Ameeen kuna siku nilionyeshwa katika ulimwengu wa kiroho mwarabu ametega dawa kwa kona (nimika 1week nika zipata mahali nilikuwa nimeonyeshwa na mungu but niliombea hilo ndoto hakuna uchawi ulishika be blessed kwa ufunuo mzuri umenijenfa sana mimi huwa siogopi lofoten bcse natumikia mungu alie hai 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ahimidiwe Jehovah aliyenileta madhabahu hii🙌
Ameeen kuna siku nilionyeshwa katika ulimwengu wa kiroho mwarabu ametega dawa kwa kona (nimika 1week nika zipata mahali nilikuwa nimeonyeshwa na mungu but niliombea hilo ndoto hakuna uchawi ulishika be blessed kwa ufunuo mzuri umenijenfa sana mimi huwa siogopi lofoten bcse natumikia mungu alie hai 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naamini roho wa mungu alikufulunia kwa ajili yangu mungu akubariki
Amen pastor nimebarikiwa sana wacha MUNGU akubariki 🙏🙏
Amen mtumishi wa mungu nimebarikiwa sn
Hi fundisho limenitia nguvu ya kuomba sana
Wow amen mtumishi
Amen. Assnte sana mtumishi wa Mungu funzo nzuri kweli. Asante nimepata kurlewa ulimwengu wa Rohoni vizuri kabisa. MUNGU AKUBARIKI SANA
Nakupata vizur baba Toka Tbr Nimejiunganmisha ktkt MADHABAU Nile chakula Cha bwana nikiwa naamina baada ya kula Neno sitabaki nilivyo AMINA
Mungu ni mwema sana, Mtumishi wa Mungu Sunbela ubarikiwe na maarifa zaidi yakuongezeke ili kanisa lipate kumjua Mungu na kuishi maisha ya ushindi
Yaani huu ni ufunuo mkubwa sana kwangu. Barikiwa sana mtumishi jwa somo zuri.
Mtumishi nakuelewa sana mungu akupandishe ktk viwango vikubwa sana ktk JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETI ktk kujua siri za ufalme wa MUNGU.
Mungu akubariki.nami namtakaa huyo mungu wako.niko SAUDIA RABIA nakufatilia.mungu wako ni mzuri sana.niombee nami namtaka.
Shalom! Nabarikiwa sana na mafundisho, mnapatikana wapi hapa Dar? Naitwa HAMISI RUGAI
Asante kwa kutujenga
Ameeeeeeeen
Asante Yesu kwa mafundisho haya. Naomba tufunguliwe. Amen.
Powerful teachings.... nimebarikiwa sana baba.
Ubarikiwe mtumishi
Ameeen kwa mafundisho mema ya kiroho hapo ndio me napenda sana (be blessed paster am watching yu in 973 (nimejengeka sana kihimani 🙏🙏💪💪💪💪👏👏👏
Maneno ya hakika na amina, ubarikiwe sana babangu wa kiroho
Nabarikiwa sana. Mungu wa mbinguni akubariki sana
Napenda hiyo neema kubwa sana ya ufunuo wa ki-Mungu ndani yako.
Wewe ni mwalimu mzuri sana kwangu.
Bless u man of God
Asante sana Mtumishi kwa mafundisho mazuri, umenibariki
Tuko pamoja wajina
Amen Ameni mtumish ubarikiwe kwa somo zuur san
tuned
Nabarikiwa sana mtu wa MUNGU
Amen Mungu ni mweza wakati wote
Amen
Mimi bado sijamaliza kazi hapa duniani, sijatimiza kusudi la Mungu hapa duniani
Mungu akazidi kukuinua
Asante sana Mtumishi, Mungu azidi kukubariki!
AMEN
Amina
Asante sana kwa somo zuri
Shalom mtumishi Naomba kuuliza, kama sisi tunaweza kuagiza malaika na wakafanya inamaana sisi ni wakubwa katika ulimwengu wa roho kuliko malaika??
🔥🔥🔥🙏🙌🙌
Najifunza
Najua ipo siku na mimi nitakua hapo
AMEEN