MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
Вставка
- Опубліковано 21 чер 2022
- MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Uko vizuri sana mbunge wa ngorongoro wanakutisha lakini usiogope Mungu yupo
Upo vizuri sana mheshimiwa unajua kilichokupeleka bungeni kuwasemea wananchi wako viva aluta continua
dah huyu jamaa anauchungu sana na raia wake
Daa bunge la taarifa taarifa mbunge wa loliondo yuko sahihi sana
Wapi kienyeji ingine ilikuwa inaongea hadi inataka kuongea kisukuma, ajibiwe Leo,,,, Ole Mpapa, tanyuaa amu kin'dimie, Enkai,, your are the real hero!!!! 💪💪💪💪
Heko mtetezi wa haki, kila mtu apewe haki yake, wakristo na waisilamu wote tukatae dhuluma.
tupate wapi wabunge kama huyu? well done ,Mungu akulinde
Huyu mbunge nimependa Sana anajali wananchi wake kuliko cheo chake,na huyu aliotoa taarifa na mzungumzaji akapokea huyu mzee nae kichwa Sana nampenda sana
Ningekuwa gaidi ningefinance silaha za kivita Kwa wamasai ngorongoro waendelee kupigania Ardhi yao
Hapa Tunapoelekea Naona Kabsa Tunatengeneza Makundi Na Matabaka Kwenye Nchi Yetu Na Ni Jambo La Hatarii Sana
Hongera sana Msalendo wetu Uzichoke kupambania Wananchi wako kwani haki haiombwi bali Inadaiwa
Mbunge anatetea wananchi wake yupo sahihii mungu ambariki kwa kutetea wanyonge
Ingekuwa heri wabunge wetu wa inchi ya DRC Congo waende kuiga masomo ya ubunge Kwa huu mheshimiwa wa Bunge ya ngorongoro anateteya wakaaji wake Mungu amuzidishiye siku zake za maisha.
Watu wanaangalia tu matumbo yao yaani hawa wabunge hawajui wako bungeni kwa ajili gani wanadhani wako pale kuitetea serikali na matumbo yao wakati wapo bungeni kutetea maslahi ya wananchi waliowachagua
Wamasai wanahaki na haki zinawalinda. Pole sana masai. Watanzania ni ccm hawana upendo na wanainchi wanaowatawala, ila ikifika wanako piga pesa wako tayari kutetea hata kwa damu. Shukuru wewe mwenyewe ni ccm mpaka walikuwa wamekuteka, angekuwa ni mbunge chama kingine wangekuwa wamebandika mambo hata uhaini. Lakini walipokuchukuwa wakakuta ni wale wale ingawa ninyi mnapozwa na ifadhibya wanyama wanataka kuwapa warabu. Wanataka ninyi mtoke ili waweze kuweka warabu.
Mungu ni mwema sana muachen jaman aongee Kwa niaba ya watu wake hizo taarifa hawez kupokea anaongea Kwa uchungu mkubwa mno
Huwezi ukamtoa mmasai Loliondo ukampeleka handeni handeni halafu ukaendelea kumuita mmasai. Moja ya kivutio cha utalii na watalii kutembelea loliondo ni pamoja na wamasai. You just can’t move people from their ancestors land just like that. Hiyo ina maana by so doing unabadilisha hata jinsi wanavyofikiri na kadhalika. Waacheni wamasai Loliondo hapo ndipo kwao, full stop
Hii ndio faida ya Royal Tour Watanzania naliona Giza katika nchi yetu 🙄
Shetani Anasura Nzuri sana Ni Mrembo Ni Kisura!! Hata Ninyi Wenzangu Mnayo Macho Mnayo Masikio!! Mjapo jua kua Huyu Ni Shetani Mmekwisha!! Poleni sana Watanzania Wenzangu wa Ngorongoro!! Msikate Tamaa Endeleeni kumlilia Rais Wenu na MUNGU PIA NDIYE MWISHO WA MSAADA KWENU.
Huyu kikwete kama baba yake.anakula bure, wananyonya maskini😢😢