Mara ya mwisho tumeona akimkimbia yule mhalifu aliyekua anataka kumkamata(mbwela) kwa upande wangu naona atakua kaamua kwenda mbali na mazingira hayo🌚 @Steve_Mweusi kesho tunaomba mwendelezo😂😂😂😂
Mwisho wa ubaya ni aibu, namba 6 itakuwa moto, Dogo Sele amuumbua mama wakambo. Nina hakika tunajifunza mengi kupitia hapa❤. Washiriki na wahusika wote wa hii movie nawapa hongera 😅 wameweza
Akiii from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪naipenda hiii movie.. kweli tuwe maakini wakati tunakuchagua mabibi za kuoa..mungu atuonekanie huyu mama hana tofauti na kichaa ata heri yule kicha ana roho ya utu...😢😢
Sele anapitia changa moto kweli lakini mungu yuko Hongera kwa wale wote wamechangia ina mafundisho kwa wote wanao tesa wasio na bahati, 👍👍👍👍🌹🌹🌹🌹👍👍👍 Congratulations Watching from UAE
❤❤dah sele vumilia yatapita2 kazi nzuri sana Mungu azidi kukupigania katika sanaa Yako Naimani Utafika mbali kiufupi hiii movie nzuri sana nimeipenda sana nakufatilia mwanzo mwisho maana ni movie nzuri sana na Ina fundisha ni maisha halisia Watu wengine wanapitia hizo Changamoto naombeni mjitahidi kuwahisha mwendelezo episode ya 6 Kwa wakati
mbona hyu mama anachuki sana na selemani jamn aki waaaaah aki mama wa kambo duuh!!!Mungu ananilinde kwenye mahangaiko yangu nirudi nyumbani kuwalea mwenewe watoto wangu sjuti kuachana na ez wangu cz ya mambo kam haya waaaaah
TABIRI UNAHISI MAMASELE ATAKUA AMEENDA WAP ? YULE KICHAA COMMENT HAPO CHINI
Ameenda kwa mungu
Atakua ametekwa😢
karudisha jezi kwa kocha😅😇😇
Mara ya mwisho tumeona akimkimbia yule mhalifu aliyekua anataka kumkamata(mbwela) kwa upande wangu naona atakua kaamua kwenda mbali na mazingira hayo🌚 @Steve_Mweusi kesho tunaomba mwendelezo😂😂😂😂
Walimteka
Oyah Leo eti nimechelewa kweli kweli ila najua hamuezi kuninyima like hata tano basi mbwa mimi 🤣🤣🤣🤣
Next episode ❤❤ Much love frm 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Sele nakupnda mungu akupe umri mrefu 🙏🙏🙏 Akulinde na kila shar🤲🤲💗💗💗
Mwisho wa ubaya ni aibu, namba 6 itakuwa moto, Dogo Sele amuumbua mama wakambo. Nina hakika tunajifunza mengi kupitia hapa❤. Washiriki na wahusika wote wa hii movie nawapa hongera 😅 wameweza
Sele ameweza sana
Tena sana namkubali Mia kwa Mia
Japo ni kuigiza ila inaumiza pia, much love from Kenya. Wateja wamemzoea stive kweli😂😂😂
Alikwenda mafichoni😢
Nikweli mii mwenyewe hua navuta hisia kama ndio nimekufa wanangu wanafanyiwa hivi mmh
@@habibasungur9375 inauma kwakweli sio vizuri
Wateja washajua stiv anawazidishia chenji 😂😂😂😂😂hata sio kumzoea
Number one kutaka USA 🇺🇸 Nipe Basi like zangu 😂😂😂❤❤❤❤
Usa?
Ug 🇺🇬 we love these series ❤❤ keep up the good work Steve 💪🏿
One love ❤️ 😍
Mambo imechemka kwa ma mdogo😅😅keep it up bro Steve&dogo.mafunzo mazuri kweli kweli
Ameenda kunya
Akiii from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪naipenda hiii movie.. kweli tuwe maakini wakati tunakuchagua mabibi za kuoa..mungu atuonekanie huyu mama hana tofauti na kichaa ata heri yule kicha ana roho ya utu...😢😢
Kwakwel Tujifunzen kupitia haya😢😢
Cha maana ni dume liwe na busara + hekima kila kike ni nyoka wa kupuliza
Steve kawa msanii ghafla 😂😂😂😂😂 ongeren nyte team Steve ❤❤❤❤❤mama wa kambo naona dalili ya kuachwa pia 😂😂😂😂
Goood acting dogo sele iam ur number one fun ...huwa nawach coz of u broh
Sele anapitia changa moto kweli lakini mungu yuko
Hongera kwa wale wote wamechangia ina mafundisho kwa wote wanao tesa wasio na bahati, 👍👍👍👍🌹🌹🌹🌹👍👍👍
Congratulations
Watching from UAE
Mama WA kambo ndio kamteka mama sele....
Amemtumia mama sele watu.... 😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢❤❤❤
Nakukubali duu💕💕💓😊😊😊😊🤔
One love from Quatar Burundi congratulation steve mozes best comedian ever❤❤
Burundi tujuwane
From BUJA🇧🇮
Much love 💟 from Kenya 🇰🇪
From Burundi 🇧🇮 ❤ 😍 ❤
Qatar moja
Japokuwa nimechelewa nitaangalia zote kabisa......❤❤❤love you from Kenya
Waoo 👏👏👏👏🙏🙏🙏!!! Steve, hongera!! Mbona kipengere kbs kitamu tu!!!!!! Endeleeni zaidi Ndugu Steve!! Niko nafurahi sana 👏👏👏Lebanon tunawafuatiria zaidi.
The best I've ever watched highly talented 🎉🎉
Hapo sawa bro Steve mweusi walikua wanatuletea ep. Ya 5 feki Tisha Sana broo💪💪💪
aky msicheleweshe jamani hii series inanitoa stress za warabu jamani congratulations sele kiboko❤
Tusubulll iyo sehemu nyingine kazi nzuriiii nmeipenda iyoooo😅😅😅😅 inafundisha pia enafurahisha
Nawapenda sana 🥰 may God continue developing your talent
Hongera wote lakini kijana huyu Sele we❤❤❤❤❤young boy we pray you to be like marehemu
Kanumba(RIP)
@@user-xw5qb6py9v 🙏🙏🙏 nakana soma kweli
Tunakuomba ukuje pa Congo Dr / Bukavu Steven mweusi ❤ unatisha sana baba mwenye fatuma😂😂
Monsieur Steve toute mes félicitations pour votre histoire monsieur je suis avec toi depuis congo 🇨🇩🇨🇩 RDC courage frère
Congrats sele nice one ,big up boy👍👍👍
Jamani sele nakuonea huruma na huyo mamawakambo aki kweli mapenzi ya mama ni bora kuliko wakambo badhi mama wakambo ni wazuri lakini hii inafunza ❤❤❤
Kama unamkubali sele weka like apaaa❤
❤❤❤
Talented Boy Selle keep moving
Mzee stive uwekewe Mnara pale Kigamboni feri kaka
Atakuwa ame enda Tibiwa nahisi
Big up Steve❤
Congratulations Steve and sele big up much❤❤❤❤ from Kenya 🎉
Na watasema hapa ni mawe juu ya mawee😅😅😅😅❤
🎉this is the best film I have watched ever thanks for this brother and also the young boy ,keep it up , because it has more teachings 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunakupenda Steve Mweusi na familia yako. Hapa Uganda tunawapenda sana.
Mr Jo
Bro hakuna mtu duniani creative kama wewe stive na hakuna atakae nichekesha KAMA wewe may God bless you in Jesus name na KENYA tunakuitaji ututembelee
One love from kenya 🇰🇪 ❤️❤️❤️
hongera sana kutoka kenya kutokana hii series nmejifuza kitu kubwa sana
Kenya we real like you bro...salmia sele
Dogo sele ana kipaji kikubwa sana Mashaallah ❤❤❤
Mwenyezi mungu akutangulie katika maisha yako mdogo wangu 🙏🙏🙏🙏
Steve tupe kituu!!! hmm tamu san kbs, ila wew kayakanyaga kwa boss wako shida tu🤭😁😁.
Mama sule kachukuliwa na ndugu xake na ashapona kichaa no 6😂
5part naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪❤️
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Kenya ❤❤❤
@@cyndy6923 ❤️❤️💞
Steveee unajua saana semaaa utuwaishie madude hatuna mwengine wa kumuangalia Zaidi yakoo
Naikubali sana kaka steve naipenda sana kutoka kenya
Much love from Kenya ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Good idea bro well done from Zambia 🇿🇲
Ihii movi ni tamu san na inamafundisho sana kwa wababa wenye famlya na alafu wanalelewa na mama wakambo kwa kweli iko vizuli san naipenda kwa kweli
Me nilijua kipaji anacho clm vevo eeeh nastven unacho kipaji hongera Sana Sana. God blees
One love from 🇿🇦
Much love from uganda 🇺🇬
Njooni Tz
Jmn kuna wa mma na kuna mama kama huyu hajielewi wamama kama ww wajifunz kuwa mma bola haya Asante kwa mafunzo mazuri ❤❤❤
Hajrha mtoto afunguliwe biashara kwa umri huo😂😂😂
❤❤❤❤ one love from Kenya broo congratulations
Never disappoint 🎉🎉
Nawakubali sana Steve mweusi n'a Dogo sele miye mina tokeya Congo
Ono love from Kenya 🇰🇪 😍
Best one ever ❤❤❤❤ much love
Big up sele ur the best actor ❤️❤️❤️❤️❤️ chukuwa maua yko
Dg sele wewe una weza dg pambana ufikie malengo 🙏❤️❤️❤️
One love from Burundi ❤❤❤
🔥🔥🔥dogo anakipaji sana
Am a Kenya but watching from Saudi episode 6plz❤❤❤❤
Kazi nzur xna wabongo mnaweza jmn nawatizama nikiwa saudi❤❤
I'm crying all the way from Kenya 🇰🇪....this movie..so touching 😭
Feel loved from kenya❤❤❤❤
Safi sana sele yuahuzinisha aki hongera kwa kanzi nzuri ❤❤❤
🇰🇪🇰🇪part 6,dogo sele atauliza hajra ni lini nilikuambia stak shule😂😂
Husna, mlembo, Mwalimu wa Roho nzuri ❤❤🙏🙏
One love from kenya ❤
Jaman Steve MUNGU hapendi ivyo yaan unatukata stimu peupe kweli😂😂😂😂😂😂😂
Sele najua unaumia sana episode 5 uyo mwanafunzi aliyesema mamayake Nikicha hafanyi vizuri
Much love from Kenya 🇰🇪 keep it up guys, alafu hawa warembo wanafanya kazi safi tena ni wazuri jamani dah
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤
Br stev yaan da Story mzur move mzr ongera sana mi shabiki yko ndakindaki
Nangoja kipindi cha sita kwa hamu sana, nawapenda sana na Mungu awazidishie akili
Waiting for episode (6)🇰🇪
😭😭😭 pumzika kwa amani mama haya yote niliyapitia baada ya kifo chako
Pole😢😢😢❤
pole
Ulivyosema hivyo hadi nmesisimuka kwa uchungu
❤❤dah sele vumilia yatapita2 kazi nzuri sana
Mungu azidi kukupigania katika sanaa Yako Naimani Utafika mbali kiufupi hiii movie nzuri sana nimeipenda sana nakufatilia mwanzo mwisho maana ni movie nzuri sana na Ina fundisha ni maisha halisia Watu wengine wanapitia hizo Changamoto naombeni mjitahidi kuwahisha mwendelezo episode ya 6 Kwa wakati
Inaniumiza nakunilizaa jamn Allah atujalie wote wenye watot maisha marefuu na tuwez kuwalea watot wetuu ,
Good job bro ❤😢😢😢😢
Nipe like zangu wakwanza hapa
🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nipo nawewe bega kwa bega uwo ndo umaharufu wako sasa ❤️❤️❤️❤️❤️
Steve mweusi wewe ninoma Sana,tunajifuza sana.dogo sele hogera sana😎😎😎
Very emotional 🥺
😂😂
Ah jameni Mimi mukuzani Leo Mimi ndo wakwanza kumbe Niko Wa Tisa, naomba like yangu ivyo ivyo
One love from Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huyu dogo sele mpen scene ngum kama hizo ili akomae, ni kama yule tt comedy wa Kenya
steve ni mpendwa wakila mja❤❤❤tunakupenda sana mkuuu
Daaaah, naomba sele afungukeee make maumivu ma sele kakamatwa
Content nzuri stivo love you 😅254🇰🇪🇰🇪
Hata mm niseme nin ?? Kiueli sehem hii kali kbx pia nakukubal ww steve kuliko clam hongera kbx endelea na kuwua wanyonge😂🤣😂
❤iko poa sana hii series nmeipenda
Hii movie imenikumbusha mbali sana 😭😭 ila mungu ndio muamuzi bt ina mafunzo mazuri sana❤❤❤ masha allah 🙏🙏🙏
Niya huzuni sana
@@lalylaabdi2572 wallah tena
Steve acha kutuchukulia poa... tuwekee Episode 6 wacha zako
Steven umempleka mama sele kwa mwamposa😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Congratulations Steve and sere much love ❤ from kenya
steven moses hiiii movie naipenda hongera zako💋😀
Kazi njema moto sana🔥 ,part 6 ikuje tumeingoja sana
Mwalimu hapo kwenye kusolve swali umechemka kidogo kizungu hakifai sehemu hiyo 😂
mbona hyu mama anachuki sana na selemani jamn aki waaaaah aki mama wa kambo duuh!!!Mungu ananilinde kwenye mahangaiko yangu nirudi nyumbani kuwalea mwenewe watoto wangu sjuti kuachana na ez wangu cz ya mambo kam haya waaaaah