IBRAAH afunguka kwa UCHUNGU PENZI la D VOICE na MZAZI MWENZIE "NITAONGEA kila KITU/ATAJA PENZI LAKE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

КОМЕНТАРІ • 37

  • @SidatiSaidi
    @SidatiSaidi 9 місяців тому +11

    Ibraah anajua sana shida yupo kwenye lebo dhaifu angekuwa wcb mpk sasa kw kipaji alichonacho angekuwa mbali sana 😢

  • @abdibihawa
    @abdibihawa 9 місяців тому +8

    Jamani uyu ibraah yuko nakipaji lakini Harmonize anajijali yeye kama yeye ondoka konde Gang

  • @kilchofkilali9926
    @kilchofkilali9926 9 місяців тому +3

    Ulisubiri D Voice asainiwe WCB ndo umuulize swali hilo!? Maana ali lisema mda kabisa!
    Hacheni uchonganishi!!

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 9 місяців тому +6

    Rick media, bila kutaja WCB hampati content

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 9 місяців тому

      Mungu tu anatajwa kila sekunde sembuse hizo taka taka

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 9 місяців тому +4

    Kwa sasa macho iko kwa D Voice...Ibraah asha saulika...

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 9 місяців тому +15

    Huyu anakwamishwa na lebo haina kipato cha kumweka juu

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 9 місяців тому +1

      Kweli

    • @RamaNgari-b1d
      @RamaNgari-b1d 9 місяців тому +1

      Ushasema...

    • @CharlesMapua
      @CharlesMapua 9 місяців тому

      ame kwann wewe ukikua unaujua nyie machok nn una taka akate viuno sitejini acheni umakunyieee

    • @NadineKabirigi
      @NadineKabirigi 9 місяців тому

      Muite basi kwenye lebo Yako yenye kipato cha juu

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 9 місяців тому +2

      @@NadineKabirigi wamakonde siwataki

  • @geraldgerrytrump254
    @geraldgerrytrump254 9 місяців тому +4

    Kichwa cha habari kinapoteza ... Kama hapa kwetu haikubaliki

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 9 місяців тому +5

    Muje na kwangu wapenzi ❤

  • @AbasiShabani-lw2fd
    @AbasiShabani-lw2fd 9 місяців тому +2

    Ila harmonize kuna namna dogo anashindwa kumsaidia kabisa

  • @Theleontembele
    @Theleontembele 9 місяців тому +1

    Inaonesha jinsi gani inamuuma lakini awezi kuonyesha wazi na kuhusu mziki ako sawa lakini promo na lebo bado ahina nguvu mpk anabaki anacheka tu kwa maumivu anayo pitia😢😢

  • @EustacheKasongo-j5g
    @EustacheKasongo-j5g 9 місяців тому +4

    Rick media, you guys munataka kwanza beef Kati ya muntu ni mwenzake

  • @mwashiwamwashi5620
    @mwashiwamwashi5620 8 місяців тому +1

    Dah !!!!😂 Kakutongoza kweli K JL ???

  • @hamzapharrelle
    @hamzapharrelle 9 місяців тому +3

    😭😭😭😭😂😂😂😂😂😂😂 Niqqa Don't Panic

  • @elishahenry9257
    @elishahenry9257 9 місяців тому +5

    Kaisha fuliaaaa

  • @alexxsheezo8394
    @alexxsheezo8394 9 місяців тому +5

    acha kumtaja Dvoice ww, kama hauna content 2lia huezi ongea bila kugusa wcb pumba ww

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 9 місяців тому +2

    Toka kwa lebo,unakwama sana,ulienda kondegang hata gari hujui kuenda,ondoka utajiongeza

    • @RamaNgari-b1d
      @RamaNgari-b1d 9 місяців тому +2

      Toka konde bro apo hakuna chochote...

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 9 місяців тому +2

    Uyu kijana kashakwama

  • @FrankElias-u9i
    @FrankElias-u9i 9 місяців тому +2

    D vois😂😂😂❤

  • @Mariam-qi2eb
    @Mariam-qi2eb 2 місяці тому

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 9 місяців тому

    Sasa ibra hachukue kwa nini na ameshasna na huyo cha msingi huyo dvoice ashatangaza anamtunzaia mtoto safi acha atunzwe na dvoice mwanao🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️😜😜

  • @jumaomar3482
    @jumaomar3482 9 місяців тому

    Dogo yuko vizuri ila konde anafulia sanaa tuh

  • @cndeboe11
    @cndeboe11 9 місяців тому +1

    😂😂😂🎉🎉❤❤

  • @JosephinaLyimo
    @JosephinaLyimo 9 місяців тому

    Kipaji anacho sauti pia anayo shida lebo

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 9 місяців тому

    Fundii

  • @BabraChibuye
    @BabraChibuye 9 місяців тому

    Sikupendi wewe aujui ata kuongea

  • @shashatours6454
    @shashatours6454 9 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂