Bosi TRA Mimi nimekuerewa mungu akujarie usimamie aki katika kazi Yako mkuu TRA Kuna kitu kina niuzi uku uswairini unafanyiwa makadirio Bira afisa tra kuja kwenye biashara Yako utakura sangine unafanyiwa makadirio makubwa kuriko biashara Yako utakura sangine unaripa kidogo biashara kubwa wangekuwa wanajkuja dukani kadiria mkuu iyo nayo angaria Mimi naamini wewe unaofu mungu utasimamia aki
wewe ndie utaki kufata taratibu vizuri za kuweka hesabu zako ,ndio maana yanaitwa makadilio unaruhusiwa kisheria kwenda kupeleka hesabu na Tra wakazipitia ukalipa kutokana na kinachotakiwa
pia dhana ya nchi kujitegemea ni ndoto kama nchi ina deni alilo kopa nyerere halija lipwa itajitegemea vip chamsingi nikumpunguzia ,mfanya biashara kodi , mfanyabiashara mmoja wa bus ana miliki mabus 10-50 kwanini huyu asiwe na discount kwenye kodi na ukumbuke serikali haitoi hata elfu mbili ,ila kudhamini michezo isio wahusu wafanya biashara ina weza
tra inatakiwa ifanye utafiti Tanzania nzima wakafanya wastani wafanya biashara wakalipa fixed kodi kila duka limesajiriwa kwa biashara husika itasaidia
Bosi TRA Mimi nimekuerewa mungu akujarie usimamie aki katika kazi Yako mkuu TRA Kuna kitu kina niuzi uku uswairini unafanyiwa makadirio Bira afisa tra kuja kwenye biashara Yako utakura sangine unafanyiwa makadirio makubwa kuriko biashara Yako utakura sangine unaripa kidogo biashara kubwa wangekuwa wanajkuja dukani kadiria mkuu iyo nayo angaria Mimi naamini wewe unaofu mungu utasimamia aki
wewe ndie utaki kufata taratibu vizuri za kuweka hesabu zako ,ndio maana yanaitwa makadilio unaruhusiwa kisheria kwenda kupeleka hesabu na Tra wakazipitia ukalipa kutokana na kinachotakiwa
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza
Hongera sana kamishna wa TRA kwa ahadi yako ya kusimamia vyema ushirikiano kari ya wafanyabiashara na TRA
Alla akuhifadh na hasadi na akulinde na kila baya. Nia ndoo kila kitu nia yako ikiwa nzuli na alla ata kuafanyia wepes
Kazi Nzuri Kamishna,
pia dhana ya nchi kujitegemea ni ndoto kama nchi ina deni alilo kopa nyerere halija lipwa itajitegemea vip chamsingi nikumpunguzia ,mfanya biashara kodi , mfanyabiashara mmoja wa bus ana miliki mabus 10-50 kwanini huyu asiwe na discount kwenye kodi na ukumbuke serikali haitoi hata elfu mbili ,ila kudhamini michezo isio wahusu wafanya biashara ina weza
ivi tra ina duka hata la demo ili wajue changamoto za wafanya biashara
tra inatakiwa ifanye utafiti Tanzania nzima wakafanya wastani wafanya biashara wakalipa fixed kodi kila duka limesajiriwa kwa biashara husika itasaidia
Tra inatakiwa iwe na maduka ya demo kila mkoa ili mwananchi kama huelewi unaenda kujifunza pale
Mwalimu JK Nyerere aliwahi kusema Serekali Corrupt itahangaika na wamachinga na itawaacha wawekezaji wakubwa(madini,gas) tunasamehe 😢
Hapo utakuwa umeupiga mwingi Mr. Mwenda
Tunakuombea uwe na utumishi mwema
Amekuamini
mtu anaingiza bidhaa milioni moja ya pipi unaipigia vipi kodi kila pipi