NAENDA KUKUTANA NA PACOME PAMOJA NA AZIZ KI DAKIKA 90 TUTAKUA MAADUI WAKUBWA SANA
Вставка
- Опубліковано 10 лип 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Ігри
Mkali pablo🔥 na sisi mashabiki zako tunaongea kimoyomoyo nusuru ya kumeza ulimi
Habari nzuri zinakuja kwa uyaledi mkubwa crown mko vixuri
Pablo sikujui hunijui ila nakuona mbali sana ndugu yang chukua maua Yako 🌹❤️
Crown mpo juuu mnaitendea haki nafasi ya habari na masikio kupata kikichobora
Hii ilikua isiitwe crown et ilikuw itwe howo au scania asnte muandishi nimekuelew namaua yako ayoapo🌹⚘️🌺
Safi Pablo Almas 🎉🎉🎉
Big up pablo
MUANDISHI SUPER KABISA HUYU KUJUA LUGHA ZAIDI YA MOJA
MWAMBA SANA HUYU PABLO ALMAS. MASTERY YA KIBABE YA KIFARANSA
Pabloo, Pablo, Pablo
hawa ndo waandishi jaman ❤❤❤
Chuma apa Leo nimekua WA kwanza
Shikamoo crown 👑 Media Shikamoo Pablo 🎉🎉🎉
Wamemuiba kwa manara tv huyo
Safii sanaa❤❤❤❤
Pablo wewe ni mona sana mimi supporter wako kaka
Nakukubari kakaa
Hii tra bi tra mbona kama ndo ilikua inatajwa Bungeni kipindi flan au ndo Budget iliongezekea huku🤣🤣 🙌🙌🙌🙌
Good job pablo
Pablo ni black Tigger sio star
Good brather
wafanye haraka tunahamu ya kumuona huyoo mtuuu
Pablo pablo niko naww
Pablo mbadiiii
Pablo❤❤❤ uko vyedi sana
Pablo kahama manara tv
Yani hawa Singinda wamesajili vizuri kuliko hata SIMBA sijui MO anatuchukuliaje sisi Wanasimba
Ulitakiwa kutafsiri hata maswali
Nc
Mko vzur
Pqbloooo🎉
Uyo dirisha dogo yanga
Huyu mtafsiri hajatupiga kweli?
Hapa King 👑 Alipatiya Xana Kukusajili💚👊🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
pablooooo
Pablo upo vizuri lkn wakati mwengine unazingua
Sifa nyingi , kisa anajua lugha
Pabro
Watu tumejipanga nyie makolo zuruleni😂😂😂😂😂
Anton tra bi tra ....
Pablo, umesahau kumtaja Yao Kouassi
Bwana pablo tunataka utuwekee maneno tusome tunataka tumsikie yy mwenyewe tu na ww ila sio ukitafsiri
Unadhan ni rahis e😂