Hata hivyo sidhani why fei ajadiliwe mla ugali na sukari hana impact nabi nanmayele waliondoka wala hakuna anayejadili ila ni maneno yake yabkitoto ndio yanafanya wajadili kuwa yy ili abaki eng hersi na gsm waondoke yanga wakati kujihudumia alishindwa akawa anakula ugali na sukari
Kwa kuwa Wanambrand lakin hamna kitu mchawi bule alimloga Aziz k alivyomwachia shughuli anayo kumbe bila vitanzi angekuwa Bora mwaka Jana but wakati wa Mungu ni wakati sahihi ki anaenjoy adi fei mwenyewe anataman yanga
Haji mboto nakuomba mlete fei tumpe kombo hapa himo kwa garama yake kombe tunalo
Azam mchanga azam mkojo azam viazi azam udongo azam kachorii
Yani. Bongo. Kunawachezaji. Wameshacheza. Hadi. Ulaya. Lakni. Wazanzibar. Wakicheza. Ligi. Ya. Baratu. Bas. Wanaumia. Mmezoea. Uchawi. Kuwaroga. Wachezaji
Koro yanakuhusu
Uko sahihi uzawa nini kila mtu apiganie team yake.
🤣😂😂😂😂😂😂😂 ila uyu mmmh
Vikoba😁😁😁😁
Hata hivyo sidhani why fei ajadiliwe mla ugali na sukari hana impact nabi nanmayele waliondoka wala hakuna anayejadili ila ni maneno yake yabkitoto ndio yanafanya wajadili kuwa yy ili abaki eng hersi na gsm waondoke yanga wakati kujihudumia alishindwa akawa anakula ugali na sukari
FEI anataka kujadiliwa umeangalia alichofanya baada ya kufunga goli la penalty Jana au huangalii mpira?
Bado mpaka leo mnajadili Fei Toto na wala bado kiwango chake kiko juu sana kuliko alivyokuwa kwenu utoporoooo
Jana akuonekana kipindi cha pili chote💀
Hata makombe kabeba mengi kuliko alipokuwa yanga 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kuwa Wanambrand lakin hamna kitu mchawi bule alimloga Aziz k alivyomwachia shughuli anayo kumbe bila vitanzi angekuwa Bora mwaka Jana but wakati wa Mungu ni wakati sahihi ki anaenjoy adi fei mwenyewe anataman yanga
Kufanya nn Wana kombe gan Bora hata madunduka fc Wana vikombe hajafikia ukubwa huo Yan nataman nomzomeeeeeeeeeeeee mmyyyyyyffffffyyyyyy
🤣🤣🤣
Usajili wa fei umelipa kwa Azam.
Ni kweli maana wanamechukua ubingwa wa NBC na kombe la CRDB Jana
🙈🙈🙈🙈