IBRAAH afunguka kwa UCHUNGU PENZI la D VOICE na MZAZI MWENZIE "NITAONGEA kila KITU/ATAJA PENZI LAKE.
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Ibraah anajua sana shida yupo kwenye lebo dhaifu angekuwa wcb mpk sasa kw kipaji alichonacho angekuwa mbali sana 😢
Mbona wakati alikuwa juu hamkuongea
Jamani uyu ibraah yuko nakipaji lakini Harmonize anajijali yeye kama yeye ondoka konde Gang
Ulisubiri D Voice asainiwe WCB ndo umuulize swali hilo!? Maana ali lisema mda kabisa!
Hacheni uchonganishi!!
Rick media, bila kutaja WCB hampati content
Mungu tu anatajwa kila sekunde sembuse hizo taka taka
Kwa sasa macho iko kwa D Voice...Ibraah asha saulika...
Huyu anakwamishwa na lebo haina kipato cha kumweka juu
Kweli
Ushasema...
ame kwann wewe ukikua unaujua nyie machok nn una taka akate viuno sitejini acheni umakunyieee
Muite basi kwenye lebo Yako yenye kipato cha juu
@@NadineKabirigi wamakonde siwataki
Kichwa cha habari kinapoteza ... Kama hapa kwetu haikubaliki
Muje na kwangu wapenzi ❤
Ila harmonize kuna namna dogo anashindwa kumsaidia kabisa
Inaonesha jinsi gani inamuuma lakini awezi kuonyesha wazi na kuhusu mziki ako sawa lakini promo na lebo bado ahina nguvu mpk anabaki anacheka tu kwa maumivu anayo pitia😢😢
Rick media, you guys munataka kwanza beef Kati ya muntu ni mwenzake
Dah !!!!😂 Kakutongoza kweli K JL ???
😭😭😭😭😂😂😂😂😂😂😂 Niqqa Don't Panic
Kaisha fuliaaaa
acha kumtaja Dvoice ww, kama hauna content 2lia huezi ongea bila kugusa wcb pumba ww
Wewe nimjingasana
Toka kwa lebo,unakwama sana,ulienda kondegang hata gari hujui kuenda,ondoka utajiongeza
Toka konde bro apo hakuna chochote...
Uyu kijana kashakwama
D vois😂😂😂❤
❤❤❤🎉🎉🎉
Sasa ibra hachukue kwa nini na ameshasna na huyo cha msingi huyo dvoice ashatangaza anamtunzaia mtoto safi acha atunzwe na dvoice mwanao🤷🏽♂️🤷🏽♂️🤷🏽♂️🤷🏽♂️😜😜
Dogo yuko vizuri ila konde anafulia sanaa tuh
😂😂😂🎉🎉❤❤
Kipaji anacho sauti pia anayo shida lebo
Fundii
Sikupendi wewe aujui ata kuongea
😂😂😂😂😂