Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu Ninakuita baba Ninakuita wewe nioneye uruma baba yangu Nachoka bila wewe kunijibu nani atajibu maombi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
Huu wimbo umenizungumuzia Kwa ajali ya maisha yangu na mwanangu. Mungu najua unanipa jibu Kwa hiya nipitiayo Kwa Sasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪 . Martha nakuombea Mungu akuzidishie haswa Kwa hiki kipaji cha uimbaji
Kwa kweli mama umewaii. Timiza kazi yako ambayo ilisababisha Mungu akuweke kwenye ardhi ndio maana naendelea kuiita Mungu atupe nguvu.kabisa kazi njema mama
Amen🙌🙌🙌🙌🙌🙌Nikweli mama yangu ,Mungu akubariki mara miya akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Siku la leo Niliita Mungu wetu akanisikiya wimbo huu unani bariki saaaaaaana
Oohh Asante wimbo wanitia nguvu sana ninakuita yesu njoo baba unirehemu walimwengu ni wabaya sana nirehemu nilipokukosea 😥😭🙏mimi ni mwanao tyu huruma yako iniguse na mm barikiwa ewe marikia wa kututia mioyo kupitia nyimbo zako 💞🥰😍 penda sana mama angu martha ❤❤❤💯 ninakuita masia nirehemu nyakati ni nyingi kwangu kuna za mates,kukata tmaa😢 nisamehe baba nikimbuke mwanao😢😭🙏
mamangu Martha love you much you're my mentor love your cool spiritual songs 🙏🙏🙏 Ninakuita Mungu mwenye huruma...tuuureehemu you inspired me alot spiritually from kenya 👏👏 barikiwa
Maman uyu abalikiwe sana kwa wimbo ninakuita mungu. Maman utukumbuke kua maombi Yako, utukumbuke frère Exaucé kutoka Congo DRC tuna kupenda Sana hapa Kinshasa🎉
Leo Niko WA 20 nakupenda san my sister mungu akutunze zaidi mfarij wetu unaye jua kutusemea kwa baba
Nakuita mungu kwenye kipindi hiki kigumu mungu anisaidie
Hongera Sana mm hii nyimbo imenibariki sana
Barikiwa sana
Nakuita yesu wangu nisaidie🙏🙏🙏
Kaziiii nzuriiiii mummy🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Whoever reading this, I pray that God visit your home with healing, blessings and miracles. Amen.💕
Amen and amen
amen 🙏
💙💙💙💙
Amen
Amen and God bless you too
🎉🎉🎉🎉Ameen na kweli baba aturehemu na atukumbuke
Unaimba vizuri mama Martha mwaipaja ❤mno mungu akubariki zaidi akulindiy uduma yako
This song wueeeh chesa 💯💯💯💯✨✨✨✨✨✨
Hongera kwako MARTHA, nyimbo zako hunitia nguvu kwa hii safari ya kwenda mbinguni.Listening from kenya
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu na family yangu na kwenye huduma ya mama yangu mbariki zaidi 😢❤
@@gosbertmuta5421😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@@gosbertmuta5421👏
Tena zaidi 🙏🙏
Ooooooh là là😢😢😢😢ukwel chr wangu Joan welcom Burundi tunawapenda sana turabakunda can❤
Amen Amen Amen
Martha Mwaipaja mimi nakupenda sana na mungu akubariki ❤❤❤❤❤❤
Samahani sana maman isikuake kwanyuma tuambilie kama ulikua nachikiana na chetani kama wanamusic wengine, n'a barikiwaga sana na we mama
Tupo pamoja dada martha tumuite Mungu mwenye majibu.... dunia haina majibu.👐👐
Nakuitaji Yesu moyoni mwangu
Ninakuita Baba maishani mwangu
Kabisa yesu usituwache tukapotea... nimebarikiwa.
Mungu❤❤ akubaliki mtumishi kwa kazi nzuri
Tukumbuke mungu Asante martha
Amen mama napenda nyimbo zako ..... Niko Kenya
Nimeshinda kabisaa Baba nirehemu nakuitaji baba
Amen amen dada yangu ubarikiwe na mungu uhendele hadi siku mungu atakapo kukuita.
❤❤❤❤love from kenya wapi like za wakenya apa
Barikiwa. Dada Martha
Ninakuita Yesu kwenye maisha yangu
Ninakuita baba Ninakuita wewe nioneye uruma baba yangu
Nachoka bila wewe kunijibu nani atajibu maombi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭
Barikiwa Kwa wimbo nzuri hasa vipindi hivi vigim dada martha
tunakupenda ❤ sana wimbo zako zinabembeleza sana hapa nchi ya Kenya 🇰🇪
😭😭😭nakuitaji yesu kwenye maisha yangu Martha ubarikiwe mungu akuinuwe kwenye uduma Yako🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo tupo ndani kwenye mji ya lualaba
When GOD call someone to do his Work,HE equip and perfects him or her..Thank you MARTHA for frequent blessings.. Listening from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kali Sana mum huku Kenya tunakutabua 🙏🙏🌹🌹🌹
Ubarikiwe Sana mtumishi mungu azidi kukuinua zaidi Kwa huduma
Waaah!Dadangu mistari unazo za kiroho..Kila mtu ajitishie Mungu..
Martha mimi nakupenda tokea na miaka11 mpaka sasa nishakuwa mtu mzima mungu akubariki kwa kaziyako nzuli
Hongera martha mungu akuinue zaidi na zaidi amen
Martha nyibo zako unibariki ,ishi milele na milele Anthony from kenya
Nomaa mtumishi wamungu❤
Amen Amen ❤ kwa kweli bila mungu atiwezi kitu
Wimbo huu unanipa matumaini kwa Mwenyesi Mungu
Ubarikiwe sana,Yesu azidi kukutunza na kukuinua zaidi,
Huu wimbo umenizungumuzia Kwa ajali ya maisha yangu na mwanangu. Mungu najua unanipa jibu Kwa hiya nipitiayo Kwa Sasa🇰🇪🇰🇪🇰🇪 . Martha nakuombea Mungu akuzidishie haswa Kwa hiki kipaji cha uimbaji
Hii imeniganga roho❤!
Imenitibu nikiwa maeneo ya Mathira Kenya 🇰🇪. Veeri naisi.
nakupenda saana dadaangu mungu akubariki sana
Unani bariki sana martha nakupenda sana dada Mungu akuweke
dada matha,nyimbo zako huniburudisha roh yangu.b, blesed coz i listen u here in mbala zambia.amen
Kila saa Kila siku naitaji nikusikie tu bwana I'm blessed and be blessed too dear sister Martha nakuitaji Jehovah
Kwa kweli mama umewaii. Timiza kazi yako ambayo ilisababisha Mungu akuweke kwenye ardhi ndio maana naendelea kuiita Mungu atupe nguvu.kabisa kazi njema mama
Nice mama mbarikiwa wa Tanzania. Napenda Sanaa kazi zako, mungu akuzidishie sanaa
Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 pia twamuita katika maishani mwetu
Amen🙌🙌🙌🙌🙌🙌Nikweli mama yangu ,Mungu akubariki mara miya akupe mwisho muzuri kuliko mwanzo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Siku la leo Niliita Mungu wetu akanisikiya wimbo huu unani bariki saaaaaaana
Ninakuita Baba uwe kiongozi katika maisha yangu 🤲🙏🙏🙏🙏
Yesu ingia kwenye Tanzania yetu,pita duniani Yesu tunaangamia ,hofu yako hamna tena duniani watu hatijaliani tena
Oohh Asante wimbo wanitia nguvu sana ninakuita yesu njoo baba unirehemu walimwengu ni wabaya sana nirehemu nilipokukosea 😥😭🙏mimi ni mwanao tyu huruma yako iniguse na mm barikiwa ewe marikia wa kututia mioyo kupitia nyimbo zako 💞🥰😍 penda sana mama angu martha ❤❤❤💯 ninakuita masia nirehemu nyakati ni nyingi kwangu kuna za mates,kukata tmaa😢 nisamehe baba nikimbuke mwanao😢😭🙏
Mungu akubariki martha
Aminaa sana dada
mamangu Martha love you much you're my mentor love your cool spiritual songs 🙏🙏🙏 Ninakuita Mungu mwenye huruma...tuuureehemu you inspired me alot spiritually from kenya 👏👏 barikiwa
Wanadamu hawana majibu,,njooo Yesu uturehemu
Ee YESU ninakuita naomba unibariki na uniokoe nimebaki na wewe tuuu mwanao niokoee🙏🙏🙏🙏🙏🥺
Tunakuita yesu maishani mwetu, hatuelewi maisha yetu
Nami nakuita baba . much love ❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Ubalikiwe sana unanifundisha kupitia nyimbo zako mungu akupe kibali zaid
Kabisa yesu nakuita huu wakat siwez pekeangu yawhe 🙏💕💕barikiwa mama matha💞
Ubalikiwe dada yangu nyimbo nzuri sana 🙏🙏🙏 tunakuyita baba dunia yimepotea.....from South Africa
Nakuita yesu njooo kwa maisha Yangu baba
Ubarikiwe Sana. Dunia inaitaji Mungu Sana. Ubarikiwe 🙏
Nakuita Mungu👐👐
Ubarikiwe dada ndani yahuduma yako ninapo kusikiliza nabarikiwa 🙏🙏
Nampenda saan huyu dada, napenda alivyomtulivu
Hongera sana wimbo huu unatubariki sana
❤❤ asante YESU mungu akubaliki Martha❤
Wow pongezi dada mwimbaji
Ukwel dada nyimbo zako zinanibariki sana nakuombea kwa mungu azidi kukuweka na uendelee na huduma yko lkn uzidi kumuomba mungu kwenye huduma hiyo
Huduma njema dada,hapa kenya tunakupenda sana❤
Mungu Mbele.
Nakupenda sana muimbaji mungu akubaliki
Waaaooooooo,good song,dunia haina majibu bola Mwenyezi Mungu aturehemu.❤❤❤❤,good job.
Mungu ninakuita katika familie yangu yesu tuhurumie😢
Mungu akubariki sana mpendwa, umekuwa ukinibariki kwa nyimbo zako!
Amen,Amen🙏Ubarikiwe Sana Dada Martha🙏
Nakuita Yesu Nishike mkono safari n refu siwezi pekee yangu😭😭
Mungu amuuongezee mama yeti wa Imani miaka mingi
kila wimbo unaotoa unakuwa baraka na inalingana na hali ninazopitia. may GOD bless your ministry dear you just hold on crist
Ninakueta baba Niko nashida mungu nakuomba mahali Niko mbali na nyumbani angalia watoto wangu na wazazi🙏🙏🙏🙏
Tunapoita baba anatusikia maana yéyé ni mwaminifu .amen
Ninakuita yesu kwenye ndoa yangu na huzao wangu kwani mimi pekee yangu siwezi
Nakuita baba mwenye huruma unirehemu🙌🙌
Mungu azidi kukuona huduma yako ni nzuri usichoke kumtumikia mungu nakupenda
Maman uyu abalikiwe sana kwa wimbo ninakuita mungu. Maman utukumbuke kua maombi Yako, utukumbuke frère Exaucé kutoka Congo DRC tuna kupenda Sana hapa Kinshasa🎉
Mungu awe nawe.
Waooo nice sasa dada yet from tanzania
Ni kweli tunamhitaji Mungu alie mwingi wa rehema,barikiwa mama
Tunakuhitaji hakika yesu 😢😢 twakutazamiza wewe tu
barikiwa sana dadangu
Nakuita baba kwenye mahusian yang py nakuita kwa mama Ang hyu Martha mwaipaja 😭😭😭😭😭😭😭🙏💓👍
Mungu akubariki sana dada nyimbo zako zina tutia nguvu sana tunapo pitia majaribu
Nami pia nitembelee Mungu unapotembelea wengine😢live this song❤❤
Sauti ake no kila kitu katika maishani mwetu
Ubarikiwe dada martha
Mama angu nakupenda Sana na natamani kuwa Kam wew yaan nyimbo zako zinatugusa
Tunakuita YESU katika maisha yetu Dunia Ipo mwishon tupe macho yakuona dada matha MUNGU akubaliki sana Tena sana
Hapa nilipo katika Hali yangu,,nakuita❤❤
Yeye aliyeumba sikio,,Je,hasikii??😭😭
Dunia Haina majibu,,maswali tu😭😭
Nakuita wewe mwenye huruma