Kama walivyomusingizia Hayati Magufuli. A katukanwa, akasingiziwa, kila mtu CCM kimya. Mtu aliyewasafishia chama chako, , na kuwatengenezea uchumi na kuwanunulia ndege, leo wanazipanda huku wakimutukana. Binaadamu bwana ogopa. Lala salaama baba Magufuli umepumuzika wanyonge uliokuwa ukiwaterea moto wana uone. Wanakulilia na wanakukumbuka. Yote uliyokuwa ukiyasema kweli tupu. Hayo uliyokuwa ukiyafanya hakuna mwingine anayeweza kuyafanya. .
Sifa zote hizo Wapemba wanajisikiaje wakati wote wa uhali wa Mzee Maalim Seif waliempenda na kumfuata? Hongereni kumuenzi. Umoja wa Zanzibar ni mkubwa kuliko Mzanzibar mmoja moja.
@@khadijahali4837 Tunajifunza mengi kupitia wanadamu yaani ukifa takataka zote zitakua zako sasa anahabari yawatu ambao wapo hai anasema amewastahi nasubilia wafe awaaibishe
Waliijuwa na wanaijuwa haki lakini bado wanafanya dhambi ishara ya watu walio pigwa muhuri wa motoni ktk nyuso zao hutubia mchana usiku wakatenda dhambi palepale. Tubuni toba ya kweli na mungu atawapokea.
Mh Karume hyo ndo zambi ya uongo tu imeendelea walikusingizia basi na hao alokutajia ni uongo pia hatambui km walitaka kujikosha tu na huyo Jussa ndo tabia yake hadi sasa anamsingizia Mh Rais wa Zanzibar na kumtolea jeuri majukwaani
Seif Hamad dedicated his whole life to Zanzibar. A good & humble human being.
May Allah reward him with Jannah. Amin
Allaahumma Aamiyn
Allaahumma Aamiyn
Allaahumma Aamiyn
Kama walivyomusingizia Hayati Magufuli. A katukanwa, akasingiziwa, kila mtu CCM kimya. Mtu aliyewasafishia chama chako, , na kuwatengenezea uchumi na kuwanunulia ndege, leo wanazipanda huku wakimutukana. Binaadamu bwana ogopa. Lala salaama baba Magufuli umepumuzika wanyonge uliokuwa ukiwaterea moto wana uone. Wanakulilia na wanakukumbuka. Yote uliyokuwa ukiyasema kweli tupu. Hayo uliyokuwa ukiyafanya hakuna mwingine anayeweza kuyafanya. .
Sifa zote hizo Wapemba wanajisikiaje wakati wote wa uhali wa Mzee Maalim Seif waliempenda na kumfuata? Hongereni kumuenzi. Umoja wa Zanzibar ni mkubwa kuliko Mzanzibar mmoja moja.
Global tv on line , muko vzr tena matangazo yenu yanatoka bila chenga
Kufa usifiwa 🤔🤔 pumzika kwa amani Maalim
Kweli unafiki ndo unaotafuna watanzania na maendeleo yanakwama
Dahh Dunia inakwenda mbio unatoa Siri yamarehemu unaficha Siri ya aliehai 😁😀😁😀
😂😂😂😂Hao ndo binadamù
@@khadijahali4837 Tunajifunza mengi kupitia wanadamu yaani ukifa takataka zote zitakua zako sasa anahabari yawatu ambao wapo hai anasema amewastahi nasubilia wafe awaaibishe
@@sadikidaudi1223 hana lolote hy nae mnafiki tuu
Waliijuwa na wanaijuwa haki lakini bado wanafanya dhambi ishara ya watu walio pigwa muhuri wa motoni ktk nyuso zao hutubia mchana usiku wakatenda dhambi palepale. Tubuni toba ya kweli na mungu atawapokea.
Mh Karume hyo ndo zambi ya uongo tu imeendelea walikusingizia basi na hao alokutajia ni uongo pia hatambui km walitaka kujikosha tu na huyo Jussa ndo tabia yake hadi sasa anamsingizia Mh Rais wa Zanzibar na kumtolea jeuri majukwaani
Amani yupo vizur
Kwa kujisifu uyu Babu uyu
"Mimi pia mtoto wa mjini" Wazee wa busara na hekims. Mungu awajali maisha marefu.
ukifa ndio sifa zako niaonekana
Maalim Seif amesha enda peponi je wewe utaenda wapi ?
Ammyn ammyn ammyn
Kisa kafa ndiyo mnaongea unafiki mwacheni Maalim apumzike mnaona hawezi kuwajibu ndiyo mmeona mahalo hapo pa kumsingizia?
♥️
Leo haongei amekufa mna msingizia Maalim Seif
🙏🙏
Wanajisafisha tu hao ni uongo mtupu mbona haja wahi kusema kipindi yupo hapo. Hiyo ndo ccm
Hukuyasema kipnd upo kwenye uongoz unayasema Leo ww mnafiki na hapo hutengezi ila unaboa
Kitambo