Bakhresa amekuwa akisaidia watu masikini na Allah anamuongezea riziki yake watu wote matajiri muwe kama bakhresa muwe mnatoa misaada kwa masikini na watoto yatima na mungu anawaruzuku zaidi
Ni kweli. Lakini tupo dunian kwa kusudi maalumu la Mungu. At the moment tuna jiweka safi kujuandaa na pepo tukumbuke kutumiza kusudi la Mungu la kutuweka dunian, tufanye mabadiliko yenye thaman na return yake ndo vitu vya thamani kama hivo. Mungu ametuumba na kutuleta duniani ili tuiboreshe
Maisha hayafanani hata kidogo ! Na kila mtu ataishi jinsi Mungu alivyomjalia hatuishi kwa kufanana hata kidogo! Mtu anaweza kuonyesha baiskel yake hapo halafu mtu mwengine anakushaa , lakini kila anajikuna anapoweza na aliyeonyesha baiskel na aliyeonyesha gari wote ni the same! Tunafarahi Mwenyezimungu awajalie zaidi wote !
Asili ya waarabu ni kuendeleza pesa lkn ingekuwa watanzania ni kula bata tu mpk pesa iishe afu mwishowe anabakia kapuku na kuwa omba omba au anaanza kula madawa kuondoa msongo wa mawazo
Bro hapo sio Gwagon mbili Ziko Gwagon tatu huyo anae piga picha mwenyewe yupo ndani ya Gwagon, alafu mbele ya hizo Gwagon kuna benzi nyingine g class pia Kama ya 400m Hivi jime sahau ni g ngapi number yake Ila jua hao hela ipo bro
NI VIBAYA SANA KUJIONYESHA HATA DIINI YA KIISLAMU HAIKUBALA MTU KU SHOW OFF NA HIZO MALI. MAMBO KAMA HA YA KIJINGA NDO ILIFANYA GN ZEES WA KENYA KUKASIRISHWA. GN Z WANA WEZA KUJA DAR KWA HAWA WAARABU. . ........NAIROBI
Sheckhe huyo sio mjukuu wa backhresa huyo ni Mazzen mmiliki wa Quality Fix garage Tz-ndo mwenye hiyo ferralli inaitwa Spider-na ni muhindi sio muarabu-acha kutu miss lead-mjukuu wa bakhresa hapo hahusiki zaidi ya kuwa ni mshkaji tu wa Mazzen
Narekebisha SIO shughuri ya mjukuu wa bakhresa ni harusi ya kijana mwingine kabisa MWENYE KUJITAMBUA NA KUJIWEZA anaitwa MAZI.......na sio familia ya AZAM ila anaushikaji na watoto wa bakhresa na GSM.
Ila nyi wabongo 😂😂 si kwa ubaya hao si wabongo ni wahindi na WARABU Ila wanakaa bongo nyi hamuoni hawana asili ya kibongo hao si wenzenu nyi mnateseka tu😅😅😅
Sio mipango ya Mungu. Mungu ni mwenye rehema, neema na huruma. Ila tu sio kila mtu yupo tayari kufuata kanuni za kazi na kanuni za kimungu ili abarikiwe kuwa na mafanikio. Maanaa umiliki wa vitu ni baraka
@@wadantz123 kweli . Sisi tunawapa nafasi yakuwa mabilionea, lakini sisi atuwezi kamwe kua milionea kwao. Wabaguzi warangi . Sisi watu weusi ni jinga sana. Sorry lakini kweli…
Chukueni maneno yangu hawa warab sio wabaguz ila ni sisi wenyew tunawaonyesha wao kuwa tuna njaa ya pesa ukiwa na huo uroho wa mal milele utakaa ukisema wabaguz ila mbona sisi tunaish nao vzur tu kama ndugu zetu jifunze hiki kitu weka njaa pembeni jifunze kuchangamkia watu wenye hela utakuja kunishukuru huna pesa alafu unajiskia mswahil anakwambia kaa na watu uvae viatu
Uyo niutaratibu wao na ni mzuri saanaa ata nasisi tunaweza kuufanya ila Sisi wajinga mtu mweusi akiwa na pesa nyingi anaowa mzungu ao mwarabu 😂😂😂😂😂. Wao kama wengine wamejiwekeya kusema wao ni superior so na Sisi tunaweza kujiwekeya Hilo kichwani . Kumbuka ndoa ni kitu kikubwa ndiyo maana wanafanya Ivo wao kwa wao inakuwa rahisi kuishi.
Wabongo wajinga sana gari 3 tu za kawaida eti umeisimamisha dar hapa kwetu wabedui wanabebea mbuzi hizo gari na majani ya mifugo eti unyama mwingi wajinga sana
SIO UJINGA. kwetu Tz sio kitu cha kawaida. Hizo gari ni gharama mzee. Usiongee kujifurahisha. Plus share hio content ya picha 100 jinsi zinavyobeba majani ili tukuamini. Usiongee tu with no data
@@PaschaliKimario tatizo washamba wa magari hizo mnaona gari za kifahali hapa zinabeba mbuzi na majani wewe vipi unataka picha njoo inbox na nipo njiani naelekea huko huko wanapobebea majani usiwe mjinga na wewe mmojawapo
Hata mim nashangaa wanawasifia wakati ni magari ya kawaida tu hata tajiri wa kawaida tu anaweza kumiliki. Mim naamini hiyo ferrari haifikii bei ya Rolls Royce.
Bakhresa amekuwa akisaidia watu masikini na Allah anamuongezea riziki yake watu wote matajiri muwe kama bakhresa muwe mnatoa misaada kwa masikini na watoto yatima na mungu anawaruzuku zaidi
Mshauri akahiji makha
Wazee tusiwaze sana peponi yapo hayo tufanye ibada kwa sana tu
Kweli kabisa
Ni kweli. Lakini tupo dunian kwa kusudi maalumu la Mungu. At the moment tuna jiweka safi kujuandaa na pepo tukumbuke kutumiza kusudi la Mungu la kutuweka dunian, tufanye mabadiliko yenye thaman na return yake ndo vitu vya thamani kama hivo. Mungu ametuumba na kutuleta duniani ili tuiboreshe
Hapo ni mjukuu wa Bakhresa. Zayd Yusuf Bakhresa. Na mtoto wa GSM. Mohamed Ghalib
Wako na unyama kama huu afu kimya duh 🙄 kweri pesa inaongea
Pesa haitaki kelele
@@nassirmohamed8492 😂😂 sio kina mondi aki nunua boxer mpya yupo mtanaoni 😂
@@samuelemmanuel3400 brother tofautisha pesa ya kutafta na ya kutaftiwa. Vile vile hamna gari ya bei ya gari ya diamond hata Moja hapo.
Wameamua kuwaonesha wasanii wenye vihele hele kwamba wao sikitu
😂😂😂hhahaha
Aiseee👐
Maashaallah tabaarakallah
Umaskini una kazi,utaanza kumchambua mtu,kabila,rangi dini n.k, rangi nyeusi ni laana ya mungu
Speak for yourself
Wengine wanatoboa mpakapua acha mungu aitwemungu pesa za mungu hakutumi utoekafara yakuvaa sketi kutoboapua kusuka kuweka mkonga wayembo unaangalia matakon achamungu awejuu yakilakitu namwenyeezimungu akipa neema mzee ionyeshe tuh siunaona mafukara tunafulahi ilaeachawi wananuna wenyeiman kamwe aldhi yamungu tupodaradan asante mungu
Tanzania bado sana jaman nenden Nigeria muone magar ya kishua mtazimia
Nigeria kitugani nenda Hollywood uone vitu
Sijataka huko mbali kote,nmetaka ujue hapa hapa africa kuna matus ya kutosha
Maisha hayafanani hata kidogo ! Na kila mtu ataishi jinsi Mungu alivyomjalia hatuishi kwa kufanana hata kidogo! Mtu anaweza kuonyesha baiskel yake hapo halafu mtu mwengine anakushaa , lakini kila anajikuna anapoweza na aliyeonyesha baiskel na aliyeonyesha gari wote ni the same! Tunafarahi Mwenyezimungu awajalie zaidi wote !
Sana yaani afu haimanishi mpk uwe na kikubwa ndo uonyeshe hata kdg safi tu
Usiseme atuna hela sema sina hela😢😂
😅😅😅
sio atuna, ni hatuna
😂😂😂kwakweli asitujumlishe kwenye shida zake ni yy hana sio wote😊
😂😂😂
Good job home land 🇺🇸
Mwenye izo gar anaitwa manzini
Kuna watu wanaviset wanasumbua sn wenye pesa awo wapo kimyaaaaa
Wanaovimba ni wamezitafuta wao
Kabsa
Noma sana wasani mwenye bado hapo 😂😂😂😂 that is the Lifestyle 😊
Wangekuwa wasanii watanzania umwinyi mwingi
Asili ya waarabu ni kuendeleza pesa lkn ingekuwa watanzania ni kula bata tu mpk pesa iishe afu mwishowe anabakia kapuku na kuwa omba omba au anaanza kula madawa kuondoa msongo wa mawazo
Na kujipamba pia . Ndo shida ya watu weusi ss.
Ndio maana tukawapa bandari
@@alzawahirabdallah2299 😜😜😜😜
Hao ni watanzania
@@kazikazini1042 asili yao wapi mo dewji mtanzani lakini asili yake india aw kabila lake muhindi utanzania ni uraia tu
Halafuwako kimya hawanamasifa
Siku zote pesa haitaji kelele si umeona tv za bank hazinaga sauti
😂😂
@@mohdykessy5855 😂🤣🤣🤣duuj weweee
@@mohdykessy5855 duuh ww noma sanaaa sanaaa
@@mohdykessy5855 😂😂😂😂
Yuko wapi godlove
chief mwenyew nyamisifa🤣🤣
😂😂😂...MAKABURI AMBAO NI GIZA SANA PIA INA WAONGOJE ANY TIME ONE CAN DIE AND LEAVE ALL THESE USELESS FERRARIS AND LUXURY CARS . Nairobi kenya
Wapo na pesa zao na Hawa jionyeshi Sasa sisi wasanii mmmmmmm tuna jisifu suti tu milioni 3 ona Sasa wenye nazo kimya kimya na makanzu tu
Bro hapo sio Gwagon mbili Ziko Gwagon tatu huyo anae piga picha mwenyewe yupo ndani ya Gwagon, alafu mbele ya hizo Gwagon kuna benzi nyingine g class pia Kama ya 400m Hivi jime sahau ni g ngapi number yake Ila jua hao hela ipo bro
We nawe wajua kuangalia magari ya watu we huna 😅😅😅nunua mwanzo IST si kuangalia magari ya watu tu😂😂
Kikubwa uzima ata mini mbarikiwa
Umeshasema mjukuu wa bakhresa bass
Hii inaitwa Tajiri haonekani ingelikuwa kina Diamond apo na Harmonize vifua kama ukuta
😂😂😂
Akhi sina ela dah
Yy ndo anauza gar kali za kifahar tanzania nzima
Mange kadanganya watu kumbeee,, oooh waarabu
Mjukuuuuu👏👏👏👏
Eshima kubwa kwao
Angekuwa cheif god love.....tungetukanwa mpk kiama kinatukuta walllah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃😃😃
I think hayupo sawa 5days back ety anakunywa dam ya ng'ombe live
Mtoto WA Yusuf huyo amekuwa Kwel kwel
Sasa daimond anasemag ana hela
Kajala 1 and 2 tena zote n range😅
ACHA NIENDELEE KUTAFUTA PESA ALLAH NIJALIE 🙏🏾
Daimond njoo huku uone😂😂
Acha Uongo mzee uwe unafatilia habari kwa Uhakika ndo utoe habari
Aisee
Mfano angekuwa diamond hapo 😂😂😂
Mtoto wa GSM katikati
NI VIBAYA SANA KUJIONYESHA HATA DIINI YA KIISLAMU HAIKUBALA MTU KU SHOW OFF NA HIZO MALI. MAMBO KAMA HA YA KIJINGA NDO ILIFANYA GN ZEES WA KENYA KUKASIRISHWA. GN Z WANA WEZA KUJA DAR KWA HAWA WAARABU. . ........NAIROBI
Habibi tayar wameshaingia mzigoni 🤣🤣🤣🤣🤣 Malinda ya vijana yakae saw .....🏃🏃
Unaonyesha ni shoga wewe
Kwa akili za hivi Tanzania itabaki kuwa nyuma siku zote
Ata deni la unipigie tafu sijamaliza kulipa🤣🤣🤣😂
😂😂😂😂😂😂
Hao ni waarabu sio watanzania
Sheckhe huyo sio mjukuu wa backhresa huyo ni Mazzen mmiliki wa Quality Fix garage Tz-ndo mwenye hiyo ferralli inaitwa Spider-na ni muhindi sio muarabu-acha kutu miss lead-mjukuu wa bakhresa hapo hahusiki zaidi ya kuwa ni mshkaji tu wa Mazzen
Hawana lolote,kabiru ndio tajiri$1996$
Huyu ni mjukuuu tuuu jmn😢😢😢ngoja tuone kitukuuuu
😆
Karibu mayele
Hongera zao
Wana haki sababu pesa wamezikuta kwa babu
Watu wana pesa ukiwa kama mtoto wa kiume pambna hizo gari baba yake ajapewa leba kapambana sasa ni kupambna tu
Haya Mambo yanamsaidiaje mtu mwenye njaa)))
Acha kukaza fuvu watu wasiishi sababu kuna wenye njaa
Kaka ebu tafuta hela
Haya mambo yanamfanya mwenye njaa kama wewe apate hamasa ya kutafuta hela na sio alete majungu mitandaoni
Manage kimambi kapotosha maku yule
Narekebisha SIO shughuri ya mjukuu wa bakhresa ni harusi ya kijana mwingine kabisa MWENYE KUJITAMBUA NA KUJIWEZA anaitwa MAZI.......na sio familia ya AZAM ila anaushikaji na watoto wa bakhresa na GSM.
mazin sio mazi😅
yah ilikuwa harusi
@@planboyplatnumz7050 sikutaka kumalizia sheikh namjua
Tunashukur kwa kutujuz
Watu wenye pesa awanaga mbwembwe bwana si unaona hayo maisha kama American kume ni bongo jamani khaaa...
Mange kimambi akae kwa kutulia xxa
Kuna muarabu masaki anaitwa Manzini anayo hiyo Ferrari kitambo
Ferrari yake ya mwaka gani😂😂😂
@@yunyun799 kama hiyo unayoiona hapo, mimi nimeiona mwaja jana, na bongo ilikuwa ya kwanza. Tembeeni nyie msikae tu mbagala
Uyo mwingine mtoto wa gsm
Ila nyi wabongo 😂😂 si kwa ubaya hao si wabongo ni wahindi na WARABU Ila wanakaa bongo nyi hamuoni hawana asili ya kibongo hao si wenzenu nyi mnateseka tu😅😅😅
Mbaka machozi yamenitoka siyo mkiwa na crown tu mnatuvimbia
Hamna hata ww unavimba tu mbn kuvimba haina mtu bro
Ist tu unarushiwa maji njian😆👐
wala hata sio mjukuu wa bahkresa😂😂 jaman watu nyie
Mali na watoto ni mapambo ya dunia tuekeze Kwa allah
Mange kimambi akatudanganya ni waarabu wa dp world mbwa yule🥺🥺🥺🥺
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaaaaa
😂😂😂mange mwehu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wee nae muongo kaaa alisema hapo ni Dar sio dubai hakusema ni waarabu wa dp
Uyo ni mjukuu😂
Yaan hahaaaa
Halafu utawasikia wabongo Mo Dewji ana hela mbele ya Bakhresa mawe
Hivi katika huo msafara kuna gari la rolls-royce
Hapana ile Ni bentely
Wache wapewe bandari 😂
Mbna hazina plate number
Wapi kajala 1 na 2 tena zote ni renjiiii 😂
😂😂😂😂😂
Ndio uwezo wake babu naww onyesha wako
😆😆😆😆👐
Weka video bana
Kumbuka Hawa Wana urisi wa Babu Yao uwezi walinganisha na wabongo walianza kutafuta wenywe
Pesa wemezikuta sisi tumetafuta..Wacha pororjo
Mlaumu baba yako
Watu wametoka kipovu jana 😂 eti waarabu ndo wanaigia hao wabongo 😂
Ndio mipango ya mungu wengine wanazo wengine wanalia njaa😂
Ndio ila utajiri wa dunia ni wa muda mfupi sana MUNGU atujaalie Utajiri wa dunia na wa akhera 🤲🙏
Acha ujinga wewe . Wapi mungu amekubali umaskini. Akili fupi sana. Jaribu kujitafuta.
@@massejobbs4284 daaah 🤣 umeshinda kaka
@@issazalala4907 ata wewe ni milionea. Asikutishe mtu… Mungu apendeleyi. Jitume tu. Poa
Sio mipango ya Mungu. Mungu ni mwenye rehema, neema na huruma. Ila tu sio kila mtu yupo tayari kufuata kanuni za kazi na kanuni za kimungu ili abarikiwe kuwa na mafanikio. Maanaa umiliki wa vitu ni baraka
Mbona babu hana hizo sifa
Kuweni na changa dumu. Tanzania imewatajirisha. Wanaowana wenyewe kwa wenyewe. 😢
😆😆 wabaguz awa huwaga awachanganyi damu wanaoana wenyew kwa wenyew
@@wadantz123 kweli . Sisi tunawapa nafasi yakuwa mabilionea, lakini sisi atuwezi kamwe kua milionea kwao. Wabaguzi warangi . Sisi watu weusi ni jinga sana. Sorry lakini kweli…
Chukueni maneno yangu hawa warab sio wabaguz ila ni sisi wenyew tunawaonyesha wao kuwa tuna njaa ya pesa ukiwa na huo uroho wa mal milele utakaa ukisema wabaguz ila mbona sisi tunaish nao vzur tu kama ndugu zetu jifunze hiki kitu weka njaa pembeni jifunze kuchangamkia watu wenye hela utakuja kunishukuru huna pesa alafu unajiskia mswahil anakwambia kaa na watu uvae viatu
Dah mwamba sijakuelewa unataka kuwa ndugu yao ama kuwa na hela dah njaa mbaya sana aisee😂😂😂
Uyo niutaratibu wao na ni mzuri saanaa ata nasisi tunaweza kuufanya ila Sisi wajinga mtu mweusi akiwa na pesa nyingi anaowa mzungu ao mwarabu 😂😂😂😂😂. Wao kama wengine wamejiwekeya kusema wao ni superior so na Sisi tunaweza kujiwekeya Hilo kichwani . Kumbuka ndoa ni kitu kikubwa ndiyo maana wanafanya Ivo wao kwa wao inakuwa rahisi kuishi.
Kimfaacho mtu chake mpe
Mweee
Uyo mjukuuu aya na mtoto jeee aya inge kuwa wale jamba nani clown tu dunia zima najua lakn awa wala bilion tano ipo bara aran
Hata hujui kiswahili basi andika ki lugha chako
@@abubakarsanya2824 sio vizuri,hata kama kakosea lkn ameeleweka
@@mwaramimwarami1479 m sijaelewa bwana hahahahaha
@@abubakarsanya2824 na wew onyesha yako
😂bandari
Wabongo wajinga sana gari 3 tu za kawaida eti umeisimamisha dar hapa kwetu wabedui wanabebea mbuzi hizo gari na majani ya mifugo eti unyama mwingi wajinga sana
SIO UJINGA. kwetu Tz sio kitu cha kawaida. Hizo gari ni gharama mzee. Usiongee kujifurahisha. Plus share hio content ya picha 100 jinsi zinavyobeba majani ili tukuamini. Usiongee tu with no data
@@PaschaliKimario tatizo washamba wa magari hizo mnaona gari za kifahali hapa zinabeba mbuzi na majani wewe vipi unataka picha njoo inbox na nipo njiani naelekea huko huko wanapobebea majani usiwe mjinga na wewe mmojawapo
Hata mim nashangaa wanawasifia wakati ni magari ya kawaida tu hata tajiri wa kawaida tu anaweza kumiliki. Mim naamini hiyo ferrari haifikii bei ya Rolls Royce.
✌️🙏👊.
Wajinga nyie ata baiskeli no usafiri pia