KAMISHNA MKUU TRA AZUNGUMZIA KUHUSU UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA SERIKALI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 15

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 2 місяці тому +2

    Bosi TRA Mimi nimekuerewa mungu akujarie usimamie aki katika kazi Yako mkuu TRA Kuna kitu kina niuzi uku uswairini unafanyiwa makadirio Bira afisa tra kuja kwenye biashara Yako utakura sangine unafanyiwa makadirio makubwa kuriko biashara Yako utakura sangine unaripa kidogo biashara kubwa wangekuwa wanajkuja dukani kadiria mkuu iyo nayo angaria Mimi naamini wewe unaofu mungu utasimamia aki

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 місяці тому

      wewe ndie utaki kufata taratibu vizuri za kuweka hesabu zako ,ndio maana yanaitwa makadilio unaruhusiwa kisheria kwenda kupeleka hesabu na Tra wakazipitia ukalipa kutokana na kinachotakiwa

  • @mariamngallangalla906
    @mariamngallangalla906 2 місяці тому

    Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza

  • @elikanateonest3126
    @elikanateonest3126 2 місяці тому

    Hongera sana kamishna wa TRA kwa ahadi yako ya kusimamia vyema ushirikiano kari ya wafanyabiashara na TRA

  • @IddiHasani-vq4rd
    @IddiHasani-vq4rd 2 місяці тому +1

    Alla akuhifadh na hasadi na akulinde na kila baya. Nia ndoo kila kitu nia yako ikiwa nzuli na alla ata kuafanyia wepes

  • @shaban6644
    @shaban6644 2 місяці тому +1

    Kazi Nzuri Kamishna,

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    pia dhana ya nchi kujitegemea ni ndoto kama nchi ina deni alilo kopa nyerere halija lipwa itajitegemea vip chamsingi nikumpunguzia ,mfanya biashara kodi , mfanyabiashara mmoja wa bus ana miliki mabus 10-50 kwanini huyu asiwe na discount kwenye kodi na ukumbuke serikali haitoi hata elfu mbili ,ila kudhamini michezo isio wahusu wafanya biashara ina weza

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    ivi tra ina duka hata la demo ili wajue changamoto za wafanya biashara

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    tra inatakiwa ifanye utafiti Tanzania nzima wakafanya wastani wafanya biashara wakalipa fixed kodi kila duka limesajiriwa kwa biashara husika itasaidia

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    Tra inatakiwa iwe na maduka ya demo kila mkoa ili mwananchi kama huelewi unaenda kujifunza pale

  • @ahmedmakame1687
    @ahmedmakame1687 2 місяці тому

    Mwalimu JK Nyerere aliwahi kusema Serekali Corrupt itahangaika na wamachinga na itawaacha wawekezaji wakubwa(madini,gas) tunasamehe 😢

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 2 місяці тому

    Hapo utakuwa umeupiga mwingi Mr. Mwenda

  • @millianngunda1553
    @millianngunda1553 2 місяці тому +1

    Tunakuombea uwe na utumishi mwema

  • @JeremiahKavakule
    @JeremiahKavakule 2 місяці тому +1

    Amekuamini

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    mtu anaingiza bidhaa milioni moja ya pipi unaipigia vipi kodi kila pipi