UREJESHO WA MISUKULE PART 2
Вставка
- Опубліковано 22 лип 2021
- RETURNING WHAT WAS STOLEN BY WITCHES (Miskule Part 2)
This lesson is the second part after the first of Part That reveals 20 signs of occultism.
In this second part Apostle Mtalemwa emphasizes the Total restoration. When a person is reinstated he needs to be restored as well.
(1) Health.
(2) Property
(3) Dignity / Honor.
After a person is restored we look at the following symptoms.
(1) Happiness and peace
(2) The mind and its understanding.
(3) How a person dress.
Please follow the full lesson in this video for more blessings.
(Swahili)
KUREJESHA YALIYOIBIWA KICHAWI (Miskule Part 2)
Somo hili ni sehemu ya pili baada ya ile ya kwanza ya dalili 20 za kuchukuliaa kichawi.
Katika sehemu hii ya pili Apostle Mtalemwa anasisitiza juu ya urejesho kamili.Mtu anaporejeshwa inahitahijika kurejeshewa pia
(1)Afya.
(2)Mali
(3)Hadhi/Heshima
Baada ya mtu kurejeshwa tunaangalia dalili zifuatazo.
(1)Furaha na amani
(2)Akili na ufahamu wake.
(3)Mavazi yake.
Fuatilia somo kamili katika video hii ubarikiwe zaidi.
Amen amen mtumishi Mungu aendelee kukutumikia ili kanisa la bwana Mungu liweze kupona kwa hakika nabarikiwa sena
warudisheee nasfi yangu,ufahamu wangu na utu wangu ktk jina la Yesu
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa MUNG apostor mtalemwa nimekuwa muumini Sana wa mafundisho yako kunakitu kikubwa na ambacho YESU ameweka ndani yako wewe ndiwe mtumishi sahihi kwa muda sahihi
Niko hapa mtumishi wa Mungu nilinyang'anywa vitu vyangu vingi sana
Nakupata Sana Mtumishi Apostle Mtalemwa Man of God Hakika Mungu atazidi kukuinua Napenda sanaaaa Mafundisho yako Nataman nifike hapo kanisani
Please keep posting more teachings especially for us who can’t access your teachings via TV
Yes God will restore all!!
Am so blessed
Xsźzź
Dar huyu mtumishi Mafundisho yake jaman yanafundisha sana Yan Mungu anamtimia sana Mungu akuripe akubariki mara dufuuu Yan ubarikiwe sana sana nakupenda sana mtumishi wa Mungu wewe
Amen Amen napokea urejesho kamili katika maisha yangu nå watoto wangu
Wananirejesha katika jina la yesu
shalom
somo limenifungua sana
Mungu akubariki
Warudishe uchumba wangu uma yumba yumba kwajina layesu christo amen
Ubarikiwe sana APOSTLE
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah
Katika jina la mungu wa Mojar one narejesha Afya yangu iliyo ibiwa
Ubarikiwe sana sana Baba Mlezi kwa mafundisho haya
Bwana yesu urejesho kamili
Nashidwa la kusema Asante mungu
LAZIMA WARUDISHE💪💪💪VYOTE🙌🙌🙌MM NA MALI ZANGU ZOTE💪💪🔥🔥🙌🙌🙌
Rejesha vyote ktk jina la Yesu Kristo
Hapo kwenye mavazi umenifurahisha mnooo .ubarikiwe mtumishi wa bwana.bado mapodoz yaliyopitiliza.
Asante kwa Somo zuri la Urejesho
Miguu zangu ziponee kwa jina la yesu ingawa. Natembea lakini miguu zangu zinaswel bila sababu narejesha afya yangu nikiamini kwa jina la yesuu rejea rejea rejea afya rejea. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen and Amen. Watching from Saudi Arabia.
Asante sana mchungaji
Mali yangu yote iliyoliwa inarejeshwa kwa jina La yesu, niombee apostle God bless you, watching from Kenya
Baba MUNGU akubariki sana kwa jinsi ulivyokemea swala la uvaaji
Nimekua mtumwa sana
Lazima warudishe ktk jina la Yesu Kristo
Imenifurahisha Sana sehemu ya mavazi
From today I'm no longer a slave in JESUS CHRIST Amen.
Amen warudishe pesa yangu kwa jina la yesu I receive from kenya in Jesus name 🙏 be blessed servant of God
Thank you my teacher hapo kwa mavazi imeninifurahisa
i love the way mchungaji unaongea bila uoga alaf unatuua na kicheķ nawe huwez cheka😀😀😀
Thank you Jesus to comfort my life
Afya bado haijaniludia,hadhi na umiliki bado,Mali zangu zinapotea sasa ,Mungu nirehem !
Watake wasitake watanirejeshea in jesus name .
Very powerful powerful powerful powerful
Watava vizuri baba
Ubarikiwe sana baba 🙏🙏🙏🙏🤣🤣
Chief! Chief! Chief! Son of Major One! Mafundisho mazuri sana. Kwa kweli haya ndiyo maarifa yatupasayo ili tusiangamie. May our good God keep you long Apostle. Kweli wewe ni mwalimu. Watching from Spain 🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸
Amen 🙏 🙏🙏 Apostel na Kwanzia leo chochote changu kilichonyakuliwa kupitia njia ya kichawi kwa kutumia nguvu za giza kinarejeshwa katika jina la yesu nimepokea and its done ✅
Man of god mungu aendelea kukuongezea na akulinde nimebarikiwa na mafundisho iyi , Mimi na futurs kutoka Canada nakufuata kila wakati na nini amino Nike pata wokovu wangu kwa maneno y’a Imani iyi na nitashuudia makuu y’a mwenyezi mungu.
Mimi nime rudishiwa kwa jina la bwana yesu ameni
Back to the sender in the MIGHTY name of JESUS CHRIST
Naona pole pole nondo zimeshafika kanisani
Ameeeeen barikiwa pst
Mali zangu zote zilizoibiwa na Waganga na wachawi leo zirejee zote kwa jina la YESU KRISTO wa Nazareth na kwa Damu ya YESU KRISTO wa Nazareth aliye hai.Asante sana Chief Apostle UISHI MILELE. 🙌
Auuuui, today is deeper facts here,,,,, apostle atii,"Mm sibutu ni mguse". U hve made my day and I'm blessed coz Kila kitu kicholiwa na zige narudisha kwa jina la Yesu,,,,,,be blessed apostle 🙏🙏🙏
All diseases back to the sender🙌🙌🙌📌
Nafunguliwa sana kupitia mafundisho haya yenye nguvu sana
Mungu akubariki baba, wewe Ni mtumishi wa Mungu kweli, unasema kweli kabisa
Tosha baba wamesikia
Ameni
Nabarikiwa na mafundisho yako sana Mtumishi, Bwana Yesu azidi kukutumia vyema.
Nafunguliwa kwa kasi mno ! Nimeonewa sana na dhuruma , asante Mungu kunikumbuka kupitia mtumishi wako.
Prophet of God ubarikiwe Sana, huwa na barikiwa Sana na mahubiri yako
Ukweli kabxa pst hayo mambo iko tunaipiwa bila kujua
I will RECEIVE double portions in the MIGHTY name
Mwenyezi mungu atusaidiye sana tumeteswa na uchawi wakijamaa, naamini kufuatana na funzo I iyi azina yangu itarudi kwa jina la jesu christo .
Kwa Jina la Yesu!!! UREJESHO WA VYOTE
Amen apostle mtalemwa wamrudishe mama ang plz pastor nsaidie😭😭
Preach the gospel man of God. Lazima turudi.
Amen
Vyote vinarejea kwa jina la Yesu 💪💪💪🙏🙏
Napokea marejesho kwangu na familia yangu
Ameeen Ameeen Ameeen
omg that is true i am watching from canada mimi ni mzaliwa wa congo naishi canada lakini najuwa mambo haya kutoka nyumbani na juwa wengi waliibiwa kwa njiya izo na wengine walikopa kwenye mikopo wala hakuna ata moja aliweza rudisha walibeba nyumba zao.
Powerful enough be blessed so much witchcraft down in the name of jesus christ
Eeeeh baba naomba urejesho wa Haifa yangu ufahamu ya watoto wangu kwa jina la yesu
Thanks tell us misukule tupu waja tukombolewe katika jina la yesu Amen
Amen...thanks may almighty God increase you man of God- in wisdom knowledge and understsnding ..
Nimeisubiria Sana hii
Apo kwenye mavaz baba ndo umegusa penyewe 😁😁😁🔥🔥🔥🔥🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amen. Thank you Jesus Christ.
Fire. Fire fire choma in JESUS CHRIST Amen
Asant Yes
Amen pst kwa mafasi hapo ukosawa be blessed
Nakusiliza kutoka Rwanda
I am so blessed thank you so much
asante kwa somo nzuri
Asante nabii, nimmeelewa
Lazima warejeshe kwa jina la yesu
Narejesha nafasi yangu ya kazi kwa jina la Yesu.
Sema Baba tuponeeee mavazi nisheeda
Restoration is my portion in Jesus mighty name.
Nikweli kabisa
Narudisha hazina zote kwa jina la Yesu
Ameeeen
Nimeteseka sana
Aaahhh baba nimekuelewa Sana baba angu
Aposto mm niko Saudi Naitwa Janet napenda mafundisho yako mungu akubariki mtume wa mungu
Nahitaji maombi mm mtoto wako baba Janet
Thanks man of God.
Big amen amen
Amen Apostle nimebarikiwa na mafundisho haya nikiwa Zanzibar
Wokovu na hazina
🙌🙌🙌🏃♀️🏃♀️🏃♀️💉
Haaa Amen Leo umepomoa wakichesa utakata kitu
Majreraha kila leo naomba iyeyuke kwa jina la yesu
Back to center in JESUS NAME.
Fireeeeeeee
Regesha. Rudisha kwa jina la yesu
Eee Bwan naomba unilehemu na magonjwa ya kukauka damu napokea urejesho wa afya yangu
Amen Amen Amen