Faida za kupanda mbegu bora za mahindi: dk 777

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • kilimo cha mahindi na mbegu nzuri za mahindi ni moja kati ya vitu muhimu vya kuzingatia kuanzia kuandaa shamba, uchaguzi wa mbegu nzuri za mahindi , dk 777, karibu tujifunze hapa.

КОМЕНТАРІ • 24

  • @beatriceoduor445
    @beatriceoduor445 Місяць тому +1

    Nimejaribu kwetu Siaya Kenya na nimefurahia matokea. Hata msimu uliopita niliupanda.❤❤❤

  • @OnesmoKihongo-kt4nw
    @OnesmoKihongo-kt4nw Місяць тому +1

    Ipo vizuri

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 Місяць тому

    Mm nimurahia na mafundisho yenu,,,ila nina kiulizo Haujasema mbolea yakutumika kwenye hiyo mbegu ya dk 777

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo 5 місяців тому +3

    We sio mkulima bhana unaonekana ni mjanja wa mjini

  • @faustangonyani5100
    @faustangonyani5100 25 днів тому +1

    Maindi inabidi utie mbolea malangap

  • @macotv2197
    @macotv2197  5 місяців тому +3

    Kama ungependa video ya maada lolote kwenye kilimo, kuongeza thamani, comment APA chini, tupo na wataalamu wote, na pia kama video zetu zina kusaidia, like , pia subscribe, na karibu

    • @Mohamed-sb8mg
      @Mohamed-sb8mg 5 місяців тому +1

      Nitumie mbolea gani kupandia kujutia kuzalishia

    • @macotv2197
      @macotv2197  5 місяців тому

      Kuna yarmila cereal, otesha ama dap, ni mbolea zinafanya vizuri kupandia mahindi .

  • @BilalMchanjo
    @BilalMchanjo Місяць тому +1

    Me nipo ITIGI mbegu gan inafaa

    • @macotv2197
      @macotv2197  Місяць тому

      Habari boss! Itigi ipo mkoa gan boss,

  • @tfaboard
    @tfaboard День тому +1

    Mavuno kwa ekari ???

    • @macotv2197
      @macotv2197  День тому

      Minimum 20 bags, na maximum 35bags, Kwa uzioefu wetu.na pia kama utatunza shamba lako na kulihudumia vzuri na Kwa wakati

  • @ScolasticaSaire
    @ScolasticaSaire Місяць тому

    Naomba namba yk ya cm ili uweze kunisaidia ninapo Anza kilimo,pili heka moja inai itakuwa na miche mingapo nitatumia vipimo vya sentimita ngapi

    • @macotv2197
      @macotv2197  Місяць тому

      Habari na karibu, kwenye shamba la mahindi Miche inatakiwa kuwa kati ya 22000 - 35000/acre kulingana na nafasi unayoacha, na kiwango Cha Mbolea unayotumia , na nafasi kati ya mmea recommended ni kati ya 20cm -30cm, na row spacing standards 60cm-76cm, Kwa maelezo zaidi tupigie cm 0620511969

  • @TysonJohn-u3o
    @TysonJohn-u3o 5 годин тому +1

    Napataje? Hiimbegu

    • @macotv2197
      @macotv2197  3 години тому

      Uko mkoan Gani boss,

    • @TysonJohn-u3o
      @TysonJohn-u3o Годину тому

      Niko dar kwa sasa ila nalimiaga mkoa wa manyala

  • @godfreygodwine9148
    @godfreygodwine9148 Місяць тому

    Inaweza kulimwa kwenye udongo wote?

    • @macotv2197
      @macotv2197  Місяць тому +1

      Kila sehemu ama mkoa Kuna mbegu inafanya vizuri, Kwa maana hata hz dk Zina aina ake , kwahyo ningependa kujua upo mkoa upi, Ili nikupe jibu sahihi

    • @godfreygodwine9148
      @godfreygodwine9148 Місяць тому

      @@macotv2197 Niko Geita vijijini Kuna udogo wa mfinyanzi ,mchanga na kokoto vidogo

  • @nangela04
    @nangela04 3 місяці тому

    Hii inalimika Sumbawanga?

    • @macotv2197
      @macotv2197  Місяць тому

      Eee ,Tena inafanya vizuri huko sumbawanga Kuna ndgu analima hko wilaya ya nkasi ,Rukwa

  • @faustangonyani5100
    @faustangonyani5100 25 днів тому +1

    Maindi inabidi utie mbolea malangap

    • @macotv2197
      @macotv2197  25 днів тому +1

      Habari, Mbolea unaweka ya kuoandia , na pia ya kukuzia , ila Sasa inategemeana na Hali ya mazao /afya ya udongo . Na pia Kuna mashamba mengine inakubidi ukizie mara mbili ama kulingana na Hali ilivyo. Unaweza angalia hz video naamin zinawwzankisaidia
      ua-cam.com/video/TYA9bqskq58/v-deo.htmlsi=0CXPvuj57x9wsx8K
      ua-cam.com/video/ToEYkWA9Ars/v-deo.htmlsi=iQ9JtyjsLAAPb9fj
      ua-cam.com/video/q9GJd9YHnJY/v-deo.htmlsi=cLX6o0j830Vg1Dww