DR CHENI AFUNGUKA ALIVYOSHEREHESHA HARUSI YA MTOTO WA RAIS, PESA ALIZOLIPWA, ULINZI N.K

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 44

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 3 місяці тому +25

    Kiukweli Dr Cheni ni mtu poa na so humble,Yani Hana mambo mengi,me nimesha interact nao mara Moja mbili ni bonge la mtu poa, Watanzania msimuogope,ni maarufu lkn mwana sana,big up Dr cheni

  • @valentinamjindo5374
    @valentinamjindo5374 2 місяці тому

    Hongera kaka kazi nzuri hunaga mambo mengi kweli ukijiheshimu unaheshimiwa.

  • @ramhuudulla8921
    @ramhuudulla8921 3 місяці тому +1

    Mashaallah Dr. Cheni toka msimbazi mseto sharif shamb ni kaka mwema sana na nidham na adabu ya juu mashaallah
    Allah akuhifadhi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 місяці тому +3

    Upo vzr sn huringi km.mafulan.ndio maana hakupata hy nafasi

  • @MsafiriDastan
    @MsafiriDastan 2 місяці тому

    uko vizuri sana cheni pamoja

  • @EsterMosha-jb3nx
    @EsterMosha-jb3nx 3 місяці тому +2

    Uko vzr sana kaka Mungu akuinue zaid

  • @PraxedaMushi
    @PraxedaMushi 3 місяці тому

    Mc wa Taifa.dr Cheni Mungu akutunze ushereheshe sherehe zte kubwa.

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 місяці тому +10

    Hongera doctar acheni ni zamani hakuna kuzeeka jamaniii 😂😂❤❤

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen 3 місяці тому +2

    Nakukubali Dr Cheni tulikutana ilkua siku ya walemavu big up my brother 💪

  • @DarKopo
    @DarKopo 3 місяці тому +4

    Ayo akoseagi watangazaji Vido hupo vzr sana na una maswali ya msingi sn congr

  • @dotnataonlinetv5729
    @dotnataonlinetv5729 3 місяці тому

    Hongera sana mkwe wangu Dr. Cheny

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 місяці тому +1

    Dr chen HAZEEEKI JAMANI
    YY,ALIKIBA,WAHENGA WANATUNZA MIILI YAO

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 місяці тому +2

    Dr cheni yuko vzuri
    Mc best kbsaaa ktk kazi yke❤❤❤

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha 3 місяці тому +2

    Safiiii 👍❤❤ namkumbali mwamba sumbili yangu utakuja 🙏🙏🙏

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 3 місяці тому +4

    Hongera sana Doctor cheni

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 місяці тому +5

    HONGERA SANA DOCTOR CHENI

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 3 місяці тому +1

    MC Dr cheni ni MC na nusu msikivu na anajua sana kupagilia mambo yake mtu powa sana

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 3 місяці тому +3

    Yuko vizuri sana

  • @precioussamantha9482
    @precioussamantha9482 3 місяці тому

    Jamani sikuelewi kwanini nampenda sana Vidox

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 місяці тому +3

    Duh sherehe kubwa hivyo siyo mchezo

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 3 місяці тому

    Safi sana, uko vizuri kijana 🤝

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 3 місяці тому +4

    Natamani sana uwe mc kwenye Harusi yangu, kwenye maokoto sasa 😢😢

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 3 місяці тому +3

    Mc wangu pendwa huyu tangu enzi hizo alisherehesha harusi ya mdogo wangu

  • @vivianallan8963
    @vivianallan8963 3 місяці тому +1

    Hongera sana Doctar cheni. Kwanza kwenye cherehe umetulia na huko smart. Kwa muda unaenda vizuri sana. Ubarikiwe na Bwana

  • @sabtinaramadhani5413
    @sabtinaramadhani5413 3 місяці тому

    Kila la kheri dr cheni katika kazi ya mikono yako

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 3 місяці тому

    Ma mc wachanga waje kujifunza hapa😂ila gara b pia mc wangu pendwa.hawa wawildr chen na gar what gara B😂❤❤

  • @rendozrendo7804
    @rendozrendo7804 3 місяці тому +2

    Mc cheni🎉

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven 3 місяці тому +2

    Kweli Dr Chen yupo poa sana,jamaa hana zarahu kabisa,nimekutana naye pale mkuki nikampa hi yupo poa sana Kwa kweli

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 3 місяці тому +2

    Huyu brother anadumu kwa sababu anajitambua saana!

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 3 місяці тому +5

    Yaani walichukua dj safi cheni Hana mambo mengi

  • @nyakasaganichangasi9986
    @nyakasaganichangasi9986 3 місяці тому

    Acheni ulimbukeni, kutokuzeeka siyo sifa kwani kila stage ya maisha ina sifa zake,mzee wa miaka 60 kujipaka dye ni upungufu wa akili na low self esteem!Accept your age and other things fall into place !

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 3 місяці тому +2

    Docta cheni hazeeki,,nilianza kumjua akiigiza mchezo wa tausi mie nilikuwa mdogo hadi sasa nina miaka 40je hadi sasa atakuwa na miaka mingapi yaan hazeeki

    • @mwanakitenge
      @mwanakitenge 3 місяці тому

      Weeeèe mbona mi sikumbuki kama cheni alikuwepo kwenye mchezo wa tausi alikuwa sehemu gani embu nikumbushe kidogo

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 3 місяці тому

    Kwakweli kuhusu muda Mimi nakubali kuna harusi pale mirado uliifanya 2014 ilikuwa nzuri sana ulienda ndan ya muda

  • @Shadiamtwalibu
    @Shadiamtwalibu 3 місяці тому

    Vido vyote nimesikia ila ratiba yako ya kufunga ndoa baada ya miaka mitatu au minee imenichekesha aisee 😂😂😂

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh 3 місяці тому +3

    Huyu mwamba majina yake halisi huwa anaitwa nani? Nampenda sn alivyo tu😊

  • @Zainab-qg6xv
    @Zainab-qg6xv 3 місяці тому

    Dr Chen he is getting old now

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 3 місяці тому +1

    Yn uyu. Ukiwa na kichen oaty senfiof ata birtjiday ukimtaka samia unamoata na anakuja

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 3 місяці тому

      Eee we mwenzetu mtu wawap mbona sijui unandika kwa lugha gani kiswahili au kingereza