Kweli tuache HAKI ijisimamie,ila mh, mzee ameanza kuona umuhimu wa mama,mzee ameanza kujifananisha na nyenyere na wengine amewaona kama Catapila, huku anadai wameitwa Polisi,du! ngoja tuone mwisho wake.
Mzee umeyatimba mwenzako juma mwambelo alifauru mipango yake kumpinduwa manji sasa ww umekuja kipindi kibaya sana wanayanga hawataki masihara. Wakikumbuka habari ya bakuli hawawezi kukuelewa na iyo sheria yako
Waandishi wa habari kumbe mnamletea bage huyo Magoma kisha ndiyo mnamuhoji wewe Mzee Magoma hiyo sio tim baba yako kuwa ndiyo urithi wako we Mzee Magoma hiyo ni tim sio dini hata dini unaweza kusilimu nini tim ya mpira unaweza mtu kuamuwa tu hakuna kosa watu wanatoka Chadema nini Simba au Yanga
Mbona we mwandishi humuulizi kuwa anaposema kundi la wachache wanakanyaga katiba sasa yeye magoma ana watu wangapi nyuma yake na kama anataka tumwelewe aende pale makao makuu akaongelee ili tuone wanaomsapot mbona kila siku anaongelea nyumbani kwake
Mzee magoma ukisema wao wamelisha unakosea sana ww ulienda mahakani ili iweje nakitu ujui usikubali kufanya mahujiano ndio unatoa siri zote tatizo ww mzalamo unaongea sana pia njaa inakutesa yanga yako wala sio yangu yanga nitaasisi kubwa na ktk taasisi lazima kuwa uwongozi ww unataka uwongozi sisi hatukutakutaki ww tapeli
Ongea kali za nguvu na kujiamini kama ulivyo anza kipindi kile.na unasema yanga wakae na ww wazungumzenini na ww.kesi siiko mahakamani nendeni mahakamani.akuna kukaa chini.ww unakadi ipi na ww sio mwanachama
Huyu mzee anatufundisha kitu sisi vijana tuliozoea kuburuzwa kama mbuzi na wajanja wachache lakini na akili hatuna hatuelewi ila huyu mzee ni mwanapinduzi halisi mwenye kuhakikisha haki inapatikana na mambo yanaendeshwa kwa ufasaha
Vijana wa leo kwa bahati mbaya kabisa ni watu walogeuka Kua Kua waoga na wenye kuabudu walofanikiwa , hakuna mtu anaehisi tajiri anakosea au boss , watu wakujikomba na kuabudu tu,
Mwandishi kama wewe unatia aibu taaluma hiyo. Yaani unaonekana wazi kwamba unalazimisha mambo Ili upate watazamaji. Waandishi kama wewe mnasababisha hii taaluma iwe ya hovyo kabisaa!!!
Hijuwi kitu mzeee ..hivi Hawa mashekhe ..wanawaona watu wana chafua Aya za Allah wanawaangalia kulujuwani ndio nini..alafu mnawahakikishia a atu kuwa dini yetu ni ya kutumia majini..daaaaah babu muda umeenda pambania pepo yako..bwamzeee..
Mzee mangoma bado anavaa jezi za 2020
Wana Yanga fanyeni mpango mumalizane na huyu Mzee Magoma huyu mzee ni noma sana
Noma gan hana madhara hy mchumia tumbo
Hatutaki kumalizana na uyu mzee
Hata gsm mchmia tumbo
Mzee Magoma the best Yanga Africa Advisor ❤
Sawa. Eehe sawa bhna
Magoma we lazima tumalizane ulaloulalo 😂😂 umeanza kutepeta mapema hivi? tulia watu wakufinye we si muhuni 😅😅😅
Duuu nitaongea na njaa yangu kuliko kujizalilisha hv
Uzungumze nanani eti kurujuan imejibu acha njaa mzee😂😂😂
Magoma ameanza mbwa!mbwa!mbwa 😂😂😂😂
Yes magoma km nakuelewa hv
Akina Hersi hawamuwezi huyu aslan abadani, wakubaliane nae meaning tu
Kweli mzalomo mzalamo tu mbona ally yupo sana umepotea mzee magoma
Mzee Magoma lazima alishakuwa lawyer ana bubujika na facts 😅
Lawyer wa kutengeneza vitanda gerezani, Ushawahi ona lawyer wa darasa la saba
Mambo hayo wakati mwingine mzee wangu unatakiwa kuachana nayo maana mpira ni furaha siyo ugomvi, rudi kwenye timu mwendeshe timu yenu kwa amani.
Aendeshe tim gani sasa😅
😂😂😂😂😂 pole Mzee wa kulujuani
Kamwe bado yupo sana!
Mzee achana na hayo mambo Dunia imeshabadilika
wew subili kesho
Mpuuzi huyo mzee
Wapigania haki, wanapondwa na wanaowapigania, WATU kama Magoma walistahili vyeo vkubwa nchi hii, ili kutengeneza misingi ya uzalendo.
Nyie kilomoni mlimpa cheo?
Huyo hata hapa mtaani kwetu hatujampa ubalozi au uenyekiti wa mtaa😮
Unda team yako muweke awe kiongozi
Allah Kamwe bado yupo sana acha kutisha watu mtu mzima kama hujiheshimu na watoto watakuzarau
Ww Mzee Hatukutaki Achana Nayangayetu kwanza.ww Nisimba Soyanga mnafiki mkubwa.ww
Yanga yenu na nani
Mzee anauchungu na yanga ya zamani naona hata jezi inathibitisha hilo🤗
Unetisha sana
huyu mzee Kama huyu ni wakumpotezea tu Menopause zinamsumbua, hata ukimsikikiza anaonekana ana msongo wa mawazo 😏😏😏
Mzee Mangoma Umeyatimba
Ila we mungu anakuona unavyoihujumu timu
Koma siuliyataka mzee mzima akili ziroooo
Anatangaza uganga sasa😂😂😂😂😂
Mzee ameyakanyaga
Mzee magoma ni zaidi ya hatari.
Acha uchonganisha Mzee, unazdi maana unaanza kulalia kwenye siasa. Ama ndoo unataka kutumia umuhimili wa Rais wa nchi ili ujknge.
hahahahah dah kurujuani hii dahh
Kweli tuache HAKI ijisimamie,ila mh, mzee ameanza kuona umuhimu wa mama,mzee ameanza kujifananisha na nyenyere na wengine amewaona kama Catapila, huku anadai wameitwa Polisi,du! ngoja tuone mwisho wake.
Kisheri una hela😂😂😂😂
Anakesi ya kujibu amefoji signature ya mama yetu kule Zanzibar
Alafu huyu mzee alivyo wa ajabu anachafua na imani za watu pasipo kujua, 😂😂😂 njaa iz dah
Kimyaaa mzee
Adi magoma ameendelea kuzeeka hujuma zitamuuq hahahah
UTOPOLO unateseka ukiwa wapi
Utakoma mbwa wee 😅😅
Malumbano hayatawafikisha popote, kaeni mwongee yaishe boli litembee
Wanamlipa vikwenzi hizo interview, Karibuni tu watamsahau,,, Vimedia ambavyo avina contents vipo vingi ss hivi wanamuona mzee ndio content
We mzeee endelea kujazwa ujinga na mabepariii wenzako wanakupotezaaa jifanye unajua kumbe unajiharibia
Acha kutishia watu kurujuani utatengenezwa vizuri tu na utajutia
MZEE MAGOMA KAMATIA HAPO HAPO HAO NG'OMBE WA MAZIWA YAO MAJANI TU
Mzee umeyatimba mwenzako juma mwambelo alifauru mipango yake kumpinduwa manji sasa ww umekuja kipindi kibaya sana wanayanga hawataki masihara. Wakikumbuka habari ya bakuli hawawezi kukuelewa na iyo sheria yako
nenda mahakamani
Kama utakuwa na sikio zuri utagundua njaa ilivyo mbaya sana
Lakini mzee MAGOMA ulimsikiliza mtoto wa mzee MWAMBELO? Mbona humjibu huyo. Hebu mjibu kwanza.
Umewakamata utopolo woooooote wanajambajamba
Waandishi wa habari kumbe mnamletea bage huyo Magoma kisha ndiyo mnamuhoji wewe Mzee Magoma hiyo sio tim baba yako kuwa ndiyo urithi wako we Mzee Magoma hiyo ni tim sio dini hata dini unaweza kusilimu nini tim ya mpira unaweza mtu kuamuwa tu hakuna kosa watu wanatoka Chadema nini Simba au Yanga
Utafugwa mze ww njaa itakuponza
Tamaa mbaya, mwisho wa tamaa ni mauti!!! Majuto ni mjukuu!
Jezi mpya za simba
Huyu mzee yupo sahihi kabisa ukweli huwa unachelewa lkn ukifika uongo unakaa pembeni
Hamna kitu huyo mzee
mimi niko na wewe mpaka upate haki yako
Mpelekeeni magoma jezi mpya
😂😂
😂😂😂😂
Magoma tv
Mzee usihofu siku ya Yanga day tutakupa Ugeni rasmi 😂😂😂😂
Inaitwa kikwanyule mkwanyule kwangu kwa Jina lingine
Kwani kila mwanachama akisema afanye anachotaka tutaweza kweli hebu we Mzee nenda mahakamani kesho mkayajenge kisheria nahiyo krujuani Yako
We mtangazaji huna watu wengine au unapenda matusi
Sawa mbona nyie mnamfirahia mchome kuihijumu simba.
Duu mbona kachoka hivyoo.
Magoma ni lipumbafu 2
Hivi mi nataka kuuliza hyu mzee ndio mwanachama pekee wa yanga mbona kama yanga anaimiliki yeye peke yake
Tulia usitafute pakuchomokea, hadi tumalizane.
Ovyoo hakuna fact yoyote hapo
Ndio waandishi wetu hawa.
Huo siyo mchezo. Mmemshitaki nani asiyekuwepo?
Magoma we endelea tunakukubali...unatetea hoja zako
Mzee tutakutafuta tu labda ukae ndani tu kifo kinakuita hatukuachi
Unajua kumtishia mtu kifo nikosa kubwa sana kama kikimkuta ki2 uyu meze wapelelezi wataanza naww kupitia comment yako
Mchome wa yanga huyu
Haibadiri imeanza lukupata yampayana hiyo
Tuko pamoja baba
umekwisha magoma yanga selikali
Mbona we mwandishi humuulizi kuwa anaposema kundi la wachache wanakanyaga katiba sasa yeye magoma ana watu wangapi nyuma yake na kama anataka tumwelewe aende pale makao makuu akaongelee ili tuone wanaomsapot mbona kila siku anaongelea nyumbani kwake
Acha uongo mtu mzima
We babu hachana na mambo ya mpila umeishakuwa mtu mzima sasa.waachie vijana wafanye kazi
Ameanza kuwa mdogo
Anajipa madaraka as if yeye ndo final decision maker
YANGA NI ILE ILE
Mzee magoma anamaslai yake binafsi sio kwakuigombania ivi yanga
Huyu mzee chizi
JELA INAKUHUSU, KUFOJI NYARAKA, UMEZOEA WEWE KUISUMBUA YANGA, UNAPENDA KUUMIZA RAHA YA MAMILIONI...TENA WEWE NI SEGEREA TUUU...
Mbona hapelekwi mahakamani ashasema mpelekeni
Hivi nyie hua mnakosaga watu wa kuwahoji???? Wacheni upuuzi wenu bhana upuuzi mtupu huo
Serikali haishindani na mtu mmoja ww ulikua uchukue jembe ukalime mambo ya mpira uwachane nayo
Wacha uwongo
Mzee kumayamkeo
Tena time 10000000000 mbwa huyu
Kumbe wazee wapo wapumbavu?
Mzee magoma ukisema wao wamelisha unakosea sana ww ulienda mahakani ili iweje nakitu ujui usikubali kufanya mahujiano ndio unatoa siri zote tatizo ww mzalamo unaongea sana pia njaa inakutesa yanga yako wala sio yangu yanga nitaasisi kubwa na ktk taasisi lazima kuwa uwongozi ww unataka uwongozi sisi hatukutakutaki ww tapeli
Ongea kali za nguvu na kujiamini kama ulivyo anza kipindi kile.na unasema yanga wakae na ww wazungumzenini na ww.kesi siiko mahakamani nendeni mahakamani.akuna kukaa chini.ww unakadi ipi na ww sio mwanachama
Mzee anahojiwa vichochoroni tu unanipenda yanga wp pumbavu ww ww kwanza sio yanga upo upande wa pili kenge ww mzee sura ngumu mbaya ka dampo
Huyu mzee anatufundisha kitu sisi vijana tuliozoea kuburuzwa kama mbuzi na wajanja wachache lakini na akili hatuna hatuelewi ila huyu mzee ni mwanapinduzi halisi mwenye kuhakikisha haki inapatikana na mambo yanaendeshwa kwa ufasaha
Vijana wa leo kwa bahati mbaya kabisa ni watu walogeuka Kua Kua waoga na wenye kuabudu walofanikiwa , hakuna mtu anaehisi tajiri anakosea au boss , watu wakujikomba na kuabudu tu,
Nenda kajojiwe wewe acha uoga ndo ufungue akili
Mwamba huyo hapo
Wewe subil yukufunge msenge wewe
Tutakuweka ndan wewe
Mwandishi kama wewe unatia aibu taaluma hiyo.
Yaani unaonekana wazi kwamba unalazimisha mambo Ili upate watazamaji.
Waandishi kama wewe mnasababisha hii taaluma iwe ya hovyo kabisaa!!!
Mikwara
Mzee anataka apewe chapati mpumbavu halitaki kufanyakkazi lipenijezi licheze iviumokwenyetimu ya yanga yumo mtotowake fakos
Hivi hii chanel Mzee magoma anahisa au😂
Kwani simba inapochafuliwa na mchome mbona hamuongei.
Hijuwi kitu mzeee ..hivi Hawa mashekhe ..wanawaona watu wana chafua Aya za Allah wanawaangalia kulujuwani ndio nini..alafu mnawahakikishia a atu kuwa dini yetu ni ya kutumia majini..daaaaah babu muda umeenda pambania pepo yako..bwamzeee..