MARIOO afunguka alivyowekwa kati na BIFU ya DIAMOND na ALIKIBA 'Namheshimu SIMBA lakini' - PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

КОМЕНТАРІ • 124

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 8 місяців тому +17

    Dogo anajiamini sana, namuona mbali sana huyu kijana. Hongera sana toto bad. Umeongea ukweli tena kwa confidence zakutosha.

  • @Emp.recordstz
    @Emp.recordstz 8 місяців тому +5

    Hii ndo Interview Ya kwanza ya Marioo kuwahi kufanya kubwa 🎉 nimependa namna anavyo jibu coz kakutana na mtu ambae amemuuliza anavyo takiwa kuulizwa aisee salute sky

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 8 місяців тому +51

    Wangapi tunaompenda marioo tujuane Kwa like na comment

  • @hadley_davidson4734
    @hadley_davidson4734 8 місяців тому +16

    I love your songs Marioo ❤

  • @jamesnkumbila5937
    @jamesnkumbila5937 8 місяців тому +11

    Marioo ana confidence sana...namuona mbalii

  • @ntupwadevoice
    @ntupwadevoice 8 місяців тому +14

    My favorite ❤️

  • @edithhassan4196
    @edithhassan4196 8 місяців тому +5

    Hongera Marion na Bundala interview nzuri

  • @user-go1ff9wk5n
    @user-go1ff9wk5n 8 місяців тому +4

    Marioo unajua sana ila hauko very explain kama hata ukiskia kusah anavohojiwa me nakuelew sana ila nliona show ya kusah ya uku Kenya aisee wakenya almost nyimbo za mchizi wanaimba tuu kwenye show ila ww umekubarika bongo sana jamaa alipga I wish mademu wanalia mzeee

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 8 місяців тому +17

    Mimi ni fans wa diamond ila uju janja ana baya na anaujua mziki sana 👏na hana majigambo hongera kwa hilo

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому +1

      ​@SHILOWOLOBOE😂😂😂

  • @deejaytripletv6167
    @deejaytripletv6167 7 місяців тому

    Marioo is very very talented an he’s my all time favorite

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 8 місяців тому +9

    NAPenda sana ngoma za Mario karibu zote!! Ila nlicho gundundua jamaa nim binafsi sana na his over confidence which is not bad,kila mtu na weakness zake

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 8 місяців тому +8

    Umetisha sana kaka sky

  • @iddyusuph-df6es
    @iddyusuph-df6es 8 місяців тому +6

    Msanii bora wa mwaka

  • @digitaltanzania
    @digitaltanzania 8 місяців тому +8

    Safi sana 🙌🙌🙌

  • @JamilaHassan-xl4sn
    @JamilaHassan-xl4sn 8 місяців тому +6

    Ila watu asa harmonize amekujaje humu 😂😂😂😂 achen makasiriko kila msanii ananafas yake 😊

  • @user-fp5fp6wg9n
    @user-fp5fp6wg9n 8 місяців тому +5

    Marioo namkubal sana ananafas kubwa kwene bongofleva

  • @aaronagyanofficial
    @aaronagyanofficial 7 місяців тому +1

    Marioo kiboko yao

  • @BrianKyai
    @BrianKyai 7 місяців тому +1

    Kaka sky walker napenda sana unachofanya lakini ukiwa unaapload video zako tafadhali check the sound kama iko vizuri maana kuna interview umefanya na dayoo sauti ya mbwa akibweka inasikika

  • @allyandonnesimbananiye8872
    @allyandonnesimbananiye8872 7 місяців тому

    Ali n'a omari# nasibu n'a juma

  • @azizikidevu8404
    @azizikidevu8404 8 місяців тому +2

    🔥🔥🔥🔥🔥
    tufanye na mzee wa burudaaa brooo 🔥🔥

  • @djmosikahayo
    @djmosikahayo 8 місяців тому +2

    ASANTE GOOD SONG 🎧 2023

  • @alliancendabarushimana4570
    @alliancendabarushimana4570 8 місяців тому +4

    Bado sana msani anaefanya vizuri lazima apate show za inje

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому +2

      wewe uko wapi uende uko nje 😂😂😂

  • @gohome2k194
    @gohome2k194 8 місяців тому +1

    sky next time kuwa nae makini anakimbia maswali huyo bwanaa🤣🤣🤣🤣

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr 8 місяців тому +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @soundmale
    @soundmale 8 місяців тому +2

    Mm ni team wasafi lkn sina kinyongo na marioo lkn konde gang shenzi time😁

  • @FaridAbdallah-gy7er
    @FaridAbdallah-gy7er 8 місяців тому +1

    Huyu ndie mlithi wa Simba lama Simba dangote haujuiii baada yake ni @marioo toto bad km mnabisha nendeni mahakamani mkanishitaki

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 місяців тому +2

    Marioo ana jielewa sana

  • @KwizerJackson-is7fh
    @KwizerJackson-is7fh 8 місяців тому +2

    Nikweri simba ni simba Hata Mario ni mkubwa kiriko msheji harmnaiz

  • @eliusjulius3531
    @eliusjulius3531 8 місяців тому +4

    Kijana Ana nidhamu sana huyu

  • @thelight-ur3oi
    @thelight-ur3oi 7 місяців тому

    🎉🎉🎉

  • @saluuhans
    @saluuhans 8 місяців тому

    #Fundi Marioo is🔥

  • @NeemaSteven328
    @NeemaSteven328 8 місяців тому +2

    Big up marioo 🫶🏼

  • @phinias.zacharia5657
    @phinias.zacharia5657 8 місяців тому +10

    Broo unajua sana na nakuona mbali ila kuna ktu Kimoja usahau omba collabo na diamond utafika mbali na international utafika Hilo tu usisahau huyu simba akiacha mzk ndio basi tena

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 8 місяців тому

      Kwan simba ni nan hasa bora ata ungesema harmonize

    • @user-hm3qm2nf1v
      @user-hm3qm2nf1v 8 місяців тому

      Ameshafanya ila mondi amembania nyimbo hadi leo haijatoka

    • @phinias.zacharia5657
      @phinias.zacharia5657 8 місяців тому

      Harmonize kashafanya nae ile nyimbo imehit kwetu tanzania sio nje

  • @salumndayishimiye4472
    @salumndayishimiye4472 8 місяців тому

    Nakukubali sana ❤

  • @King_186
    @King_186 8 місяців тому +5

    Uko vzur mdogo wangu kwa sbb unajua ukubwa wa Diamond katka muzik wa Tanzania,unakiri amefanya mambo makubwa hii inakufanya uende mbali

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому +1

      kwamba yeye ndio mungu eti 😏tanzania kwa kuabudu masanam 🚮🚮

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 8 місяців тому +3

    Huyu jamaa kwa sasa kapoteza mvuto kwa mashabiki sio kama.kipindi cha nyuma

    • @Neworder11
      @Neworder11 8 місяців тому

      Anavimba sana

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому +1

      labda wewe ndio umepotea kumshabikia ila mimi na wanangu tunasema hana baya tajiri 🎉

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 8 місяців тому

    Nice interview ✅✅

  • @jimmykazibulaya4106
    @jimmykazibulaya4106 8 місяців тому

    His good the guy

  • @georgeMsema-rz1yu
    @georgeMsema-rz1yu 8 місяців тому

    br marioo !

  • @NdakhiSusu-qz9md
    @NdakhiSusu-qz9md 8 місяців тому

    Haujui

  • @user-mh3se6gh9k
    @user-mh3se6gh9k 8 місяців тому +2

    akili ya marioo imekua

  • @user-xs9ir3tx9f
    @user-xs9ir3tx9f 7 місяців тому

    Bad MTU wangu ❤❤

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z 8 місяців тому

    Kibodi kinakuja sio kama kitambo mwamba na bg nyingi ziende kwa pau

  • @aminammbaga7736
    @aminammbaga7736 7 місяців тому

    No one is talking about his nails😂

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 8 місяців тому +1

    Kwani ukiwa msanii lazima utoboe pua? Au ni ushamba wangu tu

  • @FelixTsuma
    @FelixTsuma 7 місяців тому

    Shida mario anajilinganisha na akina simba....anajipoteza heri apige mziki wake tu

  • @anitakamene4656
    @anitakamene4656 8 місяців тому

    Nice

  • @jaykeenmamba
    @jaykeenmamba 8 місяців тому

    Baad😊

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 8 місяців тому

    Baaaaaaad ❤❤❤❤

  • @mnyamwezijuma1140
    @mnyamwezijuma1140 8 місяців тому

    Baaadii 🔥

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 8 місяців тому

    ❤❤❤❤🎉

  • @johnmandog5636
    @johnmandog5636 8 місяців тому

    Hio nyimbo anayo semea Mario n nyimbo ya ray inaitwa no1 ft zu

  • @FelixTsuma
    @FelixTsuma 7 місяців тому

    Alf mario unatambulika bongo tu kiburi acha

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 8 місяців тому

    ❤❤❤❤Baaad

  • @lapozzydone5203
    @lapozzydone5203 8 місяців тому +4

    Sky juzi tulikupa orodha yetu kama Wana SNS kwa nyimbo zetu Bora za mwaka 2023..
    Lakini mpaka leo ukutupangia yupi no.1 mpaka no.10 kulingana na orodha ya Wana SNS ..
    Ulitakiwa uipange orodha hiyo kama nyimbo pwendwa za mwaka 2023 kulingana na Wana SNS..
    Sky rudia zile text zetu uone ni yupi alipewa kibao mbele zaidi na Wana SNS akae no.1 then anae fuata awe no.2 hivyo hivyo mpaka 10..
    Tunataka kumi Bora ama 20 Bora kutoka kwa Wana SNS... please lifanyie kazi jambo hili sky..
    Ni Lapozzy de Done kutoka Kenya Mombasa county 001.

  • @derickdboy2207
    @derickdboy2207 8 місяців тому

    🙌

  • @nyunyaboy9523
    @nyunyaboy9523 8 місяців тому +1

    This is year DARASSA n TOP

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 8 місяців тому +2

    Hicho ndo kinachoua wasanii wetu kila msanii kujifanya yy ndo namba moja wakat mashabik tunajua ukwel uko wap

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому

      ukweli wa matako😏😏 🚮🚮

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 місяців тому +1

    🤣🤣🤣Hivi nimeona vibay au Marioo kavaa kipini puan 🤭

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m 8 місяців тому +1

    Mbona Mario atuliye ju ya kupenda Ku onesha ma chêne?

    • @haddrazee8848
      @haddrazee8848 8 місяців тому

      Nilikuwa natafta comment hii😂😂😂 ila jamaa muache atambee namkubaliiii

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 8 місяців тому +7

    Why are you not still? Si utulie tuu!!!! Sisi twakupenda wacha kushika shika hizo ma bling bling bro!!!! Kujinyamwezisha ya nini?

  • @suleymanmakiwa1651
    @suleymanmakiwa1651 8 місяців тому

    Kwa mbaaaaaaali jamaa ana kidada

  • @user-qr7hd8th3r
    @user-qr7hd8th3r 8 місяців тому +1

    Mwana muziki wote aki mtaja simba huwa Ana anabarikiwa naona nastaili yako yamapoz unaigia simba bado wewe Mario ni mshamba wacheni unjitizama saaana .ila unajitaidi kuimba dogo yg

  • @djmosikahayo
    @djmosikahayo 8 місяців тому

    ASANTE BEAT SONG 🎧 2023

  • @echasafuraha3423
    @echasafuraha3423 8 місяців тому

    ❤❤p

  • @user-fb1vp4vh1f
    @user-fb1vp4vh1f 7 місяців тому

    Mario harmonie amekushahuri uhanze Gym?Mana ulikuwa mwembamba sana

  • @eliusjulius3531
    @eliusjulius3531 8 місяців тому

    Jamani laizer mbona ulikula pesa ya mariooo😂😂😂

  • @zaitunijuma1051
    @zaitunijuma1051 8 місяців тому

    Kaka bad kila saa unatuonesha mabling ila me nakukubali sana

  • @noelkisonga5534
    @noelkisonga5534 8 місяців тому +1

    Huyu jamaaa.mziki anaujua anamzungumzia Diamond kwa sa babu ameulizwa. Lakinia anampenda Harmonie .awe makini

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 8 місяців тому +1

      awe makini kwenye lipi?...Kwann mnataka kila mtu amsifie diamond eleweni kuna moyo wa mtu. unaweza kuwa unapenda kula samaki lakin mm sipendi. kwahyo akimsifia ndo atafanikiwa?UJINGA WA KIWANGO CHA DARAJA LA KIJAZI.

  • @selemanimkwichu782
    @selemanimkwichu782 8 місяців тому

    Mwamba marioo

  • @user-go1ff9wk5n
    @user-go1ff9wk5n 8 місяців тому

    Yani marioo unajua sana ila skuiz unatoa manyimbo ya ovyo matusi unatoka kwenye uandishi pure Kuna nyimbo umeimba na jaivah inatwa maliwato kbsa unaimba ww unasema kama ww mzuri pga picha ukiwa una kata gogo it means haimek sense

  • @Nihadshighadi
    @Nihadshighadi 8 місяців тому

    Badii❤❤❤

  • @Tariq_Tryagain
    @Tariq_Tryagain 8 місяців тому

    20:22

  • @Neworder11
    @Neworder11 8 місяців тому

    Sawa ila unajisifuu sana komaa tu until time utafika mbali sana.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 місяців тому

    TATIZO WANAFANYA VZURI KUTOKA CHINI...WAKIANZA KUMKARBIA DAI TU,,,WANAGANDIA PALE PALE WANAKUWA WAKAWAIDA.

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 8 місяців тому

    Sema marioo skuiz anaongea

  • @Ibnansoo
    @Ibnansoo 8 місяців тому

    kuna vitu vingi umeficha marioo ila bora ivo maana simba ni simba tu

  • @barakabashiri8440
    @barakabashiri8440 8 місяців тому

    Miziki ni teamo

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 8 місяців тому

    Sijawahi kusikia msani anaedayi kwamba anatumia kilevi fulani wote wanatudangany kwamba hawatumii kilwi chchte 😮hii inaingia kweri

  • @user-yc7sn2fd8n
    @user-yc7sn2fd8n 8 місяців тому

    Huyu kijana ameanza kutangaza vita na diamond ati ametoa hits kushinda simba😮😮tangu lini

    • @mohdloushmoney9994
      @mohdloushmoney9994 8 місяців тому

      Sasa wewe huoni anachokifanya

    • @m___ck799
      @m___ck799 8 місяців тому

      Why Diamond...kwani yeye ndiye msanii pekee bongo? Kuchwa nahi

  • @kabongokaddy721
    @kabongokaddy721 7 місяців тому

    Na kyaku shindana pale bana, Jux ka uwa sana na aka ingiza mkwanja mingi sana youtube kwa ENJOY....

  • @eftondauson280
    @eftondauson280 8 місяців тому

    Uongo Zambi lkn ww ni mtunzi na mtoa hit balaaaa hawajakugusa

  • @hassanisilaji3672
    @hassanisilaji3672 8 місяців тому

    huyo jamaa wa wasafi that time alikuepo anaitwa OSAMA daah yule jamaa alikua anavimba saana,,,,hiyo nafasi na mimi niliitafuta,,ila haikua mipango ya mungu,,,,

  • @JamilaHassan-xl4sn
    @JamilaHassan-xl4sn 8 місяців тому

    Oyaah marioo umepaka rangi kuchaa 😂😂😂

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому

      paka tu na wewe kwan ni how much 😂😂

    • @JamilaHassan-xl4sn
      @JamilaHassan-xl4sn 8 місяців тому

      @@sifatiiman mim ni mtoto wa kike lazima nipake ila wew ukipaka utakuwa mchicha mwiba 😄 🤣

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 8 місяців тому

      @@JamilaHassan-xl4sn ulinipa hio mboo shoo 😂😂 ad uhisi mchicha mwimba🤣🤣

  • @RobertMwamlima-ek9pd
    @RobertMwamlima-ek9pd 8 місяців тому

    ipeleke SINGELI kimataifaa mtoto mbad

  • @user-nl2mn4gm9o
    @user-nl2mn4gm9o 8 місяців тому

    jamshinda nyashinski

  • @user-kt4ej8yr7y
    @user-kt4ej8yr7y 8 місяців тому

    Toto bad❤

  • @harmonize_tz
    @harmonize_tz 8 місяців тому

    Mocco kwenye mi nawe kakufunika bhaana

  • @mnyamwezijuma1140
    @mnyamwezijuma1140 8 місяців тому

    Mafia mnyama ameshaga fariki

  • @JOE2THEWORLD
    @JOE2THEWORLD 8 місяців тому

    aloooooo baaady

  • @sadickbisale6637
    @sadickbisale6637 8 місяців тому

    marioo mjanjamjanja san😅

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 8 місяців тому

    Mm nimekuja kuangalia nilivyo sikia Diamond katajwa hapa lakin nisinge poteza mb zangu kuangalia ujinga kama ww nikama mm gonga like❤

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 8 місяців тому

    Mario wewe unaangalia kwenye radio,sasa daimond hapigwi kwenye radio hizo nyengine isipokuwa wasafi tu

    • @jenivavedasto636
      @jenivavedasto636 8 місяців тому

      Siyo kweli redio Zote wanapiga nyimbo zake hata cloud's Diamond hata akiangaliwa wasafi tu haina effect maana Yeye ananunua viewers

    • @RichardRutembesa-ns1kn
      @RichardRutembesa-ns1kn 7 місяців тому

      ​@@jenivavedasto636una Evidence yoyote kama ananunuwa viewers !!! !???

  • @m___ck799
    @m___ck799 8 місяців тому

    This guy thinks he is on Top...bado Sanaa.. East African nzima hawakujuwi that Is a lie.. Uganda,Kenya & Rwanda hawakujuwi! Jay Melody mkubwa zaidi...kuwa na hit does not mean you are the best. Classics ndio habari ya mjini.

  • @yours_forever
    @yours_forever 8 місяців тому

    interview mario akiongea vile diamond alimkatia simu mara ya kwanza
    ua-cam.com/video/vWEdW_BinpE/v-deo.htmlsi=bjPuLxvxuDDqEEJa

  • @johndavidwema4564
    @johndavidwema4564 8 місяців тому

    Mbwembwe nyiiiingi Marioo punguza chumvi basi usiaribu mbogaa.

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l 8 місяців тому

    TATIZO LA HUYU DOGO ABADIRIKI, MZIKI WAKE ULEULE TOKEA AANZE