibi2756 3 роки тому

    Unachagua picha na kivuri enzi za mwalimu

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 2 дні тому

      Hakukuwa na demokrasia kabisa ilikua udikteta tu😂😂😂

  • @Bulji1
    @Bulji1 4 роки тому

    I hope all you have is a good

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 4 роки тому

    3:05 historical picture